Itakushangaza: Yustar Mgaya Atoa Ushahidi Ugomvi wa Kajala na Harmonize, Sikutaka Kutoa Siri Hii I..
Вставка
- Опубліковано 10 сер 2023
- Itakushangaza: Yustar Mgaya Atoa Ushahidi Ugomvi wa Kajala na Harmonize, Sikutaka Kutoa Siri Hii I..
.
.
.
.
.
.
.
.#itakushangaza #yustarmgaya #atoaushahidi
#huuhapaushahidi #harmonize #kajala #harmonizevskajala #tikitvkiakilizaidi - Розваги
Wow ❤❤❤❤ Tiki Tv mmejua kunikosha maana nilikuwa nasubiri sana kuona mahojiano ya huyu dada moyo wangu utulie mwenzenu mambo ni moto
Watching from South Africa bondeni kwa madiba
Big up Tiki Tv
Unaongea point Hadi tumekusanyika hapa watano tunakutazama sauti kubwa tumeconnect na mziki wa bajaji
Malipo duniani , kamata dinu tudani , km kajala alivyo mtenda wema
Huyu dada nampenda sanaaa hapindishagi mambo 🎉🎉🎉
Umeona eeeh Yani ananyoosha kisawaaawa
Ni kweli kabisa, nkikumbuka Mr pimbi akiongea kuhusu kuachana kwa kajala na Hamoo nkaa Wana tundanganya
Jamani mm binafusi sipendi kuona harmonize na kajala kuachana jamani
Sababu ni Kajala kumwita JESHI TEMBOOO Teacher HARMONIZE,,,,,Tshizi....
Wewe dada wewe love you
This lady is very brave,clever and a good adviser love her so much will most definitely follow her programme mapenzi na mahusiano,love from London ❤❤
Acha niweke bando niangalie hii maana huyu Yustar hakurupukagi kuongea tu kila siku kila saa kama kina mwijaku na baba levo
Dada kama hujaolewa nmekupenda bure
Kumbe ndivyo ilivyokua Sasa nimeelewa kwa nn
Nakupenda sana yusta wapatanishe tena unaakili sana nataman uwe ndugu yangu
Yani uwe na dharau tuendelee na mahusiano? Wewe uko upande wa kajala.
Yustar chukua maua yako shost🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sio mtu wakuongea mbona kwenye lialit sho yao wanamuongelea konde
Wewe dada ni mwehu kipindi chote kajala anamuaibisha harmo kwenye reality shoo kwanin hukumuonya kajala ??? sasaiv harmo kalewa anamwaga mambo ndio wajitokeza ili kumkingia kifua kajala???kweli mwalimu wa wanawake ni kipofu,,,muache harmo nae atoe ya moyoni ili roho yake isafishike na awe na maisha marefu
Kweli kabisa. Waanze kumuonya Kajala kwanza.
Kaaibishwa Nini huyo hamor ACHA zako nawewe
@@maryammussa2835 naachaje zangu,,,Inamaana reality show za kajala huzioni akimsema harmo???na Ile Zima taa umeisahau pia??ungekuwa muelewa ungeelewa faida ya kuwa excited state,,,au yakutoa ya Moyon,,,unakuwa huru unakuwa mwepesi na kinyomgo kinatoka,,,jambo likipita lishapita kwa yule asieweka mambo rohon,,mwache harmo aseme asiumie ndan kwa ndan,,huu ni ufala wa wanaume wengi kukaa na mambo moyoni mwisho wa siku wajane wanakua wengi
Fact
Huyu dada ni mtaji kwa Taifa ajengewe sanamu lake nmemkubali japo ni mwanmke mwenzangu na wanawake hatupendani ila huyu Nmempenda bureee
Sana na ni hazina kwa mume na watoto wake
Lazima amtetete rafiki yake nani atamtetea boy child
@@bonfacemuchiri1600Kama haujafiti kwenye bedroom sexy lazima mwanaume atoke nje na ndio maana hakuna mwanaume Malaya uwa tunabadirisha Radha ya mahabati
