Coastal Union 0-1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 26/10/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 153

  • @seremusicofficial
    @seremusicofficial 2 години тому +6

    Mashabiki wa yanga wenyew wanajiuliza kwann wanapendelewaga sana 😂😂ila nikwamba mechi ilishachezwa kwenye daftar na yanga wakashinda

    • @MohamedMohamed-s5w7q
      @MohamedMohamed-s5w7q Годину тому +1

      Makolo mna matatizo sana yaani mkishinda nyinyi mmeshinda kihalali tukishinda yanga tumependelewa,Tumenunua mechi,basi TFF iitoe tu yanga kwenye mashindano yote mbaki tu nyinyi mabingwa

    • @tatitati-h5r
      @tatitati-h5r 56 хвилин тому

      BADO HAMJAONGEA, TENA BADO SANA

    • @beatricesaitoti6125
      @beatricesaitoti6125 53 хвилини тому

      Km nyie mlivyocheza kwenye daftar jana

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 43 хвилини тому +2

    Kama unaikubali yanga gonga like hapa wajue kabisa hatantukishinda kamoja kamoja kikubwa point 😂😂😂

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 години тому +2

    Point 3 muhimu ugenini 💛💛💛💛🖤💚💚💛🖤💚

  • @HassaniUlenge-j5j
    @HassaniUlenge-j5j 51 хвилина тому +2

    Ila diara atabakia na sifa zake kuwaongoza wachezaji kwenye eneo la ulinzi lakn Huyu wa leo hajui yy ni kudaka tu

  • @Ngoviabbas
    @Ngoviabbas 2 години тому +3

    Ligi imekosa mvuto ushindi wa mipango kila mechi

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 2 години тому +3

    Vp huyu ni kayoko au hahahahahahaha utani tu jmn mimi ni Simba!!! Bwana Yesu Kristo asifiwe!!

  • @AshaKilobwa
    @AshaKilobwa 2 години тому +4

    Yanga Leo mmecheza mipira wahovyo kabisa

  • @tatitati-h5r
    @tatitati-h5r 49 хвилин тому +1

    Na sasa kichapo cha tarehe 19 kimegeuza mashabiki wa PANYA ROAD FC kuwa V.A.R 🤪

  • @vedastusjimmy5158
    @vedastusjimmy5158 4 години тому +4

    Hongereni mabingwa

  • @AshaKilobwa
    @AshaKilobwa 2 години тому +3

    Kuna wachezaji yanga wanajiona mastaa sana kama pakome na ki azizi wanapoteza sana mipira

    • @bukaone7507
      @bukaone7507 Годину тому

      ustaa ukizidi sana ndio shida

  • @AljuhaniAllyy-dg4ld
    @AljuhaniAllyy-dg4ld 30 хвилин тому +2

    Utopolo hamna kitu bahasha tu ndo zimebaki

    • @QueenlizzyQueenlizzy
      @QueenlizzyQueenlizzy 27 хвилин тому

      Imekula kwako kolo ww bahasha huzionag au lile moja tumekupaje

  • @Nicodemashangi-z3o
    @Nicodemashangi-z3o 2 години тому +2

    Mwisho wenu uko karibu,endeleeni kujifariji eti mna timu nzuri

  • @shabaninayopa-nw9cf
    @shabaninayopa-nw9cf 2 години тому +2

    Offside kabisa ila nyuma mwko Mungu anawaona

  • @Maalim_Seif_-_Zanzibar
    @Maalim_Seif_-_Zanzibar 3 години тому +4

    GSM kamfunga GSM 😂

    • @SaumuSaidi-z2v
      @SaumuSaidi-z2v 3 години тому +1

      Yn goli la halali limekataliwa ila goli la of saidi la yanga limekubaliwa yn gsm na tff na injinia wanaharibu ligi kwa kwl. Lkn iko siku yataisha

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 години тому

      ​@@SaumuSaidi-z2vbado hamjasema

  • @MossesSolomonMollel
    @MossesSolomonMollel 2 години тому +2

    Hii ni Clear offside sema yanga wanabebwa sana

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 25 хвилин тому +2

    Wazee wa mbeleko dadeki!

