MAUAJI YA KUTISHA DSM! MUME AMUUA MKEWE KWA KISU/PESA NDIYO CHANZO
Вставка
- Опубліковано 6 чер 2022
- MAUAJI YA KUTISHA DSM! MUME AMUUA MKEWE KWA KISU/PESA NDIYO CHANZO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Mama ulokuwa unatetea hao watoto,Mungu akuweke sana,una busara,Embu Mungu akakupe kacheo cha utetezi.
Kbsaa amejitahid kuzingumza Kwa hekima mnoooo
Yaani mume kaua mke kachukua pesa yake halafu ndugu wa mume wanawahi kuchukua vyombo halafu watoto wabakie bila kitu chochote yaani bongo ubinamu umekwisha yaani mtu kaua kwa laki sita tu na watoto wamebaki yatima nawaonea huruma hao watoto maana wataanza maisha mapya bila wazazi
Mwenyekiti hongera sana.washindwe hao ndugu na walegee kwa jina la Yesu.mnakimbilia mali ni yenu?
Huyo sio mwanaume ila khanithi barazuli mjinga mshenzi hajitambui yaani mwanamme mzima anamuua mke wake kwa pesa tena pesa katafuta mke!!!
Mmmh jamani wanaume tuwaogope haki
Poleni sana.
Mheshimiwa waziri anayeshughulikia matatizo ya wanawake na jamii ,nakuomba utafute ufumbuzi wa tatizo la mauaji ya wanawake kila siku nchini Tanzania.
Pole sana mdogo wangu baraka wazazi wasio jielewa ni tatizo kubwa
Kbsaaa yanii wanaleta uchungu kwa watoto sijui itakuwaje jmn 💔
Mwenyekiti Yuko sahihi kwanini wanawahi kuchukua mizigo
Mngenyonga wachache wa mfano na watu wakaona, basi hayo manunda yangejifikiria kabla ya kuua binaadamu mwenzao.
Hii hali inayo endlea kwa sasa siyo ya kawaida shetani amesha mwaga miroho michafu watu wanauana ovyo tuombe sana🙏
Hawa akina juma Abdala na Saidi mmmh
@@maryjonh311 Hata kina John na Frank nao hawajapoa.Ni kumuomba MUNGU tu.
@@aishahazary4097 umeonaee akunamajina ni kuuwanatu
AMIIIN
AMIIIN
Hujazikwa watu washakuja kubeba kila kitu chako😭😭
Bunge linacha kuongelea mambo kama haya ya kikatili wanamaliza ya kupiga sarakasi bungeni na kuimba nyimbo ya mama amina
Kweli. Ni uozo toka juu mpaka chini. Serikali hovyo sana hii
😔😔😔😔
Yaani naona Serekali ndo inasababisha haya matukio kwanini wasichukue uwamuzi wa nae uwa auwawe
Asante mwk wa mtaa hao ndugu mazuzu sana bila kuwaza msiba wanawaza vitu wanataka hao watoto wataishije
😭😭😭kila ck Joyce kiria anayasema jmn kwenye mahusiano ukiona unapigwa ujue hpo sipo kuna baadhi ya watu wanampiga hy sasa mauwaji kila kukicha mume kuuwa mke mke kuuwa mume 😭😭😭mungu atufanyie wepesi inshallah
Nikiwa mdogo,nilisema " sitapigwa mara tatu" ni mara mbili naondoka
@@mamachris6811 🤝🤝
@@mamachris6811 🤝🤝🤝
Mtakuja kuelewa tu kuwa nchi hii saizi iko chini ya shetani! Ila kwa vile hatuna macho ya kiroho tuendelee! Viongozi waliopo hawana baraka za Mungu!
P1 sana
Unamtoa mtu roho kisa laki sita kweli jamani
Dua zinaitajika kwa sana Tanzania yetu viongozi wa dini wakae wapitishe dua Maana hali inatisha
]
DDC Mlimani park, mnanionyesha njia yakwetu
Jmn mauwaji ni meng sana ckuhz
Sana m mmoja naogopa ata kuolewa au kuwa na mausiano kwa ss ngj nisubili kdg
Tumuombe sana mungu shetani yupo kazini
Biiiiiig up mwenyekiti.hao ndg wana tamaa ya mali tu. Hata hawaoni uchungu na uhai wa mtu aliyepotea kikatili. Tena na wao mngewakamata wawekwe ndani. Nimeipenda sana mama aliyekuwa anawatetea watoto. Hii dunia kweli inahitaji maombi.
