Yanga SC 1-0 Simba SC | Highlights | Nusu Fainali Ngao ya Jamii 08/08/2024
Вставка
- Опубліковано 9 вер 2024
- KARIAKOO DERBY | Goli pekee kutoka kwa Maxi Nzengeli dakika ya 44 limewapeleka Yanga fainali ya #NgaoYajamii2024 wakiwafunbga Simba bao 1-0 kwenye mchezo wa nusu fainali uliopigwa Dimba la Benjamin Mpaka, Dar es Salaam
Wa Kenya 🇰🇪 wenzangu na mashabiki wenzangu wa yanga nipeni like hapa duke abuya tunae na tunatamba nae
Umeonaeeh
Naipenda sana young Africans from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Safi Sanaa 💚
Upende ndo timu kubwaa kwa ss hutojutaaa
Wanya Rwanda 🇷🇼 tunapenda Tanzania ❤❤
Ubaya ubwege gonga like shabiki wa Yanga twende pamoja💛💚💛💚
😂😂Ubaya ubwege kwel
🎉❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli ubaya ubwege
😂😂💚💚💚💚
Ubaya ubwege
Wananchiiiiiiiii, tulio gulf gonga like 🇴🇲
💚💚💚🧡🧡🧡
🍃🍃🍃🍃🍃
❤a a😊😊😊à
Mi shabiki wa yanga🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ubaya upwiru 😂 gonga like hapa💚💛🖤 yanga oyeeee tuwakele kidogo 🤣
Wana Yanga nipeni like moja kwa kuwafunga hawa wazee wa ubaya ubwela 😂
Ubaya ubwege
@@mmewaswida 😄
Nimeku like kaka umeiona
@@KibaoMkojane nimeona 😁
It’s going to be a long road for my fellow South Africans🇿🇦 at Simba (Fadlu Davids & Co )
Gamondi’s team are a well oiled machine 🔥🔥🔥Dube-Pacome-Ki
Yanga’s defence is extremely stingy
A bit of unselfishness could’ve earned Simba a goal
That’s a penalty all day anywhere in the world
Simba will feel hard done by the officials on that one
But overall as a neutral 🇿🇦 , Yanga were too strong for Simba
I’m loving the Swahili commentary and the nicknames are funny aswell
‘Screen protector’
‘Master key’
‘
'may day'😅
@@GilbertJackson-fv5mh 😂😂😂
Thanks brother in Tanzania 🇹🇿 the biggest team is Simba though we are having a hard time finding how to get organized as a team with almost new players from different areas.But hope this season gonna be good after 3 consecutive nil .
@@thehustlerafrica4368 tons of patience needed and sufficient support for the coach
Me w kwanz nipen like zng
Tunakushukuru sana Mungu wetu kwa zawadi hii kubwa. Tunaendelea kukushukuru Eeeee Mungu wetu na hatutakoma kukushukuru daima upendavyo. Amina.
Simba project yao itafanikiwa round hii. Sawa tumekubali ila muda utaongea simba nguvu moja.
Kazi kusema ubaya ubwela kufungaa aaahh naomba like wanayanga 💚💚💚💚💚💛💛💚 naombeni like
😅😅😅
Yanga kutoka kenya🇰🇪🇰🇪
Yanga bingwa
😂😂Kama umeskia mpenja akisema yanga nimabingwa wa ngao yajamii gonga likes ap
Kama we ni yanga likes hapa 🇶🇦.
Tumeshinda na mke tunaye gonga like hapa mwananchi💚💚💚
Diara is phenorminal 💛💚💛💛
Ubaya ujingaaa😂😂😂😂😂😂yanga ni bigwa naipenda yangaa❤❤
Hiii ndio yanga ya master wetu gamondi mungu amzidishie ujuz wa mbinu na maarifa zaid ili wapinzan wazid kuumia
Max yupo karibu na Mungu SN Utafika mbali bro
Yanga juu sana. Yanga never disappoints
Simba nguvu moja
Viva Young Africans
Hii ni timu sio kikund cha wachezaji😂😂😂😂😅😅😅😊😊😊❤❤❤❤❤
❤❤❤😂 Hongera sana young african's, hongera mtani leo umetuweza. Safi❤❤
Daah kuwa mshabikiwa nikam kuwa mbinguni, ❤ safi sana yanga
Nilijuwa yanga tunashinda ❤yanga
❤❤❤❤❤ yanga nomaaa, ubwelaa poleen, mmezidi maneno tu,
Yanga on fwayaaaaa
Simba hii nzuri inahitaji mechi kama 6 ielewane vizuri zaidi.
