MTOTO ASIMULIA BABA YAKE AMBAYE NI MWENYEKITI WA MTAA ALIVYOUAWA KWA KUKATWA MAPANGA GEITA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 54

  • @barakapjuno9744
    @barakapjuno9744 5 днів тому +8

    Kwani umelazimishwa kufuatilia ayo tv,Hawa ndiyo ayo mungu awabariki sana kwa kutupatia taarifa kila leo safi sana❤❤❤❤❤

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 5 днів тому +6

    Ila wanatanzania ukipiga kelele zafumanizi utaona watu ila lamauji uoni mtu aiseeeeeeee

  • @EstherleonardMassay
    @EstherleonardMassay 5 днів тому +5

    Poleni sana ndugu zangu,mungu awatie nguvu,ombi langu tubadilike jamani,maswala ya kiofisi yafanyike ofisini kwa kuzingatia masaa ya kazi za serikali,baada ya hapo hakuna huduma tena,mpaka kesho yake,tutapunguza watoto wetu kuona matukio ya kinyama,tunajenga Taifa la mafia wa badae.

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 4 дні тому +3

    ila jaman watoto wanapiga kelele majiran hamtoki hata mmoja..hebu tujifunze katika hili inaumiza sana jmn

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 4 дні тому +4

    Watu hawatoki Hadi kupoe ila kwenye wali wa msibani kupika n wakwanza" inauma Sana inamana wangetoka watu hao wangekimbia tu

    • @givenessdavid3743
      @givenessdavid3743 4 дні тому

      Ndo Dunia yetu ilipofikia

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 4 дні тому

      Wangesikia Kuna fumaniz wangetok

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 3 дні тому

      Hapana jmn,jirani alifungua geti kutaka kutoka,alipigwa tochi kali,akaambiwa ole wake asogeè,na huenda hana silaha yoyote angefanyaje?

  • @goodluckkimbi3895
    @goodluckkimbi3895 4 дні тому +1

    Poleni sana ndugu wafiwa pia niwashauri tu kua tarifa ni lazima ziwekwe adharani kwani tutajuaje kuna hiki na kile kama tutakua tunaficha kwaiyo mnaosema ayo tv inatoa taarifa za kutisha kila siku mnakosea me zani kwenye mnaosema mnatishwa kuna wenye tabia hizi ni vema mkaacha ili msiendelee kuona taarifa za kutisha poleni wote mloguswa na hili.

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v 4 дні тому +2

    Pore sana mtoto MUNGU akutie nguvu❤

  • @loycenicolao7488
    @loycenicolao7488 5 днів тому +4

    Dunia hii, hata kama alikuwa na shida jamani mnamuua mwenzenu? Binadamu tumekuwa zaidi ya wanyama kwakweli. Mungu tusamehe

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 4 дні тому +3

    Past paper????
    Poleni sana geita Mungu yu pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 3 дні тому

    Mi nilijua ni usiku wa manane watu wanapiga makelele mnakosa kuja aiseeee hapo uchunguzi ufanyike simu ya marehemu ifanyiwe uchunguzi

  • @elivilavenanti7742
    @elivilavenanti7742 4 дні тому

    Daa uyu baba aliwahi nigongea muhur kwenye barua yangu jaman uwiii, polen wana mwatlole

  • @azizambise
    @azizambise 3 дні тому

    Huku Tanzania ukiingiza mwanaume au mwanamke ndani majirani wote watamuona na asubuhi ukiamka kila mtu atakuwa na story ila mwizi akivunja na kukuibia hakuna atayesikia na asubuhi ukiuliza kila mtu atadai hajui. Kweli sa moja mtu akatwe hd kuuliwa na ana majirani

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 4 дні тому

    Ndio kufa ni kufa ila kufa kwakukatwa na mapanga hapana kifo kibaya sana kifo chamaumivu kweli,ivi kwanini walimfanyiya ivo bin adam mwenzao.

