HADI HURUMA: MAMA MZAZI wa ASKARI ALIYEMCHINJA BABA YAKE AKISIMULIA KILICHOTOKEA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 січ 2022
  • Mama Mzazi wa Mussa Edward Ndonde Askari wa JWTZ MT.109772 Kikosi cha Ruvu JKT mkoani Pwani Bi Renatha Ndonde ameeleza hali Ilivyo kua nyumbani kabla mwanae kumuua baba yake.
    Bi Renatha Ndonde amesema Mwanae imefika nyumbani mapema leo asubuhi na baada ya kuwasili Jambo la kwanza aliuliza alipo baba yake Mzazi Ambaye Kwa wakati huo alikua kuoga.
    HADI HURUMA: MAMA MZAZI wa ASKARI ALIYEMCHINJA BABA YAKE AKISIMULIA KILICHOTOKEA!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 762

  • @Wasafi_Media
    @Wasafi_Media  2 роки тому +20

    📌ASKARI 'ADAIWA' KUMCHINJA BABA YAKE >> ua-cam.com/video/cURWSMDdQQM/v-deo.html

    • @Mr.JaMwa4289
      @Mr.JaMwa4289 2 роки тому +1

      ua-cam.com/video/__NvL7VuQ70/v-deo.html

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +27

    Ee BABA wa mbinguni kwa uluma yako naomba nikiamini utatenda kawaondolee raho ya ukatili vijana ili wawe na hofu na wewe siku zote za maisha yao🙏🙏Apumzike kwa amani mzee wetu, Poleni sana

  • @havyanine9430
    @havyanine9430 2 роки тому +43

    Mungu bariki vizazi vyetu naogopa naogopa uchungu wako unakupa uchungu🙌🙌🙌🙌 Mungu tuhurumie wanawake sisi

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 Місяць тому

      Kanywa pombe na bangi huyo kamix maana siyo pombe tu imvuruge akili ivyo

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 роки тому +77

    Hii dunia jaman inageuka watoto ndo wanauwa tu wazazi .Mungu tunakuomba ondoa hili roho la mauti 🙏🏽🙏🏽

  • @salmaabdulabdul1057
    @salmaabdulabdul1057 2 роки тому +57

    mwisho wa dunia umeshafika tumrejee mungu wetu ,,,pole Sana mama na familia kwa ujumla kwa kumpoteza mpendwa wetu ,,,😭😭😭😭😭 eeh mwenyezi mungu tujaalie mwisho mwema

  • @oman7710
    @oman7710 2 роки тому +25

    Yaaan nimeumia sana yaan wazazi watulee kwa wema leo wamuua Allahu akbar subhanallah

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 2 роки тому +41

    😭😭😭Pole mama Hawa watoto wetu wanatuua wazazi jamani Mungu utuongoze watoto wetu wanahitaji hekima yako

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 2 роки тому +35

    Inasikitisha sana,mungu atunusuru na tumuombe sana haya matatizo yakome ya kuuana..

  • @siaedward5305
    @siaedward5305 2 роки тому +28

    Mungu atusaidie jamani inaumiza mnooo pole sana mama

  • @annahchaz5537
    @annahchaz5537 2 роки тому +51

    Tanzania serikali tunaomba tuweke japo siku2 yakufunga mashekhe na mapadre jmni imekua to murch sis pekeyetu hatuwez bila msaada WA mungu

    • @richvetty3243
      @richvetty3243 2 роки тому

      Umeongea point

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 2 роки тому +4

      Mambo makuu matatu ya kuombea
      1.Serikali
      2.Hali ya hewa
      3 Mauaji
      Mungu tusimamie

    • @vitabuvyamahesabu5275
      @vitabuvyamahesabu5275 2 роки тому

      Jmn n kweli kabisa ndg yang...maombi y pmj yahitajika

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 2 роки тому

      @@mamachris6811 kweli maana sasa tunaanza kuuawa nawatoto wetu,wazaz nao kuua watoto mtihani

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 2 роки тому +17

    Pole Sana mama maumivu Mara mbili mume na mtoto kiukweli kiatu chako sikiwez na hakinitoshi hata sekunde moja pole Sana mama angu

  • @umibana6759
    @umibana6759 2 роки тому +9

    Pole Mwanamke mwenzangu kwa kuzaa kizazi hichi cha Nyoka, Mungu atunusuru woote maana hatujui saangapi hizi Nyoka zita tugonga. Tuombe Mungu atunusuru nao

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma3731 2 роки тому +44

    Innalillaah wainna ilaihi Raajiun Pole sana Mama yangu umempoteza Mumeo Kichwa cha familia na unampoteza mtoto wako pia. 😭😭😭😭

