KUKU ANAE TAGA ACHIJWI AKICHIJWA MSIBA. TUSUBIRI ATOTOE TUHESABU VIFARANGA NA MAYAI VINZA. HESHIMA AKO MPOTO. AWAIJUI MIIKO KUA SI WAFUGAJI UKUTA VIMETEGWA KWENYE SAHANI.
nmekuelewa sana dingi, hebu ngoja nami nisubiri banda lijae mana nmechoka kula marage! si mimi tu hop watanzania wote labda tuwe na subra daaah! nmekuelewa sana sjui ka wamekuelewa ka umemsoma Mjomba gonga like kuonyesha umechoka marage hahahahaaaaa
Sasa, na vp wale waliokua wanaish kwenye nyumba bila kutupa taka wala kwenda chooni. Au yale mashimo yaliyochimbwa, yalishafukiwa? SIZONJE..! Hiki ni kitendawili. Lkn je, utakitegua au utanipa mji ili nikutegulie? Salute mkuu. Naamin tunaokuelewa ndo uliotulenga kutupatia ujumbe huu.
Mjomba wimbo ni Mzuri sana ila huwa natumia muda mwingi sana kuelewa. ...I have dream...want to meet you one day. nahisi siku hiyo maswali yangu yote yatapata majibu sahihi.
Twasira kamili inadhiirika Nyumbani +254 kwasasa.sijui tuzike au tehesabu idasdi ya maiti zinzotembe kwanza.Mjomba natamani tukutane kumikumi kwa Wallah Bin Wallah kwa mara nyingine mwaka huu.
Unaonaje tuzike kwanza au tuheaabu idadi ya maiti zinazotembea ....duuuuh #nimekupata mkuu m naona tuzike tu tukihesabu haziishi mbona znaongezeka alafu zitatuozea bora tuzizike tuuu
huyu kuku anataga mayai mengi sana na tuna shaka kama atatotoa yote: mipango na miradi mingi inaanzishwa, he ataiweza yote? sizonje kila anayeingia ndani anatoka nje sijui ni kwa nini: uongozi ni dhamana ya muda maalumu na wakati ukifika utaondoka tu.
Jamani huyu jamaa ni nowma sana, apewe sapoti muziki wake ufike mbali, maana anaongea maneno kuntu sana, maana mashairi yake ni kama dawa, kama unaumwa lazima upone, nakukubali sana mpoto, mungu akupe maisha marefu
You are the best in Africa my father only you you are last Odia Warrior in Africa more people have to suffer more people have to die don't ask me why it is Africa natural mistake
Kama tumechoka maharage, tusubiri basi kwanza banda lijae ... ha ha ha nadhani baada ya miaka saba litajakuwa limeshajaa, mitatu iliyobaki tutaanza kubadili mboga. Boooooooomm!!! 🔥🔥🔥👊👊👊 LIKE kama umemuelewa MPOTO!! 😃😃😃
Nilikuita ili uingie ndani kwasababu kila anayeingia ndani lazma atoke nnje.......... Kiukweli watu wanalia...... Wapo wanaolia kwakuhisi wamedanganywa......... Wali mweupe kwa sheikh.....
Aliyemfundisha chui kula watu ni binaadam.........kuna tofauti kati ya watu na binaadam....watu wote ni binaadam ila binaadam wote sio watu.....nadhani tu
mie natoka zangu zimbabwe saizi nakuta "kuku anayetaga hachinjwi akichinjwa msiba".......shkamoo mpoto ila kwan unafkiri kuna mwenye uwezo wa kumchinja!?? hakunaga na atakayejaribu tutamla nyama
Mimi nimekusikia sana mwl. Wa kiswahili s/s. Tz, hyo misamiati naielewa sana ila! unapoiunganisha na kuzaa sentensi ndo tunakopishania mkuu. Sizo za nje sura zilizopo ndani.