Kweli kabisa
Kazi nzuri sana Azam TV pamoja na mtangazaji wake Baraka Adson mpenja. Derby haijawahi kuwa rahisi po pote duniani pale.
I m worried about Simba's defenders 😢😢😢
Dube is a good signing
Yanga oyeeeh,,,,penda mie yanga mwaaaah
Yanga hiii unaifungaje 😂😂🎉❤hadi raha
From Rwanda: unprofessional refers ! Young inaibiwa penalty pia na goal Moja ! Fake refer result was 3-0
it seems you take a look at one side of the coin. far enough you were supposed to write, fake refer result was 3-1
Love yanga ❤❤❤❤❤❤
Ila Mpenja daaah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hery sasii hii match ilimshinda au alilipwa na makolo ..
Kama sio kuwabeba makolo wangepigwa mkono tena
Yanga unaifungaje😗🙂🙂🙂🤗🤗
Naona tu uwanja umejaa shabiki sana ningefurahi pia kenya ikuwe tu hivi kwa uwanja yao
Ushind na mke tunaye
Mwaaaah yanga yangu💛💛💚
Simba ipo vizuri sana kuliko yanga Basi tu bahati yao yanga!
Yani matukio yote ambayo mmepigwa bado unasema simba ilikuwa vizuri kuliko yanga!!!!!!??? Aisee mapenzi kipofu kweli
Nakuunga mkono kwasababu timu yetu tunaijenga kwa mchezo wa leo iko vizuri
@@Abillsn😂😂😂😂😂😂 Hadi position wamezidiwa afu anasema nn😂😂😂 wenyewe wakishika mpira wanaruruka bila ushirikiano .
Team yetu imecheza vizuri japokuwa wengi ni wageni.... Naamini itakuwa bora sana kwenye Ligi... Hongereni sana... Hatuangalii kupoteza ila tunaangalia performance. Nguvu Moja 💪🦁
Kahuli hile UBAYA UBWELA😎
😂
Yaani hii YANGA ndio itacheza na Gor mahia ya Kenya 🇰🇪🇰🇪 yetu??Haina haja tucheze wapewe tuu ushundi YANGA hatuwezi wamiliki kwa kweli
Haahhah
Wew ni buree kabisa haujiamini
Mashabiki wa yanga Kenya wapi upendo
Duke abuya on fire
Kwa kweli
Bacca ❤❤❤ # Zenjiyano
Yanga oooyy wimbo hamoniz raaaaah
Yanga ilionewa Sana,but hivo hivo ilishinda
Yanga wametisha
Yanga nilidude likubwa sana
Acha kuiga utopoloooo
YANGA NI BORA KULIKO SIMBA!! KWA SASA WANANCHI WAKO KWENYE SAFARI NZURI YENYE MWENDELEZO ELECTRIC FOOTBALL 💚💛
Kocha safi kabisa sema hii defence ya SIMBA inatakiwa irekebishwe vizuri Malone kama vipi apewe thank you mapema tu
Aweeee Co kinyonge timu letu lunyasi Ata iweje simba damu❤️❤️💪💪🦁🦁boli limetembea bwana
EBU TUFUNDISHENI GOLI LA AZIZI KI OFFSIDE IPO WAPI? Bora ushindi mengine kuhusu refa tusahau
@@damianmcba9525 refa anajua anachofanya
@@damianmcba9525 LILE LILEFA NI LA KWAO MBWA HAO AZIZ I KI ILIKUWA PENATI NA LILE GOLI LAKE NI GOLI FAL. SANA YULE
We Mpenja bado Yanga sio bingwa umekosea kutangaza ktk. dakika ya 94.8 umewatangaza Yanga ni mabingwa wa kombe la jamii 2024/25. We umekuwa mtabiri? Ahsante kwa kututangaza mapema na itakuwa hivyo kwa baraka za mwenyezi Mungu. Yanga wote gonga like kwa Mpenja kutupa ubingwa.
