🚨Mapya kutoka Yanga,Kauli ya C.E.O Mtine na uzinduzi wa jezi Mpya,Yanga nitishio.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024
  • #football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

КОМЕНТАРІ • 18

  • @AllyAmanzi-y8i
    @AllyAmanzi-y8i 2 місяці тому +1

    kauli yetu "NYIE MNATAKAJE

  • @musamagulu2023
    @musamagulu2023 2 місяці тому +1

    Kwenye jezi yanga wanajua sana yaan huwa hawawaangushi mashabiki wao.
    Big up S.Ngowi

  • @HalimaLikotwike
    @HalimaLikotwike 2 місяці тому +1

    Jezi nzur sanaaa hasa ya kijani

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 2 місяці тому

      Hakuna kijani hapo. Kalinganshe na ya Mwaka jana utaona utofauti.

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa7723 2 місяці тому +1

    Watangazaji hata hawawajui wachezaji😅😅😅😅😅

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 місяці тому +1

    Hizo ni jezi bora, siyo sanda.

  • @OthmanMdede
    @OthmanMdede 2 місяці тому

    Nawapata

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 2 місяці тому

    Leo ndo mmeona kuwa uzuri wa kitu ni subjective eeeeh

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 2 місяці тому +1

    Mtangazaji tunamzungumzia jezi za msimu huuu..... Wewe umeipenda kitenge!!!!! Kiukweli nadhani Kwa Sasa mmebakia kwenye ushabiki tu kwenye suala la jezi.. Hata maelezo Yako kama umejaa uoga

  • @Shabani-o3g
    @Shabani-o3g 2 місяці тому

    Sivitenge hizo jezi

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 місяці тому

    Rangi ya Jezi imepotea sio tena ile ya asili. Ili ujue mnazingua mtu avae njano ya mwaka jana na mwingine ya mwaka huu rangi ni tofauri sana.

    • @Smart_jarm
      @Smart_jarm 2 місяці тому +1

      KWAHIYO SIO YANGA AU?

    • @ibrahimally6455
      @ibrahimally6455 2 місяці тому +1

      Kuna njano mpauko, njano kahawia na njano iliyokolea kwanza faham hizo njano au ndo uje useme kma ni njano au sio njano

    • @antidiuspaulo7110
      @antidiuspaulo7110 2 місяці тому +1

      Hoja yako ni dhaifu

  • @AbdulkhalimMbarouk
    @AbdulkhalimMbarouk 2 місяці тому +1

    𝑆𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑤𝑎𝑚𝑒𝑗𝑖𝑡𝑎ℎ𝑖𝑑 𝑖𝑙𝑎 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑎 𝑛𝑖𝑠ℎ𝑖𝑑𝑎 𝑠𝑛 𝑘𝑖𝑙𝑎 𝑠𝑒ℎ𝑒𝑚𝑢