Watu walitabiri mapema kuwa huyu ni tapeli atawaibia kama alivyoibia watu kwenye uwekwzaji wa vannila shinyanga zanzibar njombe arusha zanzibar lakini watu hawakusikia. Ngoja mukome
Watanzania wengi bado wanaamini maneno badala ya kufanya utafiti juu ya maneno yasemwayo kujua uhalisia wake ili kubaini ukweli ndiyo sababu manabii na mitume wa uongo kila siku wanazaliwa na wanakokota wengi
Hivi kwa nini watu hukimbilia vitu halafu baadaye wanaanza kuitupia mpira serikali? Kwa nini kabla ya kujiingiza kwenye hayo mambo wasitafute ukweli kuhusu faida na hasara na uhalali wa jambo lenyewe?
Yani uweke 1m afu upewe laki tatu kila mwezi....aisee acha mka"angwe hamtaki kifikirisha akili.....unaacha kupeleka hela UTT unapeleka kwa Saimon mkondia..achaa mkaangwe kama kuku wa kuchoma
Kwa uzoefu Wangu hakuna mpumbavu ambae anaweza fugia Mtu Nguruwe hawa hybrid ni expensive wanakula vyakula vizuri na vya Bei Wewe upo home tuu Alafu tugawane🤣🤣🤣🤣🗝️🗝️
@@walinaziontime7300 Ndugu hii migodi ya dhahabu unayoona hapa wazungu. Ni fedha ya watu wengi huko ulaya na Marekani. Amelala mitaji wa kukupa alitoa wapi?. Ukweli ni kwamba, dhana ya kuibua shughuli za kiuchumi na kuzipatia mitaji bado ni somo gumu sana. Tz inawezekana tunajua ila WIVU NI UTAMADUNI WETU sasa. Bible ina mfano wa talanta. Wtz kama afukii talanta anaziiba. Nao hao wenye fedha na mamlaka yao wanatupa jongoo na mti wake. Utajiri wa mtu au Taifa haupo kama kuna mtu anageuka na kudhulumu au kuiba kwa kisingizio cha kua yeye Yuko jikoni. Wengine wako sebuleni. Na huku akijua walioko sebuleni wana share yao ya haki. Ni kwa mtindo pesa ya umma inaliwa, ni kwa mtindo huo tulihujumu viwanda leo tunasingizia utandawaji. Hahahah Kwa nini kuiba Kesho ya kizazi chako. Tuwe waaminifu kwa kutimiza makubaliano.
Jamani huyu bwana sijui mnaendeleaje kumuamini? Mkawaulize wenzenu wa Nkombe livyowafukarisha na Vanilla. Arusha Makonda alisaidia yaani ni shida kubwa
Huyu ndiye aliyekuwa anatangaza vanilla? Ujanja ujanja mwingi sana muulize prof kapuya atakuambia alichofanyiwa huko njombe lwenye kijiji cha vanilla. Watu wanapigwa sana
Nimesikiliza vizuri sana Ila huyo jamaa meneja wa mawasiliano yuko vizuri kujueleza ila huyo mwandishi ni Kama hujui anachokifanya anaropoka tu Mara media house Mara Chombo cha habari ndo haws unakuta watu wanashindwa kujizuia wanawachapa..umeshaelezwa namba nzuri ya kubalance story na ni sahihi kbs sasa unaforce nini hapo yani ilitakuwa wawepo hapo Kama unavyoelezwa full stop.sasa unavyosema siyo jukumu Lako je ulienda kufany nini kwenye ofisi za watu?je Kama umepewa taarifa za uongi umethibitishaje sasa hapo huyo mwandishi naweza kusema ni unproffesional 😂 anaongozwa na hisia na anaonyesha anaweza kuharibu zaidi ajitizame…yani angepewa mtu mwingine ahoji na akaambiwa hivyo watu wawepo ingekuwa bonge moja la headline maana ingethibitika bila hata kuomba msaada kokote..mpaka hapo ni 1:0😂
Ndugu watanzania ! Kabla hujawekeza sehemu yoyote angalia uzalishaji wa biashara hiyo .Kuanzia soko,na uzalishaji uliopo.Fanyq utafiti wa Biashara nzima uelewe bidhaa inayozalishwa na soko lake kisha uje uhusianishe na ahadi unazopewa ! Utafundua utapeli mwingi au ni lugha ya kukulaghai uwekeze kwenye kitu ambacho hakipo .
