NALISEMA NITAYAKIRI MAASI YANGU KWA BWANA - NYIMBO ZA KWARESMA
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Tunakukaribisha ndugu mtazamaji katika kipindi hiki cha kwaresma uweze kutafakari nyimbo hizi maalum kabisa kwa ajili ya kipindi hiki.
Nyimbo zimerekodiwa na kikundi cha TUMAINI CATHOLIC SINGERS kutoka jijini Dar es Salaam.
Wpigie simu namba 0755 816669/0768 756077 Kupata nakala hii.
Maneno ya wimbo
Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana nawe Bwana ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu. x 2
1. Heri aliye samehewa dhambi nakusitiriwa makosa heri bwana asiye muhesabia upotovu ambaye rohoni mwake hamna hila.
2. Ndiwe sitara yangu utanihifadhi na mateso utanizungusha, nyimbo za wokovu.
3. Nalikujulisha dhambi yangu wala sikuficha upotovu wangu.
Bwana moyo wangu
Baba uturehemu
Huu wimbo unanitafakarisha sana kipindi hiki cha kwaresma.Mbarikiwe sana
Wimbo mzuri sana, nabarikiwa sana kila nikiusikiliza
Amina. Ubarikiwe sana
@@kftstjosephcathedral amina
@@kftstjosephcathedral🥰
@@kftstjosephcathedral wimbomzuli
Classic song
Wimbo mzuri sana🎉
Ni wimbo ambao unakufanya ujitafiti sana ndani ya moyo wako Kwa ajili ya Mungu.
Benedicta
Yesu wangu nakupenda sana
Nakupenda sana umeniokoa dhambini
wimbo mzuri sana
Mtunzi wa wimbo huu ubarikiwe sana wimbo unatafakarisha kwarezima
Huu wimbo unanibariki sana
Kazi nzuri sana
MUNGU awapandishe viwango vya juu 🙏🙏❤❤
Beautiful song.
naupenda sana ❤❤❤❤
Mzuri sana naupenda sana,🙏🙏
Ubarikiwe Sana mtunzi wa wimbo huu. Naupenda Sana🙏
Naupeñda Sana wimbo huu,unanibariki
Dope RC song
Amina
Ubarikiwe sana mtunzi wa huu wimbo
Ee bwana umrehemu mdogo angu George kilanga Maganya na uwalinde na kuwabariki watoto wake Amina
Best song ever
Naomba lyrics wimbo huu
Atukuzwe Mungu milele
Naupend sana huu mwimb ,mbarikiw mlioimb mwimb huu
Eee mwenyezi mungu nakushukuru kwa yote ulonitendea 🙏🏼🙏🏼🙏🏼.
Huu wimbo huwa unanifariji sana,na unanipa matumaini ya kuomba toba
Tumeimba vizuri sana, KFT itabaki kuwa juu
Amina
Can you pls sent me lyrics
Wimbo umenibariki sana
Aiseee bwana ni mwemakila wakati
Kazi nzuri sana, Mungu awabariki waimbaji.
+Victoria William Asante
+Victoria William Amina
@@kftstjosephcathedral Huu wimbo unanipeleka kwenye toba ya kina,Mungu azidi kumtumia mtunzi .
Wimbo mzuri sana kila napousikiliza nakumbuka toba
Naupenda sana huu wimbo
Uimbaji na Ujumbe mzuri. Asanteni. Hongera Kwaya ya Familia Takatifu St. Joseph Cathedral DSM
Nko vzuri wimbo unavuta hisia
Mko vizuri
Wimbo umenibaliki
Mpo vxur kweli
🔥
Woow🥰
Mbarikiwe Sana Mt,Joseph kwa uinjilishaji
🙏
Naupenda❤️🙏
Wwwwwww22
ye
Wimbo mzuri sana
Asante