kuku anayetaga achinjwi na akichinjwa msiba: mkubwa haadhibiwi na akidhibiwa lazima halo ya hewa ichafuke. watu wanalia, wapo wanaolia na wanaoendelea kulia japo vilio vinatofautiana lakini msiba ni uleule: watu wanateswa na halo mbaya ya maisha\uchumi kwa namna tofauti, wengine kufukuzwa Nazi (majipu) wengine vyeti feki, wengine malimbikizo ya kodi, Ila kwa ufupi wote wamejeruhiwa. mtoto anapoulizwa nani atalipa ada, baba, yupo wapi?, kafa: wananchi wakiulizwa kuhusu ni nani atawaletea maendeleo wanamtaja, ingawa matumaini ya maendeleo hayo ni duni kwa sababu hawaoni matumaini ya baba yao huyo kuwaletea maendeleo. watu wanalia tofauti lakini msiba ni mmoja, vipi tuzike kwanza au tungoje: je, magumu haya ya kiuchumi tuyasahau kwanza na tuendelee na mengine au tufanyeje? Mwalimu wa fasihi anapotoa mfano wa maiti zinazotembea watoto wanazidi kulia: je, mkuu wetu\kiongozi wetu anapotuambia kuwa uchumi wetu unazidi kukua wakati tunaona ukiwa umedorora anatutia uchungu na kututoa machozi zaidi.
Deosanctus Mtenga hakika wewe ni tunu ya taifa. Naomba ukaombe kazi BAKITA. Ntakupa na barua ya recommendation. Hii tafsiri ni tamu japo yeye mwenye wimbo akiulizwa ataogopa kutoa tafsiri hii
Shikamoo Anko mpoto Ijapokuwa wengi wetu inatupa kazi kuielewa fasihi ya nyimbo zako lakini buradani tunaipata na hiyo ni moja ya kazi za fasihi kuburudisha ingawa naamini msingi kuu ni message that Is to be communicated kwa hadhira sikati tamaa nitaisikiliza hata mara mia ili tu niburudike na ujumbe niupate Ikiwa vema tuwekee wepesi tuelewe vema na mapema kabla time haijaitwa too late
Miaka 6 mbele lakini bado hii nyimbo inafikirisha sana.
Kitendawili Mjomba
nipo zimbabwe sijui kiswahili ila ngoma nimeielewa gonga like kama wewe ni wazimbabwe
kisshy director 0675293125 notafute whtsap nikufundishe
kisshy director mwongo
Apewe tuzo huyu MRISHO au mnasubir afe mseme tumepoteza jembe
Seth Stiven umeongea bongo ndio tulivyo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah watanzania bhn
Jjj
Kama hujui ilipo bahari tumia mto kwenda😂😀nipo Kenya nakupenda Sana mrisho
Kwa watanzania tunaolaumu vyuma vmekaza(kuchoka kula maharagwe) tusubili mafanikio ya miradi hii inayowekezwa kwa sasa (tusubili banda lijae)
KUKU ANAE TAGA ACHIJWI AKICHIJWA MSIBA.
TUSUBIRI ATOTOE TUHESABU VIFARANGA NA MAYAI VINZA.
HESHIMA AKO MPOTO.
AWAIJUI MIIKO KUA SI WAFUGAJI UKUTA VIMETEGWA KWENYE SAHANI.
nimekuelewa sana Mrisho Mpoto hahahhaahha wana fasih mko wapiiiii kumpa likes nyngiiiii
nmekuelewa sana dingi, hebu ngoja nami nisubiri banda lijae mana nmechoka kula marage! si mimi tu hop watanzania wote labda tuwe na subra daaah! nmekuelewa sana sjui ka wamekuelewa ka umemsoma Mjomba gonga like kuonyesha umechoka marage hahahahaaaaa
sina budi ya kukupa saruti 200% kwa kazi mzuri sana mazee
Kwel akunyosheae kidole hakawii kukuchapa kofi
wapo wanailia kuona mcba upo kwao lakin muandaaji ni marehemu.....daaa fasihi tamu saan like u mjombaa
Sasa, na vp wale waliokua wanaish kwenye nyumba bila kutupa taka wala kwenda chooni. Au yale mashimo yaliyochimbwa, yalishafukiwa?
SIZONJE..! Hiki ni kitendawili. Lkn je, utakitegua au utanipa mji ili nikutegulie?
Salute mkuu. Naamin tunaokuelewa ndo uliotulenga kutupatia ujumbe huu.
mjomba umetisha maneno yako najaribu kutizama kwenye TUKI mbona bado sielewi jamani? Mjomba kama ndo ivo mi naenda zimbabwe!!!!
mmmh yaan nmebaki tu kuangalia mapicha picha maana sielew
Tega nikutege
Mjomba wimbo ni Mzuri sana ila huwa natumia muda mwingi sana kuelewa. ...I have dream...want to meet you one day. nahisi siku hiyo maswali yangu yote yatapata majibu sahihi.