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 роки тому +15

    Tumrudie Mungu vijana shetani anacheza na sisi 😭😭 matukio ya watoto kuuwa mzazi yamezidi jamani nyie Ee Mungu tusamehe Waja wako 🙏🏼

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 роки тому +24

    Poleni sana wafiwa , jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl

    • @emmanuelletema6165
      @emmanuelletema6165 2 роки тому

      Ww nawe na makolokolo yako😔 ..wenzako wana msiba huko ww umekomaa na makuruani utafikir ww ndo malaika kweli

    • @aishaally4912
      @aishaally4912 2 роки тому

      Mungu akusamehe... Maana unavyosema makolokolo ... Unafananisha na nn hy quraan

    • @betterlifehouseholds1016
      @betterlifehouseholds1016 2 роки тому

      @@aishaally4912 /Poleni
      Lakini tafuteni maombi
      Kuna mtu hapo
      Mwindani wenyu anawamaliza Kima Pepo
      Nenda mama kwa maombi

  • @subiraadam2322
    @subiraadam2322 2 роки тому +14

    Duuuuuhhh😭😭polen bha kukaja mweeeeh pepo gani hili Mungu awatie nguvu,tunamhitaji Sana Mungu kipindi hiki tulichonacho n kigumu Sana.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 роки тому +23

    Pole sana mama yangu jmn hadi naumia eti!!! Kweli maisha bila Yesu ni matatizo.

    • @husseinhamis1428
      @husseinhamis1428 2 роки тому

      yeah ndo alokuumba wewe watu wengine bhana sijui mnasizigi af ndio mnakuja Ku comments

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 2 роки тому

      Huyo Yesu mwenyewe ndio naye mnasema kauawa, ndio dhambi ya kuuwana inaendelea hiyo.
      We Mica Mathew vipi

    • @user-gi4ls3bh3l
      @user-gi4ls3bh3l 2 роки тому

      Sasa yesu nini kaigiaje

  • @veronicatweve8908
    @veronicatweve8908 2 роки тому +14

    Pole Mama M/Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu mnoo kwako yaani umepoteza mume wako pia kijana wako atafungwa kwa kosa la kuua 😭😭😭😭😭

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 2 роки тому +7

    Huu mwaka umeanza vibaya Mungu aingilie kati atuhurumie 😭 poleni sana wafiwa

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 2 роки тому +1

    Mama awe pole sana. Shetani ni kumbe mbaya sana, hafurahi kuona mkimaliza maisha haya salama usalimini.
    Tumpige vita kwa nguvu zetu zote, na tukiondoa vile viashiria vyake, pombe, chuki sisi kwa sisi, na hata utumwa mbovu utakao kua chanzo cha kuponza akili zetu kujidhuru ama kudhuru mwengine.

  • @dianangailo9878
    @dianangailo9878 2 роки тому +7

    Poleni Sana mamaangu ( Mwalimu wangu ) kwa kuondokewa na baba yetu 😭 😭 Mungu akupe ujasili

  • @dickymediapro4179
    @dickymediapro4179 2 роки тому +11

    Dah.! Pole Mama.
    Yani wazazi wakulee na kukusomesha kwa shida upate kazi badala uwasaidie unakuja kuuwa hata hawajakula matunda ya mafanikio yako.Mungu atuhurumie
    R.i.p Baba,umemlea mwanao kishujaa na umekufa kishujaa,inauma sana

  • @yunismahanga2871
    @yunismahanga2871 2 роки тому +4

    😭😭😭😭😭 mwenzenu mpaka naogopa kuingia kwenye mtandao maana kila nikiingia ni matukio Tu mungu tuhulumie 😭😭😭 we mtoto Baba amekukosea nini nimeumia sana

  • @fatumaabdala4697
    @fatumaabdala4697 2 роки тому +1

    Allah yaallah , poleni Sana wazazi tuombe Dua Sana, watu wa mkoa wa pwani , inauma sana

  • @alicembaga6350
    @alicembaga6350 2 роки тому +1

    Pole Sana mama mungu akutie nhuvu mama kwa pito gumu lakumpoteza mwenzako,

  • @benskissy8238
    @benskissy8238 2 роки тому +13

    Hakika Mwenyezi Mungu ndio anajua hukumu ya mwenye dhambi, RIP

  • @amosmichael487
    @amosmichael487 2 роки тому +3

    Poleni sanaaa

  • @selinamashoko2490
    @selinamashoko2490 2 роки тому

    Pole sana mama...M/Mungu akupe nguvu katika wkt huu mgumu wa Majonzi!

