Muda Ambao Dua Hujibiwa Haraka / Wajanja Wote Waliutumia Usiku / Sheikh Walid Alhad Omar

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • Muda Ambao Dua Hujibiwa Haraka / Wajanja Wote Waliutumia Usiku / Sheikh Walid Alhad Omar
    Sheikh Walid Alhad Akieleza kwa uzuri na ubora wa hali ya juu kabisa juu ya Darasa la tafsiri juu ya muda ambao dua hujibiwa haraka na wajanja wote waliutumia usiku
    Darsa la tafsiri kichangani 2021 la mwezi ramadhani mwaka 1442H lilotolewa na sheikh Walid Alhad Omar kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi tizama video zetu mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 164

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 2 роки тому +85

    Huyu Shekh kanislimisha Mimi juzi🌹

  • @MwidaniAbdulmalik
    @MwidaniAbdulmalik 17 днів тому

    Allah akuzidishie kwa hakika unanigusa na kukirimu mtima wangu Allah akujalie pepo ya juu kabisa.

  • @saidatowainda525
    @saidatowainda525 10 місяців тому +8

    Shekh ninakufuatilia sana Allah akulipe kheri,pia nakupongeza kwa kuteuliwa/kuchaguliwa kuwa shekh mkuu wa mkoa Mufti hakupoteza naamini anajua huo ni mgodi unaotoa madini ya thamani ,Allah akuongoze ktk uongozi huu aliokubariki,nafuatilia sana visa vyako,elimu na mawaidha yako yenye mafundisho mazuri

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 17 днів тому

    Sheikh wang Allah akuifadh kwa kila la her maneno yameniingia🙏

  • @MussaShabani-ci3nl
    @MussaShabani-ci3nl Місяць тому +1

    allah akulipe shekh wetu

  • @OmaryNshiga-w4i
    @OmaryNshiga-w4i 13 днів тому

    Shukran sheikh Allah akulipe kher inshallah

  • @bernardyona4564
    @bernardyona4564 2 роки тому +10

    Sheeeh naomba uniandikie hayo maneno mie huwa nakufatilia sanaaa nanaamka sana usik wa manane kuombaaa

    • @castorbanda9626
      @castorbanda9626 Рік тому

      Ben vp

    • @BashirOthman-u4e
      @BashirOthman-u4e Рік тому

      Kwani unatuambia ili tujue kua wew mchamungu 😊😅

    • @khadijahamina8457
      @khadijahamina8457 11 місяців тому

      izonizana zako kuwa nawivu wafa ida amka naweye ili umshinde tushindanekwajili ya allah

  • @ZaidHamasiZaid
    @ZaidHamasiZaid 4 місяці тому +1

    Wallahi, Sheikh umenizindua, shukran.saana Nilighafilika. Majuzi nilipata mtihani na ukweli nilitereza nilifanya ibada kumbe ya kishetwaan, Alhamdu Lillah leo nimekusikiliza vema yaani ni kama ulikuwa unanisema mie...nashukuru Allah sw akulipe mema

  • @bakithamapembe5521
    @bakithamapembe5521 Місяць тому

    Umekuza Imani yangu ahsante sana Allah akulipe mema

  • @ishakaali92
    @ishakaali92 3 роки тому +25

    Mashaallah nakufatilia sana darsa zako unapenda kutupa faida huna kubana bana Allah akupe afya uzidi kutupa vitu kama hivi

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 3 роки тому +14

    Shukran sana shehe walidi mungu akupe afya njema

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Рік тому +2

    Nimelia wallahi kwa hichi kisa

  • @azizasana9313
    @azizasana9313 2 роки тому +35

    Nimemjua wiki hii,ktk youtube,haki umeniweka krib na Allah,ulipwe mema mengi na Allah sheik Walid.

    • @awadhally544
      @awadhally544 2 роки тому

      0

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 роки тому

      Maaaa shaaa Alllah
      Alhamdulillah

    • @maliathmajid8228
      @maliathmajid8228 Рік тому

      Ni kweli kabisa ...wewe ni kama Mimi tu Allah ampe Pepo huyu mja jamani anejua kuniwema karibu na allaha.