  • @AshaMkweche
    @AshaMkweche 3 години тому +4

    Yanga wanacheza faulu za hovyo

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 3 години тому +3

    MWISHO WENU WA KUBEBWA UNAKARIBIA

  • @MariamHassan-l2y
    @MariamHassan-l2y 2 години тому +2

    Sasa nyie simba munasema nin kwa yanga bado sana namutasema andno😮

  • @UledyCosmas-z7o
    @UledyCosmas-z7o 41 хвилина тому +1

    Wameshangili kwa haraka walijua watafunga Tena Hawa 😂😂😂😂

  • @bukaone7507
    @bukaone7507 2 години тому +2

    moja moja

  • @Dullah_tz
    @Dullah_tz 3 години тому +3

    Hii ni maajab anafungwa coastal anae umia ni kolo😂😂😂😂😂

  • @AziCure
    @AziCure 2 години тому +2

    Ona hili KOLO linavyoteseka😂😂😂

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 2 години тому +1

    Maabadi maabadi anaonekana ni mchezaji mzuri sana

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 3 години тому +2

    Mshery Ajitathmin huyu khomeny kipa mzuri

  • @EmanuelyMalugu
    @EmanuelyMalugu 3 години тому +2

    Angalia mpira unavyo chezeka si lawama tu 😢😢😮😮😅😅😅😊😊

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 2 години тому +1

    Hili ni clear goal

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 години тому +2

    Yanga wazazi wenu ni baba na mama

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 Годину тому +1

    Ni kweli ni offside ni makosa ya kibendera. Ila gem yenu ni uongo hatukubebwa ninyi ndo mlibebwa na mkashindwa kutumia mbeleko mfano nafasi aliyopata ateba ilikuwa offside, dube alivutwa razak alistahili nyekundu, jana mmecheza na Namungo, Namungo wamenyimwa penalty kipindi cha kwanza. Makosa muwe mnaangalia na kwenu pia, dodoma mlibebwa penalty, musonda alifanyiwa faulo na camara ila mnaangalia diving za kibu na kusema penalty. 😂😂😂😂😂😂

  • @egnopokela5089
    @egnopokela5089 49 хвилин тому +1

    Ila baleke mwiziiii

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 години тому +2

    Makolo mpo nyuma yetuu hata musemeje midomo niyenu sisi tunachanja mbugatuu ikibidi tuwapinge na supana mpaka myookee

    • @TeddyElisha
      @TeddyElisha 2 години тому +1

      Hamna maajabu nyie endeleeni kuhonga Marefa ili mshinde kila xiku kwakubebwa

    • @cristamelahashimu3679
      @cristamelahashimu3679 Годину тому

      Kama wanahongeka si muhonge na nyie??!! Kwa tatizo liko wapi? Tuhonge wote 😂

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Годину тому +1

    Kwahio nyie hamna hela ya kuhonga!??😂😂😂

    • @tatitati-h5r
      @tatitati-h5r 44 хвилини тому

      HELA WATAPATA WAPI, WAMECHOKA MBAYA KABISA, SI UMEONA JENGO LAO WAMEKODISHA KWA WATENGENEZA SIMUHADI ILE OFISI YA MWENYEKITI

  • @Nicodemashangi-z3o
    @Nicodemashangi-z3o 2 години тому +1

    Endeleeni kubebwa mwisho wenu Iko karibu

  • @RamadhaniSalumu-i5h
    @RamadhaniSalumu-i5h 3 години тому +1

    Yanga bado haijawa sawa kwenye kufunga wanapoteza nafas xnaaa

  • @GeofreyMwafinga
    @GeofreyMwafinga Годину тому +1

    kwan Simba na costal ilikuwaje? game y Simba vs cost Simba alibebwa alpewa penalty y uwongo pia refa almalza mpira tofaut na utaratib akihofia Simba kufungwa goal la 3,,, ko Simba alianza kubebwa yy,, dhid y cost,,, na Leo kabebwa yanga ko wote ni wanyanyanyi na team zote kubwa Simba yanga azam singida black stars Zina nunua match ko achen kujilalamisha nyie wote ni wambeleko tu

