Zuchu - Hakuna Kulala (Music Video) Sms SKIZA 8549159 to 811

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 кві 2020
  • Get #IamZuchu EP Now 👇🏼
    zuchu.lnk.to/iamzuchu
    Set As Caller Tune👇🏼
    SKIZA - Sms 8549159 to 811
    TIGO TZ - Sms RC kwenda 15050
    Song Produced By Black
    Video Shot In Kilwa & Arusha Tanzania By Director Kenny Under Zoom Extra
    Contacts: +255718546547 | directorkeny1@gmail.com
    Get It On Audiomack
    audiomack.com/album/zuchu/iam...
    Get It On Boomplay
    www.boomplaymusic.com/share/a...
    For Bookings:
    Contacts -- bookzuchu@gmail.com
    Connect With Zuchu On:
    Instagram: / officialzuchu
    Facebook: / officialzuchu
    Twitter: / officialzuchu
    #Zuchu #HakunaKulala #Wasafi
    Copyright ©2020 WCB Wasafi. All rights reserved.

КОМЕНТАРІ • 2,9 тис.

  • @jallyokeillah1780
    @jallyokeillah1780 4 роки тому +34

    Ila Zuchu Umeuwa Dyadya Love From Burundi .....💋💋💋♥️♥️♥️♥️🙈Jameni Naombeni Likes Twendeee Hakuna Kulalaaaaaa

  • @Kiroboygini
    @Kiroboygini 4 роки тому +48

    Kama unamkubali Director Kenny Gonga like twende sawa hizo Camera zake ni Balaa🔥🔥

    • @amina5861
      @amina5861 4 роки тому +1

      Zuchuu asante my

  • @hadsonsangala3083
    @hadsonsangala3083 4 роки тому +21

    Me nipo marekani ila ni mtanzania,naombeni like za uyu dada zuchu,kweli kaonyesha unyama❤️❤️❤️

  • @venturealbinus8091
    @venturealbinus8091 4 роки тому +10

    Huyu zuchu ni hatare Sana ananifanya nione maisha matamu.
    The queen of magic voice

  • @sebastiansalumubinseblo3207
    @sebastiansalumubinseblo3207 4 роки тому +15

    Daaa nime mshukuru mungu kuwa wa kwanza leo. Naomba like zenu wa tanzania. Watching from Australia. ONE LOVE ✌️✌️✌️

  • @ramadhanminani314
    @ramadhanminani314 4 роки тому +10

    you did keny yani video kali afu zuchu kaitendeya haki kabisa afuntuipeleke kwa vieuws 1M mnamo siku tatu wanaokubaliyana nami gongeni apa like twende.# wcbforlife baby.ili njo chama lawana

  • @nakshigwal
    @nakshigwal Місяць тому +4

    I want to join wasafi 😢❤ one day inshallah 🤲

  • @NGIYEH_Media
    @NGIYEH_Media 2 роки тому +3

    Zuchu you are number one best singer alive on earth. Umeshinda hadi Diamond.

  • @chrisb4218
    @chrisb4218 4 роки тому +80

    Jamani tutakimbilia wapi sisi wakina team Konde mbona uyu mtoto atatuua I sayeeee this girl ataacha watu wanajinyonga, Kama unakubali Zuchu atawafunza midomo, na WCB kiujumla ngonga like apa 🙏🙏🙏🇳🇱🇳🇱

    • @RabiaWahadh
      @RabiaWahadh Рік тому +3

      Jaman Hii Nyimbo Bad Naipend Mpk Leo❤❤❤❤

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 4 роки тому +5

    Naona humu umeimba kama mama yako mzazi Bi. Khadija Kopa! Umerindima vilevile. Hongera mjomba! Mamayo ajisikia furaha na fahari kuwa mwanawe!
    Jalali akujalie uzima na hikima.

