Yanga SC 1-0 Simba SC | Highlights | Nusu Fainali Ngao ya Jamii 08/08/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 вер 2024
  • KARIAKOO DERBY | Goli pekee kutoka kwa Maxi Nzengeli dakika ya 44 limewapeleka Yanga fainali ya #NgaoYajamii2024 wakiwafunbga Simba bao 1-0 kwenye mchezo wa nusu fainali uliopigwa Dimba la Benjamin Mpaka, Dar es Salaam

КОМЕНТАРІ • 693

  • @husseinnihla6501
    @husseinnihla6501 Місяць тому +37

    Wa Kenya 🇰🇪 wenzangu na mashabiki wenzangu wa yanga nipeni like hapa duke abuya tunae na tunatamba nae

  • @user-rc1sh5dh2f
    @user-rc1sh5dh2f Місяць тому +13

    Naipenda sana young Africans from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-lx4bi2jo9p
    @user-lx4bi2jo9p Місяць тому +14

    Wanya Rwanda 🇷🇼 tunapenda Tanzania ❤❤

  • @beingericzitatu9462
    @beingericzitatu9462 Місяць тому +304

    Ubaya ubwege gonga like shabiki wa Yanga twende pamoja💛💚💛💚

  • @Jennyjonh
    @Jennyjonh Місяць тому +24

    Wananchiiiiiiiii, tulio gulf gonga like 🇴🇲

  • @meshark128
    @meshark128 Місяць тому +6

    Mi shabiki wa yanga🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rickyramsey1469
    @rickyramsey1469 Місяць тому +10

    Ubaya upwiru 😂 gonga like hapa💚💛🖤 yanga oyeeee tuwakele kidogo 🤣

  • @SamooMohammed-bt6mg
    @SamooMohammed-bt6mg Місяць тому +18

    Wana Yanga nipeni like moja kwa kuwafunga hawa wazee wa ubaya ubwela 😂

  • @gototheantusluggard2644
    @gototheantusluggard2644 Місяць тому +12

    It’s going to be a long road for my fellow South Africans🇿🇦 at Simba (Fadlu Davids & Co )
    Gamondi’s team are a well oiled machine 🔥🔥🔥Dube-Pacome-Ki
    Yanga’s defence is extremely stingy
    A bit of unselfishness could’ve earned Simba a goal
    That’s a penalty all day anywhere in the world
    Simba will feel hard done by the officials on that one
    But overall as a neutral 🇿🇦 , Yanga were too strong for Simba
    I’m loving the Swahili commentary and the nicknames are funny aswell
    ‘Screen protector’
    ‘Master key’

    • @GilbertJackson-fv5mh
      @GilbertJackson-fv5mh Місяць тому +1

      'may day'😅

    • @gototheantusluggard2644
      @gototheantusluggard2644 Місяць тому

      @@GilbertJackson-fv5mh 😂😂😂

    • @thehustlerafrica4368
      @thehustlerafrica4368 Місяць тому +1

      Thanks brother in Tanzania 🇹🇿 the biggest team is Simba though we are having a hard time finding how to get organized as a team with almost new players from different areas.But hope this season gonna be good after 3 consecutive nil .

    • @gototheantusluggard2644
      @gototheantusluggard2644 Місяць тому

      @@thehustlerafrica4368 tons of patience needed and sufficient support for the coach

  • @omarsalum2347
    @omarsalum2347 Місяць тому +8

    Me w kwanz nipen like zng

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Місяць тому +4

    Tunakushukuru sana Mungu wetu kwa zawadi hii kubwa. Tunaendelea kukushukuru Eeeee Mungu wetu na hatutakoma kukushukuru daima upendavyo. Amina.

    • @soniimedia2440
      @soniimedia2440 Місяць тому

      Simba project yao itafanikiwa round hii. Sawa tumekubali ila muda utaongea simba nguvu moja.