    • @kasatbintalib9127
      @kasatbintalib9127 Рік тому

      Aziza yn uy mt ana paswd uczozpat san kw mashekh wengne kwke unazpat Allah atuekee inshàallah

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 Рік тому

      Mm nimekuwa karibu na allah sama siku hizi asbabi yy allah amuweke mashaallah

  • @KHAMISRASHEED1796
    @KHAMISRASHEED1796 Рік тому +6

    لا إله إلا الله محمد رسول الله لا إله إلا الله والله اكبر

  • @sharifashabani8973
    @sharifashabani8973 2 роки тому +11

    Mashaallah shekh wetu allah akufanyie wepesi ktk kutufikishia mambo mazur

  • @fatmakilalah9751
    @fatmakilalah9751 2 роки тому +4

    Manshallah allah akulipe nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @hawaramadhani4066
    @hawaramadhani4066 2 роки тому +7

    Allah akulipe kheli shekhe

  • @mamamarcely2720
    @mamamarcely2720 2 роки тому +8

    Asante mungu akupe maisha marefu

  • @mamkubwaashura8096
    @mamkubwaashura8096 2 роки тому +5

    Shukran saana sheikh Allah akupe afya uzidi kutuelimisha

  • @SulumaSwaleh
    @SulumaSwaleh 7 місяців тому +1

    MASHALLAH BIN GHAMMY NISEME NINI KWAKO KWANI KILA UTACHOONGE KINAGUSA MOYO. ALLAH AKUINGIZE PEPONI KWA HURUMA ZAKE . AMEEN YARAB.

  • @santummtaukila5879
    @santummtaukila5879 3 місяці тому

    Kweli sheikh allah akuhifadhi akupe umrifu uzidi kutufunza na kutukumbuaha amin

  • @saidaabdalla2854
    @saidaabdalla2854 4 місяці тому +1

    JazakAllwahu khairan Sheikh ❤️ ♥️

  • @lilianmasawe9780
    @lilianmasawe9780 3 роки тому +12

    Mashallah Allah akuhifadh shekh

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 2 роки тому +4

    Nakupenda shekhe napenda mafundisho yako

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 Рік тому +2

    mashallah 🙏

  • @omarmotito841
    @omarmotito841 Рік тому +2

    Assalamou alaykoum wa rahmatullah wa barakatu imam kabla ya yote natangulia kwa kumuomba Allah akujalie kila lakheri duniani na kesho akhera osizani kama mawaidha na elimu onafundishaka inaishiaka uko Tanzanie mie apa nakufata drcongo nakuomba ukue na kuongeza mandiko mimi niko mamuma ile inaweza kunisaidiya sana inchallah

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 Місяць тому

      Kaongeee nae online yake ya cm yake Utapata
      Muafaka wa Jambo lako

  • @SafinaMukamuganga
    @SafinaMukamuganga 4 місяці тому

    Asalamu alaikum waramatullah wabarakatuh! Shekh nakupenda Mimi Unanisaidia sanaaa❤ Rwanda Tunakupenda ❤❤❤❤

  • @kassimugonie9223
    @kassimugonie9223 Рік тому

    Shkrani ghaaaaalim nakukubali alh azidi kukubakisha utupe faida

  • @abdulkadrymruma2395
    @abdulkadrymruma2395 2 роки тому +9

    Mashaallah hakika mungu akulinde sheikh wetu

  • @ashaomary2623
    @ashaomary2623 Рік тому

    Allah aendeleeee kukupa afya njema na uelewa zaidi

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 3 роки тому +6

    Kweli kabisa Mgodi wa Madini unaopatikana kichangan

    • @khuiii9032
      @khuiii9032 3 роки тому +1

      Jina zuri Abdul Allah umeliharibu hivyo subhana Allah

  • @Binmabruk273
    @Binmabruk273 Рік тому

    Masha a llahu allahu mustaanu

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 2 роки тому +5

    jazakha Allah kheir allah atakulipa in sha allah

    • @bernardyona4564
      @bernardyona4564 2 роки тому

      Ustadhi,,,mie nimesilimu Sasa Mambo mengi siyajuwiii naomba msaada wako mie huwa naamka ucku wamanane

  • @AliKhamiss-r5k
    @AliKhamiss-r5k 3 місяці тому

    Jamani tusem ukwel huy sheikh ana hekma saaana anajuwa kulea jamii kwel kwel mung amuwek

  • @khadijarajabu3626
    @khadijarajabu3626 5 місяців тому

    mashaallah allah akupe umr mrefu wenye baraka shekh warid

  • @MakameMketo-ci2en
    @MakameMketo-ci2en Рік тому +1

    Mashaallah shekh allah akulipe

  • @AliKhamiss-r5k
    @AliKhamiss-r5k 3 місяці тому

    Nawaombeni namb ya huy sheikh tafadhl

  • @allysmo7046
    @allysmo7046 Рік тому +1

    Alhamdulillah shukran sheikh la mkoa .. Napongez sana kwa cheo hcho maalim wngu kaka yngu ..