Tatizo kubwa media na wasanii wetu kazi yao kubwa ni kupromot vitu vya kulostisha watu tuu.. yani matapeli, makalio ndio utakuwa yanapewa airtime. Ni tatizo
@@malkiarosemuhando3310 Amri moja ya Mungu ni kutoua mtu mwenzako, Ukraine, DRC, Sudani, Mashariki ya Kati, Haiti, Ethiopia. Huo upande wa sheria Amri za Mungu. Je upande wa sheria?. Yesu unajisi si kula na kujisadia, unajisi ni kile kinachotoka ndani ya Mtu. Mfano wizi, husuda, kusengenya, kuua, kuzini, fitina, uchonganishi, wizi wa kutumia vipimo, dhuluma. Haya ni Nguruwe wa wana wa Israel wa enzi za Musa.
@@GodfreyOswardHayo mataifa mengine wanaofanya huo mfumo ni watu professional wataalam wa kilimo wamesajiliwa na wanajulikana. Sasa uliza huyo Mr Manguruwe kama kasajiliwa. Na kilimo gani malipo kila wiki ehhhee
@@anny19988 Haliye zuia asisajiliwe ni nani, Watu si wanavaa Suti kila leo kwenda kwenye ofisi za umma. Kila Jambo hata liwe baya Lina cha kujifunza. Tz inaonekana kuna fedha nyingi Raia hawana mwongozo Mzuri wa kuwekeza. Ukipata raia mil 2 tu. Wakashawishiwa kama huyo Maguruwe na Vanilla village anavyofanya. Leo hii tungefufua viwanda vingi.mfano General tyre na kuanzisha vipya. Bahati mbaya hao wataalamu unaowasema. Ulishajitoa ufahamu.
Nyie mnaopeleka pesa zenu kwa ajili ya kutaka kupata haraka haraka bila kufikiri ndio mnaotengeneza matapeli ktk jamii. Mmesikia tangazo lenye maneno matamu kuhusu investing kwenye kampuni flani basi watu wanakurupuka. Ibilisi sio mjinga. Atakuja na maneno mazuri ya kuvutia na kweli watu wakavutika. Waswahili walisema " wajinga ndio waliwao"
Huyo Afisa ana akili sana huwezi kwenda ofisini kwa mtu eti kisa mwandishi ukademand taarifa kama wewe mahakama! ndugu waandishi rudini shule huyo jamaa kawapiga knock out na amewafundisha namna ya kupata 2 sided story
Maoni yenu ni mazuri lkn hakuna aliyetaka vya bure waliwekeza msiwaone watu wajinga kwani kalynda hawakuwa na vibali vya serikali? Tuwe na lugha za staha, shauri kwa wakati
Hiki ni kikundi Cha kitapeli ambacho kipo ndani ya nchi yetu TZ namlaka zenye dhamana hasa kilimo na mifugo ndiko wanakopitia Kwa sababu ya udhaifu waliouona. Na huu niuongozi Bata vitoto vyake vitajuaga vyenyewe.
