Wachokonozi, mko sahihi Sanaa,,waelevu watawasaport, lakin wajinga hawataelew, ,,,na ndiomaan saiv hakuna mitume wala manabii Kam wale watakatifu wa kwenye vitabu vitakatifu
Dini zimechangia kwa kiasi kikubwa maovu kuongezea sababu zimetuaminisha kuwa kuna mtu alibeba dhambi ya wengine Kupitia msalaba amabapo hata ukakosea utatubu kanisan mambo yanakaa sawa ,hawawafundishi watu chochote ufanyacho kina malipo yake kibaya au kizuri lazima ulipie (Karma ) ,ila tumeaminishwa yote yalimalizwa ndo mana mtu haoni shida kuua ,kuiba ,kudhurumu nk akiamin akitubu tu anasameheka
@@wachokonozi_ understanding yenu ya mambo ni ndogo sana nacomment maana mnapotosha jamii mngekuwa mmejifungia chumbani kwenu na kuongea mambo yenu wala nisingecomment
@@joshuamshani2686 sijawaattack ukifuatilia vizuri wao ndio wanaattack watu wenye mtazamo tofauti na wao mimi nachofanya nikualert jamii maana waTZ wengi wanaamini sana vitu vya mitandaoni Na suala la kutoa fact hawa majamaa hawawezi kaa na mimi meza moja hata dakika 5 ni weupe sana.
Ila daaa vitabu vya dini vimekaa kinafiki saana.Mfano bibilia ina mistari imekaa kinafki mpaka unaweza jiona na wewe msomaji ni mnafiki.Mfano Yakobo 1;26.Any way tupia mistari mingine ya kinafiki unayoiona kabisa inaibua mgogoro ktk fikra zako
Hiii changamoto na comment za watu ,, inatokana capacity Yao ya uelewa, maan kuwa na Iman kwa Dini ni tofaut kufahamu Iman na wew❤ very dip kama tungekuwa na maarifa bas tusingeweza kuwaona watu awapo sahihi Kwan usahii ni upo?????tuamke
Ukisema wewe ulielewa hayo mambo bila kufundishwa unakuwa mnafiki kama ni hivyo hunahaja ya kuandika vitabu wala kutufundisha, basi acha kufundisha tujua tu bila kujulisha
sasa unatakiwa ukifundishwa shuhudia..elf kumi toa elf 5 nilifundishwa leo naiona na natoa chenji na mkono wangu..yesu nimefundishwa sijawah muona..eti amini tu..acha ufala
@@mckobatz5861 kwa vile unafanya kazi ya mungu alishakutokea mara ngapi ndg yetu 😅 kama ulipiga naye selfiee hebu tutumie picha yake WhatsApp bwana mungu tumuone.
Sina hakika kama atashindwa kujibu swali kama Hilo. Hao navyoona elimu ya filosofia IPO kubwa si kidogo na pia nje ya elimu pia akili zimo si za kusoma pekee . It is my view@@MajiTakaMaji
Wachokonooooozzzzz, nawaelewa vizur, full imagination 🤔🤔
Wanangu nawakubali saaana tena sana ninyi ni tunu ya Afrika hii
Mpo vnzuri majamaaaa hongerA ❤❤❤❤
Nawakubali sana❤❤❤
Wekeni namba tuchangie hayo madini big up❤❤❤❤
Endeleeni kupigia misumari wazee, mpka waafrika waelewe. Tupo tunawasupport aisee
Kunamtu anaingiliwa sana sa Jini mahaba kila akilala usiku Kwa upande wenu imekaa vipi WACHOKONOZIIIII
Big up bro naelewa sana kila mdini unayotoa kama kilaza moja.