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema8631 2 роки тому +5

    Daaaaaaah Nyakati Za Mwisho Hizi, Wanajeshi Mungu Anawaona.

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 2 роки тому +1

    Poleni sana. Mungu aturehem.Amen.

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 2 роки тому +2

    Poleni sana pole mamaaetu

  • @002RYE
    @002RYE 2 роки тому +5

    Bongo kumechafuka😪so sad.Allah atulinde na kutuongoza🙏watching from Kenya🔥

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 2 роки тому +3

    Pole mama pole

  • @danielmwamahonje9852
    @danielmwamahonje9852 2 роки тому +12

    Mungu Mungu Mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 роки тому +12

    R.i.p Baba!

  • @KesheMedia
    @KesheMedia 2 роки тому +12

    Yani nimelia jamanii..Mungu tuondolee hili pepo la kuua wazazi

  • @deopamedia
    @deopamedia 2 роки тому +10

    Pole sana mama na familia kwa ujumla Mungu awafariji kipindi hiki kigumu cha msiba

  • @cautharyally5584
    @cautharyally5584 2 роки тому +4

    Pole sana mama angu mwenyezi mungu akutie nguvu mama ... ivi kwann hii nchi isingeweka utaratibu ule ukifanya kosa la mauaji na wewe unyongwe🤔mbona nchi nyingine wanaiyo taratibu,wakiweka iyo taratibu nadhani watu watakuwa na akili maana tunaendekeza sana roho za umauti

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 2 роки тому +8

    Uturehem Ee Bwana kwakua tumetenda dhambi, waondolee vijana wetu roho ya shetani ilio wavamia na kuwaletea kutenda yasio faa katika family na jamii nzima 🙏🙏🙏

  • @yassiraliy8174
    @yassiraliy8174 2 роки тому +2

    Pole mama

  • @morombotv
    @morombotv 2 роки тому +2

    Pole sana mamaa

  • @bettykarimi9267
    @bettykarimi9267 2 роки тому +2

    Pole Sana mama

  • @mwanrique
    @mwanrique 2 роки тому +4

    Pole sana sana Mama! 🙏🏾

  • @tofautinamalengo5035
    @tofautinamalengo5035 2 роки тому +1

    Pole sana mama angu mungu akutiye nguvu

  • @christinemangaza6303
    @christinemangaza6303 2 роки тому +2

    Pole sana mama 😩😩😩

  • @marrynyagawa6997
    @marrynyagawa6997 2 роки тому

    Pole sana mamaangu ,Mungu akutie nguvu sana pamoja na wafiwa wote

  • @giftramadhani9275
    @giftramadhani9275 2 роки тому +4

    pole mama🥺 pole sana mamaangu

  • @mourinebey_kenya7027
    @mourinebey_kenya7027 2 роки тому

    Pole sana Mama na Family nzima. Mwenyezi Mungu Mwenye Rehema Awatiye nguvu inshallaAh 🙏🏻🙏🏻😭😭😭😭

  • @enithanelson8418
    @enithanelson8418 2 роки тому

    Duuuu! Mwenyez Mungu atusaidie kuufikia mwisho mwema na tunapoyaona haya yanatokea mahalimahali tujue yesu yu karbu jaman tuache maisha ya anasa tumugeukie Mungu mathayo 24:1........

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 роки тому +13

    Walahi Mama umeniliza sana! Mama Pole sana sana!

  • @FadyFs
    @FadyFs 2 роки тому +12

    ile nyimbo ya marioo bia tamu ifungiwe na isiwe ruhusa kupigwa sehemu yoyote

    • @calvinsilayo2052
      @calvinsilayo2052 2 роки тому

      Wew kwa upeo wako Ni kuw alikuw amelew au

    • @FadyFs
      @FadyFs 2 роки тому

      @@calvinsilayo2052 ndio... Kwani hauna masikio??

    • @calvinsilayo2052
      @calvinsilayo2052 2 роки тому

      @@FadyFs ttz siyo ilo bro ishu n kwamb wew unaon n pombe imefny ivyo

    • @FadyFs
      @FadyFs 2 роки тому

      @@calvinsilayo2052 amna jipya zaidi ni kwamba wew jamaa unatetea vileo..

    • @calvinsilayo2052
      @calvinsilayo2052 2 роки тому

      @@FadyFs ningekuw natumia saw lkn Mimi nimelet hoj nyingine mezan coz huwez kuniaminish moja kwa moja ety akili y pmb ndo imefany ivyo.