Bora hata mr manguruwe alikuwa anachua hela hii biashara inachangamoto nyingi sana mfano hio ml moja laki 4 mi nanunua chakula cha mwezi na wiki mbili na mnyama hapo abadiriki na ili mnyama akue mpaka azae ni mwaka na miezi miwili sasa hapo ukichukua laki tatu utapata nini wewe kama mwekezaji?jamani tunaheshimu tu utu lakini ipo siku mr manguruwe atakimbia hii nchi
@@bonifassimon7909 Nguruwe ndani ya miezi sita chakula chake kilo 224, Uzito 65_70kg?. Sio kweli kupoteza fedha. Sema tunayo changamoto ya mfumo njaa. Mtz usimpe mgongo. Tumefumdishana kuchakura kama kuku. Mfumo wizi, wizi tu.
@@GodfreyOsward mi naomba niandikie huo Mchanganyiko wa chakula unachotumia ili nije nichinje nguruwe wa miezi 6 kilo 65 kwa 70 huu mwaka wa saba nafuga sijawahi pata uzito huu kwa kipindi cha miezi sita na nimeshaweka karibia haina zote za mbegu
@@bonifassimon7909 kwanza Nguruwe kwa siku uzito wa kuongezeka ni kiasi gani?. 1 breed, chakula, afya. Mfugaji lazima vitu vitatu viwe sawa. Nguruwe anacha ziwa miezi mingapi?, mbegu/breed?, afya, lishe?, lishe. Protein, energy, vakula vyenye nyuzi, Minerals na vitamins. Vyakula visafi au makombo ya jalala?.
@@GodfreyOswardendelea na ufugaji wa Instagram 😃😃 ila siku ukija Field ndio utajua ugumu wa kufuga nguruwe. Nina nguruwe Zaid ya hamsini ninajua ninachokisema, huwezi ukalisha nguruwe hizo kilo ulizosema labda kama ni bata au kuku.
Watu walitabiri mapema kuwa huyu ni tapeli atawaibia kama alivyoibia watu kwenye uwekwzaji wa vannila shinyanga zanzibar njombe arusha zanzibar lakini watu hawakusikia. Ngoja mukome
Ila Wabongo bana yule jamaa wa Mangurue hamuoni kwa maneno yake tu dish limeyumba
Umeona eee!!😂😂😂
Tapeli 😂😂
😂🤣😂🎉🎉🎉💯
😂😂
huwezi kula nguruwe ukawa salama 😁😁😁😁 ,ukila nguruwe umekula shetani ,yesu si,aliamuru yale mapepo yaingie kwa nguruwe. eti biashara yenye faida 😁😁😁😁😁
😂😂😂😂
Tayariiiíii, vanilla village 😅
😂😂😂😂😂😂
Tayari 😂😂
MAKONDA ANGEKUWEPO DAR,LINGESHAISHA
Watanzania wengi bado wanaamini maneno badala ya kufanya utafiti juu ya maneno yasemwayo kujua uhalisia wake ili kubaini ukweli ndiyo sababu manabii na mitume wa uongo kila siku wanazaliwa na wanakokota wengi
Hivi kwa nini watu hukimbilia vitu halafu baadaye wanaanza kuitupia mpira serikali?
Kwa nini kabla ya kujiingiza kwenye hayo mambo wasitafute ukweli kuhusu faida na hasara na uhalali wa jambo lenyewe?
Siku hizo wasomi ndio wanakuwa matapeli kwa sababu ndiyo wanajua kucheza na mifumo ya nchi akamatwe awekwe ndani.
Dodoma nguluwe wapo kibao shambani kwake kama mliandikishana sii muende mkagawane wale nguluwe wa dodoma wapo kibao
Mtatapeliwa sana! Hamjui kama kuna UTT AMIS mkome!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mlimwon kwa makonda na utapeli WA vanilla Leo mmejikuta kwa nguruwe mwache awanyooshee
Huyo Mr Manguruwe alichokifanya Arusha hebu mrejee Mikutano ya Makonda kuna moja kawekwa kati anadaiwa pia kutapeli. Hvo achunguzwe tu mtaona
Huyu bwana manguruwe wa Piginvest tapeli sana, alianza na Vanilla investment, ajaha na Pig invest, jana amebadilisha jampun inaitwa Dorctor manguruwe pig Plc, Serikari inamuona tu, Wapo Radio wanatangaza tu,
Ndio mkome kukimbilia mambo hovyo hovyo, si ufuge wenyewe hayo Madudu,😅 mkomee😂
Mbona media ndiyo umeumbuka mana jamaa kawaambia lete watu hamtaki.
