Hiphop ipo katika sura tofauti sana na hii ndio huleta burudani maana kila mmoja hutoka kwa style yake NA mashabiki huangalia ladha wanazotaka.. Hata huko USA ilipoanzia wasanii wanatofautiana lakini wote wanaimba Hiphop. Kuna wanaochana hardcore hiphop kama akina KRS-One, Buster Rymes, Twista, DMX lakini hawakufanikiwa sana ukilinganisha na akina Jarule na 50Cents. Kuna wanaoitwa Rap singers, mfano Eminem. Anaimba huku anarap. Vilevile Lil Weezy ambaye kuna wakati anaufanya mziki wake anakua kama mwanamuziki wa Rock n' Roll. Kuna wanaoimba hiphop softy kama Will Smith, zote ni hiphop. Kuna wanaotegemea autotune. Kama akina Kanye West, Tpain. Huwezi kuelezea upana wa sanaa linapokuja swala la muziki wa hiphop Style ya kughani ya raper Fabulous. inafanana na style ya NIKi Mbishi Kitu pekee ambacho ni rahisi ni kueleza asili ya muziki wa hiphop na muundo wake. Lakini unapoelekea no swala la wakati.
eti Nikki anachana prof j na kumfundisha nyimbo za kuimba dah !!! ,, Nikki ni msanii sana ila shida yake anajikuvali sana ndio maana amekuwa mtu wa kumchana kila MTU na ndipo anapokosa michongo ya kupiga ela ,, ivi unasenaje Roma ni maanii mbaya wakati kwenye mauzo ya wanamuziki wa hiphop bongo yuko top3 na alishawai shinda tuzo ya nyimbo bora ya mwaka ya hiphop (mathematics) kabla hata izo issue za kutekwa na anetoa hit kibao kama KIDOLE CHA MWISHO JUU, MTANZANIA,, 2030,, kabla kutekwa kwake,, kwa kifupi Nikki shida yako ni kujua sana na bangi
Music ni interntainment .. fanya research kokote dunian , wale ambao ni best singers tu af kwenye kuintertain hawako vizur mziki wao hauwalip kama ambavyo inatakiwa kuwa .. so wale ambao wanaimba af wako vizr kweny kuintertain ndo wanaupiga mwing sanaaa .. look it kwa jicho la utafit
Nikki mbishi ni mpumbavu tu hana ubishi wowote tozi tu yaani kuachana na mziki hata kimtaa Nikki mbishi ni bishoo sana ila japo roma wanasema anaimba ngonjera lakini roma kimtaaa ni hip-hop zaidi
Nazikubali sana ngoma za niki mbishi sauti ya jogoo aka pesa kwanza baba markom zahan na nyingine za kitambo lifestyle unayo ishi sasa siielewi kila nikivuta picha naona chenga hip hop nimaisha
nikki ndo nani. huwa nasikia tu Nikki Mbishi hilo jina tu kwanza ni shida. Mi namfahamu Nikki wa pili mhe.mkku wa wilaya ya Kisarawe. in short kujifananisha na Roma ni sawa na sisimizi kujifananisha na tembo. hip hop siyo majungu umekariri vibaya dogo. Roma kakwambia acha kujifungia magheto. kumbe huwa unachana ukiwa gheto mwenyewe n kujikubali. nimecheka sn duh.
