Yani kama mwanamke ulokamili huwezi kuwa mchepuko has sio kama wanabweda bali nishida tupu kaka tuko pamoja kazi mzuli mimi sina ulafiki namichepuko😊😊😊😊😊
😂😂😂😂Wacha nicheke kwanza 😂... Hata wakihamia ndani kwake hakuna watakachopata kutoka kwa Roma zaidi ya kunyanduliwa na mwishoni Roma anabaki kua wa Edna tuonakubalia gonga like tujuane ❤❤
Doris hawezi kubeba mimba maana tangu afanyiwe mazingaombo na Athena amesha nyanduliwa na Roma malanyingi na haja beba mimba nahuyo Doris siamwambie Roma kuhusu Athena kuliko kukaa kimya.
@@OdethaTesha mm ndokabisaa mana sasa unamke halafu michepuko tena karibu kabisaa sijui hao wanawake wanajisikiajee kumfanyia Edina hivyo jamani kwaza hao wawili wanao lala naroma kwapamoja yani wanachefua kweli
Mimi nahona goston inayo hishi kwenye mwili wa roma pamoja na nguvu za kijini avita kubali kwa nguvu ya athena kwakuwa itakuwa kinyume na nguvu zao Kama ni kweli yako ndugu😂😂😂
Mm naona dorin hatapata mimba kwa nguvu za athena juu alipomfanyia uchawi roma alikua levo ya chini na sahizi yuko juu so hakuna mtego wote wote atakao ufanya ufanikiwe labda Roma mwenyewe atake😢😢
Kusema ukweli Edna anaroho ngumu yani michepuko yote ikusanyiwe kwake na ayitafutiye nyumba khaaaa amakweli hiyo michepuko hayijishuku kweli wangeachana na Roma maana mama mjengo hana baya masikini Edna usihofu lazima upewe hitaji la Moyo wako mwaya❤❤❤❤❤ kama unakubaliana nami nope like😂😂😂😂😂😂
Uje ututumie na picha ya nasra Amina na wengineo maan Edna ni mrembo haswa
Hamjamboni? Hongereni, na furahahi sana kuwa hapa
Jaman Edna ❤❤❤
Nime wai pia Mimi salam kwa waknza niwape maua🎉🎉🌷🌷nawapenda❤❤❤
Wakwanza Tena jaman🎉🎉❤❤
Yani kama mwanamke ulokamili huwezi kuwa mchepuko has sio kama wanabweda bali nishida tupu kaka tuko pamoja kazi mzuli mimi sina ulafiki namichepuko😊😊😊😊😊
Ingekuwa mm sijui ningewafanyaje wasingesubutu ht kunisogelea
Nakuombea edna apate tena bume la mbegu🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Nipe hata like 5 tu bs mashabiki wa kaka lucas ❤❤❤🎉🎉
Namba one makofi kwangu na msimuliaji😂😂😂
Aaaah leo safi❤
Wakwanza Léo jamani naomba mauwa yen🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wanne jamani team Roma kumekucha 🏃🏃🏃🏃🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
🔥💯
Nimewah kweli hawamfikii edina
Washamfikia hd Wanamyea kwa mdomo
Wow furaha sana nmewahi🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Leo nimekua wakwanza jaman naomb like zenu
Hampoi 🎉❤
Natamani sana t jmn Edna apate ujauzito jamn
Sio apate ujauzito alafu Roma aendelee na hawo malaya zake ht hautaona raha ya kubeba hiyo mimba
Leo nimekua WA kwanza
Wa Kwanzaa aaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kaka RUCAS❤❤❤❤❤
Mbona kwangu hakuna sauti
Yaani leo hamuwezi nikanyaga 😅😅😅 nipo hapa kwa gate😅😅😅
Pisha basi mie nipite mbona watafuta sababu ukanyangwe useme mie ni m baya 😊😊😊
@@FatimaRamadan-s4f haya mama 😅😅😅
Haya bana 😅😅😅😅@@FatimaRamadan-s4f
Love you edna
Sana
❤❤ asante
❤️❤️❤️🎉
❤
Leo nimekua wakwanza
Doric anaweza acbebe akja kushndwa hayo mazoez ya Roma.
Wa kwanza nimewahi ❤❤❤❤🎉
Inazidi kuwa bomba zaidi, tuombe uzima tu Jamani 😍😍😍😍😍
Hata wakishika wote mimba mke n mmoja tu 😂😂
Roma kanishinda tabia, Roma ata nyimwe Haina maana kumpa ktumbua km unajipemda aendeleet namichepuko maana hanamipaka
Ila anamupenda sana Edina Na you ndio mke wake pekee
😂😂😂😂😂hee,leoo 😂😂😂😂 wanakusanyika wote bila ubaguzi leo,labda watazoeana zaidi na kuheshimiana😂😂ngoja tuone,labda ni dharula
Wa kwanza Leo 🥰❤️
❤❤❤
Edna baada ya ndoa❤❤
Kazi ipo michepuko ni balaa😂😂
Asante kaka lucas kwa kazi nzuri 😂😂😂
Wakwanzaa jmn mbn sipati like za kutosha wadau 🎉🎉
Nimekupa dada angu 🎉🎉❤Mimi n mkenya je wewe
@@PerpetualWanyama asnt kpnz
Zakutosha ndio.ngapi dear
Mm sina say hapa wacha niongojea mwisho
Aweee Athena uyo anatapatapa kama mfamaji ila hawez mwangusha Roma acha twende nayo mdogo mdogo.