Nyie ndiyo mnazingua.
Huyu jamaa tapeli, aliacha,biashara ya vanilla baada ya kutapeli watu kibao😂
Kwanini mnapenda mserereko?
Kwani mlishindwa kufuga nguruwe zenu wenyewe hadi mpeleke Kwa Mkondia?
Tuliwaambia watu walilia kweny Vannila na huyo jamaa mkabishaa😊😅😅
Yani uweke 1m afu upewe laki tatu kila mwezi....aisee acha mka"angwe hamtaki kifikirisha akili.....unaacha kupeleka hela UTT unapeleka kwa Saimon mkondia..achaa mkaangwe kama kuku wa kuchoma
Hawa waliotapeliwa inabidi wachapwe viboko hadharani maana hawasikii kila siku mtu huyo huyo anawatapeli lakini hamsikii
Huyo jama aliwadanganya arusha wapande vanilla na akawapiga😊
Kwa uzoefu Wangu hakuna mpumbavu ambae anaweza fugia Mtu Nguruwe hawa hybrid ni expensive wanakula vyakula vizuri na vya Bei Wewe upo home tuu Alafu tugawane🤣🤣🤣🤣🗝️🗝️
@@walinaziontime7300 Ndugu hii migodi ya dhahabu unayoona hapa wazungu. Ni fedha ya watu wengi huko ulaya na Marekani. Amelala mitaji wa kukupa alitoa wapi?. Ukweli ni kwamba, dhana ya kuibua shughuli za kiuchumi na kuzipatia mitaji bado ni somo gumu sana. Tz inawezekana tunajua ila WIVU NI UTAMADUNI WETU sasa. Bible ina mfano wa talanta. Wtz kama afukii talanta anaziiba. Nao hao wenye fedha na mamlaka yao wanatupa jongoo na mti wake. Utajiri wa mtu au Taifa haupo kama kuna mtu anageuka na kudhulumu au kuiba kwa kisingizio cha kua yeye Yuko jikoni. Wengine wako sebuleni. Na huku akijua walioko sebuleni wana share yao ya haki. Ni kwa mtindo pesa ya umma inaliwa, ni kwa mtindo huo tulihujumu viwanda leo tunasingizia utandawaji. Hahahah Kwa nini kuiba Kesho ya kizazi chako. Tuwe waaminifu kwa kutimiza makubaliano.
Jamani huyu bwana sijui mnaendeleaje kumuamini? Mkawaulize wenzenu wa Nkombe livyowafukarisha na Vanilla. Arusha Makonda alisaidia yaani ni shida kubwa
Unaiomba serikali baada ya kutapeliwa?kabla ya kutoa hiyo milioni moja je uliishirikisha serikali?
Mzeee wa zamahoro😃😃😃😂😂😂Mme wa @shishi baby!!! Ila si @dotto Magari kawekeza bilioni mbili apa Au😀😀😀😀😀😀
Eehhh.......vanilla Njombe ! na sasa Nguruwe ! kweli 1+2=12
NAHISI MWAMBA UNATUMIKA KUHARIBU BIASHARA YA JAMAA.
NI MPANGO KAMDO HUO. KUSHINDWA VANILA HAIMAANISHI HAWEZ FANIKIWA JAMBO JINGINE.
MUACHE WIVU MN HUU MRADI UNAONESHA UMESHAPANDIKIZWA WTU KUHUJUMU ILI UFE.
Hii nchi ni tamu bana❤ TANZANIA.
@@MagrethMallya-we8ui Hii nchi sio Tamu hata kidogo. Nchi ni shubiri kwa binadamu anayefikiria vizuri.
