Kaka haya maneno uwa yanipa nguvu nikiona spo sawa uwa nakimbilia kwenye acaunt yako kupata japo kidogo cha wosia wako mwenyezi mungu azidi kukutuza kaka hakika upo nakutupa elimu kubwa na ujasili nakupenda sana kaka from tanzania ❤❤❤❤❤❤❤❤
The poetry in Mrisho Mpoto's music is just amazing. He speaks to many, he speaks for many. I listen to his songs and I feel moved to do something about life. Keep going brother
thats Tanzanian musik bana,,tatizo media za TZ hazimpi promo jinsi inavotakiwa,apart from message,outfits,locations zinaonesha ho TZ is,but most of TZ muzik fans and media tumekalia ujinga..................Mpoto rocks
Unanifurahisha sana kuifanya akili yangu ipate ladha ya utamu wa mdundo wa wimbo wakati huohuo ninaitumia akili hiyo hiyo kutaka kujua hasa maana ya wimbo wenyewe ukiwianisha na hali na wakati niliopo
LOO ... kazi hii kuntu kabisa haina dosari wala kasoro. Ahsante sana kwa kuthamini na kukuza utamaduni na mila za Kiafrika. Mimi mwenyewe ni Mmarekani mweusi, au kama wengi twasemavyo njeo hizi, Mwafrika wa Marekani. Shukran, umewafurahisha wahenga na wahenguzi wetu.
when r u coming to kenya i love all the song i love your message ,using reality im sure u massage is clear .i wish our leader all africa should listen to this.
Kaka Mrisho Shairi zako tamu sana ndugu. Ama kweli Kama hujui unakokwenda huwezi kupotea. Mistari imekolea kamwe hubahatishi ndugu yangu ila nipo na swali moja,natokea Kenya wapi naeza pata Album yako sehemu hii??
CHUKI HUMCHOMA ANAE HIFADHI...#Ukiogopa kupotea uliza Babu msubaa Hahaha
Twakupenda sana hapa Kenya🇰🇪
Huu wimbo uwaendee wanasiasa wote kenya.inauma kuna bado baa la njaa bado ni donda sugu hasa kaskazini mashariki
Kabisa #iteya
I like your Africanisty 2022 Bado nimerudi kuyasikiza Maneno Yako🤔
One of the best songs in Tanzania in 20s. Ni maisha halisi ya watanzania
Daah nyimbo za huyu jamaa sielewagi yaani km siyo kisw mafumbo duu,wimbo bombs ujumbe cjaelewa kidogo tu aliyeelewa msaada tafadhali
Sasa huyu ndiye mwalimu wa wasanii
We mpoto uko vzr
Mrisho mpoto, shujaa shujaa shujaa
Safi sana kaka
Mimi na ukenya wangu bado ujumbe anao upitisha siuelewi aisee. Mtu anifafanulie eti. Lugha naishika ila ujembe unanikata chenga
Mrisho mpoto,saluti kwako
kwa muda mrefu huu ndio wimbo wa kwanza ambao unaujumbe nimeuskia...#wapashe #254
Hongera Mrisho mpoto wewe ni msanii pekee katika wasanii wote nchini , unaye tunga tungo za Uzalendo toka ndani ya moyo wako.
Kaka haya maneno uwa yanipa nguvu nikiona spo sawa uwa nakimbilia kwenye acaunt yako kupata japo kidogo cha wosia wako mwenyezi mungu azidi kukutuza kaka hakika upo nakutupa elimu kubwa na ujasili nakupenda sana kaka from tanzania ❤❤❤❤❤❤❤❤
Rest in Peace DAS ... Mungu akurehem huko uendako
Good video
The poetry in Mrisho Mpoto's music is just amazing. He speaks to many, he speaks for many. I listen to his songs and I feel moved to do something about life. Keep going brother
Zamani nilikupenda Sana toka ulivyomezwa na inzi wa kijano NYIMBO zako huzipita Kama waislam waagapo mwili wa mkristo
Mjomba mpoto ase we mkali nimekuelewa ujumbe umefika gonga like twende sawa .√√√√
Kwa nyimbo hii mkubwa umetujenga sana.nafikiria kutoa comedy yangu ikifwatana na maneno hizi kiukweli asante
Kali Sana 2021!!!
Nimekukubal mjomb
Maisha marefu mjomba. Inshallah
nyimbo za mpoto natokaga kapa labda hisia za mbaliiiii
Jamaa kwel an dah...mi naishiaga kutoka na kamsemo baraka mwangama
Upo kama mm😅
Wanashiasha ujumbe kwenu
A peculiar artist in Africa 👏👏👏
Kuna nyimbo zitadumu sana; ungekuwa kule ungelikuwa billionaire. ,,, ila unga unga mwana........
thats Tanzanian musik bana,,tatizo media za TZ hazimpi promo jinsi inavotakiwa,apart from message,outfits,locations zinaonesha ho TZ is,but most of TZ muzik fans and media tumekalia ujinga..................Mpoto rocks
asante kwa shairi lenye utunzi bora
Kaka Mrisho, Nyie ndio SIMBA WA AFRICA kwa Sasa, Big up sana kazi ni Bomba Fireeee
Still listening in 2022
Umetisha mpoto
kweli njoo ichukue
Mungu akulinde popote ulipo baba Mrisho Mpoto
Unanifurahisha sana kuifanya akili yangu ipate ladha ya utamu wa mdundo wa wimbo wakati huohuo ninaitumia akili hiyo hiyo kutaka kujua hasa maana ya wimbo wenyewe ukiwianisha na hali na wakati niliopo
Moto unatosha Ngoma moto moto
LOO ... kazi hii kuntu kabisa haina dosari wala kasoro. Ahsante sana kwa kuthamini na kukuza utamaduni na mila za Kiafrika. Mimi mwenyewe ni Mmarekani mweusi, au kama wengi twasemavyo njeo hizi, Mwafrika wa Marekani. Shukran, umewafurahisha wahenga na wahenguzi wetu.