  • @fatmamsindi4612
    @fatmamsindi4612 Рік тому +1

    Maashallah, Shukran

  • @zayshaban8466
    @zayshaban8466 5 місяців тому

    Allah atuhifadhi sote

  • @hadyaAlii
    @hadyaAlii Рік тому +2

    Mashaallah ❤❤❤

  • @HashimuKalata-gq4cd
    @HashimuKalata-gq4cd Рік тому +1

    Mashaallah Allah akuhifazi tuzidi kupata manufaa

  • @AminaAlly-c2f
    @AminaAlly-c2f 10 місяців тому

    Mungu amuweke panapo stahili shekh wa mkoa wa daar es salama

  • @ramadhanjumanne-x7x
    @ramadhanjumanne-x7x 25 днів тому

    Nimependa unavyo elimisha nitakupateje shehee

  • @alfanhamisi
    @alfanhamisi Рік тому

    Jazakkallah khairah

  • @ramadhanmbarak3979
    @ramadhanmbarak3979 8 місяців тому

    MaashaAllah shekh Walid Allah akuhifadh

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Рік тому

    Homgera kissamwanyange

  • @saddamhussein9054
    @saddamhussein9054 Рік тому +1

    Masha ALLAH sheikh ALLAH akupe umri

  • @shanindemane5811
    @shanindemane5811 3 роки тому +6

    Jazakallahu khayra

  • @Zulkamhaji
    @Zulkamhaji 9 місяців тому

    Nakupenda kwa ajili ya Allah sw kwa mafunzo yako

  • @jarufumuhamed6396
    @jarufumuhamed6396 2 роки тому +2

    Inshallah Allah akulipe

  • @منوبا
    @منوبا 5 місяців тому +1

    Shukuran

  • @huseinsaidy3871
    @huseinsaidy3871 2 роки тому +3

    MaashaAllah

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 2 роки тому +3

    MashaAllah Allah barik

  • @ramadhanjumanne-x7x
    @ramadhanjumanne-x7x 25 днів тому

    naomba mawasoliano yako

  • @ablahmansimba4684
    @ablahmansimba4684 Рік тому +7

    Huyu shekhe WA mkoa WA daresalam nishekh nae mufti hajakosea kabisa kumteuwa nimemfuwatilia darasa zake huyu nimwalim pia simtu wakujinyanyuwa Allah amuhifadhi pia mufti wetu Allah amuhifadhi.

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Рік тому

    Mashallah tabarka Rahmani. Ww ni shekhe wetu tunae kupenda sn. Kwa mawaidha yk

  • @johnhygaru8846
    @johnhygaru8846 10 місяців тому

    Barakallahufika ya ustaadh

  • @niahkidingi
    @niahkidingi Рік тому +1

    Mashaallah

  • @afric01
    @afric01 Рік тому

    Aslm alkm ww... Shukran sana sheikh Walid. Jazakallah kheir 🙏

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 2 роки тому +3

    Mashallah shelkh nskuomba niandikie iyo Dua ya sijida tafadhali

    • @zenaomary4662
      @zenaomary4662 2 роки тому

      Ahsat shekh mollah akuhfadh uzd kutup faida🙏

    • @zenaomary4662
      @zenaomary4662 2 роки тому

      Sheikh naomba noadikie hyo duaa ya sijida🙏

  • @hawakambi5310
    @hawakambi5310 2 роки тому +2

    Shehe Wengine kiarabu atujui

  • @babyhuu3958
    @babyhuu3958 2 місяці тому

    Asalam walaykum shekh walid kweny sijda unaweza kuomb ata swala ya faradhi au man apo mm sijaelewa vzr kidogo

  • @aminaharufa1343
    @aminaharufa1343 2 роки тому +2

    Masha Allah Allah akulinde

  • @mpembaramadhanimpembaibnsa774
    @mpembaramadhanimpembaibnsa774 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @AbdallahgasiAbdallahgasi
    @AbdallahgasiAbdallahgasi 5 місяців тому +1

    جمل جد

  • @nassirsalim219
    @nassirsalim219 2 роки тому

    jazzaka Allah kher sheikh

    • @zeitunhassan7284
      @zeitunhassan7284 2 роки тому

      Niko Kenya nakupata naomba kuongea na wewe jinsi Gani nitakupata

  • @kachaka991
    @kachaka991 2 роки тому

    Shukran jazza.

  • @daudymussa4620
    @daudymussa4620 2 роки тому +4

    Wajanja wanatumiaga uciku

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 10 місяців тому

    Mungu mkubwa

  • @allykimwaga349
    @allykimwaga349 3 роки тому +19

    Assalam alaykum sheikh wangu. Tafadhal naomba kuuliza, Kuna mahala umesema tuombe kwa kiarabu, je Kuna sababu gani inayozuia kutumia luga nyingine wakati mwenyezi mungu anasikia lugha zote.