  • @simbaramadhan6607
    @simbaramadhan6607 4 роки тому +24

    Zuchu welcome mama WCB❤❤❤
    Tuko pamoja 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Home🇨🇩

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo8672 3 роки тому +1

    wewe Chuchu Zuchu unamkosha Sana mweshimiwa wetu nikifikiria kwenye kampeni zake lazima uwepo tengeneza maisha kipindi hiki ukiwa mtam usfimbe kichwa Sana ukajisahau tuko pamoja

  • @williamkhaemba2782
    @williamkhaemba2782 4 роки тому +16

    Aanze Bangladesh amalizie Sudan....noma gonga like hapo💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @warlenjerome347
    @warlenjerome347 4 роки тому +18

    Yes here we go nakuona mbali Sana we mtoto n 🔥🔥🔥🔥

  • @hamidaissack2922
    @hamidaissack2922 3 роки тому +12

    I like song wezuchu weeee mtoto sauti mungu akuongoze na safar yako💪🏻💪🏻😍😍😍 pambn mama

  • @ndindamwanza
    @ndindamwanza Рік тому +18

    I love how everyone is giving Zuchu her flowers on this song. This is one of her underrated songs if I dare say and I think everyone that knows this song can see how pure Zuchu’s talent is.

  • @munirkamau7973
    @munirkamau7973 4 роки тому +9

    Zuchu amekuja with a bang..new artist in town..Leo aki mnipe likes

  • @halimamwajuma9208
    @halimamwajuma9208 4 роки тому +19

    Walioangalia hili goma zaid ya mara tatu tujuane 💃💃💃

  • @cecymaro1374
    @cecymaro1374 4 роки тому +2

    Jamani zuchu uku wadada wanakupendraaaaa mpka wanaaumwa iyoo sautii hoiii bwaaana dada wawezaa jemenii💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @anganilekajigilikajigili2641
    @anganilekajigilikajigili2641 3 роки тому +4

    Zaidi ya mwezi kila nikiamka nilikua naskiliza iiih ngoma kinyama Zuchu nichekeki huku shabiki ako kinyama nakusoma

  • @masoudjr363
    @masoudjr363 4 роки тому +18

    Kajol wa bongo.....
    Kanyimbo kataaamuu snaaa
    My favourite song in this Ep

  • @heiskidayo254
    @heiskidayo254 4 роки тому +269

    Kama Mama kama mtoto
    Dah mtoto anasauti jamanie Mashallah
    Piga like tusonge😍

  • @airodouglas7900
    @airodouglas7900 3 роки тому +4

    Mzikii wako uko juu miss zuchuu waja lini kenya

  • @nkomyajohn4271
    @nkomyajohn4271 4 роки тому +1

    Zuchu umeua , kichupa kikali sana

  • @gracetoroitich8106
    @gracetoroitich8106 4 роки тому +141

    Mashairi tuuuu. Mashallah. Mpeeni likes basi mtoto zuchu.

    • @ibrahimbakar622
      @ibrahimbakar622 4 роки тому +1

      Grace Toroitich n

    • @Chilu_newstv
      @Chilu_newstv 4 роки тому

      @@ibrahimbakar622 Mama Rwakatale afariki dunia
      ua-cam.com/video/6nAnu-ZTfzI/v-deo.html
      😭😭😭😭😭

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 4 роки тому +1

      Yuko vizuri sana kwa mashairi

    • @wan73501
      @wan73501 4 роки тому +1

      @@Chilu_newstv yld0o

    • @kipchumbaikiplagat
      @kipchumbaikiplagat 3 роки тому

      Nakwambia tena

  • @daysun4419
    @daysun4419 4 роки тому +29

    Product of wasafi haikosei. Like zote kwa zuchu na simba

  • @bakarikombo1674
    @bakarikombo1674 3 роки тому

    Jambo,zuchu kwakweli napenda nyimbo zako,nimefatilizia hapa mombasa matatu nyingi wanapiga nyimbo zako.Bila shaka wewe nikiboko yao..Munguakubariki

  • @jonathanmalisa9272
    @jonathanmalisa9272 4 роки тому +2

    Hii nyimbo Ipo Kama Taaribu, Ila nxt level. Imewekewa kaladha flani hivi cha Kipekee... Umetisha Zuchu, shkamo WCB!

