Makolo mna matatizo sana yaani mkishinda nyinyi mmeshinda kihalali tukishinda yanga tumependelewa,Tumenunua mechi,basi TFF iitoe tu yanga kwenye mashindano yote mbaki tu nyinyi mabingwa
Ni kweli ni offside ni makosa ya kibendera. Ila gem yenu ni uongo hatukubebwa ninyi ndo mlibebwa na mkashindwa kutumia mbeleko mfano nafasi aliyopata ateba ilikuwa offside, dube alivutwa razak alistahili nyekundu, jana mmecheza na Namungo, Namungo wamenyimwa penalty kipindi cha kwanza. Makosa muwe mnaangalia na kwenu pia, dodoma mlibebwa penalty, musonda alifanyiwa faulo na camara ila mnaangalia diving za kibu na kusema penalty. 😂😂😂😂😂😂
kwan Simba na costal ilikuwaje? game y Simba vs cost Simba alibebwa alpewa penalty y uwongo pia refa almalza mpira tofaut na utaratib akihofia Simba kufungwa goal la 3,,, ko Simba alianza kubebwa yy,, dhid y cost,,, na Leo kabebwa yanga ko wote ni wanyanyanyi na team zote kubwa Simba yanga azam singida black stars Zina nunua match ko achen kujilalamisha nyie wote ni wambeleko tu
Yaani me nasemea simba yetu ilinyimwa goli maana kibu alifunga kama baleke alivyofunga alaf baleke alizidi sana kibu alikuwa sawa na diara pamoja na jobu na pia aucho alikuwa golini
Hahahahahahha watu wa simba mtalalamika sana, iombeeni timu yenu, ushabiki wa hvyo hakuna...kuweni wazalendo. Kubalini kuwa yanga is the best team...wenzenu wanaingia wakiomba Mungu, nyie mnategemea mvua inyeshe. Asiyekubal kushindwa si mshindani
Mbona hata ilo goli clear offside 😂😂... Baleke anatokea nyuma kwa golikipa kwenda kugombea mpira unaogombewa na nyuma yake nakupeleka wavuni 😂... YANGA mtashinda Sana ligi ya Tanzania 🤦♂️🤦♂️.. Timu ya serikali
@@rexgodwill7353mbona mliifunga azam offside zote,na dodoma jiji mbeleko,na yanga ngao ilikuwa mle nne, na coast mbeleko ilikuwa mle tatu, mechi saba moja au mbili tu mmetoka kihalal
Kila mech mnafung kagol kamoja, na hata hako kamoja mnakoshinda kila mechi kana utata😂😂 laki timu inazungk mtandaoni ikijiita bingwa🤦eeh muwe mnaanglia na mechi z nje mjue maana halis y bingw
Nyie mademu wa yanga vp na nyie mnadhamiwa na Gsm ....maana kila siku yanga anawafunga wenye nembo ya gsm na nyie vichwa maji mnayo nembo iyo ya mme wenu
Kibu n mchezaji wa klabu ya Shirikisho na Baleke n mchezaji wa klabu ya mabingwa, goli la Kibu n sawa na goli aliloshinda mchezaji wa coastal apo, Wale Kenge tushawashona mechi 4 mfululizo na bado hawajasema😅
Mashabiki wa yanga wenyew wanajiuliza kwann wanapendelewaga sana 😂😂ila nikwamba mechi ilishachezwa kwenye daftar na yanga wakashinda
Makolo mna matatizo sana yaani mkishinda nyinyi mmeshinda kihalali tukishinda yanga tumependelewa,Tumenunua mechi,basi TFF iitoe tu yanga kwenye mashindano yote mbaki tu nyinyi mabingwa
BADO HAMJAONGEA, TENA BADO SANA
Km nyie mlivyocheza kwenye daftar jana
Kama unaikubali yanga gonga like hapa wajue kabisa hatantukishinda kamoja kamoja kikubwa point 😂😂😂
Point 3 muhimu ugenini 💛💛💛💛🖤💚💚💛🖤💚
Ila diara atabakia na sifa zake kuwaongoza wachezaji kwenye eneo la ulinzi lakn Huyu wa leo hajui yy ni kudaka tu
Ligi imekosa mvuto ushindi wa mipango kila mechi
Vp huyu ni kayoko au hahahahahahaha utani tu jmn mimi ni Simba!!! Bwana Yesu Kristo asifiwe!!