Ni kweli, wajinga ndo waliwao....
Mr kuku kawaliza huyu nae kawaliza bongo kuwatajiri ni very simple
aha Mpelekeni kwa Makonda tena
Sasa baba Simu atapokea ajé wakati apatikani 😁😁😁😁🇲🇿🇹🇿
Huyu ndiye aliyekuwa anatangaza vanilla? Ujanja ujanja mwingi sana muulize prof kapuya atakuambia alichofanyiwa huko njombe lwenye kijiji cha vanilla. Watu wanapigwa sana
Nimesikiliza vizuri sana Ila huyo jamaa meneja wa mawasiliano yuko vizuri kujueleza ila huyo mwandishi ni Kama hujui anachokifanya anaropoka tu Mara media house Mara Chombo cha habari ndo haws unakuta watu wanashindwa kujizuia wanawachapa..umeshaelezwa namba nzuri ya kubalance story na ni sahihi kbs sasa unaforce nini hapo yani ilitakuwa wawepo hapo Kama unavyoelezwa full stop.sasa unavyosema siyo jukumu Lako je ulienda kufany nini kwenye ofisi za watu?je Kama umepewa taarifa za uongi umethibitishaje sasa hapo huyo mwandishi naweza kusema ni unproffesional 😂 anaongozwa na hisia na anaonyesha anaweza kuharibu zaidi ajitizame…yani angepewa mtu mwingine ahoji na akaambiwa hivyo watu wawepo ingekuwa bonge moja la headline maana ingethibitika bila hata kuomba msaada kokote..mpaka hapo ni 1:0😂
Alisema Mr Mwanya ana Nguruwe wake pale Mwenye Thamani ya 700M 😂😂😂
Huyu jamaa hadai bali ni pandikizi lenye wivu
Uliona wapi Nguruwe Moja izalishe mil 30 kwa mwaka?😂😂😂 .Hapo ni Akilimali Vs Nguvumali
Watanzania bwana
🤣🤣🤣🤣🤣mwandishe walete walalamikaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hiyo kali
WAPUMBAVU TU. ACHA WAUMIZWE. WAJINGA KABSAA
ujinga wetu wa tz tunaminiana mapema sana
Ndugu watanzania ! Kabla hujawekeza sehemu yoyote angalia uzalishaji wa biashara hiyo .Kuanzia soko,na uzalishaji uliopo.Fanyq utafiti wa Biashara nzima uelewe bidhaa inayozalishwa na soko lake kisha uje uhusianishe na ahadi unazopewa ! Utafundua utapeli mwingi au ni lugha ya kukulaghai uwekeze kwenye kitu ambacho hakipo .
Tatizo kubwa media na wasanii wetu kazi yao kubwa ni kupromot vitu vya kulostisha watu tuu.. yani matapeli, makalio ndio utakuwa yanapewa airtime. Ni tatizo
Du huyu jamaa alikuwa anafuga ng'ombe kijijini zamani sana nilikuwa mdogo sana, na alikuwa na ng'ombe wengi sana kumbe kaibukia huku tena.
Mungu amekataza kula Nguruwe hamsikii haya sasa!
@@malkiarosemuhando3310 Amri moja ya Mungu ni kutoua mtu mwenzako, Ukraine, DRC, Sudani, Mashariki ya Kati, Haiti, Ethiopia. Huo upande wa sheria Amri za Mungu. Je upande wa sheria?. Yesu unajisi si kula na kujisadia, unajisi ni kile kinachotoka ndani ya Mtu. Mfano wizi, husuda, kusengenya, kuua, kuzini, fitina, uchonganishi, wizi wa kutumia vipimo, dhuluma. Haya ni Nguruwe wa wana wa Israel wa enzi za Musa.
