Naona mambo n moto cris anatoa siri Mimi apa mkenya kutoka Nairobi je nimechelewa lakn nimefika mnipe like atakama ni 10 mi nanza kuwapa maua🎉🎉🎉pia nawapenda nyote wasikilizaji wa Edina kama Mimi na wa❤❤❤❤
Edna ni uninhabited ama ni roho nzuri?, namuombea Edna Mungu amsaidiye kwa moyo wake mwema, na ampe tuu Edna uzazi na yéyé tuu amzalie Roma n’a Roma abari tu na Edna na Amina. Naomba like zébu Mimi niko mare Kanu👍👍💪🏾
jamani wenzangu na mimi muko saudia je munakuwa na mudi yakazi bila roma na edna na michepuko kusema kweli mimi na enjoy sana iyi simulizi huwa sinaga mawazo nikiwa na iyi simulizi thank u mutunzi na musimuliyaji God bless 🇧🇮 na enjoy niki saudia
@@MwanatumuJumaa-rj4fgkumbe tuko wengi tulio na stress za nyanya wa kiarabu mungu atustiri Kwan akipaliwa tu na maji family nzima ikija juu shufi lashi heki 😊😊😊ithi sababu mungu atupe uvumilivu inshallah
Huyo Athena hawezi kuingilia mapambano ya Roma na Yan mbuwen maana yan mbuwen amekaidi maagizo ya Athena sasa na huyo Athena asijifanye muelewa lazima aangushwe na mwamba Roma Ramon😂😂😂😂
Mm siezi kumpa maua mama Roma naona tu ni mnafiki, hiv angekua ni yy anayopitia Edna angevumilia, acha nife nikiwa single siwezi vumilia huu upuuzi na hata mtoto wangu sitakubali amumize mtoto wa mtu😢😢
Pia yeye hapendo mbali mtoto wake ndo anawachaganya kama unakumbuka mama roma ashawai mwambia roma aachane na michepuko but roma ndo anazidi kuongeza ,,,tuseme mama roma hana baya mbali mtoto wake ndo malayq
Naitwa Haslan Karekezi. nimzaliwa waburundi baba angu Akiwa ni mnya Rwanda namimi Nawafatilia Nikita RWANDA KIGALI Napenda Sana Tena Sana Kazizenu Mbarikiwe
❤❤🇹🇿Jamani sijuw nimekua wangap ila upendo umepoa, jaman yan buwen mbona km zombi😂, hawa madem hawajierew, atahivo roma kanishinda tabia sikwakosa eshima uko familia tutakiwa tufamiane haya me niko mwanza kitangili karbuni ote ukiwa mwanza nicheki kupita hapahapa nawapenda❤💯🏃
Okay asante kaka Lucas kwa mara nyingine tena tunashukuru xn kwa simulizi tamu.. nani anaamini Buwen atafanikiwa kwa mipango yake kwa wapenzi wa Roma Mimi nakataa hatafanikiwa kwa lolote
Wale tunao wahi harafu tunakuwa WA mwisho kumaliza kuskiliza like pamoja nami❤❤
Tupo
Tupo wengi😂😂 mm ndio namalizia saa hii
@@Kellyperry947 hata mm😅😅
Aaw1
Naona mambo n moto cris anatoa siri Mimi apa mkenya kutoka Nairobi je nimechelewa lakn nimefika mnipe like atakama ni 10 mi nanza kuwapa maua🎉🎉🎉pia nawapenda nyote wasikilizaji wa Edina kama Mimi na wa❤❤❤❤
Edna ni uninhabited ama ni roho nzuri?, namuombea Edna Mungu amsaidiye kwa moyo wake mwema, na ampe tuu Edna uzazi na yéyé tuu amzalie Roma n’a Roma abari tu na Edna na Amina. Naomba like zébu Mimi niko mare Kanu👍👍💪🏾
Wakwanzaa jmn mbn sipati like za kutosha wadau
Je wwe wawapa wenzio hizo likes
Jaman naomben like hat moja2 nimewah kdog
Jamn mwamba Roma hiyo kazi n kubwa sana utaweza jamn wapenz wa Edna tumuombe mwamba Roma afanikiwe ju ni 🔥🔥
Kama kuna simuliz inayo nparaha nihii naisikiza nikiwa Saudi Arabia shukuran kwako ww Kaka Lukas 🎉🎉🎉❤❤❤❤
jamani wenzangu na mimi muko saudia je munakuwa na mudi yakazi bila roma na edna na michepuko kusema kweli mimi na enjoy sana iyi simulizi huwa sinaga mawazo nikiwa na iyi simulizi thank u mutunzi na musimuliyaji God bless 🇧🇮 na enjoy niki saudia
Sema kuburudika hadi hiki kinyanya changu huniuliza ni nni hiki nasikiliza 😂😂😂
@@MwanatumuJumaa-rj4fg😂😂
@@user-rc3om5hs9i ukiwa huku kwa waarabu utanielewa tuu
@@MwanatumuJumaa-rj4fgkumbe tuko wengi tulio na stress za nyanya wa kiarabu mungu atustiri Kwan akipaliwa tu na maji family nzima ikija juu shufi lashi heki 😊😊😊ithi sababu mungu atupe uvumilivu inshallah
Niko ndani,nasikiza kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nipo Dar es Salaam,Riverside apa.namuonea huruma Yan Buwen 😂😂ni kama anamshika makalio Mwamba
Mh ila jamani leo nimekuwa wakwaza ila adi saivi amjanipa like ila sio poa😒🥺
Wakwanza jamani naombeni lke zenu wapendwa
Hee jaman hamjawah kunipa hata like 1 kweli wadauu
Chukua hiyo dear
Tuko pamoja Lucas usichoke kutuletea mwedelezo ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Huyo Athena hawezi kuingilia mapambano ya Roma na Yan mbuwen maana yan mbuwen amekaidi maagizo ya Athena sasa na huyo Athena asijifanye muelewa lazima aangushwe na mwamba Roma Ramon😂😂😂😂
Tupo pamoja Lukas lumbas na Hapa nipo kalyakoo Swahili na uhulu nafurahi kuwa mwanafamilia wako wa simulizi nzuli hongera sana😍😍😍
Nataman hii story ingekua sizoon tupate kumuona uyu mwamba roman mwenye madem lkn ana mbegu 😂😂😂...