Baba was Fasihi Andishi na Simulizi huyu.
Naipenda sana lugha yangu ya kiswahili na hakika fanani huyu huwa haachi kunikosha hadhira mm. Kazi nzuri
Nakuona Kaka... | Philbert Francis
THE REAL ALPHONCE
nikuulize swali kaka. Wachina au waarabu hotuba zao huwa wanazisoma kwa lugha gani hata wakiwa ugenini??
Yes tupo tunaolia, ila vilio vinatofautiana, big up kwako Mjomba, ukitaka kujua kiswahili vizur mfate mjomba.
hongera kaka unajua kutumia fasihi
kama unaamini hili ni jiwe LA selikalini goga lake apo chini
Twasira kamili inadhiirika Nyumbani +254 kwasasa.sijui tuzike au tehesabu idasdi ya maiti zinzotembe kwanza.Mjomba natamani tukutane kumikumi kwa Wallah Bin Wallah kwa mara nyingine mwaka huu.
wooooiii, mimi hapa nimepewa kazi ya kuuchambua huu wimbo. sielewi chochote... si mtu anieleze tafadhari anavyomaanisha
Jifunze Kiswahili kwanza. Hakuna neno "tafadhari" kwenye lugha yetu. Ni tafadhali.
Unaonaje tuzike kwanza au tuheaabu idadi ya maiti zinazotembea ....duuuuh #nimekupata mkuu m naona tuzike tu tukihesabu haziishi mbona znaongezeka alafu zitatuozea bora tuzizike tuuu
Hahaaa bora tuzike tu maana maiti nyingine zinazaliwa
Kuku anaye taga hachinjwi akichinjwa msiba sizonjee 'kitenda wili tega tega nikutege.......'Muelevu hun'gamua
Rogath Costantine *Mwerevu hung'amua* jitahidi kutumia herufi fasaha za lugha
Nyimbo zako mm mdomo wazi tu kaka 😃asanteni
Nimeshiba fasihi. Ama kweli, KISWAHILI KITUKUZWE
huyu kuku anataga mayai mengi sana na tuna shaka kama atatotoa yote: mipango na miradi mingi inaanzishwa, he ataiweza yote?
sizonje kila anayeingia ndani anatoka nje sijui ni kwa nini: uongozi ni dhamana ya muda maalumu na wakati ukifika utaondoka tu.
Deosanctus Mtenga kwelie???
Huu wimbo alikuwa anazungumzia watumishi wa darasa la saba na walifoji vyeti kufukuzwa , yeye kwa mtazamo wake aliona hawakupaswa kuondolewa
na mimi hapa nadhani kuwa naichambua kiswahili doooooooo
Haya mashairi yana mafumbo kwa hali hii ya mheshimiwa magufuli mtaielewa 2020 #sipangiwi
Gonga like kama unaukubali huu wimbo
aisée mjoba upo sawa
Dah shida kuku anataga tu miaka inaenda sasa sijui lini anaatamia aje atage ndo tuone ivo vifaranga
c super cette chanson et j'aime bien la tradition et la protection de notre ancetre
Jamani huyu jamaa ni nowma sana, apewe sapoti muziki wake ufike mbali, maana anaongea maneno kuntu sana, maana mashairi yake ni kama dawa, kama unaumwa lazima upone, nakukubali sana mpoto, mungu akupe maisha marefu
You are the best in Africa my father only you you are last Odia Warrior in Africa more people have to suffer more people have to die don't ask me why it is Africa natural mistake
Mrisho mrisho mrisho basi inatosha
Wanakwambia fumbo mfumbie mjinga mwerevu utambua
KASSIM pamoja na kushirikishi kwenye wimbo lakin bado haelew maana yake.
LAMSON NGWILA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
LAMSON NGWILA hahaaaa
haha..
Hahaaaaa
LAMSON NGWILA Umenivunja mbavu aisee!!