Mjomba nimechukua mkoba hapo,mistari zimekamilika.
Salute to u as a poetic person
mjomba we ni moto
I really dont even know what they are singing about but this song touched my heart,
Prudie SandyN
Prudie SandyN he's talking about politicians who come to our neighbourhood during campaign... then after they are no where to be seen
NITUMIE NAFASI HII ADHIMU KUMPONGEZA (MRISHO MPOTO) aka MJOMBA KWA KAZI HII. SAFI SANA ENDELEZA MAPAMBANO YA KUKUZA KISWAHILI NA KUELIMISHA UMMA
Ww ni alimas ya pekee ndani ya nchi yetu na dunia kwa ujumla tuna kukubali sana boy
zasaizi samaani naombanamba ya mlisho mpoto
Naomba kaka Mrisho uachie kitu kutokana na ishu ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2015 na wagombea wote
wanamuziki wa kizazi kipya jifunzen kwa mjomba mpoto
Nimeipenda hii nyimboo ......tenah verse ya mwisho hongera
Best song from Tanzania I have heard in 2015
Waaah! Nimekuwa wa kufuatilia zake Mrisho na kamwe haangushi I say. Big up ama ndo niseme Thumbs up Mpoto.
Kazi nzuri hii mjomba.
Wimbo mzur anastahil pongez km anaweza
Nimeshindwa Kuchukua Mjomba maana huko kwenu Duh
WEMA MSERE KAKA UPOJU NAPENDA SANA NYIMBO ZAKO TENA YA TUKUTANE OCTOBA SAFI SANA UPO JU
big up Mpoto…What a lovely song
Mrisho Mpoto - Njoo Uichukue, Thumb up...
Hatariiiiiiiiiiiii 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇
Mambo
Big up Mrisho always your number one
nataman huyu ismail wa mjomba band atoe nyimbo yake anasauti nzuri
Mpoto yupo kiujumbe zaidi.asilimia 100
always I like mlisho mpoto he have good songs and very crietive not only that he educate much society
sawa mtu wangu
Kenyan politicians. Karibieni
when r u coming to kenya i love all the song i love your message ,using reality im sure u massage is clear .i wish our leader all africa should listen to this.
archeadious ashiono
Mjomba asanta.
i like mrisho mpoto kwa mauzui yake
Akiamungu kiswahili mmeniacha nje😂😂😂
kumbe et babu nembo huyuu daah
Kaka Mrisho Shairi zako tamu sana ndugu. Ama kweli Kama hujui unakokwenda huwezi kupotea. Mistari imekolea kamwe hubahatishi ndugu yangu ila nipo na swali moja,natokea Kenya wapi naeza pata Album yako sehemu hii??
Una ubora naupeo mkubwa wakili mjomba
Salute...from keko
Nimekuelewa mjomba ubarikiwe sana
Haa ndio yule mzee aliyechora nembo ya taifa
jamani napenda sana maneno haya yamjoomba ananifulaisha sana mmi nipelaha bba
2022 listening
Video ipo powa
am comig to tz to see you officially. am coming to take it haha!
shikamoo MJOMBA...
Sina Kipingamizi napenda sana majigambo haya yapo makini yamefumwa vizuri yana ufundi wa kisanaa
Rehema Green 100%
Huyu Mzee muuza bangi kumbe ndio aliochora nembo ya taifa (Adam & hawa) r.I.p Mzee ngosha
iko vzr kuanzia video na ujumbe kwa ujumla
meseji yake nzuri kwa kipindi hiki cha uchaguzi ila sidhan kama watanzania wenzangu wataelewa
Kama ujui unako kwenda uwezi potea
ama`kwelii kama hujui unapokwenda`kamwe huwezi kupotea
Mwambie Aje na kama ameshikwa na tumbo la kuhara apitie kituo cha afya cha kijiji chetu
hatariiiii
2021 naizoom
ehe mjomba napenda sana
sawa mrisho mpoto
Wimbo uko poa, japo kuwa sio wote wenye uwezo wa kuelewa maana yake.
Ukitaka kujua mwendo was mjinga mpe kilemba.hehe.usiwe mjinga Happ.utakutana na reality
hakuna wa kufananishwa na wewe ulimwenguni ww mkali kaza kamba za viatu zaidi ila zisikubane safali iendelee kusonga
Big up Mrisho
Nakukubali sana Mrisho mpotooooo
Love u so much
Like Kama unakubali ngoma
Kali nyimbo
nyimbo zako kaka MPOTO unapo zisikiliz unatakiwa uwe na akili ya ziada vinginevyo huwezi kuelewa chochote thanx ma bro
Joseph umenichekesha yaani unacho kiongea nikweli kabisa kama mimi hapa sina hizo akili za ziada bs cjaelewa kabisaa
😂😂😂😂🤰🤰🤰
Mjomba MJOMBA √√√√√√√√√√√√√
Hkna Kama wewe brother
i love this - but i really wish - there was a translation - so know what they singing about
which part you didn't understand
The song is full of idioms!!! But generally is about the politicians who ask for vote when getting chance end up betraying the voters!!!
anajua
Early 2021
Babu Mshuba kikongwe muuza bangi...
2.24