KANISA LA TAG UBUNGO WAMNUNULIA MCHUNGAJI KIONGOZI GARI LA MAMILION AINA YA PRADO T323 EHB

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • Siku ya Pastors day TAG ubungo ,washirika wafanya maajabu kwa mchungaji wao

КОМЕНТАРІ • 15

  • @CostantineMademla-ew2jw
    @CostantineMademla-ew2jw 2 місяці тому +1

    Hongera UCC,muongezewe NEEMA

  • @johndavidi2582
    @johndavidi2582 3 місяці тому +4

    Kweli wanastahili pongezi kwa kazi nzuri waliofanya Mungu awape nguvu hiyo gari iwe ni mguu wa injili ilete mamilioni kwa kristo

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 2 місяці тому

    Hongereniii

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 3 місяці тому +3

    Mungu awabariki sana washirika wote kwa kumpenda Mch maana huu ndio upendo ukipenda unatoa

  • @mangakwigema
    @mangakwigema 3 місяці тому +2

    🎉woh!
    YESU AENDELEE KUWATENDEA MEMA

  • @bernadoadriano922
    @bernadoadriano922 3 місяці тому

    MUNGU AWABARIKI SANA WASHIRIKA WOTE WA KANISA LA TAG UBUNGO

  • @JumaIswijilo
    @JumaIswijilo 3 місяці тому

    Mbarikiwe sana❤❤❤❤

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 2 місяці тому

    YESU ahsante

  • @bensonmpele8751
    @bensonmpele8751 3 місяці тому +1

    Wahooo kutoka Nairobi Kenya Mungu awabariki sana kwa kutambua hilo

  • @merumount5988
    @merumount5988 2 місяці тому

    Ni jambo jema na la baraka kutunza watumishi wa Mungu..lakini kustage sherehe kwa jinsi hii siku ya ibada na kuonyesha tukio ni muhimu zaid ya ibada si sawa sana..tujifunze kuchukulia mambo ya aina hii kwa kawaida tu..halafu tusigeuze mambo ya kidunia kuyaleta kanisani..pastors day??? ndio nini...Mungu atuhurumie na kutusamehe.

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht 3 місяці тому

    Inapendeza sana tunapo watunza VIONGOZI wetu wa kirohoo MBARIKIWE SANA inapendeza sana

  • @rwizamtugwarwiza9022
    @rwizamtugwarwiza9022 3 місяці тому

    Utukufu kwa Mungu wetu mkuu

  • @atupakisyemapuli8637
    @atupakisyemapuli8637 3 місяці тому

    God is good all the time

  • @maikokomba3724
    @maikokomba3724 3 місяці тому

    Mungu awabariki sana

  • @deograthiusalphonce6977
    @deograthiusalphonce6977 3 місяці тому

    𝖬𝗀𝖾𝗇𝗂 𝖱𝖺𝗌𝗆𝗂 𝖪𝗐𝖺 𝗌𝗁𝖾𝗋𝖾𝗁𝖾 𝗄𝗎𝖻𝗐𝖺 𝗁𝗂𝗂 𝖠𝗅𝗂𝗍𝖺𝗄𝗂𝗐𝖺 𝗃𝖺𝗉𝗈 𝖠𝗐𝖾 𝖠𝗌𝗄𝗈𝖿𝗎 𝗆𝗄𝗎𝗎 𝗐𝖺 𝖳𝖠𝖦....𝖠𝗎 𝖠𝗌𝗄𝗈𝖿𝗎 𝗐𝖺 𝖩𝗂𝗆𝖻𝗈 𝖩𝖺𝗆𝖺𝗇𝗂😊😅