Msikilize sana Nikki, hawa jamaa wanaweza kufanya Hip Hop iwe mbovu, Nikki kawa kama teacher wa misingi ya HipHop, achana na umaarufu tukiongelea ufundi kuna watu kama Mapacha ni hatari sana
@@juliusmj8341 Nikk mbishi ni mkali kwa kucheza na maneno kufumba ni deep sana kumuelewa, Roma ni mkali kwenye nyimbo za kiharakati hakuna kama Roma halafu ni muuaji wa zile beat zake za tongwe record
Cku zote km unafanya kitu kizur lazima kitaonekata km sio kusikika,chuki beef is not hip-hop,acheni kuaminisha watu ivyo,nafikili Keke ya taifa Ina uwanja mpana sn yeyot anaweza kula kwa atakavyobarikiwa,sio lazima umu-attack mtu ndio ule ,acheni mziki uongee,Ila broo nistuka ad kwa proof j unaweza ..... Naona ipo shida kwako bro nikk ,xo mk evaluation uaselfffffffff lm out
Hamna content hapo,Nikki kutokukubarika kwenye stage na kutokupewa michongo ni hypocricy yetu wabongo baada ya kusema ukwel,au kutokukubari kuwa chawa.Nikki ni mkal kuliko msanii yeyote wa hip-hop hapa Bongo,sema He is always keeping it real,kitu ambacho wabongo wengi hatukipendi,Talking about lyrics,Nikki is a lyricist do not mess up with Nikki is an hip-hop icon of Tanzania,apart from that we are eaten by hypocrisy.But putting Roma and Nikki is fuckin nonsense.Over
kila siku unalalamika tuu nikki wanao mfahamu basi hawazidi watu hamsini au 60 tuu nani a anamjua nikkibishi,yaaani analalama tuu kila siku,nikki mbishi umekuwa mwehuu kabisa acha ujinga na heshimu wezako,zombi kabisa wewe huna lolote nani akupe show wewe au utaiMba wimbo gani,watoto wadogo wanakuja na kuhit wewe wapi,leo hii lapcha anafahamika kuliko wewe
Tatizo niki mbishi bangi nyingi zina mzingua #Roma ni moja kati ya wasanii wa hip hop wakubwa sana tz roma me nisha shuhudia shows zake nyingi sana akiwa yupo jukwaani yani vibes lake ni nooma sana apewe tu heshima yake niki chuki zke ndo zina mkwamisha alikuja kuwa diss #team yangu weusi bila sa7bu yyote then bado tu ana lalanda landa mtaani🤣🤣😂😂😂😂😂
Dah kueni na akili makaka nye Nikki anatete mtaa ci watt wamtaan tunamkubali antupa akili ya ziada Roma anafichua siri za siasa yule mtetezi wamtaa usije mtukana Nikki nyie wegi wenu wamjengon face kama izi auwezi kuta anakaayoshi
Hehehehe. Message noted,
But Nikki hawezi badilika hio ndio hip hop 🔥😂
Niki mbishi anaongeaga ukweli, sema ndio ivo tu anadamu ya kunguni
🤣🤣🤣
Nikki Mbishi 🎆🎇🔥💥🔥💥 Roma rudi Nyumbani kumenoga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hip Hop ni tamaduni na Nikki ni mwakilishi wetu 😏
Hiphop ipo katika sura tofauti sana na hii ndio huleta burudani maana kila mmoja hutoka kwa style yake NA mashabiki huangalia ladha wanazotaka..
Hata huko USA ilipoanzia wasanii wanatofautiana lakini wote wanaimba Hiphop. Kuna wanaochana hardcore hiphop kama akina KRS-One, Buster Rymes, Twista, DMX lakini hawakufanikiwa sana ukilinganisha na akina Jarule na 50Cents.
Kuna wanaoitwa Rap singers, mfano Eminem. Anaimba huku anarap. Vilevile Lil Weezy ambaye kuna wakati anaufanya mziki wake anakua kama mwanamuziki wa Rock n' Roll.
Kuna wanaoimba hiphop softy kama Will Smith, zote ni hiphop.
Kuna wanaotegemea autotune. Kama akina Kanye West, Tpain.
Huwezi kuelezea upana wa sanaa linapokuja swala la muziki wa hiphop
Style ya kughani ya raper Fabulous. inafanana na style ya NIKi Mbishi
Kitu pekee ambacho ni rahisi ni kueleza asili ya muziki wa hiphop na muundo wake. Lakini unapoelekea no swala la wakati.
Uandishi Roma ni mwepesi na Uandishi wa Nikki ni mzito. Mahasimu hao
Binafis siwezi kumkosea heshima Niki mbishi kumshindanisha na non-hip hop Roma hivo tu.
