#PART1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 сер 2023
  • #PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 139

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 місяців тому +18

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 9 місяців тому +2

    Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao

  • @user-cr7xy6tw5j
    @user-cr7xy6tw5j 9 місяців тому +1

    Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 11 місяців тому +4

    Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake

  • @user-uk7or9bd9x
    @user-uk7or9bd9x 7 місяців тому +4

    Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 11 місяців тому +2

    Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana

  • @JumanneRashid-kr2nv
    @JumanneRashid-kr2nv 10 місяців тому +1

    Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana

  • @WigiberthiMutahaba
    @WigiberthiMutahaba 4 місяці тому

    Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,

  • @user-ip7rq4ro9w
    @user-ip7rq4ro9w 5 місяців тому

    Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm

  • @AishaOmary-fl8qo
    @AishaOmary-fl8qo 4 місяці тому

    Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka

  • @Anoldi-yj7mf
    @Anoldi-yj7mf 2 місяці тому

    Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji

  • @WitnessMmlamba-zx7lc
    @WitnessMmlamba-zx7lc 4 місяці тому

    Pole sana

  • @VeronicaMarsel
    @VeronicaMarsel 7 місяців тому

    Pole Sana chaliingu mungu atalipa

  • @AdrianNtarambe
    @AdrianNtarambe 2 місяці тому

    Aisee

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 11 місяців тому +5

    Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.

    • @tumainimalulu7708
      @tumainimalulu7708 4 місяці тому

      Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.

    • @RashidThabite
      @RashidThabite 3 місяці тому

      Umetoa radhi nzito sana mama

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 3 місяці тому

      @@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa 3 місяці тому

    Pole sana mdogo wangu

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t 3 місяці тому

    Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 4 місяці тому

    Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana

  • @BARIKIELMICHAEL-fc7oh
    @BARIKIELMICHAEL-fc7oh 3 місяці тому

    Pole sana kaka

  • @MohamedAly-zp3zh
    @MohamedAly-zp3zh 6 місяців тому

    Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.

  • @user-zd5gd5qd2i
    @user-zd5gd5qd2i 7 місяців тому

    Pole sana kijana

  • @PAUlWEKESA-de6tb
    @PAUlWEKESA-de6tb 9 місяців тому

    Pole sana brother yangu

  • @user-fl3tj2tp3e
    @user-fl3tj2tp3e 10 місяців тому

    Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa

  • @zawadimapumba7557
    @zawadimapumba7557 6 місяців тому +1

    Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana

  • @JeanIradukunda-qw6eb
    @JeanIradukunda-qw6eb 2 місяці тому

    Pore sana kaka yangu

  • @Ibrahim21784
    @Ibrahim21784 10 місяців тому +2

    eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi

  • @ondb.tv593
    @ondb.tv593 9 місяців тому

    Mungu atakulipia hapa hapa duniani.

  • @user-qs1ii7vq7w
    @user-qs1ii7vq7w 5 місяців тому

    Pole Sana kijana!

  • @user-hc2hb8yi6s
    @user-hc2hb8yi6s 9 місяців тому +1

    Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata

  • @user-ux2xo5sl3c
    @user-ux2xo5sl3c 10 місяців тому

    Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu

  • @frankndiga6122
    @frankndiga6122 11 місяців тому +2

    Hiyocm nitaipataje nijulishe

  • @herberthatibu8439
    @herberthatibu8439 11 місяців тому +2

    Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.

    • @likimaro6
      @likimaro6 11 місяців тому

      Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?

    • @abdallahmwanga5792
      @abdallahmwanga5792 11 місяців тому +1

      Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe...
      Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...

  • @rubenimajura
    @rubenimajura 11 місяців тому

    Pole kaka

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan 3 місяці тому

    Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.

  • @user-gu6wg6jp5n
    @user-gu6wg6jp5n 9 місяців тому

    Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema

  • @user-vf8rq5ux6m
    @user-vf8rq5ux6m 7 місяців тому

    Pole

  • @allandavid870
    @allandavid870 11 місяців тому +3

    Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana

    • @globaltv_online
      @globaltv_online  11 місяців тому +2

      Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?

    • @aisharamadhani1948
      @aisharamadhani1948 11 місяців тому +1

      Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako

  • @BenardRamadhan
    @BenardRamadhan 9 місяців тому

    Pole san

  • @user-in9cg4pw4o
    @user-in9cg4pw4o 5 місяців тому

    Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 11 місяців тому +2

    Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 11 місяців тому

      Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine
      Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu
      Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo
      "Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta
      "Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa
      Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ?
      Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama
      Vipo kwaajili ya wahalifu?
      Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ?
      Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu
      Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 9 місяців тому

    pole saaana dogo .

  • @user-wb2by4pw9f
    @user-wb2by4pw9f 4 місяці тому

    Pole san kaka

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 10 місяців тому +1

    Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa.
    Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe.
    Wamsoka yote hayo

