NAY WAMITEGO- MIMI NINA DHAMBI NYINGI SANA,MASHOGA,LAANA,ILA MUNGU WANGU ANANISAMEHE
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Nakushauri kaka Ney, Usiache kuimba nyimbo za Kisiasa. Mkiwa wawili wewe na Romma mambo yataenda.
Ney kichwa sana
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Hongera japo sasa kwenye ibada sikuelewi Mungu yupi unamwabudu
Nakupenda sana kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥💪☝🏾 ney for live 🇨🇩
Kataa kubali rukaruka lkn siku moja tuu ndani ya jeneza ndio utajua km Mungu wako ndio uyo uyo aliewaumba watu wote pamoja uyo unaemuabudu nae pia kaumbwa na Mungu unaemkataa wewe dunia tuu inakuadaa ndugu yangu mAisha ayo ulionayo Ni mapito tuu
Kwel wew ni True boy 🔥
Inakuwaj mshikaji wangu raisi wetu wamta naitwa said khamissi from rwanda endelea kupambana kaka nakubali ngoma zako broth
Mtangazaj yupo perfect sana hana mambo mengi
Nakubal true boy hakuna kama wew nakubal mzee mbabaa
Ney we ni fala mzee upo na akili nyungi sana big up man you are real niga
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Mtangazaji anafanana na Hamorapa🤩
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kaka akee huyoo
Kweli kabisa
Hahahahahaahaha
Kusema ossama alikua gaidi namba 1 duniani unakosea usiongee usichokijua... Soma kwanza historia ya mtu kabala hujamchafua ni kama wewe tulivokua tunajua unakunywa pombe kumbe hunywi... Tusikariri historia potofu walizitupandikiza wazungu ni sawa na kuamini kua idi amini alikua anakula nyama za watu au kuamini kwamba gadaf alikua dikteta.. Tujifunze kusoma hisoria za wanaharakati walotangulia kabala kuwachafua KUNA MWANDISHI 1 ALIWAHI KUSEMA UKITAKA KUMTAWALA MUAFRIKA KIFIKRA WEKA HISTORIA KWENYE VITABU mana hatuna desturi ya kujisomea vitabu.
Swadakta
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Wasanii wengi hawasomi vitabu....
Ndomaana wakaitwa wasanii... Maneno mengi without facts... Burabura nyingi without big minds.
Kweli kabisa kaka, wengi wetu hatusomi historia,wazungu walitudanganya na wanaendelea kutudanganya
Ni gaidi vipi!? Elezea so ugaidi wake ulikuwa WA faida au hasara
Ney king of hip-hop tz and afrika
Ney big up sanaaaaaaa
Presenter uko vzr sana,Nay wa mitego uko very realistic 💪
Hapa Ney anasema anaabudu shetan
Am tz mupo vizur na MTANGAZAJI amechangamka sana anajua sana🥰💯
Ney na kukubali sana nakutazama kutoka saudia Arabia.
Hana mpngo za ya chuki et anashangaa Osama na anamwita Gaidi
Boya tu khanisi tu
Kweli kabisa ata na miye nilikuwa najuwa kama nay anakunya kweli pombe kube eko tu simpo vile 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Nakukubali kaka taarifa kama hizo coz staili zako zinashawishi kama kweli unakunywa au kuvuta bangi napenda kazi zako ty kaka
Big up broo ney💖💖💞💞🙏🙏
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Nakukubali sana Broo, upo sawa kiukwel
On point
Safar ya maisha ya Ney anadai alikua anavuta bangi Leo ajawahi vuta mbn hatuelew #NEY
Naweza kusema ila so kweli nachokisema usikalili anachokiongea alie mbele yako
Kwa uongo huu basi hata Pombe anakunywa.
Bangi mbaya
Safi ney mzee Wa ukweli
Noma sanaaaa
Uko vzr sana bro ney wa mitengo
Hongera sana brother nay wamitego
Nakubali big up ish maisha ako tu usifate maisha yao bahat njema nakutakia
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Kaka nafurai sana kupitiya haya maneno unayo isema kwamuda huu ulikuwa kwenyi festival Amani kwetu Bukavu Ila sikuweza fika kukuona sababu umli wangu ulikuwa mdogo sana sababu sijajulikana Kaka Ila unayo sema hapa wengi hawaamini kuwa kilamtu ana mungu Wake anaamini naflai sana Kaka bienf-j Dogo-bin immortel lif crow Bukavu kavumo combo deux kwetu kijijini combo deux groupement miti
Mtangazaji anajua sana. Hongera sana Mr Ney
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Nakubali kaka nimejifunza kitu Asante Sana
Ney, niliwahi sikia stories yako njia panda in clouds FM leo mbona unatudanganya
Ipo vuzr ney umenifurahish umewafundusha sas wasiojitambua wajitambue Mambo yakutembea nabodbod mikonon ndabodabod waach
Nay noma
Apo kwenye Bangi umedanganya maana nilishawahi kufatilia interview yako Moja ulisema ulivuta sana Bangi na ni mwanamke wako wa kwanza ndiye aliyekushawishi ukaacha bangi
Nakubali m2mbad mbeya boy
really it's very very beautiful my star 🌟
Jamaa anajua presenter good job
Nakubali sana bro
Uko vizuri kaka Ney nakukubali sana
Nakukubali Sana kaka ney napenda sana kazi zako
Ney nakukubari sana saport kipaji chang
Amazing
Ney acha uongo bangi ulivuta Sana miaka hiyo na we mwenyewe ulikili Hilo kwenye interviews ulizofanya Mika kadhaa iliyopita.
