KIMEWAKA TLS, MADUDU YAANIKWA SAKATA LA MWABUKUSI, NI AIBU, MAWAKILI KUKIWASHA KUTETEA TASNIA YAO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • #TANZANIA: Kimewaka chama cha Mawakili TLS, madudu yaanikwa sakata la kumng'oa Mwabukusi kgombea Urasi wa chama hicho, Mawakili waungana kutetea tasnia yao.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE UA-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

КОМЕНТАРІ • 23

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej 24 дні тому +8

    Ninyi ndiyo watetezi wa nchi hii msikubari watu wafanye wanavyotaka kwenye mambo ya msingi yanayoumiza wananchi waajiliwa wa wananchi wamejisahau muda mrefu sana wanahisi wao ndiyo waajiri wanafanya wanavyotaka wanatumia Kodi na rasilimali zetu za nchi kibinafsi zaidi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 5 днів тому

    Mungu Yuko na mwabukusi atamulinda waliomupiga vita mungu atawa futiliya mbali

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 24 дні тому +6

    Kwa kweli TLS wametia aibu wanasheria hawafuati sheria sasa watu wasio wanasheria watafanya nini? Ndiyo sababu Inchi inajiendea ovyo ovyo tu.

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 24 дні тому +1

    Viongozi wa TLS Make sure mnalinda USOMI wenu. This is the correct time.

  • @mburuumbe5659
    @mburuumbe5659 24 дні тому +3

    IF JUSTICE FORUM IS INJUSTICE WHO IS SAFE?

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 24 дні тому +1

    Yaani siasa za majitaka za CCM za watu kujipa uongozi bila kuwa na sifa na kuwakata watu wazuri wenye sifa zimeingia hadi kwa TLS, wanasheria na hivyo kunajisi kabisa tasnia yote ya sheria. TLS rudini mstarini, acheni kujinajisi!

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 24 дні тому

    The learned fellows when they undress themsleves to show the world how the system have changed the Learned fellows....in TZA.
    How on Earthy from one party state to Multiparty state ,using same constitution.....??? Halafu useme tuna Law school of Tanganyika au TLS.... where were they, to let that blunder happen......???

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 20 днів тому

    Mwabukusi atapigwa vita sababu yeye ni muwazi japo anafaa sana watamtupilia mbali ogopa TZ

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 24 дні тому

    Hivi hata huko kwa magwiji wa sheria kuna figisu figisu aibu kubwa yusio ojua sheria tutakimbilia wapi.

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 24 дні тому

    Jamani Kila Mzalendo niwakati wakubafilisha mambo.yote ya kihuni. Hinizambi inafanyika kuharibiu Taifa eawatu waanabu wanalete shida Kila sehem u inaumiza unafikiri ni Akina mabutu wanaongoza. Nnchi. Nilikuwa kwa umakini.wa Mwabukusi machawa watafanya mambo ya ajabu sana

  • @othannmpoli9896
    @othannmpoli9896 23 дні тому

    Wasomi sio jamii ya kujadiliana mambo yaliyowazi inatia shaka kubwa sana kwa jamii inayowategemea!!!!!

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 24 дні тому

    Wanasheria kuwa machawa kunahatarisha nchi nzima sababu ni kitengo kikubwa sana nchini kwenye kudai haki. Sasa ikiwa imekuwa compromized haki haitatendeka kwani watashindwa kutetea nchi na wananchi na maslahi ya Taifa vipasavyo.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 24 дні тому

    Ichi. Ya hajabu

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 24 дні тому +1

    Ni aibu. Kubwa watu tunao waita wasomi kugeuka kama wanasiasa

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 24 дні тому

      Siyo wanasiasa ni mazumbukuku ni chi gani isiyo na sheria

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 24 дні тому +1

    On that case open mwabukusi Consern tls tanzania low sosayart will be difficulty them to win such case because ccm have plans on that

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 24 дні тому

    😂😂

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 24 дні тому

    Nyinyi endeleeni na sarakasi zenu sisi ccm ikiongozwa mama samia tunaendelea kuiongoza nchi mkimaliza kuhusu uchaguzi wa TLS andamaneni tutawapa maaskari wawalinde.. Samia 5 tena