Congratulations st.Maxmillian for good performance in this concert may sir God gives his blessings all,this how we like ,Performance,high confidence .Segerea hoyeeee
Mungu awabariki watu wa Mungu❤ Huu ni ushauri kwa karibia kwaya zote za kikatoliki Mnaporekodi live perfomance. 1. kinanda kinasikika sana kuliko sauti hasa sauti ya 2, 3 na 4 yaan sauti ya 1 hufunika karibia sauti zote hii si sawa. Sasa sijui kipunguzwe saut au nini ila kinanda inakuwa kelele. 2. Utamkaji wa maneno bado ni shida, hii ni injili, na ili injili iende mbele lazima tuelewe au tusikie mnasema nini, hii pia inasaidia maana kuna mda kama watu wanatukana hvi. 3. Kama waimbaji/wanakwaya fanyeni uwekezaji kwenye mitambo ya kisasa ya kirekodi live perfomance na vipaza sauti watu wajifunze kutumia, Mwisho sauti ya kwanza wanapoimba ala za juu husikika kama kelele maana wengine hawafiki sasa ile kama kulazimisha inaharibu na hii nimeiona kwa kwaya nyingi za kikatoliki
Asante kwa ushauri tutajitahd kuufanyia kazi Tunashukuru sana Kuhusu mitambo ya kisasa ndo tupo katika mchakato huo ubarikiwe sna ndugu asante kwa sapoti yako🙏
Naona majamaa zangu apo,kaka majaliwa big up sana kwakuendeleza wito mtakatifu wa uinjilishaji,and the whole team!🙌
Congratulations st.Maxmillian for good performance in this concert may sir God gives his blessings all,this how we like ,Performance,high confidence .Segerea hoyeeee
Thank you 🙏
Maxmilliana tunawakubali sana mnaipaisha mno parokia yetu ya roho Mt segerea Mungu azidi kuwainua ktk utume wenu wa uimbaji
Asante sna 🙏
Big up saaaaana Wana Maximilian.....mmepiga Ile inaitwa mziki mtakatifu.... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amina amina
Mungu awabariki watu wa Mungu❤
Huu ni ushauri kwa karibia kwaya zote za kikatoliki Mnaporekodi live perfomance.
1. kinanda kinasikika sana kuliko sauti hasa sauti ya 2, 3 na 4 yaan sauti ya 1 hufunika karibia sauti zote hii si sawa. Sasa sijui kipunguzwe saut au nini ila kinanda inakuwa kelele.
2. Utamkaji wa maneno bado ni shida, hii ni injili, na ili injili iende mbele lazima tuelewe au tusikie mnasema nini, hii pia inasaidia maana kuna mda kama watu wanatukana hvi.
3. Kama waimbaji/wanakwaya fanyeni uwekezaji kwenye mitambo ya kisasa ya kirekodi live perfomance na vipaza sauti watu wajifunze kutumia,
Mwisho sauti ya kwanza wanapoimba ala za juu husikika kama kelele maana wengine hawafiki sasa ile kama kulazimisha inaharibu na hii nimeiona kwa kwaya nyingi za kikatoliki
Asante kwa ushauri tutajitahd kuufanyia kazi
Tunashukuru sana
Kuhusu mitambo ya kisasa ndo tupo katika mchakato huo ubarikiwe sna ndugu asante kwa sapoti yako🙏
@@kwayayamt.maximillianmaria2001 Mbarikiwe sana na Mungu awasimamie katika utume wenu.
Hongereni sana sana
Asante sna
Hongereni sana familia♥️
Asante
Hili vibe ni hatari hongereni sana kwaya ya mt.Maximiliani
Asante
Mlitisha sana maximillian 😊
Asante sna
Hongereni sana🎉🎉
Asante sna
Mkoa juu sana Max
Amina
Eeiysh 🥰🔥
Daaah aisee 🔥🔥🔥
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌♥️
💣❤
Atare sana
🙏
Wow
❤❤
Kiukweli mnaimba vizuli sanaaaaa
Asante sana
ua-cam.com/video/eXDSeyol1Sw/v-deo.htmlsi=ZyA3SOjnP31ZkSE_
Karibu channel youtube ya kwaya maxmilian usiache kusubcribe channel yetu mambo mazuri yaja