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 Місяць тому +12

    Kazi kusema ubaya ubwela kufungaa aaahh naomba like wanayanga 💚💚💚💚💚💛💛💚 naombeni like

  • @wesleytembwa726
    @wesleytembwa726 Місяць тому +5

    Yanga kutoka kenya🇰🇪🇰🇪

  • @user-fy3cf1ri8m
    @user-fy3cf1ri8m Місяць тому +8

    Yanga bingwa

  • @williamgilberth
    @williamgilberth Місяць тому +8

    😂😂Kama umeskia mpenja akisema yanga nimabingwa wa ngao yajamii gonga likes ap

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Місяць тому +4

    Kama we ni yanga likes hapa 🇶🇦.

  • @Habibuyahya
    @Habibuyahya Місяць тому +4

    Tumeshinda na mke tunaye gonga like hapa mwananchi💚💚💚

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Місяць тому +3

    Diara is phenorminal 💛💚💛💛

  • @user-rt4yc9vo8u
    @user-rt4yc9vo8u Місяць тому +2

    Ubaya ujingaaa😂😂😂😂😂😂yanga ni bigwa naipenda yangaa❤❤

  • @SalhaJuma-k9y
    @SalhaJuma-k9y Місяць тому +2

    Hiii ndio yanga ya master wetu gamondi mungu amzidishie ujuz wa mbinu na maarifa zaid ili wapinzan wazid kuumia

  • @user-li4ce3ge3d
    @user-li4ce3ge3d 27 днів тому +2

    Max yupo karibu na Mungu SN Utafika mbali bro

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Місяць тому +1

    Yanga juu sana. Yanga never disappoints

  • @jimmykirenga7100
    @jimmykirenga7100 Місяць тому +9

    Simba nguvu moja

  • @scopy0428
    @scopy0428 Місяць тому +3

    Viva Young Africans

  • @FreddyMwita-h5l
    @FreddyMwita-h5l День тому +2

    Hii ni timu sio kikund cha wachezaji😂😂😂😂😅😅😅😊😊😊❤❤❤❤❤

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 Місяць тому +1

    ❤❤❤😂 Hongera sana young african's, hongera mtani leo umetuweza. Safi❤❤

  • @EmanuelAgustino
    @EmanuelAgustino Місяць тому +1

    Daah kuwa mshabikiwa nikam kuwa mbinguni, ❤ safi sana yanga

  • @HappyHassan-z2k
    @HappyHassan-z2k Місяць тому +1

    Nilijuwa yanga tunashinda ❤yanga

  • @MaliamJakobo
    @MaliamJakobo Місяць тому +1

    ❤❤❤❤❤ yanga nomaaa, ubwelaa poleen, mmezidi maneno tu,

  • @khalifmwenyeheri4956
    @khalifmwenyeheri4956 Місяць тому +5

    Yanga on fwayaaaaa

  • @franciskasanga3491
    @franciskasanga3491 Місяць тому +3

    Simba hii nzuri inahitaji mechi kama 6 ielewane vizuri zaidi.

  • @elishastayo8320
    @elishastayo8320 Місяць тому +2

    Kazi nzuri sana Azam TV pamoja na mtangazaji wake Baraka Adson mpenja. Derby haijawahi kuwa rahisi po pote duniani pale.

  • @sakhilembongenimavimbela170
    @sakhilembongenimavimbela170 Місяць тому +4

    I m worried about Simba's defenders 😢😢😢

  • @geraldmoyo4745
    @geraldmoyo4745 Місяць тому +4

    Dube is a good signing

  • @ReginaPantaleo-rq3oq
    @ReginaPantaleo-rq3oq Місяць тому +1

    Yanga oyeeeh,,,,penda mie yanga mwaaaah

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Місяць тому +2

    Yanga hiii unaifungaje 😂😂🎉❤hadi raha

  • @berabosemansuri2770
    @berabosemansuri2770 Місяць тому +12

    From Rwanda: unprofessional refers ! Young inaibiwa penalty pia na goal Moja ! Fake refer result was 3-0

    • @azizsaid3776
      @azizsaid3776 Місяць тому

      it seems you take a look at one side of the coin. far enough you were supposed to write, fake refer result was 3-1