Tena ni wapuuz kweli kweli
Ambona tangu magufuli atangulie mauwaji mengi sana raisi na vyombo salama inabidi wawe makini sana nchi inachafuka msifurahie mabarabara na mijengo mkajuwa ndio maendeleo
Maandiko Matakatifu yanasema siku za Mwisho mtu ataomba akutane na Simba lakini sio Binadamu, maana watakuwa wabaya zaidi kuliko wanyama. Ndicho tunachoshudia leo. Taifa liingie kwenye Toba, Mungu atuondolee laana hii inayoendelea. Mungu atusamehe.
Jmn dunia imeisha
AMIIIN
Hongera mwenyekiti kwa kuwasaidia hao watoto wapate haki Yao vikienda kwa hao ndugu wenye tamaa watoto hawatapata
Jamn na cc wanawake hebu tujiongezage jaman yaan unapigwaa maalama,upo tuu ona Sasa unakufa unaacha watoto wako,Kama angejiongeza mapema mwanamke mwenzetu si ajabu yasingemkuta hayaa,ewe mwanamke ukiona jitu halisomeki sepaaa mapemaaaaa
Inalillah wainnaillah rajion maskini watt watateseka baba atafungwa maisha mama yao hayupo Tena duniani
Ewe mwenyezi ilaze roho ya malehemu amina
Hao ndugu wa mume waliokuwa wanaamisha vyombo nao wangekamatwa watoe ushirikiano itakuwa ndugu yao alipo wanapajua na ndio maana kuwatuma waamishe vyombo
Inalillahi wainailahi rajuun poleni watoto Allah atawakuza lnshaallah 😭😭inauma lakini hakuna jinsi.
Polenì sana 😭
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu
Poleni sanà
Poleni sanà
Pesa yake imemtoa uhai, Hilo janaume si lingeenda kuuza vidole vyake apate pesa, poleni watoto na ndugu za marehemu.
😭😭😭😭
Wez hao waupande wa mwanaume
Wanaume jamani.yaan wake tutafte ela mzitake.tukae tu eti tunajza choo.sa tuwafanyeje nyie viumbe
Umeonaaa wenzie wanauzaa hata vodoree wapate pesaa Sasa yeye anamuua mkeee kisaa raki sitaaa mjinga kabisaaa huyoooo
Ndugu wanafikria mali tu badala ya kufikria watoto ambao hawajui hatima yao Mungu wape nguvu ktk kipindi hichi kijana komaa na mdogo wako usiruhusu ndugu wamchukue kama una mashaka nao
Poleni sana watoto wa marehemu Mungu akawakumbuke wanangu
Pole xana na mungu awaxaidie
Nimeumia sana 600000 inaoia roho ya mama ambaye watoto wake bado wanamuhitaji kwa malezi eee Mungu tusaidie sijui tunakwenda wapi
Hawa ndugu wa mume hawana hata haya. Rohooo
Wakinamama oyeeee ,,,,majirani oyeeeee
Mama asante sana unaongea ukweli wengine wanaona mteremko
ndugu wa mme wanataka vyombo 🙄🙄🙄🙄
😭😭😭😭😭Ee Mungu tuonekanie taifa la Tanzania Baba
Na hiyofamilia ni waroho wa Mali wanajuaje kama Mali za ndugu yao
I still don't understand why women entertain their abusive relationships
Yaani nikiskia hizi habari zawanaume kuuwa wakezao hapa bongo nachoka kwanini mutudhulumu sisi wanawake ambao sisi pia ndio mamawawatotowenu 😭😭😭naumia kilakukicha lkn kaa ukijua mbiza sakafuni uishia ukingoni labda wende marekani lkn hapa bongo utapatikanatu tena wanafaa wapewe kifungo chakazi ngumu maisha jela maanakunyongwa itakuwa ajapitia maumivu mamamzazi wamke anapitia
