Muda Ambao Dua Hujibiwa Haraka / Wajanja Wote Waliutumia Usiku / Sheikh Walid Alhad Omar

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лис 2021
  • Muda Ambao Dua Hujibiwa Haraka / Wajanja Wote Waliutumia Usiku / Sheikh Walid Alhad Omar
    Sheikh Walid Alhad Akieleza kwa uzuri na ubora wa hali ya juu kabisa juu ya Darasa la tafsiri juu ya muda ambao dua hujibiwa haraka na wajanja wote waliutumia usiku
    Darsa la tafsiri kichangani 2021 la mwezi ramadhani mwaka 1442H lilotolewa na sheikh Walid Alhad Omar kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi tizama video zetu mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 135

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Рік тому +58

    Huyu Shekh kanislimisha Mimi juzi🌹

  • @saidatowainda525
    @saidatowainda525 4 місяці тому +6

    Shekh ninakufuatilia sana Allah akulipe kheri,pia nakupongeza kwa kuteuliwa/kuchaguliwa kuwa shekh mkuu wa mkoa Mufti hakupoteza naamini anajua huo ni mgodi unaotoa madini ya thamani ,Allah akuongoze ktk uongozi huu aliokubariki,nafuatilia sana visa vyako,elimu na mawaidha yako yenye mafundisho mazuri

  • @bernardyona4564
    @bernardyona4564 Рік тому +9

    Sheeeh naomba uniandikie hayo maneno mie huwa nakufatilia sanaaa nanaamka sana usik wa manane kuombaaa

    • @castorbanda9626
      @castorbanda9626 Рік тому

      Ben vp

    • @user-kz9pd5qi4c
      @user-kz9pd5qi4c 9 місяців тому

      Kwani unatuambia ili tujue kua wew mchamungu 😊😅

    • @khadijahamina8457
      @khadijahamina8457 4 місяці тому

      izonizana zako kuwa nawivu wafa ida amka naweye ili umshinde tushindanekwajili ya allah

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 Рік тому +6

    لا إله إلا الله محمد رسول الله لا إله إلا الله والله اكبر

  • @azizasana9313
    @azizasana9313 2 роки тому +30

    Nimemjua wiki hii,ktk youtube,haki umeniweka krib na Allah,ulipwe mema mengi na Allah sheik Walid.

    • @awadhally544
      @awadhally544 2 роки тому

      0

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Рік тому

      Maaaa shaaa Alllah
      Alhamdulillah

    • @maliathmajid8228
      @maliathmajid8228 Рік тому

      Ni kweli kabisa ...wewe ni kama Mimi tu Allah ampe Pepo huyu mja jamani anejua kuniwema karibu na allaha.

    • @kasatbintalib9127
      @kasatbintalib9127 Рік тому

      Aziza yn uy mt ana paswd uczozpat san kw mashekh wengne kwke unazpat Allah atuekee inshàallah

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 Рік тому

      Mm nimekuwa karibu na allah sama siku hizi asbabi yy allah amuweke mashaallah

  • @ishakaali92
    @ishakaali92 2 роки тому +23

    Mashaallah nakufatilia sana darsa zako unapenda kutupa faida huna kubana bana Allah akupe afya uzidi kutupa vitu kama hivi

  • @lilianmasawe9780
    @lilianmasawe9780 2 роки тому +11

    Mashallah Allah akuhifadh shekh

  • @fatmakilalah9751
    @fatmakilalah9751 Рік тому +3

    Manshallah allah akulipe nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @mamamarcely2720
    @mamamarcely2720 2 роки тому +7

    Asante mungu akupe maisha marefu

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 роки тому +13

    Shukran sana shehe walidi mungu akupe afya njema

  • @sharifashabani8973
    @sharifashabani8973 Рік тому +10

    Mashaallah shekh wetu allah akufanyie wepesi ktk kutufikishia mambo mazur

  • @SulumaSwaleh
    @SulumaSwaleh Місяць тому

    MASHALLAH BIN GHAMMY NISEME NINI KWAKO KWANI KILA UTACHOONGE KINAGUSA MOYO. ALLAH AKUINGIZE PEPONI KWA HURUMA ZAKE . AMEEN YARAB.

