Jinsi ya kupika sambusa za nyama nyumbani,kuandaa manda za sambusa,kusaga nyama/meat samosa at home
Вставка
- Опубліковано 15 лип 2024
- Kwa maandalizi ya nyama/for meat preparation
nyama nusu steki/meat 500g
vitunguu 3/ 3onions
kotmil/coriander
vitu guu saum /Garlic 1tbsp
tangawizi/Ginger1 tbsp
Garam masala 1 tbsp
chumvi /salt 1tbsp
lemon
kwa maandalizi ya manda za sambusa/For samosa sheets
Ngano robo /wheat flour 275g
Maji kikombe 1 kidogo/water 1 cup (small cup)
mafuta kijiko 1/cooking oil 1 tbsp
pinch of salt
#jinsi ya kupika sambusa za nyama#jinsi ya kutengeneza manda za sambusa#jinsi ya kusaga nyama#sambusa za nyama#how to cook meat samosa#how to prepare samosa sheets #how to blend meat in blender #how to park samosa
MashaaAllah
❤
Kazi nzur MashAllah
very nice. it look fantanstic and delicious
Thank you so much
Thank you so much
💕Asante n melewa sana 🙏💕
Yummy Yummy very delicious thanks for your information
Most welcome 😊
Tamu
Masha Allah Tabaraka shukran dada Allah akujaze kheir Kwa kutujuza❤
dada ahsante sana nimeelewa sana ktk kutengeza manda na nirahisi nitajaribu kwa uwezo wake allah
🙏🙏💋💋❤️❤️
Ni nzuri nitajifunza kupka sambusa kupitia video hii🎉❤😊😅
Karibu sana
mapishi pambw napendekeza uunde gruop la wasp tujifunz
Asante mpenzi ❤❤❤
Ahsante pia
Ufungaji wako nimeupenda Ahsante ❤❤nami nitajaribu
Karibu sana
Nmeeelwa mpk basi
Asante. My yani Mi ilo pish linanitatiza mwenzio😂😂
😀fanya mazoezi pendelea kupika mara kwa mara unazoea
Nipenda mafunzo yako
Umeelewesha vyema sana wacha nikajipikie za kwangu barikwia
Amin
nim penda kbs❤ +257
Naomba kuuliza kabla ujasaga umeweka Nini ili usage iyo nyama
Usiweke chochote ukishakatakata saga
Unga kilo moja unatoa sambusa ngap?
Inategemea na ukubwa unaotaka na pia umejaza nn ndani nyama au viazi
Maji ya moto au baridi?
Mm nimetumia ya baridi lkn hata ya uvuguvugu ni sawa
👎👎👎👎
❤
Nipenda mafunzo yako
Ahsante sana