Dube angeelekea uelekeo wa mpira alikuwa anamalizia mwenyewe aisee💪💪👊👊
Hapo ndipo tunapomkumbuka Mayele asingewaacha pale
Lol the match officials were lost 😂❤🇿🇦
😂
Mmmmh 01 on trending
Ila yanga 🔥🙌💚💛😅👊
HAMISA UMETUHARIBIA MTU😢
Hii mechi simba kabebwa saana
Hiv VAR tulioambiwa iko wap😢 hawa marefaree ovyo kabsa
Gemu ngumu sanaaaa ila.hongera yanga🎉🎉🎉🎉🎉
Wamebebwa sana
Ubaya uboyaaaaa
❤❤❤❤❤yanga waoooooooh
Woyoooooo.yanga.hoyeeeee
Miaka inaenda sana, leo hii Simba wanajiona wapo bora kwa kufungwa goli moja, Yanga ni next level.
Magoli kadhaa na penati zimekataliwa..
Weweeeeeee🤣🤣🤣💚💚💚❤️
Ss yanga kucheza na Simba tuna halibu kiwango chetu.
Uwezekano wa simba kufanya vizuri kwenye ligi kuu bara upo watulie wasipaparike na pasi ziwe za UHAKIKA
Kweli kabisa
Hii highlight ya yanga au yamechi😂😂
This highlights is based on yanga side only because Simba has a lot of ball engagement than Yanga
❤❤❤ yanga
Ubaya ubwelaaaa 😅😅😅 like japo 2 jamaniiii
Simba imejitahidi sna lakini tarehe 19 mwezi October tatu sifuli mnakula , Ubaya ubwela❤❤❤Naipenda simba milele
Angalie msile nyie simba
Alhamdulillah💛💚
kumbe ukimzid mbio mtu unakuwa ofside
yanga oyeeee
Pira gamondi💚🖤💛
Sisi ndo yanga 💪💪
Yanga hii unaifungaje 😂😂😂
TFF mutazam refa wa kuwawek huy risas anatukosesh penalt hiv hiv na iyona na iyo VIR mueke tunadhulumiw hiv hiv
hlf leo yang kishasho kimekutoken
ubaya ubwela ❤❤❤❤❤❤❤
Wananchi tunasema simulia huku unalia 😭😭😭
Tupe jibu goli la pacome na Aziz k shida nini?pia penalty ya master k shida iko wapi?yes pia nanyi mlistahili penalty moja dk za mwisho
Mungu ibariki daima Yanga tamuuuu!
❤yanga
simba hii weka mbali na watoto hilo goli ni uwezo wa pacome kupiga penetration pass na pia pacome ni defense destructor ndiyo mcheza kaibeba yanga kwa leo . simba wana hitaji more game kutengeza combination hongera kwa washindi hongera simba kwa mchezo mzurii
Yamekataliwa mangapi?😂
Na mwamuzi pia nyota wa mchezo,kaibeba simba
@@simonanthonykayombo6913yamekataliiwa 15
@@simonanthonykayombo6913 Matatu
Tunaomba Serikali isimamie, Mwijaku atoe Mkewe kama alivyoahidi. 😅
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ioooooooooooolll🎉🎉🇴🇲🇴🇲
Any Kenyan hire
Aziz kwa VAR aliku onside!
@@errydeo8865 awapi mzee offside usitetee wabahatishaji
@@errydeo8865 mbona zegeli hajasumbuliwa😃😃
Dube mpira ulikuwa unaludi kwake kabsa Mapepe ya kushangilia mpira haujapita mstari,,Ingekuwa mayele anahakikisha umepita
Clear penalty. Poor refereeing all round. Assistants kept raising offside flag instead of waiting for the play to complete.
Nice
Yanga baba laooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Likes za paccome 🔥 hapa wananchi professor tunae na tunatamba nae uyu mbaba ataua watoto wa watu
Simba walikua wazuri kila idara sema zare halikusimama
Wooowww our rayon sport of TZ has 🏆💪