  • @allysmo7046
    @allysmo7046 Рік тому +1

    Alhamdulillah shukran sheikh la mkoa .. Napongez sana kwa cheo hcho maalim wngu kaka yngu ..

  • @abdulkadrymruma2395
    @abdulkadrymruma2395 2 роки тому +8

    Mashaallah hakika mungu akulinde sheikh wetu

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Рік тому +4

    Nakupenda shekhe napenda mafundisho yako

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 2 роки тому +4

    jazakha Allah kheir allah atakulipa in sha allah

    • @bernardyona4564
      @bernardyona4564 Рік тому

      Ustadhi,,,mie nimesilimu Sasa Mambo mengi siyajuwiii naomba msaada wako mie huwa naamka ucku wamanane

  • @ramadhanmbarak3979
    @ramadhanmbarak3979 Місяць тому

    MaashaAllah shekh Walid Allah akuhifadh

  • @hawaramadhani4066
    @hawaramadhani4066 2 роки тому +6

    Allah akulipe kheli shekhe

  • @mamkubwaashura8096
    @mamkubwaashura8096 2 роки тому +4

    Shukran saana sheikh Allah akupe afya uzidi kutuelimisha

  • @MakameMketo-ci2en
    @MakameMketo-ci2en 10 місяців тому +1

    Mashaallah shekh allah akulipe

  • @omarmotito841
    @omarmotito841 8 місяців тому +1

    Assalamou alaykoum wa rahmatullah wa barakatu imam kabla ya yote natangulia kwa kumuomba Allah akujalie kila lakheri duniani na kesho akhera osizani kama mawaidha na elimu onafundishaka inaishiaka uko Tanzanie mie apa nakufata drcongo nakuomba ukue na kuongeza mandiko mimi niko mamuma ile inaweza kunisaidiya sana inchallah

  • @saddamhussein9054
    @saddamhussein9054 Рік тому +1

    Masha ALLAH sheikh ALLAH akupe umri

  • @user-my3fl2jq6i
    @user-my3fl2jq6i 3 місяці тому

    Mungu amuweke panapo stahili shekh wa mkoa wa daar es salama

  • @HashimuKalata-gq4cd
    @HashimuKalata-gq4cd Рік тому +1

    Mashaallah Allah akuhifazi tuzidi kupata manufaa

  • @ablahmansimba4684
    @ablahmansimba4684 Рік тому +6

    Huyu shekhe WA mkoa WA daresalam nishekh nae mufti hajakosea kabisa kumteuwa nimemfuwatilia darasa zake huyu nimwalim pia simtu wakujinyanyuwa Allah amuhifadhi pia mufti wetu Allah amuhifadhi.