  • @IreneMerchades
    @IreneMerchades 2 години тому +2

    Utoppole wanapoteana xanaaaa

  • @PetroKibasa
    @PetroKibasa 3 години тому +2

    Yanga mnabebwa sana hata marefa wabovu tuuu

  • @AZALIAMWAMBELA-t9f
    @AZALIAMWAMBELA-t9f 2 години тому +2

    Offside kabisa

  • @AnnaJayden-k4m
    @AnnaJayden-k4m 2 години тому +2

    Hamuoni ata aibu kigori kimoja nyoo😂 anagalieni kwa kaka zenu mjifunze

    • @RuthDaffa
      @RuthDaffa 2 години тому +1

      Atushindi magoal mengi sisi tushakuwa mabingwa tofauti na nyiee

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 години тому +1

      Nyie mbona waliwatoa jasho mkaambulia point 1 tupishee tushachukua point 3 hayo mengine siyo shida zetu

    • @LucyChanga-e8c
      @LucyChanga-e8c 2 години тому

      Hawa nyie mlitoa droo,na mgefungwa sema refa alimaliza mpira chap

  • @rashidnzunda
    @rashidnzunda 2 години тому +1

    Of said gan japo wote mashabik

  • @OsianaKibona-k1t
    @OsianaKibona-k1t 2 години тому +2

    Simba tusiangauke yanga wancheza na marefa tu

  • @anordkimaro8200
    @anordkimaro8200 3 години тому +1

    Yangaaaaaaaqq🎉🎉🎉🎉🎉

  • @emanuelimabula9887
    @emanuelimabula9887 3 години тому +2

    Hapo kuna offside gani mbona wanabebwa hadi wanaboa sasa

    • @EdwardKyabon
      @EdwardKyabon 2 години тому +1

      Yaani me nasemea simba yetu ilinyimwa goli maana kibu alifunga kama baleke alivyofunga alaf baleke alizidi sana kibu alikuwa sawa na diara pamoja na jobu na pia aucho alikuwa golini

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 години тому

      Poleni maan mnateseka

  • @saliminyusuph6122
    @saliminyusuph6122 3 години тому +2

    Huu uwanja wa Shekh Amri Abed ni uwanja m bovu sana. Yanga akichezaga huu uwanja anashindwa kutandaza ule mpira kampa kampa tena.

  • @GaudenciaMawallo-mm4gi
    @GaudenciaMawallo-mm4gi 3 години тому

    Yanga bingwa💚💚👍

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 3 години тому +2

    Yanga inachukua bingwa mapema msimu huu

  • @malimahila9450
    @malimahila9450 Годину тому +1

    Yanga timu kubwa

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 4 години тому +1

    Offside za Hawa marainzimen hivi inakuwaje????😂😂😂

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 Годину тому +1

    Tusubirini CAF LEAGUES ndo mtajua yanga hawana team

    • @lingwamalagila3003
      @lingwamalagila3003 Годину тому

      Utasubiri sana Simba wana Timu ndo timu imeingia makundi na magoli 17 Utashangaa

    • @tatitati-h5r
      @tatitati-h5r 56 хвилин тому

      KESHENI MKISUBIRI

  • @ShaabanHassan-p8m
    @ShaabanHassan-p8m Годину тому +1

    Wanayanga acheni shobwe Angelina yenu

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 Годину тому

    ❤😊❤😊❤😊

  • @shallmolownicodem4734
    @shallmolownicodem4734 3 години тому

    Yanga bingwa 🎉😂❤

  • @anordkimaro8200
    @anordkimaro8200 3 години тому +19

    Hahahahahahha watu wa simba mtalalamika sana, iombeeni timu yenu, ushabiki wa hvyo hakuna...kuweni wazalendo. Kubalini kuwa yanga is the best team...wenzenu wanaingia wakiomba Mungu, nyie mnategemea mvua inyeshe. Asiyekubal kushindwa si mshindani

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 3 години тому +6

      Mbona hata ilo goli clear offside 😂😂... Baleke anatokea nyuma kwa golikipa kwenda kugombea mpira unaogombewa na nyuma yake nakupeleka wavuni 😂... YANGA mtashinda Sana ligi ya Tanzania 🤦‍♂️🤦‍♂️.. Timu ya serikali

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 години тому +1

      ​@@rexgodwill7353mbona mliifunga azam offside zote,na dodoma jiji mbeleko,na yanga ngao ilikuwa mle nne, na coast mbeleko ilikuwa mle tatu, mechi saba moja au mbili tu mmetoka kihalal