Wapige Dis track waache maneno
eti Nikki anachana prof j na kumfundisha nyimbo za kuimba dah !!! ,, Nikki ni msanii sana ila shida yake anajikuvali sana ndio maana amekuwa mtu wa kumchana kila MTU na ndipo anapokosa michongo ya kupiga ela ,, ivi unasenaje Roma ni maanii mbaya wakati kwenye mauzo ya wanamuziki wa hiphop bongo yuko top3 na alishawai shinda tuzo ya nyimbo bora ya mwaka ya hiphop (mathematics) kabla hata izo issue za kutekwa na anetoa hit kibao kama KIDOLE CHA MWISHO JUU, MTANZANIA,, 2030,, kabla kutekwa kwake,, kwa kifupi Nikki shida yako ni kujua sana na bangi
Eti Roma kiherehere chake kimezidi kimefika Tatu, kinatakiwa kiwe angalau moja au moja na nusu iv 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Naona mbishi Sasa anaanzisha ubishi wake🤣
Ni wakati kila mtu kuangalia maisha yake sio unawamulika wenzio tu uwo ni uchawi kweli usijione wewe ni bora kuliko mwenzio .
Mhh Niki mbishi nae hovyooo Roma anajulikana kitambo sana au yeye ndo aliekua anataka kupata umaarufu kupitia jina la Roma?
Wew mwamba unayeongea umepanic, Nikki ni pure nikki no mkweli
Roma amesahau kuzungumzia jinsi alivyomuibia mistar anaemzungumzia
Roma ndomana nakukubali unashi ki hip hop zaidi
Music ni interntainment .. fanya research kokote dunian , wale ambao ni best singers tu af kwenye kuintertain hawako vizur mziki wao hauwalip kama ambavyo inatakiwa kuwa .. so wale ambao wanaimba af wako vizr kweny kuintertain ndo wanaupiga mwing sanaaa .. look it kwa jicho la utafit
Nikki choko kinoma
Afanye mziki gani huyu jmaaaa amekuwa kma wale wamama waimba tarabu nikudiss tu kilakona 😂😂😂
Alafu huaananishangaza sana Niki mbishi sikiliza nyimbo zake zoooooote lazima amtaje mtu vby sasa ndo unaimba vzr Niki mpuuzi sana
Nikki mbishi ni mpumbavu tu hana ubishi wowote tozi tu yaani kuachana na mziki hata kimtaa Nikki mbishi ni bishoo sana ila japo roma wanasema anaimba ngonjera lakini roma kimtaaa ni hip-hop zaidi
Viva Roma but don't fight for greatness💪💪💪🗣
Nick anazingua
Sure
jamani roma nimkubwa sana
WELL SAID ROMA, YOU ARE SO HUMBLE BRO
Roma yuko sawa kbs
Roma ni mkali sana napenda nyimbo zake sote
Anakoelekea NIKKI MBISHI atakosana na kila Mtu maana yeye anaona kila MTU anazingua
Njo muamini maneno ya baba levo
Yeeees nimesoma kule kwa roma na huku nimekuja roma yuko sahihi kabisa huyo mku**u mbishi aendelee tu na ubishi wake
Mi sihangai sana hiz dic zawasanii ila nick acha izo ukiwa unadic wenzako tutakunyang'anya ubish af tukupe umboga ila nakukubali
Ruge alikuambia ttzo linaanzia kwenye jina yaan jina ndo inafnya uwe mbishi kama mk...ndu baki n hip hop alfu maisha magumu et..
ni kweli kabisa, kinachomkost nikimpishi ni ujuaji
Yaan Niki kujifananisha na na Roma nisawa kufanisha kifo na usingzi
Akuna point apo
Ni mawazo yake. Huo ndo uhuru unaoutaka Roma. Sikuliza watu wanakusemaje sisi wewe kuwaimba na kuhisi kila mtu ataappriciate
Roma mwanasiasa sio msaniii ila ana element ya kuwa msaniii
Nakumbuka mchomvu alimwambia tatizo lako ni jina badilisha jina hilo 😃😃
Nazikubali sana ngoma za niki mbishi sauti ya jogoo aka pesa kwanza baba markom zahan na nyingine za kitambo lifestyle unayo ishi sasa siielewi kila nikivuta picha naona chenga hip hop nimaisha
Roma ni msani mkubwa sanaa kuliko uyo wenu Nikki mbish ,ni mwehu
Viva Roma Viva
Mxhamba2 Nikki
Una mafua? Creez favors
Huyu jamaa anawivuuu sanaaa...