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 роки тому +5

    Poleni sana wafiwa inauma sana 😭😭😭😭

  • @irenebellabellah4003
    @irenebellabellah4003 2 роки тому

    Pole sana mama.. Mungu akutie nguvu

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja444 2 роки тому

    Poleni sana mama. Nimesikitishwa sana na kitendo alichokifanya huyo kijana Kwa kukatisha maisha ya mzazi wake

  • @hamisayusuph5966
    @hamisayusuph5966 2 роки тому +1

    Pole sana mama imeniuma sana nimelia kwa uchungu unavyosimulia tukio la mwanao kumuua baba yake

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 роки тому

    Pole mama...nimeumia sana

  • @abubakaryally8797
    @abubakaryally8797 2 роки тому +2

    Pole Sanaa sana Mama

  • @gatichacha4708
    @gatichacha4708 2 роки тому

    Pole sana

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 2 роки тому

    Poleni sana ndg zetu daaah mwenyezi mungu akupe amani na uvumilivu kwenye ili mama

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 2 роки тому +1

    Pole mamangu mzazi, kweli inauma

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 2 роки тому

    Daah!!! Mungu kaa nasi.Nikiasi gani Mungu umetuacha.Utatuacha mpaka lini Baba.Tunakuhitaji katika taifa letu nawatu wake.Hali imekuwa mbaya sana sana sana.

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 2 роки тому

    Pole Sana mama damu ya Yesu Kristo ikufariji, Baba alikuwa na haki ya kumeonya mtoto wake, poleni sana

  • @siwemampulule3180
    @siwemampulule3180 2 роки тому

    Pole sana mama Mungu akutie nguvu

  • @joycekalembo2225
    @joycekalembo2225 2 роки тому

    Pole sana mungu azidi kukulinda

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 2 роки тому

    Pole Sana mamaangu.umeniliza sana.nawatu wambeya wanavyoliaga kwa uchungu

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu6822 2 роки тому

    Pole mama m/mungu akutie nguv

  • @aishanasri7561
    @aishanasri7561 2 роки тому

    Pole mama Allah akufanyie wepes inshallah

  • @juliethajames3043
    @juliethajames3043 2 роки тому

    Mungu wangu pole sana

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma3731 2 роки тому +32

    So sad sana Mama analia MAMA (Pepo ipo chini ya nyayo za wazazi wawili) how you can kill them 😭😭😭

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 2 роки тому

    Innalilah wainnaillah rajiuun pole sana mama angu Allah akupe subra na akufariji nafsi yako
    Yarabiy tusitir waja wako katika hii dunia

  • @abubakariomari4660
    @abubakariomari4660 2 роки тому +23

    Utaona kwanini mwenyezimungu ameharamisha pombe, kila kilicho haramishwa na mwenyezimungu kina madhara, Sawa Sawa tuyajue au tusiyajue.
    Lakusikitisha ni kua baadhi ya wanadamu wanahalalisha viliyoharamishwa kwa kuvipa majina mbali mbali na mazuri, nakujifanya kutoa faida za kisayansi nk, katika hivyo viliyoharamishwa.
    Tufahamu alietuumba anatujua zaidi na anaju kila kilicho na faida nasi na kisichokua na faida.
    Hivyo tusimame alipotuamrisha.

    • @coazoneone1174
      @coazoneone1174 2 роки тому

      kwahiyo ukichukua statistics za mauaji kama hayo wengi ni pombe kuliko yaliyofanywa na wasio kunywapombe? au wanagapi wanakunywa pombe na ni wastaarabu hawana matukio mabaya? watu kila siku wanauana,wanabaka na pombe hawanywi

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf 2 роки тому +7

      Walevi watateteana tu!! Hakuna shaka pombe inamadhara makubwa sana

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 2 роки тому +1

      @@coazoneone1174 ata magomvi mengi kati ya wanandoa uletwa na pombe

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 2 роки тому +1

      Al-Qaida, Al-Shababu, Boko Haramu hawanywi pombe na ni wauaji wakubwa! Unasemaji Bwana Abuuuuu!!

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf 2 роки тому +1

      @@mimiraia2531 Hata kama mauaji mengi yanafanywa na wasokunywa pombe lakini pombe pia inamchango wake mkubwa na kuna vifo vinatokana na unywaji wa pombe kama hichi!!! Inshort pombe ina madhara makubwa, sema kweli atakama ni chungu

  • @gabriellafaith6128
    @gabriellafaith6128 2 роки тому +36

    Spirit of death 🥺Polee mama na MUNGU akutie nguvu, pia omba something is not right

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 2 роки тому

    Daah pole saana mama Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu 🙏

  • @morombotv
    @morombotv 2 роки тому +1

    Msenge sana sana

  • @bebbybebby655
    @bebbybebby655 2 роки тому

    Pole sana mamangu

  • @heriethjoram3298
    @heriethjoram3298 2 роки тому +1

    Mungu Wetu Wa Rehema Turehemu sisi.