Mimi nazikiliz simuliz nikiwa Burundi. Tumewez kufika sehem ya 38 kwapamoja. Allah akupe afya Kaka lumbas ili tufike sehem ya mwisho kwapamoja asante
Jamani jamannimekuwa wakwanza leo woyoooo🦸🦸♂️💃🤸♂️
Yan Buwen ni handsome ☺️ 😁 nashangaa anawezaje kuwa na mbinu nyingi wakati anaonekana mdogo😅😅
Nashukru kwakufika hapa mm naiskiliziya hapa Riyadh 🎉
Mambo nimatamu sana mie niko omani Anko Lucasi 🇴🇲🇴🇲 yani edna nitamu sana
Ahsante sana kaka Lumbas kwa burdan za Edn 38 nakusikiliza nikiwa Kigali Rwana
Kenya unani bore nayo boss..ni volume yako ya bedroom...am from Saudi Arabia shagala oyoooooooooo
Wa 4 team Roma mi na sikiliza niko kwenye ziwa maggiore 😂😂🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Mm siezi kumpa maua mama Roma naona tu ni mnafiki, hiv angekua ni yy anayopitia Edna angevumilia, acha nife nikiwa single siwezi vumilia huu upuuzi na hata mtoto wangu sitakubali amumize mtoto wa mtu😢😢
Pia yeye hapendo mbali mtoto wake ndo anawachaganya kama unakumbuka mama roma ashawai mwambia roma aachane na michepuko but roma ndo anazidi kuongeza ,,,tuseme mama roma hana baya mbali mtoto wake ndo malayq
Iyoni kwe li ina uma ila tatizonisisi wanawake kuchindwa kujiwekanafasi yauyoanaye acha
Mm kaniuzi Sana kwanini kumtenda Edina huruma😢
@@haluwaharuni4564 kweli kabisa
Natamani zawa ya Roma siku ya harusi yao iwe ni kuachana na michepuko yote abakie na mkewe Edna tuu kwa kuwa atakuwa amevumilia yote
Tumuombee iwe hivyo
Mm nfatilia smuuliz zako zote naipenda san saut yako nko saud
Ata mm niliipenda sana i sauti
Mshabiki tuombeni Sana Roma ashinde hii vita
Edna ni nzuri sana
Hi na itwa shanari Husseni nasikiliza kutoka sudia Arabia. Nakupenda Bure 2 bro unaniliwaza wallahi.