  • @VeronicaMilinga
    @VeronicaMilinga Місяць тому

    Yanga usajil 19:02

  • @user-lq9cy3il4o
    @user-lq9cy3il4o 8 місяців тому

    Da! Pole

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 11 місяців тому +1

    Polle sana Kijana

  • @user-yp2wk1ic5o
    @user-yp2wk1ic5o 6 місяців тому

    pole sàn

  • @frankjulius12
    @frankjulius12 11 місяців тому +1

    Part 2 ikowap

  • @sinyoritamoha1629
    @sinyoritamoha1629 11 місяців тому +5

    Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂

  • @OscarOuma-ho6hl
    @OscarOuma-ho6hl 6 місяців тому

    Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari

  • @safnosmosha
    @safnosmosha 11 місяців тому +1

    So sad

  • @user-cm9uc4fv2n
    @user-cm9uc4fv2n 10 місяців тому

    Pole sana uyo mam ana matitz

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 11 місяців тому +1

    Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA

  • @aboually2472
    @aboually2472 4 місяці тому

    Maturubai hyo

  • @JohnsonMpweza
    @JohnsonMpweza Місяць тому

    😢

  • @user-kg2mw1jl2h
    @user-kg2mw1jl2h 9 місяців тому

    Pel❤

  • @user-ji6vg2vq4p
    @user-ji6vg2vq4p 8 місяців тому

    Pore sana

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og 11 місяців тому +2

    Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y 3 місяці тому

    Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo

  • @ramadhanmzagira7831
    @ramadhanmzagira7831 11 місяців тому

    kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike

  • @user-nv6rz3kd5p
    @user-nv6rz3kd5p 4 місяці тому

    Walioko jela wengi wao hawana makosa?

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp 11 місяців тому +1

    Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu

  • @AbdiSekarani
    @AbdiSekarani 2 місяці тому

    😊😊😊😊😊😊❤😅😊

  • @JamesKisabo
    @JamesKisabo 5 місяців тому

    Hata mm lazima nibake kwahali hyo

  • @SalehSalum-ri1jn
    @SalehSalum-ri1jn 4 місяці тому

    Loho inauma

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o 7 місяців тому

    Like

  • @user-rg9ny6ll8o
    @user-rg9ny6ll8o 7 місяців тому

    Bv

  • @josephatpius5594
    @josephatpius5594 10 місяців тому

    Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 9 місяців тому

    Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake

  • @user-qg8wl2gi2o
    @user-qg8wl2gi2o 6 місяців тому

    Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay

  • @user-mp5uq2mb8u
    @user-mp5uq2mb8u 9 місяців тому

    Mambo vp pole

  • @B-horbir
    @B-horbir 11 місяців тому +1

    B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie

  • @SellahMohamed-it7dg
    @SellahMohamed-it7dg 6 місяців тому

    Pore Mwanang San

  • @AredFered
    @AredFered 8 місяців тому

    Dah wafanyakaz kaz tunayo

  • @user-us3sv3pp1t
    @user-us3sv3pp1t 9 місяців тому

    Mh inauma

  • @WarwinuKaremeri
    @WarwinuKaremeri 3 місяці тому

    Huyo mama ni shetani

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 4 місяці тому +1

    Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.

    • @BraysonKileo
      @BraysonKileo 3 місяці тому

      Daah MUNGU atamwonekanaye

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 3 місяці тому

      Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 3 місяці тому

      Yamini ni muongo
      Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine

  • @JumaLichombo-ev9zi
    @JumaLichombo-ev9zi 8 місяців тому

    Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba

  • @cosmasibundala
    @cosmasibundala 4 місяці тому

    Mambo vp

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o 7 місяців тому

    Iike

  • @ferguslyagoda4049
    @ferguslyagoda4049 11 місяців тому

    Hii ni kiki?

  • @JohnKapwaga
    @JohnKapwaga 8 місяців тому

    Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,

    • @user-lq9cy3il4o
      @user-lq9cy3il4o 8 місяців тому

      Da; hatar

    • @Teddygeorge-ub7su
      @Teddygeorge-ub7su 6 місяців тому

      Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!

  • @user-tq7xj5tr3k
    @user-tq7xj5tr3k 9 місяців тому

    Sipowa

  • @user-fi7zr2xy3m
    @user-fi7zr2xy3m 5 місяців тому

    Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 9 місяців тому +1

    ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini

  • @user-ss9nr1ol1d
    @user-ss9nr1ol1d 9 місяців тому

    Mama uyo ni muchawi kabisaha.uyo.kijana.mtoto.alimubakaje.serkali.yenu.aichunguzi.kitu.mimi.ni.mu.congo.mani.uyomama.wanipe.yeye.nimubake.kabisahaaa.onamakalio.yake.kubwa.kama.makalio.ya.tembo.mungu.ahatakuwaja.katika.dunia.iyi

  • @UswegeRichard
    @UswegeRichard 10 місяців тому

    Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA

  • @JamesAndrew-xs5bt
    @JamesAndrew-xs5bt 6 місяців тому

    Sema tatizo mabos wengine wanashoboka.

  • @JumaCharura
    @JumaCharura 9 місяців тому

    Dah pol San wem s wot

  • @user-su9lf4lb2v
    @user-su9lf4lb2v 9 місяців тому

    Mungu.atasimama.nao
    Inshalla.watoto.wote

  • @LadslausKyandoh-ru1il
    @LadslausKyandoh-ru1il 10 місяців тому

    Ooe

  • @frankndiga6122
    @frankndiga6122 11 місяців тому +1

    Kweli huyo mama siobinadamu walahanahofuya MUNGU

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 9 місяців тому

    Ufanye uchunguzi ulipwe fidia

  • @user-no2ug6td1c
    @user-no2ug6td1c 9 місяців тому

    mama huyo hatauona ufleme wambingu kabisa

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 11 місяців тому

    Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?

  • @MulugaKajana
    @MulugaKajana Місяць тому

    nataka nyimbo za din

  • @frenkamosi-sz1gr
    @frenkamosi-sz1gr 2 дні тому

    Mwana mama uyo aritaka🍌. 😂😂

  • @ramadhanimaganga8068
    @ramadhanimaganga8068 11 місяців тому

    Sio kweli muongo huo mi namjua vizuri

  • @user-dm5hq4jf1s
    @user-dm5hq4jf1s 11 місяців тому

    Pole sana

  • @Shimboy-hl4eg
    @Shimboy-hl4eg 10 місяців тому

    Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.