Kama tumechoka maharage, tusubiri basi kwanza banda lijae ...
ha ha ha nadhani baada ya miaka saba litajakuwa limeshajaa, mitatu iliyobaki tutaanza kubadili mboga. Boooooooomm!!! 🔥🔥🔥👊👊👊
LIKE kama umemuelewa MPOTO!! 😃😃😃
waandaji tutakula tena wali mwisho, inawezekana tumechoka maharagwe lakini tungoje banda lijae. kazi mufti sisemi kitu
Naipenda sana hii nyimbo japo mashairi yake ni magumu ya kibantu hongera sana mjomba aliefundisha chui kula watu ni binadamu noma sana mrishompoto
Kuku wa kutaga hachinjwi akichinjwa msiba...winner for me
woooooow nice song mrisho mpoto cku zote huwa unafanya vzuri saf ana
Yani uncle bado sijashikanisha. Nahitaji mfafanuzi naona. Na ukenya wangu hapa nimeambulia patupu
Nani atalipa Ada baba
watu wanalia lakini vilio vyao vinatofautiana, unaonaje tuzike kwanza au tuhesabu idadi ya maiti zinazotembea
Ni atari kweli nyimbo nzuri kama izi ndo zina kosa matunzo tuna sikia majeje zina pewa matunzo kweli iyi dunia ni ya shetani
Dah mrisho mpoto ananikoshega sana ,kam unamkubali mrisho mpoto tupia namba hapo nchini nikuunge kwenye group la WhatsApp la mpoto
0753242160
Mmmmmmmhh!!! Sizonje SIZO ZA NJE?!????
Ukitaka kujua bahari ilipo fata mto
Watu wabaya sana wamemuharibu kaka said Michael mungu alipe hapa duniani kabla ya ahera
mhhhhhhhh uy anatish
Dah ...you are gifted man...the message is too ambiguous but directs something from something big....be blessed...
Nilikuita ili uingie ndani kwasababu kila anayeingia ndani lazma atoke nnje..........
Kiukweli watu wanalia......
Wapo wanaolia kwakuhisi wamedanganywa.........
Wali mweupe kwa sheikh.....
Good luck
wamekutana mafundi na wamefanya poa kinomanoma
Jumbe nzulisana mrisho mpoto
Unajuwa tafsiri ya jina mrisho
Kwl hatakam tumechoka maharage na tunataka nyama tusubilin banda lijae
Sizonje anataka kuchinja kuku anaehatamia duh!wali mweupeee kwa shekhee
Daah nielekezen maana mi sijaelewa mzee ananiacha kando
Aliyemfundisha chui kula watu ni binaadam.........kuna tofauti kati ya watu na binaadam....watu wote ni binaadam ila binaadam wote sio watu.....nadhani tu
Brother nataman uje umpokee sizonjo nchi 2026
ng'ombe hazeeki maini ndo ninayo yaona hapa kwa MJOMBA mpoto
sizonje sizo za Nje maguful sio Wa nje kila KTU ndaniiii wozaaaaaah kama hujui bahar ilpo tumia mtooo kwendaaaa
We mtu mbaya Sana
AZIZI SALIMU umeona eeeh
Hahahahah nimeipenda hii ngoma daa Mjomba nakuelewa sana Kasim Mganga Umefanya vzur sana hii ngoma
Tuzike kwanza mpoto baadaye tuje tuhesabu maiti zinazotembea👆😀😀😀😀😀😀
duuuh... mbora kuhesabu maiti zinazotembeaaa ndo tuzike
kwakwel maisha magum vyeti feki vilileta msimba
Banda litajaa vipi mjomba nawakati kanga utagia polini.
huhuuuu inawezekan kwel tumechok maharage lakin kam tunatak nyama tusubil banda lijae....shkamoo uncle mi ckuwez labda shaban robert
Weee ni zawadi afrika, binadamu mwenye akili kama muchwa
nipo kenya wilaya ya lamu cost
Mganga ameutendea haki sana huu wimbo
Iko poa nawaelewa..pendezaje kac..mjo..
haya ni magani aina moja ya mashairi mengine ni ngonjera wimbo tenzi au utendi
mie natoka zangu zimbabwe saizi nakuta "kuku anayetaga hachinjwi akichinjwa msiba".......shkamoo mpoto ila kwan unafkiri kuna mwenye uwezo wa kumchinja!?? hakunaga na atakayejaribu tutamla nyama
Kitendawili tega... tegaa, tega nikutege mwibaaa....Jamani nimesikia vibaya?