Wewe huyu dada napata shida kidogo kuna kauli kaitoa inanipa hofu na story yake! Anasema huyo dada alikuwa rafiki wa Kajala kwa hiyo Kajala alikuwa rafiki wa Yolo mmm tuanzie hapo
Apewe ulinzi
Dada yusta nakupenda sana unaakili sana na upeo.lena umeongea point sana hao wanapendàna sana .nataman wakae chini wayamalize na kurudiana tena kupo tena wasiogope kurudiana sababu ya watu yena hawa wakioana watadumu sana .na watawafunga midomo wambea wote wanaowachonganisha.dada yusta weka tena nguvu zako kwenye maombi
😂😂😂😂 kelvin unajua kumchimba mtu
I believe you 100% both they are abusing each other 👌
Asante sana dada mungu hakulinde 🙏🙏
Dahh kumbe mambo yalianzia huku, nyie moyo wa mtu kichaka walahi
Ht km hamo ni mbaya lkn mbona hio reality show yao imemzungumzia hamo sana ya kumponda
Wadada wanaojielewa ndo kma hawa sasa 👏👏👏👏
Dada upo vzr sana konde amekosea mwanaume aliyekamilika hatoi cri za ndani
Ila kiukwel kajala nakushaur achana na harmonize usimrudie fata maisha yako dadaang
Na wewe yusta mwambie kajala aache kumuongelea harmo kwenye kile kapindi chake kichoruka kila jumatano hicho kapindi ndo kimeleta hayo yote
Ahsante sana dada yani to the point.
Dada unaakili kubwa sana ninachopendaga sana kwako niukweli wako juu ya mambo kongole kwa hilo
Ww Dada
interview imeenda sana joh...hongeren YUSTA+TIKI
Yaani nilikuulizia jana,,yuster yupo wapi?haya mambo mi naona aibu utafikilia ndo mimi.
Hata mm nahisi tuliwaza pamoja nanpenda sana yustar 😂❤❤
Yusta una upeo mkubwa sana. Umeongelea watu zaidi ya wanne wote haha hakuna hata mmoja uliemuongelea vibaya. Umeongea kwa bashaha kubwa.nakupenda
Huyu Yuster Ni mtu makini Sana.Nimetokea kumuamini mno.
Watu siku iz mnaniwahi eehh😅😅😅
Hata mimi wameniwahi mwenzangu
Hata mimi meniwahi sanaa
@@suraiyahhussein3608Tujipe pole
@@kikiswahiliTupeane pole😅
Unapenda udaku eeehhh !!!
Hi, Yusta Uko vizuri sana.Hata mimi hii sijaipenda huu ugomvi.Mdogo wangu Harmo achana na hii kitu na pia Shem Kajala achana na hii kitu Tulizeni akili zenu hii ipite km mapenzi yamekufa basi muwe marafiki tuu wa kweli.Kuna leo na kesho peace & Love.Mtake it easy.Hey mdogo Harmo take care Bro.U r something else now ur Big usiharbu.
Acha kuwongea SN muwandishi aha dada aonge
Dada nimekuelewa sana ila ulichokosea ni kushindwa kumshauri rafiki yako toka mwanzo kumuongelea vibaya mwenzake ulikaa kimya kipindi chote wanamdhalilisha ndilo kosa lako
Mbona kasema kwamba kajala nae kakosea kumsema harmo au hamjasikia
@@marrymazengo1315 Hatukatai kasema k alikosea lakn kama rafiki wa kweli alitakiwa kumshauri kajala na mwanae toka walipoanza tu kumsema harmo kwenye kipindi chao cha kwanza yasingetokea haya maana kadri walivozidi kumsema vibaya ilizidi kuchochea hasira naye ni binadam kuwa mwanaume haimaniishi haumii
Ongea ukweli ham hana mda kajalan ni mzee
Jameni wa tanzania, me am from burundi 🇧🇮, munisahidie munambie maana ya adha. Thx
Adha ni ghasia au vurugu
Au fujo
dada ang umesema ukwel kbx ,maan ata kama mmeachana haipasw kuachana mpaka nkataman nmwambie harmonize ayo anayofanya so vzr ,,,,nasukuru da yusta kwa hekima ulonayo ,,,,,,Mungu aitunze iyo hekima....