  • @tanzaniteinzanzibar6655
    @tanzaniteinzanzibar6655 4 роки тому +5

    Kitoto kizuri, kibichi, kina sauti nzuri... Zuchu ni Mwanamziki wa kike namba moja Tanzania na East Africa and central...

  • @aliyussufshabashaba1989
    @aliyussufshabashaba1989 4 роки тому +136

    Zuchu first to comment, I’m Ali from Germany 🇩🇪, my East African people show me some love. Twende nayo tuki like hapo chini if u think Zuchu is taking over

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 4 роки тому +3

    Huyu zuchu yupo moto sanh

  • @sabrinasingo9250
    @sabrinasingo9250 4 роки тому +2

    Umenikosha mie.. Mpka chozi limenitokaaa kwa furaha ya ladha ya maneno hayo.. Upo good sana dear

  • @BravoMedia23
    @BravoMedia23 4 роки тому +79

    My favorite song 🥰🥰🥰Like zenu jaman

  • @veeJesus
    @veeJesus 4 роки тому +23

    We have got our own Simi....I love my country 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @barakasalim3328
    @barakasalim3328 3 роки тому +2

    ZUCHU Kama ZUCHU

  • @josephatmwita6989
    @josephatmwita6989 4 роки тому

    Nzriii snaaa mtoto zuchu hapo Nandy naamini hana nafasi tena tunamuhesabia siku tu

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 роки тому

      Kweli asee nandy anakalishwa zuchu nisauti ynyewe

  • @isaackaluboya5239
    @isaackaluboya5239 4 роки тому +38

    Zuchu.... Queen of bongo... Kama wakubali nipe likes za East Afrika😍❤️🔥👑

  • @justinebitariho1129
    @justinebitariho1129 4 роки тому +31

    Nampenda zuchu ile mbaya, basi nipeni izo LIKE kaa na nyiye mnampenda🤷‍♀️

    • @mohamedbway8952
      @mohamedbway8952 4 роки тому

      Justine Bitariho huyu wambadilishe awe muimba taarabu musiki hawezi ila kwa ss watanzania kwakuwa nimburura tutasifiatu ilamm nimwanataarabu

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 роки тому

      @@mohamedbway8952 matako yako
      Ndokeshatoboa au huon we kipofu
      Kwendraaaaa

    • @mohdkhalfani213
      @mohdkhalfani213 4 роки тому

      Kwani taarabu n movie au speech

    • @justinebitariho1129
      @justinebitariho1129 4 роки тому

      @@mohamedbway8952 hiyo ni kweli, ila wakimpa nyimbo za style nyingine, i believe ataweza kufanya vizuri tu.

    • @florianmbungu7539
      @florianmbungu7539 4 роки тому +1

      @@mohamedbway8952 kwani taarabu sio muziki au,acha uchoko kenge wewe

  • @hassankiger8831
    @hassankiger8831 4 роки тому

    Mungu banaa kama hakupi hakupi
    Yani zuchu kawa mkubwa queen Darren yan mungu ww ubakitu kuwaa mungu

  • @msafitv8663
    @msafitv8663 4 роки тому +11

    Huyu dada anajua aseee duuuu✔️✔️✔️✔️✔️

  • @TheModestine
    @TheModestine 4 роки тому +7

    Wa kwanza 🔥🔥❤️

  • @dinakabengele8336
    @dinakabengele8336 4 роки тому +7

    Wa congo muko wapi ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🙌🙌

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 4 роки тому

    Duuh,ila mijamaa itakufaidi sana kwa kukumbatiaaaa...All in all you know alot...now isnyour time to show us!!

  • @idrissansereko6403
    @idrissansereko6403 4 роки тому

    Zuchu katika kama Rysi sio mikono tu na mabega,hapo utatisha zaidi

  • @8abu
    @8abu 4 роки тому +38

    🔥🔥🔥
    She is becoming even prettier than before
    Go girl ! Its Time to shine 🦅🦅🦅

  • @malaika7021
    @malaika7021 4 роки тому +69

    Like mother like daughter..Kopa seed..♥️🌹♥️🌹♥️🌹♥️🌹♥️

    • @InnohubGroup
      @InnohubGroup 4 роки тому +2

      Mama anafurahi sana

    • @malaika7021
      @malaika7021 4 роки тому +2

      @@InnohubGroup .I Love Khadija kopa So much.. Mambo yako huku that was a hit...So i must love her daughter too..Much Love From Germany 😍🌹♥️😍🌹♥️😍🌹♥️😍🌹♥️😍🥰....