Yanga Leo mmecheza mipira wahovyo kabisa
Ch msing n 3 mhimu
Na sasa kichapo cha tarehe 19 kimegeuza mashabiki wa PANYA ROAD FC kuwa V.A.R 🤪
Hongereni mabingwa
Manaake kwanza nicheke😂
Kuna wachezaji yanga wanajiona mastaa sana kama pakome na ki azizi wanapoteza sana mipira
ustaa ukizidi sana ndio shida
Utopolo hamna kitu bahasha tu ndo zimebaki
Imekula kwako kolo ww bahasha huzionag au lile moja tumekupaje
Mwisho wenu uko karibu,endeleeni kujifariji eti mna timu nzuri
Offside kabisa ila nyuma mwko Mungu anawaona
GSM kamfunga GSM 😂
Yn goli la halali limekataliwa ila goli la of saidi la yanga limekubaliwa yn gsm na tff na injinia wanaharibu ligi kwa kwl. Lkn iko siku yataisha
@@SaumuSaidi-z2vbado hamjasema
Hii ni Clear offside sema yanga wanabebwa sana
Offside gani sasa hiyo
Wazee wa mbeleko dadeki!
Yanga wanacheza faulu za hovyo
MWISHO WENU WA KUBEBWA UNAKARIBIA
Sasa nyie simba munasema nin kwa yanga bado sana namutasema andno😮
Wameshangili kwa haraka walijua watafunga Tena Hawa 😂😂😂😂
moja moja
Hii ni maajab anafungwa coastal anae umia ni kolo😂😂😂😂😂
Ona hili KOLO linavyoteseka😂😂😂
Maabadi maabadi anaonekana ni mchezaji mzuri sana
Mshery Ajitathmin huyu khomeny kipa mzuri
Angalia mpira unavyo chezeka si lawama tu 😢😢😮😮😅😅😅😊😊
Hili ni clear goal
Yanga wazazi wenu ni baba na mama
Ni kweli ni offside ni makosa ya kibendera. Ila gem yenu ni uongo hatukubebwa ninyi ndo mlibebwa na mkashindwa kutumia mbeleko mfano nafasi aliyopata ateba ilikuwa offside, dube alivutwa razak alistahili nyekundu, jana mmecheza na Namungo, Namungo wamenyimwa penalty kipindi cha kwanza. Makosa muwe mnaangalia na kwenu pia, dodoma mlibebwa penalty, musonda alifanyiwa faulo na camara ila mnaangalia diving za kibu na kusema penalty. 😂😂😂😂😂😂
Ila baleke mwiziiii
Makolo mpo nyuma yetuu hata musemeje midomo niyenu sisi tunachanja mbugatuu ikibidi tuwapinge na supana mpaka myookee
Hamna maajabu nyie endeleeni kuhonga Marefa ili mshinde kila xiku kwakubebwa
Kama wanahongeka si muhonge na nyie??!! Kwa tatizo liko wapi? Tuhonge wote 😂
Kwahio nyie hamna hela ya kuhonga!??😂😂😂
HELA WATAPATA WAPI, WAMECHOKA MBAYA KABISA, SI UMEONA JENGO LAO WAMEKODISHA KWA WATENGENEZA SIMUHADI ILE OFISI YA MWENYEKITI
Endeleeni kubebwa mwisho wenu Iko karibu
Yanga bado haijawa sawa kwenye kufunga wanapoteza nafas xnaaa
kwan Simba na costal ilikuwaje? game y Simba vs cost Simba alibebwa alpewa penalty y uwongo pia refa almalza mpira tofaut na utaratib akihofia Simba kufungwa goal la 3,,, ko Simba alianza kubebwa yy,, dhid y cost,,, na Leo kabebwa yanga ko wote ni wanyanyanyi na team zote kubwa Simba yanga azam singida black stars Zina nunua match ko achen kujilalamisha nyie wote ni wambeleko tu