Kukupenda ndo kitu najua Yani napendga sana unavyoongea ukweli 👏👏
Na mm nampenda sanaaa kuliko hata ww kwanza ww mwanamke tuachie sisi wanaume ndiyo tumpende
@@AkiliNdefundugu wa tanga mbona una tamaa sana
@@shamzone388kweli ana tamaa hata mm namuona maneno yetu wanaume tukitamani nayajua
Nakupenda sana my Yusta
Lililo muuma harmonize kwenye kile kipindi chao kumuita chizi pia kila siku wanamuongelea kwanni wasiachanenae
Yustar nimekusikiliza yani umeongea vizuri sanaaa ❤❤❤❤
Pole Kwake 😊😊
Hongera dada ww ni mama ushauri mzuri sanaa ❤❤❤
Asante sana yustar tumejuwa ukweli leo 😮😮😮
Ni Kweli bado wanapendana, sis yuster Waite kaa nao ongea nao yaishe,
Yusta Mgaya nakupenda sana fanya juu chini warudiane maana wamependezana kajala na hormonise nakuaamini sana
Mimi piya napenda sana warudiyane dada afanye mambo Ili warudiyane jamani
Ata mm jamani naumia kama vile mwanangu kaachika. Nawapenda sana
Ndio wanapendana hawa.ku mukuta na mwengine sio tatizo kwakuwa KAJALA mwenyewe ana wengine,pili harmonize ni star anaezi akawa na wengine kwa hiyo jibu ni kusameyana tuh..kingine longo ilikuwa ranj na wala hakuna chama penzi hapo kwani mwanamke ana kubali kama mwenziwe siwakwanza mpaka ashindwe muacha..Fernand toka DRcongo
Hata hivyo wanawake wanatupiga Sana mizinga na marafiki zao wanatumia bajeti kubwa Sasa kwanini usilipize harmonize bado yuko sawa
Mapenzi Kwa mwanaume ni kama nguo unaeza ukainunua Kwa duka Kisha ukifka nyumbani ukaichukia na kununua nyingine
Wewe mkweli kabs, Lakini rafiki yako angevumilia yote maana wanaume ni hivo
Heri nisike leo acha nijaze bando kwa ajili yako yustar wangu😂😂
Kwani ukimpa kitu mti inampangia matumizi? Basi harmo alikuwa anamtaka anjera
Asante kwa hamo na kajala
Hakuna mwanaume rijali ambaye hana mchepuko ata kma umeoa kuchepuka kupo tu kuna vitu vinapunguaga kwenye ndoa
Kutazama zaidi kazi za Yustar Mgaya bofya link👇👇
youtube.com/@mapenzinamahusiano
Napenda kujiunga Mapenzi na Mahusiano
Madam Ustar umeolewa??? Mzuri Sana ❤
Yustar mgaya tulikumic sana tupeu ubuyu❤❤❤
Hata mimi
Je!!, HUYU DA YUSTA AMEOLEWA, MAANAKE NAMTAMANI SANAAA😂😂😂😂😂😂
Dogo punguza upwiru 😂😂
Dada wewe ni muungwana na hongera sana, ila ukiweza washauli warudiane kama ile ndoa ilikuwa ya ukweli.
Hongera sana dada upo vinzuri sana
Kumbe bado wanapenda eeeh hata mm naona hivyo kwa kweli maana hata mm nilipoachana na ex wangu nilikua badonampenda nilikua namfanyia sana visa 😂😂
😅😅
Ten years ago Ata pia mimi mpaka nika fake kunyuwa sumu 😂😂😂 LAKINI wapi 😂 Kaka anaroho ngumu 😂 sikuizi I don't care jina lake TU linanifanya kutapika 😂
Nani kakuliz Achasob
😮
Huyu Dada yupo sahihi, na ukimsikiliza vizur, Harmo alijisacrifice kwa kila kitu kwa Kajala na familia yake, unfortunately sio fate kuwa pamoja, na ofcause Kajala kuhis yupo above mwanaume, hakuna mapenz yasiyo na changamoto, wai wameyageuza kua business kwa interest za watu. So wache tu wawafaidishe watu na maadui, Harmo alishamaliza yote kwenye #vibaya
Km sijaakuangalia ww ktk UA-cam namuangalia nani tn. Enhhh tupe burudani Yustar
Dada imiss you unasemesha ukwer
Dada Fausta mzuri!