Mmekatazwa nyie lakini sisi hatujakatazwa
Maisha co raisi hivyo kama utaki kujishughulisha peleka pesa UTT ,bonding au share
Una akili nyingi kijana UTT AMIS ndo mpango mzima, na wajinga ndo waliwao😂😂😂😂😂
@@ManswetKimarioTatizo uaminifu. Mataifa mengine wanatumia huo mfumo wa uwekezaji. Rejea Mbunge Kishimba.
Yaani UTT ipo halafu unapeleka hela pasipoeleweka. Basi nunua hata hisa au bonds . Sema shida ni elimu watu wengi hawana.
@@GodfreyOswardHayo mataifa mengine wanaofanya huo mfumo ni watu professional wataalam wa kilimo wamesajiliwa na wanajulikana. Sasa uliza huyo Mr Manguruwe kama kasajiliwa. Na kilimo gani malipo kila wiki ehhhee
@@anny19988 Haliye zuia asisajiliwe ni nani, Watu si wanavaa Suti kila leo kwenda kwenye ofisi za umma. Kila Jambo hata liwe baya Lina cha kujifunza. Tz inaonekana kuna fedha nyingi Raia hawana mwongozo Mzuri wa kuwekeza. Ukipata raia mil 2 tu. Wakashawishiwa kama huyo Maguruwe na Vanilla village anavyofanya. Leo hii tungefufua viwanda vingi.mfano General tyre na kuanzisha vipya. Bahati mbaya hao wataalamu unaowasema. Ulishajitoa ufahamu.
Nyie mnaopeleka pesa zenu kwa ajili ya kutaka kupata haraka haraka bila kufikiri ndio mnaotengeneza matapeli ktk jamii. Mmesikia tangazo lenye maneno matamu kuhusu investing kwenye kampuni flani basi watu wanakurupuka. Ibilisi sio mjinga. Atakuja na maneno mazuri ya kuvutia na kweli watu wakavutika. Waswahili walisema " wajinga ndio waliwao"
huyu ni mwizi Yaani ufuge nguruwe uwe salama ,😁😁😁😁 hii ni biashara ya kishetani kwahiyo inaendeshwa kishetani 😁😁😁😁😁 poleni watu wa nguruwe 😁😁😁😁😁
FANYENI KAZI ACHENI KUPENDA VYA KUNYONGWA WATU WAZIMA MTALALAMIKA MPAKA LINI.
Huyo Afisa ana akili sana huwezi kwenda ofisini kwa mtu eti kisa mwandishi ukademand taarifa kama wewe mahakama! ndugu waandishi rudini shule huyo jamaa kawapiga knock out na amewafundisha namna ya kupata 2 sided story
Afisa uhusiano yuko vizuri sana,,,ila mwandishi analazomisha mambo😂
Kesi ya madai hiyo
Utapeli umekithiri kwa kweli
Hilo jamaa ni litapeli halifai kwenye jamii.
Maaninaaaaaaa.nyie hamna akili hata moja.faida gani upata kiuharaka kiivo
Boom Daily, ni anauza Maziwa au?
Kuwekeza mngeweka kwenye mgodi
Serikali imeshindwa kuwalinda wakulima wake dhidi ya mtu mmoja?
Kwani kunamaandishi ya kuwekeza mkataba huo
Mnataka pesa za bure😂😂
Acha mliwe 😂😂😂
Mwanaume mzima kabisa unashindwa kuanzisha mradi wa kwako binafsi.
Jamani Mahali pa kutolea haki si panajulikana nendeni Mahakamani
Mmmmh hatarii
Hapo mmeshapigwa kajipangeni kivingine
kama huna akili acha wenye akili wakufundishe akili
Yan unatoa pesa unaachiwa makalatasi 😂😂
Maoni yenu ni mazuri lkn hakuna aliyetaka vya bure waliwekeza msiwaone watu wajinga kwani kalynda hawakuwa na vibali vya serikali? Tuwe na lugha za staha, shauri kwa wakati
Huyu NI.MHAYA😂😂😂
Akili zimerudi sasa baada ya kupigwa
Huyu bwana achunguzwe hayuko peke yake kuna kundi kubwa la matapeli wako nyuma yake
Hiki ni kikundi Cha kitapeli ambacho kipo ndani ya nchi yetu TZ namlaka zenye dhamana hasa kilimo na mifugo ndiko wanakopitia Kwa sababu ya udhaifu waliouona. Na huu niuongozi Bata vitoto vyake vitajuaga vyenyewe.