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 4 дні тому

    This is so heartbreaking 🥹huyu mtoto sasa atafutiwe mwanasaikolojia 😢she need therapy

  • @ericasimon9631
    @ericasimon9631 4 дні тому

    Hiv muda wote huo marehem kaomba msaada sana lakin hakuna jiran

  • @konemelau9068
    @konemelau9068 4 дні тому

    Inaumiza sana😭, MUNGU akawe mfariji wenu wote

  • @annagesura8375
    @annagesura8375 4 дні тому

    watu hawa wanajiamini kiasi ganj jamani unaenda kumuulia mtu kwake

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 4 дні тому

    Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake😢😢😢😢

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 5 днів тому +1

    MUNGU atunusur jamani atujui siku walasahaaaa

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 4 дні тому +1

    Tanzania 🇹🇿 tumekuwa wanyama

  • @user-kh8pg6we4e
    @user-kh8pg6we4e 4 дні тому

    Pole sana Mungu awatie nguvu

  • @HainessTz
    @HainessTz 4 дні тому

    Ila ss binadamu MUNGU atusamehe bure sijui no kitu ngani kinatufanya tuwe wakatili kiasi iki hii ni dunia tu inapita chochote unachokifanya kumbuk kwamba tunapita

  • @papamongelwa-rb3ne
    @papamongelwa-rb3ne 4 дні тому

    Kusema kweli mchii ya Tanzanian imezindi kwa matukio ya mauwaji

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 4 дні тому

    Tanzania yangu

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa День тому +1

    😢😢😢😢😢

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 4 дні тому

    picha ndio tv????

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 5 днів тому

    Mungu wasaidie wanaGeita hali inatisha

  • @gidofond5119
    @gidofond5119 4 дні тому

    Itakuwa kuna kitu na hao watu wametumwa kumuua mwenyekiti.

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 4 дні тому

    Jamanii watu wanaroho ngumuu

  • @AtuganileAsubisye
    @AtuganileAsubisye 5 днів тому

    😢hii Dunia aisee

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 4 дні тому

    Acha watangazie watu wapate elimu au wewe ndio muhusika

  • @righitkileo
    @righitkileo 5 днів тому +3

    Umelazimishwa kuanqalia? Jifunqie wewe mwenyewe.pyuuu

    • @emmysfitnessandforex9403
      @emmysfitnessandforex9403 5 днів тому +1

      Ajifungie yeye asiangalie...unataka habari gani wakati huu ndo uhalisia wa maisha

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 4 дні тому

    Poleni sana ndugu. Halafu Sio Past paper ni carbon paper inayotumika kuandikia barua ili kubaki na copy.😊

  • @stephanothebig6940
    @stephanothebig6940 4 дні тому +1

    Mwaka mmoja uliopita Ayo TV na Global TV mlilipoti mauaji ya kutisha ya Mfanyakazi wa mgodi wa Geita ambapo nilimuona huyo mwenyekiti akielezea kuwa mauajia hayo yametokea katika mtaa wake. Leo Tena mauajia kama hayo yametokea katika mtaa huohuo. Geita Kuna Nini huko jamani?

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 4 дні тому

      Kumekuwa kama Alusha mungu awanusulu

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 3 дні тому

      Na mm naona nihame tu humu Geità sipawezi uchawi sasa ndo usiseme.

  • @maryumamapunda8910
    @maryumamapunda8910 5 днів тому +1

    Binadam tumekuwa wakatili sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 4 дні тому

    R.I.P poleni sana wafiwa

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 4 дні тому

    Sasa wacpotoa habari xa ukweli,yatajulikanaje matukio hayo ya kinyama? Au na wewe ni mmojawapo?

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 5 днів тому +1

    Mweeeee! Jamaniiii😢😢😢

  • @mwanas2
    @mwanas2 5 днів тому

    Dunia hatari yani sasa mwenyekiti mwingine ataekuja si atakatwa mapanga tena jmni😢

  • @elivilavenanti7742
    @elivilavenanti7742 4 дні тому

    Daa uyu baba aliwahi nigongea muhur kwenye barua yangu jaman uwiii, polen wana mwatlole

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 4 дні тому

    Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake😢😢😢😢