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 2 роки тому +5

    Kweli kabisa Mgodi wa Madini unaopatikana kichangan

    • @khuiii9032
      @khuiii9032 2 роки тому +1

      Jina zuri Abdul Allah umeliharibu hivyo subhana Allah

  • @ashaomary2623
    @ashaomary2623 7 місяців тому

    Allah aendeleeee kukupa afya njema na uelewa zaidi

  • @user-xr5lf6pe1n
    @user-xr5lf6pe1n 2 місяці тому

    Nakupenda kwa ajili ya Allah sw kwa mafunzo yako

  • @jarufumuhamed6396
    @jarufumuhamed6396 2 роки тому +2

    Inshallah Allah akulipe

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 2 роки тому +3

    MashaAllah Allah barik

  • @shanindemane5811
    @shanindemane5811 2 роки тому +6

    Jazakallahu khayra

  • @kassimugonie9223
    @kassimugonie9223 6 місяців тому

    Shkrani ghaaaaalim nakukubali alh azidi kukubakisha utupe faida

  • @johnhygaru8846
    @johnhygaru8846 3 місяці тому

    Barakallahufika ya ustaadh

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 11 місяців тому +2

    mashallah 🙏

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 10 місяців тому +1

    Nimelia wallahi kwa hichi kisa

  • @afric01
    @afric01 Рік тому

    Aslm alkm ww... Shukran sana sheikh Walid. Jazakallah kheir 🙏

  • @fatmamsindi4612
    @fatmamsindi4612 9 місяців тому +1

    Maashallah, Shukran

  • @hadyaAlii
    @hadyaAlii 11 місяців тому +2

    Mashaallah ❤❤❤

  • @alfanhamisi
    @alfanhamisi 6 місяців тому

    Jazakkallah khairah

  • @user-nz5yn5oi3t
    @user-nz5yn5oi3t 5 місяців тому

    Masha a llahu allahu mustaanu

  • @daudymussa4620
    @daudymussa4620 Рік тому +4

    Wajanja wanatumiaga uciku

  • @aminaharufa1343
    @aminaharufa1343 Рік тому +2

    Masha Allah Allah akulinde

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 2 роки тому +3

    Mashallah shelkh nskuomba niandikie iyo Dua ya sijida tafadhali

    • @zenaomary4662
      @zenaomary4662 2 роки тому

      Ahsat shekh mollah akuhfadh uzd kutup faida🙏

    • @zenaomary4662
      @zenaomary4662 2 роки тому

      Sheikh naomba noadikie hyo duaa ya sijida🙏

  • @huseinsaidy3871
    @huseinsaidy3871 2 роки тому +3

    MaashaAllah

  • @niahkidingi
    @niahkidingi 11 місяців тому +1

    Mashaallah

  • @kachaka991
    @kachaka991 Рік тому

    Shukran jazza.

  • @nassirsalim219
    @nassirsalim219 Рік тому

    jazzaka Allah kher sheikh

    • @zeitunhassan7284
      @zeitunhassan7284 Рік тому

      Niko Kenya nakupata naomba kuongea na wewe jinsi Gani nitakupata

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому

    Homgera kissamwanyange

  • @hawakambi5310
    @hawakambi5310 2 роки тому +2

    Shehe Wengine kiarabu atujui

  • @mpembaramadhanimpembaibnsa774
    @mpembaramadhanimpembaibnsa774 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 4 місяці тому

    Mungu mkubwa

  • @rahmamussa8780
    @rahmamussa8780 7 місяців тому

    Asalam aleykum, mimi nilikua nahitaji kujua je mwanamke mjamzito wa tambo la miezi nane anaruhusiwa kusali amekaa chini na nasali vipi, kwasababu kila nikijaribu kusali kawaida tumbo linanielemea na ninapomaliza sijiskii sawa katika upumjaji na kuacha sala naona ni makosa na sitokua na raha naomba mwenye elimu hii anifahamishe

  • @allykimwaga349
    @allykimwaga349 2 роки тому +15

    Assalam alaykum sheikh wangu. Tafadhal naomba kuuliza, Kuna mahala umesema tuombe kwa kiarabu, je Kuna sababu gani inayozuia kutumia luga nyingine wakati mwenyezi mungu anasikia lugha zote.

    • @nabillkhamis8188
      @nabillkhamis8188 2 роки тому +5

      Sio lazma kiarabu nafsi yako tu ya moyon inatosha

    • @ramsofundi2222
      @ramsofundi2222 2 роки тому +2

      Skiliza kwa x nyingine kwa umakini

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 2 роки тому +1

      @ Ally kimwaga kaaminisha ukiwa ndani swala ukiomba dua usiombe kwa Kiswahili kwasababu kwenye swala hakutakiwi kutiwa lugha nyengine isipokuwa kiarabu tu . Nandio akashauri kama una jambo lako nenda akuandikie kwa kiarabu uwe uanomba kwa kiarabu ukiwa ndani ya swala, ila kama hayupo ndani ya swala unaweza kuomba kwa lugha. Lugha yoyote ile na uliombalo liwe zuri ndoivo tu kwajinsi nilivo elewa mimi