  • @ibragabi3264
    @ibragabi3264 2 роки тому

    Poleni mungu atusaidie

  • @omarkalita5340
    @omarkalita5340 2 роки тому

    Poleni sana kwa msiba

  • @xl6941
    @xl6941 2 роки тому

    Pole sana mama

  • @carolinejulius3913
    @carolinejulius3913 2 роки тому +26

    Watu wa aina hii mimi napeleka moja kwa moja kwenye kitanzi hakuna mahakamani wala haki za binadamu hapo ondoa takataka hii hapa duniani

    • @gracepius9762
      @gracepius9762 2 роки тому +1

      Nikweli kabisa jamaniii uwiiii baba kajifunga mkanda kumsomesha Leo anamtoa uhai wake??? Inauma ...

    • @mariammwendakazungu5783
      @mariammwendakazungu5783 2 роки тому +1

      Kweli ht dini inasema ukimshuhudia mtu kauwa basi inpaswa umuuwe nawe inauma sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 роки тому

      @@mariammwendakazungu5783 dini ipi?

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 2 роки тому

      Haki za bnadamu ndy wNazngua kbsa maana polis wakitaka kumuua ila haqi za bnadamu wanazuia kuua

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 2 роки тому

      @@mariammwendakazungu5783 kwel kbsa rafk angu Yan ingekua uarabuni na yy vlevle anachnjwa

  • @tumainichirwa1945
    @tumainichirwa1945 2 роки тому

    Poleni sana wanandonde wenzangu

  • @ariannamendes8006
    @ariannamendes8006 2 роки тому

    Pole san mama mungu tusaidie hii imeharibika

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 2 роки тому

    Mama pole mungu atakupa subra dah inaumiza sana mtoto unamlea unasomesha leo anakuja kukupotezea maisha kwa kweli tuzid kuwaombea Dua watt wetu waondokone na mabilisi haya

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 2 роки тому

    Doooh! Inasikitisha sana kwa kweli..... Tumwombe Mwenyezi Mungu atujaalie watoto wema

  • @josephinerclemence7804
    @josephinerclemence7804 2 роки тому

    Pole mama angu mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu pole yaani hdi choz limenitoka

  • @dicksonmtweve1435
    @dicksonmtweve1435 2 роки тому

    Poleni sana

  • @kulwakosei8461
    @kulwakosei8461 2 роки тому

    Mmmmmh poleni sana

  • @mwaijakhalfan7817
    @mwaijakhalfan7817 2 роки тому +1

    Pole mama yangu

  • @rossemaryeliya6113
    @rossemaryeliya6113 2 роки тому +2

    Daaa mungu tuhurumie

  • @fredymaswimwita3091
    @fredymaswimwita3091 2 роки тому

    Poleni saana,, angaliyeni laani za familia,,

  • @joshuamchiwa861
    @joshuamchiwa861 2 роки тому

    Inauma sana. Pole sana Mama na Mwalimu wangu tokea darasa la kwanza na la pili. Vijana tunatakiwa tujitathmini sana, maana inakuwa inapitiliza sasa.

  • @saniakisinga3645
    @saniakisinga3645 2 роки тому

    Mama pole sana, muombe Mungu pepo la mauti hilo ktk ukoo na familia,lishindwe kwa jina la yesu.

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 2 роки тому

    Mtoto wazazi wamekulea kwa shida Leo unamuua baba yako!umesomeshwa na umepata kazi,shukrani yako ndo hiyo kwa baba yako!

  • @georgespenser1038
    @georgespenser1038 2 роки тому +1

    daaahhh,, aiseee,, inauma sanaaa

  • @kulwamsigwa3325
    @kulwamsigwa3325 2 роки тому +2

    Pole mama anguu

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 роки тому

    Pole sanaaa mamaa

  • @fatimamowa8166
    @fatimamowa8166 2 роки тому

    Pole mama Allah akupe subira

  • @saadaalhabsi2517
    @saadaalhabsi2517 2 роки тому

    Poleni mama

  • @pamelammari6301
    @pamelammari6301 2 роки тому

    Pole mamangu

  • @kaijagepaulmungunisaidie2598
    @kaijagepaulmungunisaidie2598 2 роки тому

    Poleni sana wafiwa