  • @MudrikMzee-e8p
    @MudrikMzee-e8p Місяць тому +1

    Love yanga ❤❤❤❤❤❤

  • @robie360
    @robie360 Місяць тому +5

    Ila Mpenja daaah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 13 днів тому +4

    Hery sasii hii match ilimshinda au alilipwa na makolo ..
    Kama sio kuwabeba makolo wangepigwa mkono tena

  • @LuqmanTalib-uw7lm
    @LuqmanTalib-uw7lm Місяць тому +3

    Yanga unaifungaje😗🙂🙂🙂🤗🤗

  • @dibadiaz2202
    @dibadiaz2202 26 днів тому +4

    Naona tu uwanja umejaa shabiki sana ningefurahi pia kenya ikuwe tu hivi kwa uwanja yao

  • @Habibuyahya
    @Habibuyahya Місяць тому +6

    Ushind na mke tunaye

  • @ReginaPantaleo-rq3oq
    @ReginaPantaleo-rq3oq Місяць тому +1

    Mwaaaah yanga yangu💛💛💚

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 Місяць тому +2

    Simba ipo vizuri sana kuliko yanga Basi tu bahati yao yanga!

    • @Abillsn
      @Abillsn Місяць тому +2

      Yani matukio yote ambayo mmepigwa bado unasema simba ilikuwa vizuri kuliko yanga!!!!!!??? Aisee mapenzi kipofu kweli

    • @TunuAdam-gc9rc
      @TunuAdam-gc9rc Місяць тому +1

      Nakuunga mkono kwasababu timu yetu tunaijenga kwa mchezo wa leo iko vizuri

    • @elizabethismile6827
      @elizabethismile6827 Місяць тому

      ​@@Abillsn😂😂😂😂😂😂 Hadi position wamezidiwa afu anasema nn😂😂😂 wenyewe wakishika mpira wanaruruka bila ushirikiano .

  • @GabrielEliud
    @GabrielEliud Місяць тому +3

    Team yetu imecheza vizuri japokuwa wengi ni wageni.... Naamini itakuwa bora sana kwenye Ligi... Hongereni sana... Hatuangalii kupoteza ila tunaangalia performance. Nguvu Moja 💪🦁
    Kahuli hile UBAYA UBWELA😎

  • @alexngowa6473
    @alexngowa6473 Місяць тому +8

    Yaani hii YANGA ndio itacheza na Gor mahia ya Kenya 🇰🇪🇰🇪 yetu??Haina haja tucheze wapewe tuu ushundi YANGA hatuwezi wamiliki kwa kweli

  • @dweenyoyo2836
    @dweenyoyo2836 Місяць тому +5

    Mashabiki wa yanga Kenya wapi upendo

  • @Masengo-su3mf
    @Masengo-su3mf 2 дні тому +1

    Kwa kweli

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci Місяць тому +2

    Bacca ❤❤❤ # Zenjiyano

  • @andrewemanuel2213
    @andrewemanuel2213 Місяць тому +1

    Yanga oooyy wimbo hamoniz raaaaah

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Місяць тому +2

    Yanga ilionewa Sana,but hivo hivo ilishinda

  • @FatumaAlly-d3z
    @FatumaAlly-d3z Місяць тому +2

    Yanga wametisha

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Місяць тому +4

    Yanga nilidude likubwa sana

  • @jomaatz
    @jomaatz Місяць тому +6

    YANGA NI BORA KULIKO SIMBA!! KWA SASA WANANCHI WAKO KWENYE SAFARI NZURI YENYE MWENDELEZO ELECTRIC FOOTBALL 💚💛

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Місяць тому +1

    Kocha safi kabisa sema hii defence ya SIMBA inatakiwa irekebishwe vizuri Malone kama vipi apewe thank you mapema tu

  • @Fofo-z6t
    @Fofo-z6t Місяць тому +2

    Aweeee Co kinyonge timu letu lunyasi Ata iweje simba damu❤️❤️💪💪🦁🦁boli limetembea bwana