  • @MbeteMaingu
    @MbeteMaingu 3 роки тому +2

    Awwww Yani kila siku hii nyimbo inazidi utamu...kama wine kadri inavyokaa ndo utamu unazidi♥️♥️♥️♥️.Alafu natafuta mchumba serious na aanze kupractice mapema kujitayarisha kucheza hii ngoma siku ya harusi yetu😍😍😍.Alafu awe na kifua cha kunikumbatia😋😋

  • @amanimatokeo9139
    @amanimatokeo9139 Рік тому

    Duu maqam ajemi nzur kaimba zuchu vizur ningekupata ningekushrkish kwen qaswida ya ajemii ongeraa snaaa

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 4 роки тому +66

    Sijui Nina gundu gani maana sijawahi kupa like 500, ngoja nione na leo

  • @hajudocompanylimited7996
    @hajudocompanylimited7996 4 роки тому +19

    Zuchu team kiba utawaua na presha.

  • @emilyk3588
    @emilyk3588 4 роки тому +1

    Alifaa mwanaume mgumu kidogo. Kama sauti Soul

  • @youryuare1780
    @youryuare1780 4 роки тому

    Mimi n mshabik wa konde geng Ila msemakwel mpenzi wa mungu uyu Dada kwasaut ya zahabu anayo

  • @felistaskaranja8570
    @felistaskaranja8570 4 роки тому +96

    Didnt know this Lady before buh She's really talented.. Her voice.. Vocals.. Mashaallah.. Kenyans in Qatar.. 🇰🇪🇶🇦❤️

  • @ROSEROBERTROBART
    @ROSEROBERTROBART 4 роки тому +99

    Nyimbo kali i say gonga like kama wewe umeona ❤❤❤

  • @user-bs6dg6bw8g
    @user-bs6dg6bw8g 8 місяців тому

    Jamaniiiiii huyuu dada zuuu hanaga kazimbovoo nyimbozake zateeee nitam❤❤

  • @nelraphy8637
    @nelraphy8637 3 роки тому +1

    Zuchu ana sauti nzuriii nyieee khaaa! Jamanii! 😢😢😢😘❤❤

  • @athmanali2377
    @athmanali2377 4 роки тому +149

    Kama unaamini nyimbo zote za zuchu ni hits gonga like 👍

  • @mralexdance2047
    @mralexdance2047 4 роки тому +32

    Wangap tunamuunga mkono mrembo huy kuingia WCB 2juane hapa chin like bac🙏

  • @am_caesar.
    @am_caesar. 4 роки тому +2

    jaman acheni tu ZUCHU anakipaji sauti nzuri yenye msisimko ndani yake .Go ZUCHU 😍🤩🤩🤩😘😘😘

  • @fkay153
    @fkay153 3 роки тому +4

    Mondi has an affinity for talent... Huyu sista ameweza

  • @silawsang2565
    @silawsang2565 4 роки тому +23

    Here before 1k🔔🤗🤗🇰🇪🇹🇿wavimbie kabisa🔥🔥

  • @maicolunya1950
    @maicolunya1950 4 роки тому +59

    Mafsi wa zuchu.gonga like tuende sawa wcb for life

  • @wasilaahmad3528
    @wasilaahmad3528 3 роки тому

    Nyimbo za zuchu ukizipeleleza zinamaanisha kitu ,Ila soon mtajua nimemaanisha nini

  • @shivamyaakrammuhammad9906
    @shivamyaakrammuhammad9906 4 роки тому +1

    Hongera sana simbaaaa hanaga hata kazi mbovu

  • @friginiahkimario3212
    @friginiahkimario3212 4 роки тому +11

    Huyu zuchu anaonekana kuwa mkal cku za mbele kam unaamn hivy gonga like hapa 😀😀😀😀😀😀😀