Utoppole wanapoteana xanaaaa
Yanga mnabebwa sana hata marefa wabovu tuuu
Hamjasema
Offside kabisa
Hamuoni ata aibu kigori kimoja nyoo😂 anagalieni kwa kaka zenu mjifunze
Atushindi magoal mengi sisi tushakuwa mabingwa tofauti na nyiee
Nyie mbona waliwatoa jasho mkaambulia point 1 tupishee tushachukua point 3 hayo mengine siyo shida zetu
Hawa nyie mlitoa droo,na mgefungwa sema refa alimaliza mpira chap
Of said gan japo wote mashabik
Simba tusiangauke yanga wancheza na marefa tu
😅😅😅😅mtajuta
YAANI! HAMJAONGEA BADO
Yangaaaaaaaqq🎉🎉🎉🎉🎉
Hapo kuna offside gani mbona wanabebwa hadi wanaboa sasa
Yaani me nasemea simba yetu ilinyimwa goli maana kibu alifunga kama baleke alivyofunga alaf baleke alizidi sana kibu alikuwa sawa na diara pamoja na jobu na pia aucho alikuwa golini
Poleni maan mnateseka
Huu uwanja wa Shekh Amri Abed ni uwanja m bovu sana. Yanga akichezaga huu uwanja anashindwa kutandaza ule mpira kampa kampa tena.
Libaya liuwanja
Yanga bingwa💚💚👍
Yanga inachukua bingwa mapema msimu huu
Yanga timu kubwa
Offside za Hawa marainzimen hivi inakuwaje????😂😂😂
Tusubirini CAF LEAGUES ndo mtajua yanga hawana team
Utasubiri sana Simba wana Timu ndo timu imeingia makundi na magoli 17 Utashangaa
KESHENI MKISUBIRI
Wanayanga acheni shobwe Angelina yenu
❤😊❤😊❤😊
Yanga bingwa 🎉😂❤
Hahahahahahha watu wa simba mtalalamika sana, iombeeni timu yenu, ushabiki wa hvyo hakuna...kuweni wazalendo. Kubalini kuwa yanga is the best team...wenzenu wanaingia wakiomba Mungu, nyie mnategemea mvua inyeshe. Asiyekubal kushindwa si mshindani
Mbona hata ilo goli clear offside 😂😂... Baleke anatokea nyuma kwa golikipa kwenda kugombea mpira unaogombewa na nyuma yake nakupeleka wavuni 😂... YANGA mtashinda Sana ligi ya Tanzania 🤦♂️🤦♂️.. Timu ya serikali
@@rexgodwill7353mbona mliifunga azam offside zote,na dodoma jiji mbeleko,na yanga ngao ilikuwa mle nne, na coast mbeleko ilikuwa mle tatu, mechi saba moja au mbili tu mmetoka kihalal
@@goldmansun5859at ww n simb ulitakiw juz ufungw 2
@@rexgodwill7353kibu kafunga goal kama hilo hilo 😂
Nyie yanga hamna kitu mnashinda kwa upendeleo
Makolo.nyiee utaongea nin kwa yangaa
Offside kabisa hiyo
Unajua mpira kweli wewe
@@OnaryYohana BAADA YA KICHAPO TIMU NZIMA IMEGEUKA KUWA VAR😃
kwayanga hii mmmmh.. watasema
Makolo
Yanga mpila unaisha kila mechi kuna bahasha
Na bahashaa mwenyewe ni Young Africans 😳😳kubabaabakee
Mpira unaisha ila point zinaongezeka
Kuuliza sio ujinga kwani sikuhizi mpira wa kona kuna offside ? huo si mwenye kupata na apate offside mpira wa kona kweli ?