amin nakusikiliza nikiwa tanzania mwanza
Nasikiliza nikiwa saudi Arabia, shukran kaka Lucas Lumbasi ❤❤❤❤
VIP Mumbi Wa Naivasha ako Ndani, Nasikia from Ziwa Naivasha
Naitwa Haslan Karekezi. nimzaliwa waburundi baba angu Akiwa ni mnya Rwanda namimi Nawafatilia Nikita RWANDA KIGALI Napenda Sana Tena Sana Kazizenu Mbarikiwe
Kaka lucas nkuskiza nkwa Saudia ila nimkenya from kwale County nkupnda san na nfurai kutubrdsha lwa smlzi zako tamu na znye mafunz ❤❤❤🎉🎉🎉
Hi WA kwale mwenzangu
Ameen Ameen
from saudi simulizi inapenya kama... 😂😂
Mungu akuweke
❤❤❤❤🎉🎉
Jamani amsinzihi Mimi macho kila mda ila na kuta tayari😂😂😂
Goodluck Shiyo. Pande za Dodoma huku . Mm ninaami wakwanza kubeba mimba anaweza kuwa Edna coz kuna chembechembe fulan zinaonyesha ana nguvu fulan hv
Niko Bujumbura ila watuwaako kasi kuwahi simucezo Lukasi Ongera🇧🇮🇧🇮🇧🇮💐💐💐💐
Niko rada wakwanza in saudi
Ubarikiwe bro Yani nilikua nimeboeka mno ❤❤
Sasa kweli nakubaliana Lucas kuwa story imenonga kweli kweli!🎉🎉🎉
❤❤❤
❤❤🇹🇿Jamani sijuw nimekua wangap ila upendo umepoa, jaman yan buwen mbona km zombi😂, hawa madem hawajierew, atahivo roma kanishinda tabia sikwakosa eshima uko familia tutakiwa tufamiane haya me niko mwanza kitangili karbuni ote ukiwa mwanza nicheki kupita hapahapa nawapenda❤💯🏃
Kiranja mkuu: Leo umechelewa sana shots wangu🎉🎉🎉
😂😂❤ nakuisikiliza ndo niianze@@TamaAbdulazizi
Ubaya ubwela yan bweni utakiona cha moto wewe yaani umemgusa simba masharubu yake shauriyako😢😢
Kuna mtu anaonja moto kwa ulimi 😂😂😂😂😂 minasikiliza simulizi hii nikiwa dubai nikiikosa kaz haziend
Nipishe niwahi🏃🏃🏃ooooh nimewahi kidogo napenda sana edna niko burundi asante lucas
Nasikiliza nipo Uasayi
Bismillah😢 baby minah
Naona Athena akirahisisha kaz ya Roma kwa kumuua Yanbwen kwa sabab, Yanbwen anavuka mipaka yake nakufanya Yale aliyokatazwa Athena
Uyu Edna uyu Sio bule kalogwa uyu we kuweza
Wa mwisho leo😅😅😅 nakupata nikiwa 🇨🇦
Natowa salamu kwako Kaka Lukas mimi nafuatiliya Tanguy sehemu ya kwanza hadi 38 sijapoteza hâta moja mimi Tsongo kutoka Goma town dr Congo
Nko Saudi Arabia ❤
Good Job kaka lucas asant jamani nasikiza ni kiwa Iraq ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mkuu Lumbasi unarekodi kwa sauti ya chini sana jaribu kupoteza sauti kidogo tafadhali
tumefika 😍😍😍
Kwanini isingekuwa movie jmn mm nasikiliza nikiwa 🇴🇲
Leo nimewa ❤❤❤❤
From Mombasa ❤
Nipo geto dodoma ❤
Niko nyuma kama mkia ila tuko pamoja kaka Lucas shabiki wako kutoka Abudhabi 🤗😍
😂😂 ngumi sugunyo
3
Nipo mkoa wa arusha
Toka RDC ❤
Huyo yani Buwen anacho kitafuta ata kipata tuu😅😅😅😂😂
Nairobi Kenya
Hellen from Kenya 🇰🇪
Shukrani sn kk lumbasi lukas
Asante san inanip furah na nikikosa naumwa niko oman 🇴🇲
Hatucerewi kirasiku from bj miakwamia
Jamani nimekuja wa meisho
Hakika kaka ukovizuri sana kwaku simulia unaweza mpakaunaweza tena
Nakufatilia mwanzo mpaka mwisho na niko America.
Tupo pamoja hadi mwisho nani anaweza kuacha hii simulizi tam hivi jaman
❤❤ 🇧🇬
Naisikiliza nikiwa saudia❤❤❤
Daa,Roma ana mishe nyingi kuliko mfalme wa kawaida ni kama anatawala dunia nzima kwakweli 😂😂😂😂😂😂
Mm nasikiza nikiwa Qatar nakupenda Sana Simulizi zako Tamu kama nn na iyoo sauti atari
🇴🇲 oman
Tupo mpaka mwisho.
Embwana ninakupata loud and clear nikiwa saud sehemu ya khamis
MIMI NAA SIKILIZA NIKIWA HOLLAND KWAA KWELI SHAPO
Niko kagera wilaya ya Karagwe.
Yap nipo hapa ingawa nimechelewa ila nipo makini kumfwatilia Yan buweni ili tumpe funzo safii nafwatilia nikiwa Duba//Dhuba saudi arabia
Lucas mauya wako🎉🎉🎉🎉 kwako simulizi tamu
Jaman nmecherewa naksikiliza kutoka dsm
Mm wa mwisho hapa😢
Naisikiliza nikiwa DK
Wadau mm tano amaa mlowah sarut zenu
Okay asante kaka Lucas kwa mara nyingine tena tunashukuru xn kwa simulizi tamu.. nani anaamini Buwen atafanikiwa kwa mipango yake kwa wapenzi wa Roma Mimi nakataa hatafanikiwa kwa lolote
Nairobi
Ongezea na kenya 😅😅
@@MwanatumuJumaa-rj4fg😂😂😂 tupo pamoja
Mm naskiliza nikiwa Jordan Amman
Kabisa 😂😂😂😂 jambo la kwanza la mwanamke anachotafuta kwa mwanaume wake ni ulinzi 😂😂😂
SA🇸🇦
Mambo ni moto🎉🎉😂😂