JOB, MSHERY WAFUNGUKA BAADA YA KUFIKA DUKANI KWA MZIZE "HUYU NI MCHEZAJI WA TAIFA/ WAJE HATA WENGINE
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Wallah Umoja Wenu Ndio Utawafanya Mfike Mbaliii Mzidi Na Roho Izo Izo Ya Imani Na Umoja Insha Allah
Jamani tuwaangalie Job, Bacca na Diara hawa watu wapo tayar kufa kwa ajili ya team
Na kibwana shomari
sio hao tu aucho, kibwana mzize, PACOME KIUFUPI TIMU nzima wana molali
Yanga nawapenda sana, mnaumoja, mnashirikiana na kuungana kwa mkono kwa mambo mengi.💚💚✅✅✅🇹🇿🇹🇿🌻🌻
Namuomba M/Mungu awajaalie Kheir na Mafanikio kwenye maisha yao Inshaallah
Hongera yanga yangu... huko makororo wanapigana misumari balaa..
Mungu wajalie waungane hivyo hivyo
Kumbe lile goli lilikuwa la ufunguzi wa nduka Mungu mkubwa asinge funga tusingeona haya hongera sana muweke Mungu mbele
Mungu Alisema yes hakuna wa kupinga
Hongera Sana arikamye na taifa kwaujumra kwani hayo hayapatikani popote duniani zidi yanga tu kwani tokanimeanza kushabikia mpira wa miguu haijawahi tokea sapoti Kama hiyo yaupendo mkubwa hakika Raisi anaweza kutufiksha mbari tukopamoja nanyi naitwa adamu dubwi pingo charinzepwani
Hili jambo ni Zuri Sana. Ally Kamwe endeleza kampeni za namna hii Kwa Wachezaji wengine.
Kamwe leo ana kazi ya kubadilisha Nguo 2
Hongera clementinyo mzinze
Waliid mzize mtu na nusu huyu tena hajashangilia saana ingekuwa kibu sasa angevua mpaka chupi dadeki..😂😂
😂😂😂😂
Mshery anajifanya kuongea kwa itifaki mamaeh😂😂😂
Hii ni timu wachezaji wanaishia kifamilia ZAIDI UPENDO,UMOJA na ushirikiano uko juu sana
Ongeza nguo naona hazitoshi
Nic san
Tupeni Hiyo anuani lilipo duka
Sinza makaburini
We dada punguza mdomo