Mimi nilishafunguka toka nianze kuwasikiliza
Nawakubali sana
You are just the master of wisdom so proud and grateful to meet this high vibration lessons ,big up brothers🔥🔥🔥👌
Dah me mnankoshaa sana ndug zang nawakubal sanaaaaaaaaaa ubongo unazid kfunguka
Ahsanteni kwa kuendelea kunitoa kwenye kiza❤
Dah! Wachokonozzz, mkoa very bright big up brothers
Yaan Mimi mmenifunuwa mengi sana
😂😂😂😂😂😂😂 watu wanaogopa sana ukweli...wachokonozi nawakubali sana
Nakupenda sanakk
Safi sana vijana
Nilichelewa kuwajua mapema, ila najitahidi kuwafuatilia zaidi
Dini zimesababisha mpaka wazazi wetu na ndungu zetu wanatuita sisi wachawi
ufahamu wangu unapevuka kila ninapo. wasikiliza nyinyi jamaa mnastahili pongezi kubwa sana sana sana sana
Nyie jamaa mko vizuri sana muwe na maisha malefu sana
Tuendeleee kutoa elimu 👊
Hakika Mungu awabariki
Safi saaana
Wachokozi nawapata vizuri sana
Ďini zimewafunga sana watu wanashindwa hata kuoana kwasababu dini.
Katika muzki namuelewa sana dizasta vina anavyo andika ngoma zake nakufananxha nae
Ndugu zangu mko vizuri
Mpaka waelewe mamake
Good job
Muwe na maisha marefu Wachokonozi,,, muendelee kutufungua akili maana tumefungwa Sana..
Ninauri wa miaka 55 sikuwai kupata madini kama hayo imani yako ikulinde daima saliuti kwenu nitapaje kitabu??
Ss Anga na ardhi viliubwa na Nani? Na vili toka wapi? Kama akuna MUNGU?
@@lucredeemerhivo ni vitu vya asili vilikuwepo na vitakuwepo hakuna alieviumba
Wachokonozi, mko sahihi Sanaa,,waelevu watawasaport, lakin wajinga hawataelew, ,,,na ndiomaan saiv hakuna mitume wala manabii Kam wale watakatifu wa kwenye vitabu vitakatifu
Majina yetu ya asili hayafai ila majina Yao ni matakatifu
Big up❤❤
Nimechelewa kuwajua,nuru ningumu. Kuipata
Appreciated
Nooooma sn
mie naitwa maurus nyimbo ase mmetisha tu bure jmn
Napataje kitabu wakuu
Mko sawa
Hapa nipo kugain🙏
Wachokonozi mbona mna upeo mkubwa mno hebu mnipe hata kidogo
Nataka vitabu ata kwa kulipia
Mungu yupo, Dini ni unafiki
Ndio yupo ila sio Allah Wala god Wala sio yehova Wala yahwe.
🔥🔥🔥👌
Nilikuwa Naomba umsikilize jamaa mwingine ambaye anasaidia watu kutoka kwenye ukoloni wakifikra kama nyinyi, Anaitwa George Carlin
❤
Hapo kwenye kusema MUNGU hayupo mnamaanisha nini
Dini zimechangia kwa kiasi kikubwa maovu kuongezea sababu zimetuaminisha kuwa kuna mtu alibeba dhambi ya wengine Kupitia msalaba amabapo hata ukakosea utatubu kanisan mambo yanakaa sawa ,hawawafundishi watu chochote ufanyacho kina malipo yake kibaya au kizuri lazima ulipie (Karma ) ,ila tumeaminishwa yote yalimalizwa ndo mana mtu haoni shida kuua ,kuiba ,kudhurumu nk akiamin akitubu tu anasameheka
Nyie majamaa uelewa wenu ni mdogo sana tena sana inshort ni VILAZA
@@shareefkamtande unacomment kwenye akaunti ya vilaza 😅
Wabishie kwa fact na wala sio kuwaattack ujawaelewa
@@wachokonozi_ understanding yenu ya mambo ni ndogo sana nacomment maana mnapotosha jamii mngekuwa mmejifungia chumbani kwenu na kuongea mambo yenu wala nisingecomment
@@joshuamshani2686 sijawaattack ukifuatilia vizuri wao ndio wanaattack watu wenye mtazamo tofauti na wao mimi nachofanya nikualert jamii maana waTZ wengi wanaamini sana vitu vya mitandaoni
Na suala la kutoa fact hawa majamaa hawawezi kaa na mimi meza moja hata dakika 5 ni weupe sana.