Jamani watoto wasaidiwe na ustawi wa jamii kwa sababu naona hali siyo nzuri ndugu mara hii wanataka vyombo hata uchungu kwa watoto hakuna hii ni hatar sana kwa kweli
Mungu abariki hawa wamama ..hizo vitu singeenda hivo..Mungu uwalinde watoto wa marehemu🙏
Duuh hawa wanaume imekuwa too much sasa!! Shuwain wahed
Wahed hv inamaana gan😀
@@obeydmwemezi3663 wahed ni mmoja😂😂
Yan tunaishi nao Kwa hofu kubwa
Inalilah waina Lilah la juun mungu amlaze Mahalia pena Pepon Amin
Mwenyekiti hngera sana
Naliomba jeshi la polisi Tanzania liangalie hii hali iliopo Kwa ss mauaji ya mezid na piah Bunge liongelee haya mambo bungen sio mnaongelea kuhusu kosata tu
Hao ndugu wa mume hawana hata haya lo!! Hawana uchungu kabisa na watoto utazani wanafurahia ndugu yao kutoa roho ya mama wa watu! Mijitu sijui ikoje sikuizi daah
Kama ndugu yao Wana roho za tamaa hao
Daaa poren sanaa watoto kuondokewa na mamaaa
Mwenyekiti yupo sawa
Mmm hatar kila kikicha mauaji
Kipind nimeolewa nilipingwa kofi moja nilitoka adi leo ni miaka 8 niliona nisije kuumia
Wanwake tunakutana na mengi sana na mbaya baazi ya jamiii azituamini wanaamini wanawake waongea sana awana eshima bila kujua mungu atusiaide wanawake sana jamani tunapitia mengi sana mungu wangu mungu atusaidie sana jamani uwiiii
Mbona wanaume tunakuwa makatili namna hii , ehee mungu atuepushie haya maahsira sisi wanaume
Sana Mungu awasaidie
Mwenyeki safi sana 👍
Wanawake sisi wenyewe tunapenda kupigwa hivi unapigwa maharama kibao Bado upo tyu kisa umezaa inasikitisha kwakweli hata Kama unaofia kurudi kwenu kisa Kuna maisha magumu kwani huyo bwana si alikukuta umekuzwa kwenu manyanyaso yakizidi ondoka maisha yamebadilika mtu aofii kuuwa
Sirudi kwetu naenda kuanza maishamwenywe
Nikweliii wasivipeleke nihaki ya watoto
Watu Wana roho ngumu khaa,mtu hata hajazikwa wameanza kuhamisha vitu? Mmhh
Mwenyekiti safi sana
poleni sana yaani watoto wapelekwe upande wa mama yake marehemu
Mwenyekiti uko vizuri ao wanataka kumficha ndugu yao
Loooh
Pesa zake zimemua😭😭😭mume Mario huyo atafutwe afungwe
Mtoto nae anaonekana mkavuu sijui ndio hana uchungu
Hiyo Familia ya Mme wanaroho mbaya Sana,,,yaani waue alafu wachukue vitu
Mwanamke mwenzangu ukiisha ona mmepishana kauli halafu tabia ya mumeo unaijua anza kuondoka
Safi kabisa mwenyekiti
Uko sahihi mama na wewe kaka uko sahihi viandikwe..my poleni sana wafiwa..innalillah wainna ilaih rajiun
Eeh Mungu
Pesa yenyewe laki 6 mtihani kwakweli
Jeshi la Polisi Tanzania lilishatoa maelekezo kua ukiona sintofaham ktk mazingira yoyote yale toa taarifa Kituo chochote cha Polisi kilicho karibu yako ili kuepusha haya yanayotokea
Inalilah. 😭mtangazaji sauti kma ya zamaradi mketema❤
Ninaomba mawasiliyano ya hao
Watoto ili niweze kutoa pole
Nichangie kidogo Poleni sana
Watoto
Mungu atusaidie sana laki sita inaua mtu!