    • @nabillkhamis8188
      @nabillkhamis8188 3 роки тому +5

      Sio lazma kiarabu nafsi yako tu ya moyon inatosha

    • @ramsofundi2222
      @ramsofundi2222 3 роки тому +2

      Skiliza kwa x nyingine kwa umakini

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 3 роки тому +1

      @ Ally kimwaga kaaminisha ukiwa ndani swala ukiomba dua usiombe kwa Kiswahili kwasababu kwenye swala hakutakiwi kutiwa lugha nyengine isipokuwa kiarabu tu . Nandio akashauri kama una jambo lako nenda akuandikie kwa kiarabu uwe uanomba kwa kiarabu ukiwa ndani ya swala, ila kama hayupo ndani ya swala unaweza kuomba kwa lugha. Lugha yoyote ile na uliombalo liwe zuri ndoivo tu kwajinsi nilivo elewa mimi

    • @saidsaleh1856
      @saidsaleh1856 2 роки тому +6

      kuomba kwa kiarabu imekusudiwa kwenye swala hususan za fardhi na ndio maana akasema uombe kwa kiarabu na ikibidi akuandikie ili uhifadhi ukiwa katk sijda ya kwenye swala uombe.....
      Ila ukiwa katika hali nyengine piga kwa kiswahili au wengine wanasema hata kwenye swala za sunna unaweza kuomba kwaa kiswahili.
      Wallahu aálamu.

    • @mzeeomarmzee9540
      @mzeeomarmzee9540 2 роки тому

      @@saidsaleh1856 Twayyib

  • @rahmamussa8780
    @rahmamussa8780 Рік тому

    Asalam aleykum, mimi nilikua nahitaji kujua je mwanamke mjamzito wa tambo la miezi nane anaruhusiwa kusali amekaa chini na nasali vipi, kwasababu kila nikijaribu kusali kawaida tumbo linanielemea na ninapomaliza sijiskii sawa katika upumjaji na kuacha sala naona ni makosa na sitokua na raha naomba mwenye elimu hii anifahamishe

  • @AshaWaziri-mw4su
    @AshaWaziri-mw4su 8 місяців тому

    Asalam alaykum, mtu Kama anataka umpe maelekezo anapaataje mawasiliano

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 Рік тому

    Samahani et hii kulhalaw ni dua ya kumuombea marehemu?

  • @sharifatanzania5885
    @sharifatanzania5885 3 роки тому +1

    Ustazi sisi wasammbaa pengine hatujui kialabu tufundishe

    • @rashidomary632
      @rashidomary632 3 роки тому

      Taadaha hata kuonga kiarabu

    • @seifiddy1804
      @seifiddy1804 2 роки тому

      mh mh weshu

    • @allywaziry7489
      @allywaziry7489 Рік тому

      Ooh sharifa nawe mndunghu angu.............kuomba Dua Kwa lugha tofauti katika swala sio Sahihi ,inabatilisha swala

  • @soilammary4211
    @soilammary4211 Рік тому +2

    Hizi darsa zako Sheikh huwa ni wap? Na lini na lini ?mida ipi

    • @MaryamFerej-ep9cq
      @MaryamFerej-ep9cq 3 місяці тому

      Masha Allah Sheikh walid. Mola akupe kila la kheri hapa duniani na kesho akhera. Akuzaidishie elimu na ss tupate faida, kwani darsa zako unatamani usimalize darsa zako.

  • @shaisoho9033
    @shaisoho9033 Рік тому

    Shehk kama mimi sijui kiarabu naombaje jmn na ninapenda kuomba kwa sigda kama unavyosema?????msaada pls

  • @sadikisemwali4516
    @sadikisemwali4516 3 роки тому +1

    Hadith dhaifu

  • @adammaziku6521
    @adammaziku6521 Рік тому

    Je naweza kuomba maombi yangu Kwa kutumia lugha ya kiswahili?

    • @mfurumatongaschool1440
      @mfurumatongaschool1440 Рік тому

      Ndio unaweza kuomba maombi yako kwa kiswahili.

    • @kasatbintalib9127
      @kasatbintalib9127 Рік тому

      Yanatgmea n wp hyo maomb y kiswhl ama lugha nyengn yyte kwny swal n kiarab t ht km una maombi yko bnafs bs uyataje kw kiarab km kw maneno y shekh wet. Wallah a'alam

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Рік тому

    Utasikia zaman tulikuwa tunasemaga hivyo yule mtu wetu

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Рік тому +1

    Masikini shekhe umenitowa machozi. 😭😭Kumbe ni muza mkaa? Hana kitu kusha anatowa?

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Рік тому

      pole ila ni miongoni mwa sifa za wachamungu

  • @anusiatakomba5856
    @anusiatakomba5856 Рік тому

    Ninaomba shehe unifundishe duwa

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 8 місяців тому

    Somo hapa ni kwamba sala ni lugha ya Kiarabu tu.