Mh jamani mwenzenu natoka kazini naiwaza edina tu japo nimechelewa 😮nimekuwa maka roma anavyo waza kuwanyandua mochepuko kila mda 😂😂
Hata Roma anajua Edina ndo mkewe hy michepuko ni kitulizo tu cha mwamba
Haswa hadi ameanza kuonyesha wivu waziwazi sio siri tena
Wa.kwanza.😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉
Leo mm niko nyuma ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Watu mko macho kazi ya mwarabu ijanipea time ningie UA-cam
Polee
😂😂😂😂 mbavu zangu
Mbona hakuna sauti😢😢😢😢😢
Jamani wewe lukas tueke sura ya roma maana sikwakupedwa huko 😂😂😂😂😂
Ilishawahi wekwa .WAKAWAIDA SANA
@@MwanatumuJumaa-rj4fg wacha na Roma wangu😁😁😁
@@Kellyperry947😂😂
@@MwanatumuJumaa-rj4fg sana
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nimewahiwahi
Munakimbya sana musinipituwe munakasi awomurishahamiya kwa Lukasi💐💐💐💐💐💐🇧🇮mwotouyo ntayingiya badae🦻🦻
😂😂😂😂Wacha nicheke kwanza 😂... Hata wakihamia ndani kwake hakuna watakachopata kutoka kwa Roma zaidi ya kunyanduliwa na mwishoni Roma anabaki kua wa Edna tuonakubalia gonga like tujuane ❤❤
Ll9 kkumia😊😊😮😢😢😢😢🎉🎉😮😮😢😢😢😢😮😮
P 1:54:35 😢ooo😅😅😮
A4e4a4a
Washaambiwa ilo ila hawajàli sijui ni kwa utamu upi mtoto wa mamamkwe uyo
Kabsaa😂
Waooo 33❤❤
Nawaombea wote wabarikiwe wamzalie Roma kwani anataka ila aweze kuwatunza tu
Mbona kwangu Hakuna sauti
Asante natumai watu wali watashika mimba
Ayiiiiii doris mwanae atakuwa kitu cha ajabu roma atakiyayusha bhana😅😅😅
😂😂 haswa
@@RehemasiryaKabahasha team Edna atutak masihara ni dua mbaya tuu kwa michepuko🤣🤣🤣
Doris hawezi kubeba mimba maana tangu afanyiwe mazingaombo na Athena amesha nyanduliwa na Roma malanyingi na haja beba mimba nahuyo Doris siamwambie Roma kuhusu Athena kuliko kukaa kimya.
😂😂😂❤❤ hii simulizi inanifurahisha kweli asante kaka lukas
can't wait to see rromaaaa😂
Hata wangekuja kuishi hapo tuu kwa Edina wamtawale huyu roma kwann anamshushia hadhi mkewake
Huyu mtu aninikwaza sana
@@OdethaTesha mm ndokabisaa mana sasa unamke halafu michepuko tena karibu kabisaa sijui hao wanawake wanajisikiajee kumfanyia Edina hivyo jamani kwaza hao wawili wanao lala naroma kwapamoja yani wanachefua kweli
Yaani hii simulizi ni tamu we acha tu asate lucas
Naomba huo uchawi aliofanyiwa Doris usifanye kazi kwa Roma
🎉🎉🎉
Mimi nahona goston inayo hishi kwenye mwili wa roma pamoja na nguvu za kijini avita kubali kwa nguvu ya athena kwakuwa itakuwa kinyume na nguvu zao Kama ni kweli yako ndugu😂😂😂
Woyooooo mambo 🔥🔥🇴🇲 naomba Edna ndio hatapata mimba❤❤🎉
🎉🎉🎉🎉🎉
Sauti hakuna
Mm naona dorin hatapata mimba kwa nguvu za athena juu alipomfanyia uchawi roma alikua levo ya chini na sahizi yuko juu so hakuna mtego wote wote atakao ufanya ufanikiwe labda Roma mwenyewe atake😢😢
Mm naamini ngekua b4 doric angebeba bt kwa level aliyofikia Mr Roma hakuna Zaid ya Edina wetu basi
Duuuh jaman kak Lukas nitafutie namb ya Roma nashid nayo jaman Kun watu wananisumbua huku 😂😂😂😂😂
Hahaha usinichekeshe kuna siku niliona nikajikuta Edna namuita roma anisaidie
@@Eldaheliya-zl5to 🤣🤣🤣🤣🤣 hizi xhid zinaach tumkumbuke Roma Kam tunamjua vile
Mmmh ham lali
Nmechelewa kube ❤
Ila Rose na dors nyinyi mna laana hamuoni ata shda kuchangia chumba mmekaa kma malaya mhhh