Kwa Millard ayo alisema mwenyewe labda kama ameacha ila hata mdomo wake unaonesha
Huyu mwongo kimara bucha ana manzi yake pale kuna baa maarufu kwa Urio namkutaka analewa sanaaa yani nashangaa huyu mbwa anatudanaganya labda wa mikoani ndo watakuamin
@@amosmichael487 mwamba anatupanga kinyama Yan 😂😂
Nikweli kaka hongera
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Ney.kama unabarikiwa na midhambi.ujue umenyosha.jehanamu soma luka.16.mstari.19.yule tajiri.alikuwa na.hela.hakupata matatizo.baada ya kufa mwili akaangukia jehanamu.Mungu.wa.mtu.mmoja.hayupo
Nay acha uogomwanba nakumbuka ulikuwa na shoo mwakitolyo ulilewa sema kweli
Atakua amesahau 🙆😅
Nakubal
Mama Rudi nyumban vp mzee mbaaba true boy ulikutana na kinyago nn
Ney nimekukubali sana mwana
Waouh!! Natamanisa nabkuimbana wewe mukubwa miminiko mu kongo mani 🇨🇩
Kama una dhambi nyingi wajijua fanya bidi ujiepushe na moto maana ni mkali
Moto mkali
Ney nakukubari maana hauna usinichi pia kwenye nyimbo zako upo vizuri unatumbua jipu chaps KAZI kaka
Nay wa mitego msaani wangu
Kaka ney nakupendaje
Toa wimbo maalumu wa kupinga vitendo vya ubasha, ushoga na usagaji, please!!!!!
Jamaa anatosha Sanaa kuwa presenter ila mbona kama anajiedit Sana naona mawanja ktk kope na mkorogo Kwa mbaliii au macho yangu.
kabisa ata mimi nimeona😂
Anakunywa maji mengi
So poa nakukubali
Huyu Jamaa nilikua sielewi kwanini baba yangu anamkubali hili Jamaa ni AKILI MINGI
Big up ney
Kaka iyoo sauutii ya bangiiiii kabiiisa iyooo achaa izoooo kaka
Nay kwere sana
Mungu wako shetan
Nay wamitego Kanye west 💥⚡
kaka wamitego big up
Ney mitatuu hiyo tubu.Mungu hapendi ni alama za freemason
Nani alikwambia Osama ni Gaidi namba moja duniani
Huyu jamaa mhhhh
Cool
Mungu yupi sasa
👊🔥🔥
😘😘😘❤️
Mungu wako yuko mason zake za free😂😂
Jamnii huyu kaka nampenda Bure jinsi tu anavyo ongea mungu tua anajua
Sasa unatuambia sis anitha si utafte namba yake 😄🤣😂
@@adammwita170 haahaha muonee sijamaanisha hivyoo jamnii mmmmh makubwa najua likichwa lakoo lishawazaa negative
True boy
namkubali Sana jamaa
Iko tamusana hiyo
Hapo kuhusu kumiliki simu nimekuelewa
Na mm pia
Nakupenda Nay sana sana jmn naomba number yako 😔😔😍
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Kwenye namba make apo Kwanzaa nicheke
😍😍😍😍😍😍😍
ney mimi shabkiwako namba moja kutoka igunga
Ukiwa sio sigma huwezii muelewa baba yaga
Uyuu mtangazaji ana kichwa kizuri jamani na hayo marangi.
😂😂😂😂
😄😄
😂😂alaah
😂😂
Kinata
Huyo kaka na hivyo vinywere anafanana na D
Kwa case ya Mashoga na wasagaji watubu Kwa dini zao kama sivyo kitakuwa kizazi Cha laana na Mungu atatuadhibu si lazima Kwa moto kama Sodom na Gomora
Tukutanane Congo DRC maana wa kina mond na wakina kond na msanii mwenzenu amewahi kufika kwa nini usifike nami natamani nikuwe msanii kama wewe ni kute kwenye njia MOSES mwaka
Msanii mwenzenu roma
Watupe hio Sasa
Acha uongo wewe
Unakunuywa mda Sana'a
Huyu jamaa namkubali San anapenda kuongea ukwel
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
Naomba namba
Sana
Niambie kaka mistari nakuaminia nirushie biti la hip hop mi pia na chana
Ney huchoshi aiseee
Ney matataaaa!🤣🤣🤣
Neywamitego
Mana há sapoti
sasa mbona unawenge bro
Nilijua wewe ni mlevi wa wanawake😂😂😂
Khaligraph jones 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂
🔥🔥🔥🔥
Neiy kuwa mkweli mbona unasema unasujudu wakati wanaosujudu ni sisi waislam au wewe ni muislam?
Sio wote wanaosujudu ni Waislam ma budha na orthodox nao wanasujudu
Wewe vipi wanasujudu mabaniani na wachina mashaolin kwenye matemple wewe wawapi 🤣🤣🤣🤣
The problem ya hawa watangazaji hawam-research mtu, this guy lied to us pale Clouds Radio Njia Panda
Nakubali master
Mtu apendi pombe apendi mpila Kuna anacho kipend??
Duuh iyo boda boda nime iyelewa