Roma chuki na taarabu nyingi
Nikki ni mtu asiyekua na future
Ukimzunguzia Roma unaizungumziaa number 9 Yani ww nikki ni 4 Roma atabac kuwa roma tuu hawez badilikaa Yani saiz y'ako ni joselin mtambo na sioo romaa
Napita tu
Nikki achana na mziki, fanya vtu vngne utatoka
Niki mbishi nani huyo mbona cimujui
Ndio rap ambaeye yuko vizuri kwenye misingi ya hiphop tatizo ni kuwa na msimamo wa hard hip-hop
Aujui ki2 mtoto mdogo
Hiphop sio nikki mbishi...aache kujikuta yeye ndo hiphop halafu hakuna alichoifanyia....kama roma alimfundisha hiphop kwanini usiwe proud mwanafunzi wako anafanya vizuri...nini kinakuumiza nikki....ebu jaribu tu kuuliza wangapi wanajua hata nyimbo zako 5...
nikki ndo nani. huwa nasikia tu Nikki Mbishi hilo jina tu kwanza ni shida. Mi namfahamu Nikki wa pili mhe.mkku wa wilaya ya Kisarawe. in short kujifananisha na Roma ni sawa na sisimizi kujifananisha na tembo. hip hop siyo majungu umekariri vibaya dogo. Roma kakwambia acha kujifungia magheto. kumbe huwa unachana ukiwa gheto mwenyewe n kujikubali. nimecheka sn duh.
#Uwez kumpangia mt anaye jitaftia maisha yake nik Ukabila sio utaku coast kwa kutaka kusifiwa ww na ubishi wako..
I love Roma 🇰🇪🙏🙏🙏
Niki mbishi unayumba wapi umetoka kwa chidi benzi saizi upo kwaloma
Niki mbishi hajawahi milikii Akili
Roma niwa moto san ONDOA maswala y kutekwa
Na mimi mbishi pia simsikizi.mtu
Roma na Nikk mbishi wako different wote ni ma lyrical nawapenda wote, naweza skiza nyimbo za Roma kuliko Nikki mbishi
Msikilize sana Nikki, hawa jamaa wanaweza kufanya Hip Hop iwe mbovu, Nikki kawa kama teacher wa misingi ya HipHop, achana na umaarufu tukiongelea ufundi kuna watu kama Mapacha ni hatari sana
@@juliusmj8341 Nikk mbishi ni mkali kwa kucheza na maneno kufumba ni deep sana kumuelewa, Roma ni mkali kwenye nyimbo za kiharakati hakuna kama Roma halafu ni muuaji wa zile beat zake za tongwe record
Nikki ameimbaga nyimbo gani? Simjui et
@@masalakulwa7601 tafuta 😂
Nikki mbishi ni nani au ndo yule nicki minanji uyo anataka bwana kama vp roma chukua demu uyo
Ufinyu wa akili hujui hip hop
Kwenye Post ya Roma nimependa kule mwisho tu.... Nikki kujifanya too much know kwenye kila kitu...hapa anakosea Nikki
Roma sio msaniii bt mwanasiasa
Ukiwa hauna akili mambo mengine usiandike ili kuonesha ujinga wako
Kama akilizako za mbogo uliza wanaojua what hip pap
Is
Ndo tatzo la ulevi hili
Wewe mbwa hujui kitu
@@mbembelatv sio ulevi kila mmoja ana mawazo yake Kwani we uko sawa?