  • @deotarimodeotarimo754
    @deotarimodeotarimo754 4 роки тому +12

    Director Kenny pamoja na zoom extra...hongereni kwa kazi nzuri

  • @mishynajomoury3685
    @mishynajomoury3685 4 роки тому

    Watu mnalala sasa yani ngoma ina siku ya 3 afu bado hata nusu ya million hatujafika keep watching bwana ifekeee one million kabla ya 5 days

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 роки тому

      The problem is anangoma wana na kwaru zote on trending 🔥🔥🔥🙌

  • @vincentmulwa9553
    @vincentmulwa9553 4 роки тому +1

    Bado huyu dem hajanishika vizuri

  • @jeromeplatnumz6885
    @jeromeplatnumz6885 4 роки тому +8

    Wangapi tunaanzia Bangladesh tunamalizia Sudan🖐️

  • @Its_jozeeeh
    @Its_jozeeeh 4 роки тому +7

    Hatulalii serious

  • @kelvindavid2963
    @kelvindavid2963 4 роки тому

    Hatukuchoki mama endelea kutupa vitamu👍👍👏👏

  • @annastaziaramadhani2666
    @annastaziaramadhani2666 4 роки тому +3

    Wapenzi wa Zuchu tukumbuke hii video aijafikisha 1m tuipeleke moja basi jamani

  • @ethoyohana5603
    @ethoyohana5603 4 роки тому +79

    Kama ujalala unairudia hii nyimbo ya taifa ngonga like tujuane🔥🔥🔥🔥🔥🔥Wcb fan for whole life......

  • @Babyzay178
    @Babyzay178 4 роки тому +89

    Team Zuchu naombeni like hata 10 Mashairi tu Mashaallah 😍

  • @marwalzzy5983
    @marwalzzy5983 4 роки тому +1

    Cku nyingine utafute video king mzuri zunchu,

  • @abdalahseifu4516
    @abdalahseifu4516 4 роки тому

    Nyimbo zako mzuli sema fup Sana bado unaham ya kusikilza imeishaaa nakupongeza kwa mwazo mzuli wcb for life

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 роки тому

      Lol😂😂😂😂😔😩😩😍

  • @georgejustine2599
    @georgejustine2599 4 роки тому +15

    KENNY SIO POA💥💥💥💥💥💥💥

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 роки тому +2

      Ni motroooo wakuotea mbali aseee🔥🔥🔥🔥🙌

  • @xhundred7671
    @xhundred7671 4 роки тому +63

    If you liked what ZoomExtra or Kenny did, hit a like🔥🔥

  • @esterpromy3183
    @esterpromy3183 4 роки тому +1

    Naona mnasifia vyote ila mnamsahau video king mkali nae

  • @geniusgangkenya8732
    @geniusgangkenya8732 Рік тому +5

    Zuchu isn't pregnant but she always delivers ♥️💯💯🔥🔥🔥🙌

  • @frenkyabibumalevu6382
    @frenkyabibumalevu6382 4 роки тому +84

    Mmmh we mtoto sasa unatushia amani maana hizi nyimbo hakuna hata mbaya kila goma ni fire.twende like hapa chini kama ni ww ni fans wa #WCB pia tuwasikitikie kidogo wanaotaka kujifananisha nahuyu mtoto 🤣🤣🤣

    • @zenamadhan2517
      @zenamadhan2517 4 роки тому

      Nakwambia weeh..alafu kuna deslikes nyingi

  • @hellyally4395
    @hellyally4395 4 роки тому +31

    jaman cc mashabiki wa WCB 4life hatunaga maneno mengu zaidi ya kumsapost msanii wetu mpka agonge M1 ndani ya masaa km kaka ake mondi maneno tuwaachie upande wa pili au mwaxemaje wanangu Wcb 4life