@@joshuamshani2686 dree code yao tu inawadiscredit hamna mtu intellectual anavaa kiuni kama hivyo
Mimi apo kwamungu sikuelewi
Fact without reasonable doubt
Dini zinafanya tunaitana makafiri
Huooo ni ukweli usiyo pingika, nakuomba uendelee kuelemisha watu waliyo potezwa na ukoloni wa Dini
Alafu ukioji kitu kuhusu kuifam dini au kukosoa unaitwa kafiri
Yani mimi ninachoomba mawasiliano yenu
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wachokozi naombeni namba yen
Kuhusu ndoto nifafanulieni
Ni kama nawapata hivi.
Hivyo vitabu vinaitwaje? Navipata wapi?
Unafki upo sana kwenye dini
5:09
Nakubali wanangu
Wachungaji wanasikitika sio kwamba eti vijana wanapotea bali wanaumbuka na wanaenda kukosa sadaka za wizi
Nyinyi nimawakala wa ku
Kuzim inawasubir
Kuzim inawaßubiri
Ila daaa vitabu vya dini vimekaa kinafiki saana.Mfano bibilia ina mistari imekaa kinafki mpaka unaweza jiona na wewe msomaji ni mnafiki.Mfano Yakobo 1;26.Any way tupia mistari mingine ya kinafiki unayoiona kabisa inaibua mgogoro ktk fikra zako
Mnapatikana wapi,,nimewaelewa
Hiii changamoto na comment za watu ,, inatokana capacity Yao ya uelewa, maan kuwa na Iman kwa Dini ni tofaut kufahamu Iman na wew❤ very dip kama tungekuwa na maarifa bas tusingeweza kuwaona watu awapo sahihi Kwan usahii ni upo?????tuamke
NAITAJI VITABU VYAKO VYOTE
@@nyambangomahekemaheri2586 kila kimoja elf50.
Nakubali
🧠🧠
Nipeni namba zenu
Ukisema wewe ulielewa hayo mambo bila kufundishwa unakuwa mnafiki kama ni hivyo hunahaja ya kuandika vitabu wala kutufundisha, basi acha kufundisha tujua tu bila kujulisha
sasa unatakiwa ukifundishwa shuhudia..elf kumi toa elf 5 nilifundishwa leo naiona na natoa chenji na mkono wangu..yesu nimefundishwa sijawah muona..eti amini tu..acha ufala
Shetani hawezi kuwatokea kwa sababu mnafanya kazi yake ila ipo siku atawatokea Mungu mtajua hamjui😂
@@mckobatz5861 kwa vile unafanya kazi ya mungu alishakutokea mara ngapi ndg yetu 😅 kama ulipiga naye selfiee hebu tutumie picha yake WhatsApp bwana mungu tumuone.
@@wachokonozi_ you can't be serious 😂
Ndingu Mimi natamani kuwajua hasa kujua wewe, ili nikomenti kitu
@@MussaMarko sisi ndio hao unatuona hapo na hizo ndio content zetu.
Sasa unaposema mungu hayupo unanichanganya juwa mwezi mbingu arithi watu Nani ameviwumba?
@@MutoniFunny havijaumbwa! Huyo mungu wako kaumbwa na nani?
Kwa maana hiyo tuelewe kuwa Mungu yupo au hayupo?
@@PrinceAmily Hekima ni kumwachia mtu maswali ya kujiuliza, si kumpatia majibu kwa maswali yake.
Kaka naomba utuelezee Chanzo Cha Mwanadamu...Sisi tulitokeaje?
Awezi kkujibu
Nyie mashetani mende tena basi unalalao hukokwako hee mende tena unawapotoshatu hamnalolote njaambaya na bangi zimezidi
Sina hakika kama atashindwa kujibu swali kama Hilo. Hao navyoona elimu ya filosofia IPO kubwa si kidogo na pia nje ya elimu pia akili zimo si za kusoma pekee . It is my view@@MajiTakaMaji
Kitabu na kipataje
Ukisema eti kiumbe
Swali kime umbwa na nani??
Wataelewa TU
Mko vizuli wajinga watawaelewa tuu
❤