Amezidi bwege huyo
Uyo nikiminaji anatafuta kiki coz anampya dunia hii y reo mwambie aache mipasho hep hop imemshinda futi6 uyo aimbe talabu manina zak
Huyo sio niki minaji ni niki mbishi niki minaji ni qa malekani😃😀😃😄
Huo Niki mbwa tuuuu anajiona mkali kweli kumshinda Roma kweli anatufuta Kiki mshenzi huo
Kwani huyu Nikki bado yupo? Makubwa haya apitie huo upepo atoke
Hu jama nam ame nikera haki 😏
Alafu huu usemi wa makasiriko km mm nimeusikia kwa msami lkn msemo huu ukija kuwa mkubwa utawasikia wanagombania kila mmoja atasema wa kwake
Stanley msemo huo ni wa kenya
We nick wakujilinganisha na Roma hata charinze hawa kujuwi
SnS mko poa sana
I❤️ Roma wa tanga mwezangu 💪🏽💪🏽
Cku zote km unafanya kitu kizur lazima kitaonekata km sio kusikika,chuki beef is not hip-hop,acheni kuaminisha watu ivyo,nafikili Keke ya taifa Ina uwanja mpana sn yeyot anaweza kula kwa atakavyobarikiwa,sio lazima umu-attack mtu ndio ule ,acheni mziki uongee,Ila broo nistuka ad kwa proof j unaweza ..... Naona ipo shida kwako bro nikk ,xo mk evaluation uaselfffffffff lm out
Ila kiukwel Niki kakosea ila me namkubal kinom
Nikki mbishi awe na adabu roma ndo baba yao
Hamna content hapo,Nikki kutokukubarika kwenye stage na kutokupewa michongo ni hypocricy yetu wabongo baada ya kusema ukwel,au kutokukubari kuwa chawa.Nikki ni mkal kuliko msanii yeyote wa hip-hop hapa Bongo,sema He is always keeping it real,kitu ambacho wabongo wengi hatukipendi,Talking about lyrics,Nikki is a lyricist do not mess up with Nikki is an hip-hop icon of Tanzania,apart from that we are eaten by hypocrisy.But putting Roma and Nikki is fuckin nonsense.Over
wazee na refresh page yenu kila muda bado story ya kanye west haijaandaliwa #DONDA
Ni bangi zina mdanganya anajitahidi kuishi et kwa misimamo ya jina lake😄😄😄😄
Niki jinga sana anapenda majigambo
Kwakweli 😂😂😂
@@adolphmwangoje2887 Zama zake zimeisha
Kwel mchane huyo hana jipya
kila siku unalalamika tuu nikki wanao mfahamu basi hawazidi watu hamsini au 60 tuu nani a anamjua nikkibishi,yaaani analalama tuu kila siku,nikki mbishi umekuwa mwehuu kabisa acha ujinga na heshimu wezako,zombi kabisa wewe huna lolote nani akupe show wewe au utaiMba wimbo gani,watoto wadogo wanakuja na kuhit wewe wapi,leo hii lapcha anafahamika kuliko wewe
Ukweli mim sijuu anaimba nyimbo gani..duh
Nikki mshamba tu
Nikki ndo nan
Niki mbishi kasema ukweli tupu
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Tatizo niki mbishi bangi nyingi zina mzingua #Roma ni moja kati ya wasanii wa hip hop wakubwa sana tz roma me nisha shuhudia shows zake nyingi sana akiwa yupo jukwaani yani vibes lake ni nooma sana apewe tu heshima yake niki chuki zke ndo zina mkwamisha alikuja kuwa diss #team yangu weusi bila sa7bu yyote then bado tu ana lalanda landa mtaani🤣🤣😂😂😂😂😂
Una unalolijuwa ww zaidi ya kulelewa na watoto wa kike na kuzilazila km demu ujuw hip hop bk na ndombolo ya solo huku utapelekewa moto
@@jacksonsabana2150 aya nambie unacho kijua ww mtto wa mama kwani hip hop nini niuadui? Au nikujenga chuki kwa wasaanii wenzio?
@@jacksonsabana2150 acha ufala ww
Roma mkal ww
Daaaaah!! Yani huyu jamaa mziki wake hata sijawahi kuulewa anaimba nn Zaid ya bifu za kijinga #Niki my brother mziki wa zaman sio wa leo
Jina lenyewe ni #MBISHI sa kwanini asibishe
Dah kueni na akili makaka nye Nikki anatete mtaa ci watt wamtaan tunamkubali antupa akili ya ziada Roma anafichua siri za siasa yule mtetezi wamtaa usije mtukana Nikki nyie wegi wenu wamjengon face kama izi auwezi kuta anakaayoshi