NGUVU YA SHUKRANI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 04/09/2022
Вставка
- Опубліковано 3 вер 2022
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa - Розваги
nimekuwa nikifatilia masomo yako yamenitoa mahali na kubarikiwa sana
Kabssaa❤
Mungu akupe Maisha marefu pastor
BABA NAPOKEA NEEMA WA KUA MTU WA SHUKRANI....amina
Amen and amen humble in Jesus mighty name, thank you pastor for the wonderful teachering 🙏🙏
Nimepona leo pastor Mungu akutunze
Amen 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mungu akupe ulinzi
Ubarikiwee sanaa Mtumishi wa Mungu nimejifunzaa mengi saana kupitia wewe
my mentor mungu akuinue zaidi hakika unanipa ufunuo wa kiroho
Amen 🙏🙏🙏🙏 shukurani ina mazuri sana sana imenifunguliya mazuri juyangu nitaendeleya kumushukuru mungu.
Mtumishi ninamshukuru sanaYesu kwaajili yako. BWANA azidi kukutunza
Mungu ni mwema namshukuru kwa ajili ya mafuta yaliyoko ndani,Asante Yesu kwa kunipa hekima ya kushukurubarikiwa mtumishi
Mungu akubariki sana pastor
Mungu akuinue na akupe maisha marefu sana
Amen wacha mungu ainuliwe na akubariki sana mtumishi kwa mafundisho unayo tufunza
Hakika Mungu atukuzwe Mchungaji Munguakubarikisana
Amen. Amen❤❤
Ameni ubarikiwe
nakushukru Mchungaji kwa mafundisho yako yamenifanya kuwa mtu mwingine Mungu akubaliki sana
My Pastor My Mentor Mungu Akutunze Kwa Ajiri Yetu
Namshukuru MUNGU kwaajili yako, Maana uwepo wa MUNGU nauona kwangu
Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hakika mungu ameweka vitu ndani yako kwa ajili yetu mungu akupe afya njema
Ameen paster nimekuelewa sana Mungu akubariki sana
Na Mungu atupe moyo wa shukrani
Mungu akubariki sana Mtumishi na aendelee kukutumiaa zaidi
Mchungaji umenibariki sana na Hilo SoMo la shukrani
Amen ❤❤
Amen 🎉
Mungu akubariki Baba
Asante kwaneno la mungu
Asante kwa mahubiri mungu akubariki mtumishi wa mungu
Mtumishi mungu akusidie neema maana unanibariki sana
❤❤❤ BABA asante kwa mafunzo mazuri
Barikiwa mtumishi kwa hekima hii
Mungu akuongezee siku za kuishi
Mungu akuongezeee ck za kuishii
Mungu andelee kukupa maaalifa mchungaji
wewe pia ni mmoja wa watumishi waliokuwa na msaada wa kiroho nauliza sadaka yangu naweza kuitoa aje kwa ajili ya kumshukru Mungu kwa mafundisho yako
AMEN
Amen baba yangu
Amen baba
Amina!!
Amina
Ubarikiwe mtumishi🙏
Amen Amen
amen amen❤❤
Hakika ndivyo hivyo
Ameen
Amen
Amennnn
🌷❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kweli nilikuwa sijuwi maana ya shukurani
Ameeeen
Najifunza kushukuru walio waaminifu kwako
Jamani nahombeni mnisaidiye namba za huyu mchungaji tafadhali namuhitaji
George mukabwa uyu ana ubiri ukweli kabisa kuliko matapeli wengine
Amen baba