Tatizo sheria zipo ila ni za bure tu hazifanyi kazi wanawaza rushwa tu
Hao ni matapeli tu serikali iingilie kati
Nguluwe alipewa msemajiwa vitaro bulundi
Kila kitu kipe muda
Ii ni vgm iliyochangamka
Uvivu wa akili. Tamaa ya kupata utajili kwa njia rahisi. Ushapokea malipo ya awamu tatu. Hapo ni kesi ya madai
Bora hata mr manguruwe alikuwa anachua hela hii biashara inachangamoto nyingi sana mfano hio ml moja laki 4 mi nanunua chakula cha mwezi na wiki mbili na mnyama hapo abadiriki na ili mnyama akue mpaka azae ni mwaka na miezi miwili sasa hapo ukichukua laki tatu utapata nini wewe kama mwekezaji?jamani tunaheshimu tu utu lakini ipo siku mr manguruwe atakimbia hii nchi
@@bonifassimon7909 Nguruwe ndani ya miezi sita chakula chake kilo 224, Uzito 65_70kg?. Sio kweli kupoteza fedha. Sema tunayo changamoto ya mfumo njaa. Mtz usimpe mgongo. Tumefumdishana kuchakura kama kuku. Mfumo wizi, wizi tu.
@@GodfreyOsward mi naomba niandikie huo Mchanganyiko wa chakula unachotumia ili nije nichinje nguruwe wa miezi 6 kilo 65 kwa 70 huu mwaka wa saba nafuga sijawahi pata uzito huu kwa kipindi cha miezi sita na nimeshaweka karibia haina zote za mbegu
@@bonifassimon7909 kwanza Nguruwe kwa siku uzito wa kuongezeka ni kiasi gani?. 1 breed, chakula, afya. Mfugaji lazima vitu vitatu viwe sawa. Nguruwe anacha ziwa miezi mingapi?, mbegu/breed?, afya, lishe?, lishe. Protein, energy, vakula vyenye nyuzi, Minerals na vitamins. Vyakula visafi au makombo ya jalala?.
@@GodfreyOswardendelea na ufugaji wa Instagram 😃😃 ila siku ukija Field ndio utajua ugumu wa kufuga nguruwe. Nina nguruwe Zaid ya hamsini ninajua ninachokisema, huwezi ukalisha nguruwe hizo kilo ulizosema labda kama ni bata au kuku.
Kama muna mikataba kamaten hizo dudu muuze mpate hela yenu
Tanzania kuna wapumbavu!!! Aiseee
Mnooo hawajawahi jifunza walipigwa biashara za mitandaoni mara deci mara mr kuku wacha waibiwe tu
@@fahadfaraj6474 Alafu bila aibu anakaa kwenye media eti tusaidiwe tunadhurumiwa. Heee
@@emanuelmbondo4598 wapuuzi mnoo na hela za haraka
Mara Mr kuku
Hapo mmeliwa
Waachie Ujinga,, Waende Dodoma wagawane mali na yeye kumshughulikia ... KULIALIA MITANDAONI Wakati jamaa yupo
Dudubaya aliwaambia
Nilijua2 haya yatakuja
mataperi peleka mahakamani
bado ng'ombe awamu hii
Acha upumbavu ushatapeliwa wewe
KWANI MMESAHAU KUHUSU KULIMA VANILLA....??
ALIWAPIGA WATU KWENYE VANILLA.
BONGO TAMU SANA