Hivyo unavyo ongea ina kaa ni kweli cz hata mimi mahali nafanya kazi boss wangu alikua ame nikasirikia sana lakini kuna siku huyo boss ali nisifia sana aka nambia nime pendeza sana baci usiku huo huo nili muota boss wangu nafanya mapenzi na yeye baci nilipo amka nili shangaa yani boss alikua na furaha sana hasira kuninunia kote kukaisha yani akawa ana ni salimia ana utani na mimi yani nilijiuliza maswali bila majibu hivi vitu kweli viko tu fanyeje jameni
Naona huwa nikweli mtu ukiwa unamuotaa jua mxuri wako ama mubaya wako pole sana mguu umeekaandani yabarafu ndoulale aisee kama uko gazi vile barafu yenyewe baridi ati ndounapata usingixi kweli aliekurogaa ako tuu hajafaa
@@dorcaskidoti249 nakwambia aki dadangu kwanza tumshukuru Mungu kwa neema yake na kibali cha uzima ni wengi hawakujifunza hili lkn tumepata neema na upendeleo kwa Mungu kuweza kupata mafunzo mengi na yanayo tufanya tuwe imara ktk imani zetu
Tatizo watu wengine hum hawajui km hizi hadithi zinamafunzo mengi sana maan zinatujengea iman mpya ya kumjua mungu na tujue pia usipo mwamin kuna upande wa pili unaweza kukutumia,
@@zubedanyamsha1971 kweli yaan amalize aende huko ndo kuna visa Tanzania nzima hakuna hasa vya kichawi mamamaaaa atapiga kambi mwaka mzima huko ndo unanunua samaki unafika nyumbani imeoza au unapika haiviii
Life is spiritual, mambo yanaanziaga rohoni ndio yanakuja mwilini, inatupasa kumuomba Mungu bila kukoma.
Sharobaro umependeza hebu njoo huku nikuone vizuri
Wa mwisho leoooo, Unajua kupanglia nguo davista mbaka kacheka 🤣🤣🤣
😀😀😀😀anajua kuulamba
Hahaha jaman huyo jamaa apo kimwanza mwanza ndiyo kanyuka pamba nn.
Uko vizuri sharo wa mwanza raha Zaidi nimekupenda kua una muhusisha mama anae kua karibu NA mama yuko karibu NA mungu
Napendaga sana kaka yang unavyo cheeka...Davistar
Aisee
Taarifa na zimfikie ......
Pole kwa masaibu back to the sender
Hivyo unavyo ongea ina kaa ni kweli cz hata mimi mahali nafanya kazi boss wangu alikua ame nikasirikia sana lakini kuna siku huyo boss ali nisifia sana aka nambia nime pendeza sana baci usiku huo huo nili muota boss wangu nafanya mapenzi na yeye baci nilipo amka nili shangaa yani boss alikua na furaha sana hasira kuninunia kote kukaisha yani akawa ana ni salimia ana utani na mimi yani nilijiuliza maswali bila majibu hivi vitu kweli viko tu fanyeje jameni
Mmependeza nyote Masha Allah 😆
🤣🤣🤣🤣
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
anakupa hadhi 😂😂😂😂 Davista
Jamaa ana ongea kama masanja mkanda mizaji
Love u 💕💕tavista mata
Mmh hao ndio wanadamu nifuraha kwao kuona mwenzao anateseka
Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊
Huyo mbibi napata fresh tuu ,,,siyule mamamshika hahaha mbibi nouma Sana huyo km bi.mwenda ivi
Mambo yakiroho ni fiche na sio wote wana neema yakuvifamu,soma neno sana, omba na utakatifu.majini hayatakufikia.
Hatari sana
Mama mchawi huyo alikuwa anakujia usiku kujilia vyake😂😂😂😂😂
Mbona ujamaliza stories hii
Hapo ilipoishia ndo patam picha ndo linaanza sasa..Yule mama akashikwa hahaha Kama nawaona watu walivokuwa na shauku ya kujua mwendelezo
Malizia hii mzee
Davista unapenda sna habari ziwafikie 😀😀😀😀
Wachaw walikuwa wanakupiga vilungu usiku kama jela, lungu lunguleee pole sana kabaisaaa
Kweli umeamwa kuzitowa na sisi tuko na wewe daima
Mshafika
Yes wa4
Nimecheka davistar anavyompamba mwenzie😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
👂👀👍
Davista story iendelee basi .....baada ya yule mama kushikwa nini kiliendelea......nimechoka kuchungulia.