Sasa Kwanini hamjawapigia simu polisi
wamama nimewaelewa sana, hakika mukiamua mnaweza, hawa jamaa wanaohamisha vitu waisaidie polisi kumpata mtuhumiwa
Qmenitoa machozi
Alikuwa anafanya kazi gani
Watu wazima akili ndogo Kama ya mtoto 😓😢,watoto wameathirika vibaya sana ,wanahitaji watu kuwaliwaza,sio kuanza huo UPUZI WA kuhamisha vyombo🤔😓😢, Doo,wanadamu kweli hamna roho za huruma,WATANZANIA mlio mahali hapo pa mkasa,mmenishangaza SANA,kwa roho zisizo na huruma,kwa akili zisizofikiria, wallahi MWENYEZI MUNGU hajafurahishwa na mnayoyafanya,maamuzi yenu yamenisikitisha sana😢😢😢(WATCHING FROM KENYA)
daaah😭😭😭😭poleni wanangu hili liuwaji lilishindwa kutafuta hela zake kwa jasho lake ona sasa umeuwa mkeo umekimbia utaishi maisha mabaya sana bora na ww ujinyonge mkono wa sheria utakupata tu mshenzi mkubwa unaroho ngumu ww muuwaji poleni
Pesa utafute kwa jasho limtu lije lichukue kiurahs tu ukute mizigo wa kulea familia kakuachia
Wanaume wanaume Mungu anawaona. Mtapata laana kwakutowa roho za watoto wawatu.
Wakamatwe wamtaje ndugu yao alipo sio wanachukua vitu
Kaka zangu mlio oa kwani mnaferi wapi kuua wake zenu bila huruma inaniumiza mno hasa nikifikilia awo watoto 😭😭
Ndugu wa mume wanajua nini kuhusu mauaji hayo mbona wanawahiya vyombo vya marehemu? Waisaidie polisi kupatikana muuwaji ambae ni ndugu yao sivinginevo
Daah Naona pesa kweli imekua ngumu sana
Uundio ugaidi wa Tz tunako elekea nikubaya zaidi
Sana duuh 😭😭
Joyce kiria kila siku anasema
Sasa we muandishi unauliza swali gani lakiseng eti kwabini mnataka vitu viandikwe ?? 🙄
Duuh😓
Tatizo wanawake wakipeleka kesi kama hizi polisi unakuta hawasikilizwi kwa umakini na wengine hufukuzwa wakamalizane ndani kifamilia but inapotokea watu wameuana ndo wanakuja na mabunduki yao sasa.
Yaani mwenzao Amekufa wao wanakimbilia kuchukua vitu hawana ata huruma dunia imekwisha
Mmmmh jmn mbona wametoa vituu fasta jmn
Hili jamaa ni senge si akauze vidole Zimbabwe.
Duniani inaenda kasi sana duh pesa ni shetani kweli
Mwenyekit hongera sana kwa msimamo uliouchukua baba yaan wangeondoka na vyombo watt wasingepata hata kijiko na ukizingatia asilimia kubwa vyombo hununuliwa na wanawake Mungu akurinde mwenyeti bigup sana kwako
Mungu wasaidie watot o katika Uwezavyo Maana wewe NI Mungu wa Pekee
Mbona watanzania mwauwana ivo astaghafiruuu hivi samia yuko wp jmani ama muute mashekhe mfanye baraza la kiislam 🤔🤔🤔
Kweli nimetokwa na machozi maana mtu anadiriki kumuua mwenzie..
Daaaah yaani kweli laki 6 unaua mtu duuuuu!!!....
Wanaume tufanye kazi, tusipende kitonga.. wanaume wengi siku hz wanahudumiwa badala ya kuhudumia familia.
Kumbe munalijua ilo ndio maana muna2uwa
@@gulfomanbb2119 pesa na mali zote za mwanaume...piga kazi,lete hesabu yote mezani, matumizi napanga mimi,pamoja na kuhudumia mchepuko
@@josephlorri431 subu2
@@gulfomanbb2119 hahaa huogopi gunia la moto
Duh ninja imeisha poleni sana
Watanganyika, hatar kwa pesa, sioi bongo noma laki sita ameua mkewe noma
Jamani tuthamini uhai WA MTU
Yani nashindwa cha kuongea, Mungu nisaidie nikae kimnya tuu mana dunia inatisha jamani
Mwenyekiti apewe ulinzi
😢😢
😅😅Tumechoka sasa
Kama ilivyo kwenye kila nyumba kumi kuna mjumbe...bas serikali inabidi kwenye kila nyumba kumi vile vile serikali iweke watu wa saikologia waweze kuzungumza na watu wenye uhitaji ....watu wanaumemwa siyo malaria bali kiakili afya haziko vizur ... people wanahitaji matibabu ya afya ya akili