Huyu mwanamke inaonekana anaweza kuwa anazungumza ukweli 100%. Very clear!
Ni kweli nakubaliana na wewe. Hawa bado wanapendana
Hakuna mbona akiongea kajala hamim tuone kama kama atakuja kupata mwanaume kama hamo
❤❤❤❤❤❤❤❤
Uko na moyo wa huruma mungu akujalie sana
Nampendaga huyu dada ❤❤❤❤❤
Kwani kajala nae si alikuwa wakiibana kimya na harmo akiwa na jack
Safi umeongea point
Nauriza kajala2 yiko wapi?ampe na kajala2 njo ni amini kamupa kweri
Sasa nyie nanii kawaambia kuna mwanaume ana mwanamke mmoja?????😊😊
Kajala tapeli hatokuja PATA Tena mume kama hamo we ungeweza
Kajala hapo alibugi.Ukimchunguza kuku hutamla.
Umeongea vizuri... Hata mimi Naona Hao Watu WanaPendana..
Kwakweli Hawa wawili wanapendana Bado ushauri wangu wasikubali kuidhulimu mioyo yao kwa kuogopa watu,wanatakiwa kutii kiu zao.Wahenga walisema wagombanao ndio wapatanao.
Ndio bado wanapenda
Yaan wanapenda aswa tena one day watarudi ana
harmonaize anavuta sigala poli musichangae akatokeya mambo kama aya vumiliana harmonize bang zinasumbuwa
Bangi mbaya
Sawa hila yusta nakupenda❤
Dada unaongea vizuri sana Hongera pia ‘couple’ ya Harmonize na Kajara bado ni bora tutafurahi wakirudiana
Duh! Hatari sana
Kweli kabisa hawa bado wanapendana kabisa. Ila wahache kutoa siri zao hazarani. Na wewe mlogo wangu washauli wahache huu ujinga.
Yani huwezi amini namuamini sana Yustar akiongelea hili jambo kuliko hata angeongea kajala mwenyewe maana kajala au harmonize wanaweza kuficha mengine Kila mmoja akitetea upande wake.
Yusta kaongea vizuri ila alichoaribu kitu kimoja,unajua kajala na Paula walikua na kipindi kwa zamaradi mtetema wanamuongelea AMORNIZE na sio mara moja ni kila wakati ,YUSTA alikua aoni kumsema rafiki yake, aache kumsema AMORNIZE ,jamani AMORNIZE naye binadamu,sio MTUME useme katolewa nyongo,je kiatu chake kivae wewe je ungeweza??????????
😂😂😂
Yustar naomba unipende
Woow
Nakubali apo
Kajala nimtu mzina angevumilia hakuna mwanaume msafi
Mabaya ya harmo yanalingana na mema yake, Harmo anatakiwa akutane na mwanamke mpole, mcha Mungu,, asiye na matumizi, aumwanamketajiri, asiyena makuu na kutochunguza, harmo ana upendo wa muda mfupi na wa kimbunga, harmo hawezi kuwa mtulivu na mnyenyekevu wakudumu kwa mwanamke yeyote yule.
Yan we mdada watu wanazin araf unasema hazaran vitu ambavyo havimpendez mwenyez mungu me nikafikir ungewashaur wafunge ndoa kumbe rengo rako waenderee kumkosea mungu
Zarau sio kitu kidogo
I love you dadangu
Apo lazima akonde
Wa kwanza like zangu jamani
Hongera zako
Sija chelewa
Tupo wote hata mm sijachelew sana
@@BeatriceKalembwane kweli
❤❤❤❤❤
Mmechelewa nyoote ila mimi tu sijachelewa😁😁
aliyempata ssa hv harmonise uyo kajala hafui dafu ssa iweje et harmo awe anaendlea mpenda uyo kajala kwa uzee ule hata mm siwez kka.
tuko pa1 yusta the mama.