  • @tsarinakonki2998
    @tsarinakonki2998 4 роки тому

    Zuchu imeweza gal.....kweli hakuna kulala

  • @superherotv1750
    @superherotv1750 4 роки тому +1

    Ni og sanaaa wana ,wcb 4 life

  • @abdillahabdubakar9336
    @abdillahabdubakar9336 4 роки тому +20

    Zuchu Allah bless you long life and more nice voice 🙏❤🇰🇲🇹🇿

  • @jumajux2930
    @jumajux2930 4 роки тому +31

    Zuchu kam chuzu like zake❤️❤️❤️

  • @fettybaby8203
    @fettybaby8203 4 роки тому

    Wallah katika zote hii ni tamu kuliko wapi zuchu akeee

  • @lilsome6331
    @lilsome6331 4 роки тому

    huyu anafaa kuimba taarab sio bongo fleva kweli kwa taarab yuko safiiiii

  • @Jbbaros
    @Jbbaros 4 роки тому +143

    Fan wa zuchu gonga like tujuwane

  • @madanjimadanji187
    @madanjimadanji187 4 роки тому +5

    Wakwanza ku comment,#zuchu to the world Wasafi 1st lady 🔥🔥🔥🔥gonga like kama unamkubali

  • @sokonifarmfresh8818
    @sokonifarmfresh8818 4 роки тому

    Zuchu ni mfano bora wa vipaji lukuki vya muziki tulivyonavyo Tanzania. Sauti tamu, ujasiri na mashairi murua. Tanzania bado ina vipaji vingi vya muziki na maigizo ambavyo vikipata "platform" na kuwezeshwa vitaliingizia taifa fedha nyng na kutengeneza ajira kwa vijana wetu.
    Natoa rai kwa wizara kuwaenzi vijana kama Diamond Platnumz wanaotoa nafasi kwa vijana wenzao kuonekana kupitia kidogo wanachojaliwa. Wizara iangalie changamoto wanazopata wasanii wa taifa hili na ijitahidi kuzitatua ili muziki wa Tanzania uendelee kusonga mbele.
    Pongezi za kutosha kwa Laizer Classic na Director Kenny pia.

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 роки тому

      Thank u homie!🙏🙏🙏😍

  • @user-hn6vo2sn6e
    @user-hn6vo2sn6e 10 місяців тому

    Ukianza ulikwa mwana wa mama sai ni wa mondi haeleweki kimziki😢😢😮

  • @tanzaniteinzanzibar6655
    @tanzaniteinzanzibar6655 4 роки тому +5

    Nitajie mwanamuziki wa kike Tanzania anayejua kuimba kuliko Zuchu na uthibitishe, nakupa Shilling millioni 1,000,000 kwasababu hakuna...

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 роки тому +2

      Watake wasitake hii sauti yadhahabu haina mfanowe👌🔥🔥🔥🙌😍😍😍🙏

    • @charleschibara3699
      @charleschibara3699 4 роки тому +2

      huyu dada komesha huwa sishadadii mziki wa wanawake ila huyu kiboko

  • @sehemunzuri
    @sehemunzuri 4 роки тому +35

    Wale pumbavu wa kuomba likes wako wapi?
    Acheni hiyo bana, tusikilize mziki mzuri

  • @khadijaally215
    @khadijaally215 4 роки тому +1

    Me apo tu unaposema unampa vya kurithi na mizungu ya kigeni hii nyimbo kiboko Allah akuongoze dyadya

  • @leeldavid3712
    @leeldavid3712 3 роки тому +7

    Again and again, very obsessed indeed!.254🇰🇪🇰🇪hoiyee

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 4 роки тому +13

    Zuchu platinum
    Wale wa kulike ni hapa

  • @egbertleonce5577
    @egbertleonce5577 4 роки тому +4

    Yuko rich mavokooo ,nadhani anaona wivuu anatamani kurudi

  • @charzyboniphace483
    @charzyboniphace483 4 роки тому +2

    Zuchu umefanya toka asubuh mpk usiku huu nisikilize hili pini nimeweka repeat just for you!! NOMA

  • @queenkiria17
    @queenkiria17 5 місяців тому

    Ila zuchu fanya urudie huu mwilii mama