    • @OmarSuleiman-o8o
      @OmarSuleiman-o8o 3 години тому +2

      ​@@goldmansun5859at ww n simb ulitakiw juz ufungw 2

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 години тому +2

      ​@@rexgodwill7353kibu kafunga goal kama hilo hilo 😂

    • @abdillahhamisi3289
      @abdillahhamisi3289 3 години тому +5

      Nyie yanga hamna kitu mnashinda kwa upendeleo

  • @KelvinMkoma-x9z
    @KelvinMkoma-x9z 31 хвилина тому

    Makolo.nyiee utaongea nin kwa yangaa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 2 години тому +2

    Offside kabisa hiyo

    • @OnaryYohana
      @OnaryYohana Годину тому

      Unajua mpira kweli wewe

    • @tatitati-h5r
      @tatitati-h5r 52 хвилини тому

      @@OnaryYohana BAADA YA KICHAPO TIMU NZIMA IMEGEUKA KUWA VAR😃

  • @Ibrahimshaibu-b2q
    @Ibrahimshaibu-b2q 2 години тому +1

    kwayanga hii mmmmh.. watasema

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 години тому +1

    Makolo

  • @JoakimMarko
    @JoakimMarko 3 години тому +4

    Yanga mpila unaisha kila mechi kuna bahasha

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 41 хвилина тому

    Kuuliza sio ujinga kwani sikuhizi mpira wa kona kuna offside ? huo si mwenye kupata na apate offside mpira wa kona kweli ?

  • @SophiaWanene
    @SophiaWanene 40 хвилин тому

    Wote wa GSM ndomaana halamikii of cd tulishawajua ila caf hamna gsm

  • @rukaiyakondo5265
    @rukaiyakondo5265 Годину тому +1

    Kila mech mnafung kagol kamoja, na hata hako kamoja mnakoshinda kila mechi kana utata😂😂 laki timu inazungk mtandaoni ikijiita bingwa🤦eeh muwe mnaanglia na mechi z nje mjue maana halis y bingw

    • @elizabethvucentkabwa
      @elizabethvucentkabwa 59 хвилин тому

      Kwakweli

    • @tatitati-h5r
      @tatitati-h5r 57 хвилин тому

      za nje hazituhusu tunataka mechi na nyie panya road

    • @sarahsalum997
      @sarahsalum997 48 хвилин тому

      ndo simba watajuta kwanini waliwauza na kuwaita wazee😂😂😂😂

  • @scopy0428
    @scopy0428 43 хвилини тому

    Wachezaji wa Yanga wanakabiliwa na uchovu

  • @NSHIMIYIMANAXXX-t3i
    @NSHIMIYIMANAXXX-t3i 3 години тому

    💗💗💓💓🙆

  • @hamishasan7737
    @hamishasan7737 Годину тому

    Gsm anacheza na gsm

  • @karingtonisimwinga122
    @karingtonisimwinga122 3 години тому +2

    upumbavu tu

  • @Chikophehussein
    @Chikophehussein 2 години тому +1

    Hpo hkna league tna ytu macho2 mtabebwa mkifka kmataifa aibu

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga 3 години тому +1

    Huu uwanja sio poa wanautumia wa nn

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 4 години тому +2

    Offside

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 години тому

      Sio offside jifunze mpira

    • @OmarSuleiman-o8o
      @OmarSuleiman-o8o 3 години тому +1

      ​@@goldmansun5859offside kwan hatuon unaon pek yko

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 3 години тому

      Kama hujui mpira kaa kimya wewe

    • @OmarSuleiman-o8o
      @OmarSuleiman-o8o 3 години тому +1

      @@matrida.lunyilija5196 ach ushabik maandaz kwa sabab n yang wamept wao il wangepat coast sijui ungesemaj

    • @AnnaJayden-k4m
      @AnnaJayden-k4m 2 години тому

      @@goldmansun5859haha Poleni mpaka huruma jifunzeni kwa kaka zenu baadae mtanishukuru

  • @amanizo96
    @amanizo96 3 години тому +1

    Watu wame sakwa Leo nyuma mwiko wali tepet

  • @anthonymilinga8696
    @anthonymilinga8696 3 години тому +2

    Yanga haina mpira wowote tutaijua vizuri club bingwa maana kule Kayoko hayupo.