Kumbe huyo mama wamove yasaladn kumbe yuko maeneo hayo move chonjo tuuuusanaaaa
Mama mshirika sura ngumu ivi
Yanapogomaa 😂😂 Kisukuma kwioooo 🐓
9 bora
Naona huwa nikweli mtu ukiwa unamuotaa jua mxuri wako ama mubaya wako pole sana mguu umeekaandani yabarafu ndoulale aisee kama uko gazi vile barafu yenyewe baridi ati ndounapata usingixi kweli aliekurogaa ako tuu hajafaa
Sharo baro jamani
Aisee nimekaa mwanza Jilan na hapo, bugarika watu wengi wanasumbuliwa na tego za dizaini hyo ndo zinavuma za kukulemaza Miguu na kushindwa kutembea
Yule mama akawa ameshikwa.,.............
Mtihani sana kwakweli ☹☹
Duuuhhhhh mzigo umeshwa kumbe
Hii story inatufunza sana ukiichunguza kwa ndani
Inatufunza mengi na kuwafahamu binadamu jinsi walivyo wabaya bila kumkosea lakini anakuchukia nakukutesaa
@@dorcaskidoti249 nakwambia aki dadangu kwanza tumshukuru Mungu kwa neema yake na kibali cha uzima ni wengi hawakujifunza hili lkn tumepata neema na upendeleo kwa Mungu kuweza kupata mafunzo mengi na yanayo tufanya tuwe imara ktk imani zetu
@@hebronsdaughter1661 tunamrudishia sifa na utukufu ni vyake 🙏🙏🙏
@@dorcaskidoti249 Amina amina🙏🙏
Tatizo watu wengine hum hawajui km hizi hadithi zinamafunzo mengi sana maan zinatujengea iman mpya ya kumjua mungu na tujue pia usipo mwamin kuna upande wa pili unaweza kukutumia,
Mmeshain kama pacha vile🤣🤣🇦🇪🇦🇪
Wewe mbingu hutoiona yaani unampanga kuwa kweli kapendeza
Davistar😂😂😂😂
Skuzote mabaya ndo ya chekwayo jaman nmecheka🤣🤣🤣🤣🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Tupo makini sana
Twenty five Leo nmewah hhhh
Number 20😆😂
Kaka kavàa kofia kitambaa cha mwamvuli🙈
Binadamu wabayaaa sana🤔🤔🤔 wanakuchukia bila kosa.. siku hasira ya Mungu ikiwaka juu yetu tutakosa pa kushika.🤔🤔
Yani sijui itakuaje siku hiyo
Mungu anatupenda na kutusamehe lakini sisi tunajisahau tunazidi kumchukiza Muumba wetu.😫😫
@@dorcaskidoti249 tuzidi kuomba Mungu atulinde na kutusamehe
4 jmn siamini daaah 😱😱😱
Mbona huamini
@@hebronsdaughter1661 sijawahi my
@@hebronsdaughter1661 umepotea dada yangu??
@@dorcaskidoti249 ni miujiza ya Mungu kuwahi
@@dorcaskidoti249 nipo dadangu bz tu sana
Davixter umalize uende ukerewe kuna wachawi balaa unaweza kufika huko kamera ikashindwa kuonexha
😂😂😂kbsaa anii
@@zubedanyamsha1971 kweli yaan amalize aende huko ndo kuna visa Tanzania nzima hakuna hasa vya kichawi mamamaaaa atapiga kambi mwaka mzima huko ndo unanunua samaki unafika nyumbani imeoza au unapika haiviii
Duu pole unagonga zigo bilaizini yako😔😔😔
Number one 254 mko wapi
tupo wengi lakini hatujuani 🇰🇪💪
Tuko huku jameni ila niwakenya 🇰🇪 davistar asante umetufunza mambo mengi duh
@@nagibtimimi6027 usijali tutajuana tu
Hyu dogo nyege tu
Na shika nafasi huku naiskiza baci ni coment
Asante ngosha mwenzangu yana “pogoma “😂😂
Mtoto wa mama
Mama nikilakitu dunia kaka
Haswa ukiwa nashida mama anaitajuka
Hakuna mtu anaeza vumilia mattzo ako Zaid ya mam,ndo kila ktu
Davistar kama mata🥰
Wapili +968
Mtumakini anataka tende
@@ayushsaeed1051 ...ucjali ntakuletea