    • @saidsaleh1856
      @saidsaleh1856 2 роки тому +6

      kuomba kwa kiarabu imekusudiwa kwenye swala hususan za fardhi na ndio maana akasema uombe kwa kiarabu na ikibidi akuandikie ili uhifadhi ukiwa katk sijda ya kwenye swala uombe.....
      Ila ukiwa katika hali nyengine piga kwa kiswahili au wengine wanasema hata kwenye swala za sunna unaweza kuomba kwaa kiswahili.
      Wallahu aálamu.

    • @mzeeomarmzee9540
      @mzeeomarmzee9540 2 роки тому

      @@saidsaleh1856 Twayyib

  • @soilammary4211
    @soilammary4211 Рік тому +1

    Hizi darsa zako Sheikh huwa ni wap? Na lini na lini ?mida ipi

  • @AshaWaziri-mw4su
    @AshaWaziri-mw4su Місяць тому

    Asalam alaykum, mtu Kama anataka umpe maelekezo anapaataje mawasiliano

  • @shaisoho9033
    @shaisoho9033 Рік тому

    Shehk kama mimi sijui kiarabu naombaje jmn na ninapenda kuomba kwa sigda kama unavyosema?????msaada pls

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 11 місяців тому

    Samahani et hii kulhalaw ni dua ya kumuombea marehemu?

  • @sharifatanzania5885
    @sharifatanzania5885 2 роки тому +1

    Ustazi sisi wasammbaa pengine hatujui kialabu tufundishe

    • @rashidomary632
      @rashidomary632 2 роки тому

      Taadaha hata kuonga kiarabu

    • @seifiddy1804
      @seifiddy1804 2 роки тому

      mh mh weshu

    • @allywaziry7489
      @allywaziry7489 10 місяців тому

      Ooh sharifa nawe mndunghu angu.............kuomba Dua Kwa lugha tofauti katika swala sio Sahihi ,inabatilisha swala

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 10 місяців тому

    Utasikia zaman tulikuwa tunasemaga hivyo yule mtu wetu

  • @haditvswahili4045
    @haditvswahili4045 2 роки тому +1

    ua-cam.com/video/dVGl3gcdjAE/v-deo.html
    TIBA YA KIISLAMU SEHEMU YA (18)
    MADA : FALSAFA YA KUU UGUWA NI NINI

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Рік тому +1

    Masikini shekhe umenitowa machozi. 😭😭Kumbe ni muza mkaa? Hana kitu kusha anatowa?

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Рік тому

      pole ila ni miongoni mwa sifa za wachamungu

  • @anusiatakomba5856
    @anusiatakomba5856 Рік тому

    Ninaomba shehe unifundishe duwa

  • @sadikisemwali4516
    @sadikisemwali4516 2 роки тому +1

    Hadith dhaifu

  • @adammaziku6521
    @adammaziku6521 Рік тому

    Je naweza kuomba maombi yangu Kwa kutumia lugha ya kiswahili?

    • @mfurumatongaschool1440
      @mfurumatongaschool1440 Рік тому

      Ndio unaweza kuomba maombi yako kwa kiswahili.

    • @kasatbintalib9127
      @kasatbintalib9127 Рік тому

      Yanatgmea n wp hyo maomb y kiswhl ama lugha nyengn yyte kwny swal n kiarab t ht km una maombi yko bnafs bs uyataje kw kiarab km kw maneno y shekh wet. Wallah a'alam

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Місяць тому

    Somo hapa ni kwamba sala ni lugha ya Kiarabu tu.

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Рік тому

    Mashallah tabarka Rahmani. Ww ni shekhe wetu tunae kupenda sn. Kwa mawaidha yk