Mpira wa kurusha tu ndio hauna offside
Wote wa GSM ndomaana halamikii of cd tulishawajua ila caf hamna gsm
Kila mech mnafung kagol kamoja, na hata hako kamoja mnakoshinda kila mechi kana utata😂😂 laki timu inazungk mtandaoni ikijiita bingwa🤦eeh muwe mnaanglia na mechi z nje mjue maana halis y bingw
Kwakweli
za nje hazituhusu tunataka mechi na nyie panya road
ndo simba watajuta kwanini waliwauza na kuwaita wazee😂😂😂😂
Wachezaji wa Yanga wanakabiliwa na uchovu
💗💗💓💓🙆
Gsm anacheza na gsm
upumbavu tu
Hpo hkna league tna ytu macho2 mtabebwa mkifka kmataifa aibu
Huu uwanja sio poa wanautumia wa nn
Offside
Sio offside jifunze mpira
@@goldmansun5859offside kwan hatuon unaon pek yko
Kama hujui mpira kaa kimya wewe
@@matrida.lunyilija5196 ach ushabik maandaz kwa sabab n yang wamept wao il wangepat coast sijui ungesemaj
@@goldmansun5859haha Poleni mpaka huruma jifunzeni kwa kaka zenu baadae mtanishukuru
Watu wame sakwa Leo nyuma mwiko wali tepet
Baada ya hapo walipoteza si ndio 😂😂😂
Yanga haina mpira wowote tutaijua vizuri club bingwa maana kule Kayoko hayupo.
Kwani klabu bingwa hatukuwepo mkawaita mamelodi wabovu😅
Yanga haina mpira mwenye mpira ni simba utabaki hivyo hivyo bwege wewe.
@@vedastusjimmy5158panya road wanahangaika kutafta excuse ,na watatumia sehem zote kuongea😂
@@vedastusjimmy5158 ukamulize mamelody yanga nani atakwambiya
@@econmirajifacts5411pokea maua yako baba🎉
Uchezaji wa hivi vilabu vidogo ninkukamia tu na kuumiza wachezaji tu
Ilkuwa off
Ya Kibu na hili ni baba moja mama moja.Offside
Mbona mwaka jana ilikuwa chini ya mo na haijaifanya kitu yanga? Au napo walikuwa wanalinda udhamini wa nani?
@@elishakayagwa9371 Haijawahi kuwa chini ya Mo get your facts right.Coastal walianza kudhaminiwa na GSM tokea msimu uliopita.
Ni mwendo wa jamo jamo tu kikubwa nukta tuta
Nyie mademu wa yanga vp na nyie mnadhamiwa na Gsm ....maana kila siku yanga anawafunga wenye nembo ya gsm na nyie vichwa maji mnayo nembo iyo ya mme wenu
Kumbe na Simba ana nembo hiyo
Hata Simba mademu wa Yanga au unajisahaulisha tulichowafanyia
Mwaka huu mpk waseme.
COAST UNION Watapiga nje ili kulinda udhamini wa GSM. Lakin wangefunga magoli mengi😅😅
Cry moreeee😂
Yanga bingwa
Sasa ili goli la baleke na la kibu utofauti ni nni hapo
Kibu n mchezaji wa klabu ya Shirikisho na Baleke n mchezaji wa klabu ya mabingwa, goli la Kibu n sawa na goli aliloshinda mchezaji wa coastal apo, Wale Kenge tushawashona mechi 4 mfululizo na bado hawajasema😅
Tofauti alie toa assist n mpinzan na sio mchezaj wa yanga simle and clear 😅😅
@@abdulmohd6880😂😂😂
Tunashinda mpaka kwenye viwanja vibovu. Hiyo ndiyo yanga. Nyie mbumbumbu endeleeni kulalamika.
Una ubovu gani uwanja? Pitch? Majukwaa?
Pole sana 😂
Mwendowa kichapo tu
𝚆𝚊𝚓𝚒𝚗𝚐𝚊 𝚗𝚢𝚒𝚎𝚎 .. 𝚖𝚗𝚊𝚋𝚞𝚝𝚞𝚞 𝚋𝚞𝚝𝚞𝚊𝚊 𝚝𝚞𝚞 𝚋𝚒𝚕𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚊 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚝𝚞𝚕𝚒𝚊𝚊
Simba tusiangauke yanga wancheza na marefa tu