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Місяць тому +1

      EBU TUFUNDISHENI GOLI LA AZIZI KI OFFSIDE IPO WAPI? Bora ushindi mengine kuhusu refa tusahau

    • @Fofo-z6t
      @Fofo-z6t Місяць тому

      @@damianmcba9525 refa anajua anachofanya

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 Місяць тому

      @@damianmcba9525 LILE LILEFA NI LA KWAO MBWA HAO AZIZ I KI ILIKUWA PENATI NA LILE GOLI LAKE NI GOLI FAL. SANA YULE

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 29 днів тому +1

    We Mpenja bado Yanga sio bingwa umekosea kutangaza ktk. dakika ya 94.8 umewatangaza Yanga ni mabingwa wa kombe la jamii 2024/25. We umekuwa mtabiri? Ahsante kwa kututangaza mapema na itakuwa hivyo kwa baraka za mwenyezi Mungu. Yanga wote gonga like kwa Mpenja kutupa ubingwa.

  • @TwalibYahaya-ef3cw
    @TwalibYahaya-ef3cw Місяць тому +2

    Dube angeelekea uelekeo wa mpira alikuwa anamalizia mwenyewe aisee💪💪👊👊

    • @KenMtitu
      @KenMtitu Місяць тому

      Hapo ndipo tunapomkumbuka Mayele asingewaacha pale

  • @LavisaXipula-kf2pc
    @LavisaXipula-kf2pc 17 днів тому +3

    Lol the match officials were lost 😂❤🇿🇦

  • @FatumaKitambuu
    @FatumaKitambuu 29 днів тому +1

    Mmmmh 01 on trending

  • @KingimmaKelela
    @KingimmaKelela 10 годин тому

    Ila yanga 🔥🙌💚💛😅👊

  • @Saidiamiri-s8i
    @Saidiamiri-s8i Місяць тому +5

    HAMISA UMETUHARIBIA MTU😢

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Місяць тому +3

    Hii mechi simba kabebwa saana

  • @revocatusadrian9262
    @revocatusadrian9262 9 днів тому +3

    Hiv VAR tulioambiwa iko wap😢 hawa marefaree ovyo kabsa

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi Місяць тому +1

    Gemu ngumu sanaaaa ila.hongera yanga🎉🎉🎉🎉🎉

  • @gladnessmushi-ge6fd
    @gladnessmushi-ge6fd Місяць тому +2

    Wamebebwa sana

  • @Saichuma
    @Saichuma Місяць тому +5

    Ubaya uboyaaaaa

  • @MustafaNdalama
    @MustafaNdalama Місяць тому +3

    ❤❤❤❤❤yanga waoooooooh

  • @sofiagao6396
    @sofiagao6396 Місяць тому +1

    Woyoooooo.yanga.hoyeeeee

  • @chacha-255
    @chacha-255 Місяць тому +2

    Miaka inaenda sana, leo hii Simba wanajiona wapo bora kwa kufungwa goli moja, Yanga ni next level.

  • @AnicethAdrian
    @AnicethAdrian 12 днів тому +2

    Weweeeeeee🤣🤣🤣💚💚💚❤️

  • @lucaszacariaszacarias3894
    @lucaszacariaszacarias3894 Місяць тому +4

    Ss yanga kucheza na Simba tuna halibu kiwango chetu.

  • @KhamisiHilali
    @KhamisiHilali Місяць тому +3

    Uwezekano wa simba kufanya vizuri kwenye ligi kuu bara upo watulie wasipaparike na pasi ziwe za UHAKIKA

  • @SASIBuyingArea
    @SASIBuyingArea Місяць тому +4

    Hii highlight ya yanga au yamechi😂😂

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Місяць тому +3

    This highlights is based on yanga side only because Simba has a lot of ball engagement than Yanga

