Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
HOTUBA YA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA 11 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA 19 MARCH 2018
Вставка
- Опубліковано 18 бер 2018
- HOTUBA YA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA 11 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA 19 MARCH 2018
Daaaaa wa Tanzania kwa maneno haya asielewa ni mpumbavu respect raisi wangu
natamani niwe mfanya biashara mkubwa dunian..GOD GONNA OPEN DOOR
am sure the president will provide the best direction in this country
hakika tuna Rais Tz,,, ipo cku watakuelewa.
Magufuli is full of public inteterest, his speech with TSPF shows light to the industrial prosperity let support him in his dream for our own advantage. God bless our nation and its people
Hakuna rais alie na akili pamoja na maono kama Magufuli
Taifa liko mikono salama
lavian wanjara Kabisa umenena na ninaunga mkono
Nakukubali mh rais hongera sana
Hata wazungu wasemeje sisi ni Magufuli tu,Rais anataka kuwathibitishia wananchi wake kwanini Tanzania ni tajiri mno,Ili tuache kuwa ombaomba na kusaini mikataba mibovu.
Good Job Mr. President Dr John Pombe Magufuli
hongera sana .MAGUFULI,
Tunakuomnbea sana endelea
hakika mungu akutangulie katika kuyajenga na unasikilza shida zetu
long live Mr.president, JPM,we are proud of you,this country is really in safe hands!!!!
Ewe mwenyezi MUNGU enderea kumuongoz kumrinda na kuimarisha afya yeke raisi wetu
Mungu akubariki, akulinde na akutunze Mhe. Rais wetu. Changamoto kwenye nchi yetu ni nyingi lakini Mungu yu pamoja nasi atatusaidia kufikia malengo maendeleo yetu kwa manufaa ya watanzania wote. Amina
Best president ever
I'm proud of you mr president
Komaa baba,tunakuamini sana
Nampongeza Mh. Rais katika hili.
Nmpongeza kwa hili aiseeee
Kama wanatakiwa wawekezaji kutoka nje kwanini hawaiti watanzania diaspora waje kusaidia kuleta maendeleo wala msifikiri kama hao mnawaita wanakuja kuchuma tu waondoke lakini diaspora wanachuma nje wanaleta kwao lakini hawatakiwi kwasababu maslahi ya vigogo hawana pacent lakini wakiwaleta wao wanapata pacent mkishtuka wanaondoka na ndio mfumo uliopo waite diaspora uone maendeleo
Kipenzi cha mengi
Baba ww ni jembeeee le2 la Tz % zote zako mzeèeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤
Alikua msomi anayeendana na mazingira na hali za watu pia ameongea kikemia kibiologia kifizikia geographia n.k.
Daaaaa!!
safi sana baba etu
Katika historia watu wanaoishi nje diaspora ndio watasaidia kuleta maendeleo kwasababu tayari wana elimu na uzoefu na vile vile wana uzalendo kwasababu wamefanya kazi Katika mfumo wa kimaendeleo lakini hao mnao waleta ni dili tu la vigogo ambao wana pacent zao wewe uko sawa lakini unao mafisadi huwezi kuwaona bila vyama vya upinzani ndio watangudua madudu ya watendaji wako
THIS IS THE BEST PRESIDENT WE EVER HAD
kwaheri makufuli
MUNGU amtunze