uyu jamaa kumuelewa inahitaji upeo mkubwa sana
Dunia TV Anasema japo hali ngumu ila tumsubir Magufuli.Tuendelee kumpa mda Rais wetu aiweke sawa Nchi yetu
Jamani uku kuzuri sana kaka tunakupenda sana❤❤❤❤❤❤
xawa kaz zako nzur xwal moja tu mpoto,kwann unapenda kutembea peku
sizonje ni sizo za njo mpoto unaturudisha shule na hyu kuku anayetaga
Wapo wanaolia kuona Marehemu Ndiyo mwandaa msiba (Watanzania wanalia sababu ya kilio chao ni rais mwenyewe kufanya maisha kuwa magumu)😂
Tumechoka maharage lakin kama tunataka nyama tusubili banda lijae.
Uko vzr ni mwanafasihi mzuri sans
Walahy cjaelewa kitu
Mimi nimekusikia sana mwl. Wa kiswahili s/s. Tz, hyo misamiati naielewa sana ila! unapoiunganisha na kuzaa sentensi ndo tunakopishania mkuu. Sizo za nje sura zilizopo ndani.
jamani bila kuwa Mwana kiswahili huwezi kuuelewa huuu kama unauelewa basi ni mziki mzuri Hongera Mpoto kwa ujumbe wako Mzuri
kuku anayetaga achinjwi na akichinjwa msiba: mkubwa haadhibiwi na akidhibiwa lazima halo ya hewa ichafuke.
watu wanalia, wapo wanaolia na wanaoendelea kulia japo vilio vinatofautiana lakini msiba ni uleule: watu wanateswa na halo mbaya ya maisha\uchumi kwa namna tofauti, wengine kufukuzwa Nazi (majipu) wengine vyeti feki, wengine malimbikizo ya kodi, Ila kwa ufupi wote wamejeruhiwa.
mtoto anapoulizwa nani atalipa ada, baba, yupo wapi?, kafa: wananchi wakiulizwa kuhusu ni nani atawaletea maendeleo wanamtaja, ingawa matumaini ya maendeleo hayo ni duni kwa sababu hawaoni matumaini ya baba yao huyo kuwaletea maendeleo.
watu wanalia tofauti lakini msiba ni mmoja, vipi tuzike kwanza au tungoje: je, magumu haya ya kiuchumi tuyasahau kwanza na tuendelee na mengine au tufanyeje?
Mwalimu wa fasihi anapotoa mfano wa maiti zinazotembea watoto wanazidi kulia: je, mkuu wetu\kiongozi wetu anapotuambia kuwa uchumi wetu unazidi kukua wakati tunaona ukiwa umedorora anatutia uchungu na kututoa machozi zaidi.
Deosanctus Mtenga tisha brou
Deosanctus Mtenga Umekosa hiki kitendawili.
Deosanctus Mtenga hakika wewe ni tunu ya taifa. Naomba ukaombe kazi BAKITA. Ntakupa na barua ya recommendation. Hii tafsiri ni tamu japo yeye mwenye wimbo akiulizwa ataogopa kutoa tafsiri hii
Deosanctus Mtenga gud keep it mr
Sawa broo
shkamooo mpoto,,we mwanafasihi haswa uh
Shikamoo Anko mpoto
Ijapokuwa wengi wetu inatupa kazi kuielewa fasihi ya nyimbo zako lakini buradani tunaipata na hiyo ni moja ya kazi za fasihi kuburudisha ingawa naamini msingi kuu ni message that Is to be communicated kwa hadhira sikati tamaa nitaisikiliza hata mara mia ili tu niburudike na ujumbe niupate
Ikiwa vema tuwekee wepesi tuelewe vema na mapema kabla time haijaitwa too late
I love the costuming. True African theme.
mimi naona tuzike kwanza hao malehemu wanao tembea tutawaongezea siku za kuishi ili wapate muda wa kutubu.
mmmmh mkali mrisho kweli kitendawili
SI ZO ZA NJE
Wewe ni Gwiji uliye bobea,mashairi
Daah mjomba unajuaaa
Ww kiboko
KASSIM pamoja na kushirikishwa haelewi maana yake mpaka leo akimuuliza anamwambia ulivyoelewa ndo maana yake hiyohiyo
Ngoja nisikilize tena
My role model. This is the music I want to do.