  • @FloraAlfons-mi9ej
    @FloraAlfons-mi9ej Місяць тому +1

    ❤❤❤ yanga

  • @YunusHassan-s2w
    @YunusHassan-s2w Місяць тому +2

    Ubaya ubwelaaaa 😅😅😅 like japo 2 jamaniiii

  • @doreenanthony7240
    @doreenanthony7240 27 днів тому +1

    Simba imejitahidi sna lakini tarehe 19 mwezi October tatu sifuli mnakula , Ubaya ubwela❤❤❤Naipenda simba milele

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Місяць тому +1

    Alhamdulillah💛💚

  • @petrowililo
    @petrowililo Місяць тому +9

    kumbe ukimzid mbio mtu unakuwa ofside

  • @GraceMwenda-y4b
    @GraceMwenda-y4b 26 днів тому +1

    yanga oyeeee

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Місяць тому +1

    Pira gamondi💚🖤💛

  • @pascaljr.5439
    @pascaljr.5439 Місяць тому +1

    Sisi ndo yanga 💪💪

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz Місяць тому +4

    Yanga hii unaifungaje 😂😂😂

  • @UmmukulthumAbdalla
    @UmmukulthumAbdalla Місяць тому +2

    TFF mutazam refa wa kuwawek huy risas anatukosesh penalt hiv hiv na iyona na iyo VIR mueke tunadhulumiw hiv hiv
    hlf leo yang kishasho kimekutoken
    ubaya ubwela ❤❤❤❤❤❤❤

    • @user-vn4zn6jq9k
      @user-vn4zn6jq9k Місяць тому +3

      Wananchi tunasema simulia huku unalia 😭😭😭

    • @stevenemwakasimba-pt8er
      @stevenemwakasimba-pt8er Місяць тому +1

      Tupe jibu goli la pacome na Aziz k shida nini?pia penalty ya master k shida iko wapi?yes pia nanyi mlistahili penalty moja dk za mwisho

  • @OscarlawrenceNachinguru
    @OscarlawrenceNachinguru Місяць тому

    Mungu ibariki daima Yanga tamuuuu!

  • @hamekasimba2168
    @hamekasimba2168 Місяць тому +1

    ❤yanga

  • @user-od5mj7ze8l
    @user-od5mj7ze8l Місяць тому +3

    simba hii weka mbali na watoto hilo goli ni uwezo wa pacome kupiga penetration pass na pia pacome ni defense destructor ndiyo mcheza kaibeba yanga kwa leo . simba wana hitaji more game kutengeza combination hongera kwa washindi hongera simba kwa mchezo mzurii

  • @hekimaforum
    @hekimaforum Місяць тому +4

    Tunaomba Serikali isimamie, Mwijaku atoe Mkewe kama alivyoahidi. 😅

  • @aishaosman-hq7fl
    @aishaosman-hq7fl Місяць тому +1

    Ioooooooooooolll🎉🎉🇴🇲🇴🇲

  • @AlfredSenkondo-mi3wf
    @AlfredSenkondo-mi3wf Місяць тому +4

    Any Kenyan hire

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Місяць тому +5

    Aziz kwa VAR aliku onside!

  • @musaibrahim7287
    @musaibrahim7287 Місяць тому +5

    Dube mpira ulikuwa unaludi kwake kabsa Mapepe ya kushangilia mpira haujapita mstari,,Ingekuwa mayele anahakikisha umepita

  • @kalumbakalumba8794
    @kalumbakalumba8794 Місяць тому +3

    Clear penalty. Poor refereeing all round. Assistants kept raising offside flag instead of waiting for the play to complete.

  • @user-us5cr1tp3i
    @user-us5cr1tp3i Місяць тому +2

    Nice

  • @user-nx7qv1hg2e
    @user-nx7qv1hg2e Місяць тому

    Yanga baba laooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Місяць тому +3

    Likes za paccome 🔥 hapa wananchi professor tunae na tunatamba nae uyu mbaba ataua watoto wa watu

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua Місяць тому +3

    Simba walikua wazuri kila idara sema zare halikusimama

  • @sawarero5015
    @sawarero5015 Місяць тому

    Wooowww our rayon sport of TZ has 🏆💪