    • @vedastusjimmy5158
      @vedastusjimmy5158 3 години тому +2

      Kwani klabu bingwa hatukuwepo mkawaita mamelodi wabovu😅

    • @econmirajifacts5411
      @econmirajifacts5411 3 години тому

      Yanga haina mpira mwenye mpira ni simba utabaki hivyo hivyo bwege wewe.

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 3 години тому

      ​@@vedastusjimmy5158panya road wanahangaika kutafta excuse ,na watatumia sehem zote kuongea😂

    • @econmirajifacts5411
      @econmirajifacts5411 3 години тому

      @@vedastusjimmy5158 ukamulize mamelody yanga nani atakwambiya

    • @AnnaJayden-k4m
      @AnnaJayden-k4m 2 години тому

      @@econmirajifacts5411pokea maua yako baba🎉

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 Годину тому

    Uchezaji wa hivi vilabu vidogo ninkukamia tu na kuumiza wachezaji tu

  • @BashirAhmed-zb1zq
    @BashirAhmed-zb1zq 4 години тому +1

    Ilkuwa off

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 4 години тому

    Ya Kibu na hili ni baba moja mama moja.Offside

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 3 години тому

      Mbona mwaka jana ilikuwa chini ya mo na haijaifanya kitu yanga? Au napo walikuwa wanalinda udhamini wa nani?

    • @mahadshekh398
      @mahadshekh398 3 години тому +1

      @@elishakayagwa9371 Haijawahi kuwa chini ya Mo get your facts right.Coastal walianza kudhaminiwa na GSM tokea msimu uliopita.

  • @sultanmsolon8428
    @sultanmsolon8428 4 години тому

    Ni mwendo wa jamo jamo tu kikubwa nukta tuta

  • @ViraNgulula
    @ViraNgulula 3 години тому

    Nyie mademu wa yanga vp na nyie mnadhamiwa na Gsm ....maana kila siku yanga anawafunga wenye nembo ya gsm na nyie vichwa maji mnayo nembo iyo ya mme wenu

    • @estervumilia7974
      @estervumilia7974 3 години тому +1

      Kumbe na Simba ana nembo hiyo

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 години тому +1

      Hata Simba mademu wa Yanga au unajisahaulisha tulichowafanyia

  • @DEVISMOMO
    @DEVISMOMO 4 години тому +1

    Mwaka huu mpk waseme.

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 4 години тому

    COAST UNION Watapiga nje ili kulinda udhamini wa GSM. Lakin wangefunga magoli mengi😅😅

  • @Dullah_tz
    @Dullah_tz 3 години тому

    Yanga bingwa

  • @EdwardKyabon
    @EdwardKyabon 4 години тому

    Sasa ili goli la baleke na la kibu utofauti ni nni hapo

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 4 години тому +3

      Kibu n mchezaji wa klabu ya Shirikisho na Baleke n mchezaji wa klabu ya mabingwa, goli la Kibu n sawa na goli aliloshinda mchezaji wa coastal apo, Wale Kenge tushawashona mechi 4 mfululizo na bado hawajasema😅

    • @edwardmwacha
      @edwardmwacha 3 години тому

      Tofauti alie toa assist n mpinzan na sio mchezaj wa yanga simle and clear 😅😅

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 2 години тому

      ​@@abdulmohd6880😂😂😂

  • @Yassin-z6o
    @Yassin-z6o 3 години тому

    Tunashinda mpaka kwenye viwanja vibovu. Hiyo ndiyo yanga. Nyie mbumbumbu endeleeni kulalamika.

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 3 години тому +1

      Una ubovu gani uwanja? Pitch? Majukwaa?

    • @AnnaJayden-k4m
      @AnnaJayden-k4m 2 години тому

      Pole sana 😂

  • @andrewpaul8147
    @andrewpaul8147 3 години тому

    Mwendowa kichapo tu

  • @official_mr_bery
    @official_mr_bery 3 години тому +1

    𝚆𝚊𝚓𝚒𝚗𝚐𝚊 𝚗𝚢𝚒𝚎𝚎 .. 𝚖𝚗𝚊𝚋𝚞𝚝𝚞𝚞 𝚋𝚞𝚝𝚞𝚊𝚊 𝚝𝚞𝚞 𝚋𝚒𝚕𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚊 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚝𝚞𝚕𝚒𝚊𝚊

  • @OsianaKibona-k1t
    @OsianaKibona-k1t 2 години тому +1

    Simba tusiangauke yanga wancheza na marefa tu