Ni wamalaya walokubuhu
Malaya tena waliokubuhu maana wanamke walio timamu hawaezi fanya mapenzi kwa pamoja hata wanatia kinyaaa🤮🤮🤮
Doris na Rose mwishoni watakuja kuwa wasagaji kama Athena mwenyewe mi yangu macho na hapo Roma atawabwaga wote kwapamoja😂😂😂
@@Evelynmoreen3655 tena me natak awafumanie kbla ata hajawafundisha izo njia zke 🤣🤣🤣
@@RehemasiryaKabahasha Malaya mwenzao roma na ndo mna anapnda mwenyew
Edna kaka😂❤❤❤❤❤❤😂🎉🎉🎉
Jamani kumbe Doris ni mrembo hivi ndio maana roma wetu anachanganyikiwa😂😂
Weeeee hamfkiii edna
Ukweli Edna ni kitu na nusu😊😊@@ChristianElias-u2j
Jaman kazur
Edina ndo kila kitu sema roma ni zaid ya kicha😂😂😂
🤣🤣🤣🤣ila roma na hao wanawake wake hawana aibu kujikusanya kwenye nyumba ya mwenzao ndo nini 😢
Ndio nashangaa kwann asiwapele kule walinzi wake walikoweka kambi
Mali na ya Edna tu awa wengine ni mapanya tu.
❤❤❤
Mh wanajiloga tu ndo wanamfanya edina aweke umakini mkubwa kuliko awali wataiishia kunyanduliwa tu 😂😂 acha nicheke
❤❤❤❤
Mh nilikuwa nawaza ivi kwamfano wanawake wa roma wakipat mimda jamani🤔🤨🤭
Jmn wanawake mkisaidiwa tu kunakufa na kuoza mazma mnabakiza kunuka tu😇😇😇
Edna ndio atabeba mimba wanza ❤❤❤🎉🎉🎉
Dorisi anaedha kupata miimba Edna atafata
Naomba Mungu Hilo lositokee maana hp nitaacha kusikiliza hii simuliz
@@OdethaTesha😂😂ila wadau mnanichekesha
❤❤😂😂
Awo Wana wake wange chomeka kama sambusa ingekuwa pow kwel
😂😂😂 Kwanza hao makahaba wawili wanaofirwa pamoja wamenisinya sana
Mmi nsomba roma akufe amenichosha mmi nahio michepuko yake
Bora Roma akufu wote wakose na Edna wetu anabak na lanlan
😮♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹💃
Kusema ukweli Edna anaroho ngumu yani michepuko yote ikusanyiwe kwake na ayitafutiye nyumba khaaaa amakweli hiyo michepuko hayijishuku kweli wangeachana na Roma maana mama mjengo hana baya masikini Edna usihofu lazima upewe hitaji la Moyo wako mwaya❤❤❤❤❤ kama unakubaliana nami nope like😂😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Doris ni mzuri ila hajanizid
😂😂
Hii story leo haijanibamba sana inanitia. Huzun tu sijui kwann nasikiliza hii story alafu naumia
@@OdethaTesha ☹️☹️pole kipenzi siku hazifanani
kweli inachukiza sana na hawa michepuko, nikama anamdharau Edna ni ningekua mm ningejitia kitanzi mara moja😒😒😒
@@RehemasiryaKabahasha 😅😅Kuna mda hizi stimulizi zinatuumiza sisi wasikilizaji😂😂
Yep Doris mimi naona atanasa mimba ya masinga umbwe😅
Bismillah ndo na anzaaa minah babe yake roman
Nilipo mtandao una sumbuwa😢
Edina ndio ata beba mimba ju nkama pia yy ana nguvu flan
Edna ndie atakaye beba mimba wa kwanza
Uyu Edna anamupango gani na Roma awo naiyi micepuko?? Anazidi kuniudhi mimi Siufukuze uyu Roma wakukuzarawisha naiyi micepuko maisha niya Allah gusema ubebe mimbayake siungi mukono kwanzahawogopi kukureteya iyomikoshi unaloho miningefukuziq mbari minimwîvu tenasana we unasubiri muunge ndowa nakumbuka arikwambiya hadaheba mucepuko wake hataumoja umekwama wapi😭😭😭😭😭
❤❤❤🎉
Roma asizalishe inje y ndoa juu michepuko watazarau edna heri edna awe wa kwanza michepuko baadaye
Jmn watakao pata ujauzito ni edina na doriss
Mimi pia naona doris