MANENO YA MANARA NUSU YAMTOE MACHOZI ZAYLISSA / NIKIFA WALE MASHEKHE NDIYO WATAONGOZA MSIBA WANGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • MANENO YA MANARA NUSU AMTOE MACHOZI ZAYLISSA / NIKIFA WALE MASHEKHE NDIYO WATAONGOZA MSIBA WANGU

КОМЕНТАРІ • 24

  • @mohammedi8850
    @mohammedi8850 13 днів тому +8

    MASHEIKH WAKUBWA TZ WAKUTEGEMEWA ONGEENI NA MANARA KUHUSU STARA YA MKE WAKE ... MTU MAARUFU NI KIOO ... ALAFU MARA NYINGI ANAJIHUSISHA KUHUDHURIA KATIKA SHUHULI ZA KIISILAAM.. AU KUWAALIKA MASHEIKH.. LAKINI MASHEIKH WAPO KIMYA KUMNASIHI MANARA NA MKE WAKE ... ALLAH ATUHIFADHI HATARI SANA

  • @NoraNora-gv7md
    @NoraNora-gv7md 13 днів тому +1

    Hivi haji ana ndugu yake😂😂😂😂😂

  • @btylove1870
    @btylove1870 14 днів тому +1

    Mwalim Abasi jamani! Nimefurahi kuwaona walimu wangu wa madrasa😊.

  • @salimumwenjuma6150
    @salimumwenjuma6150 14 днів тому +1

    Maashallah

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 14 днів тому

    Manshalaa❤❤❤

  • @RmoShamte-h9f
    @RmoShamte-h9f 14 днів тому +3

    tuwe tunafuata taratibu na sheria ya uislamu

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 14 днів тому +1

    Ila Haji hapana aisee wewe ni mtu wa kipekee sana ukipewa mic na huo mdomo 😂😂😂

  • @arafakhamis3336
    @arafakhamis3336 13 днів тому +1

    Mwambie mkeo avae viruri ajistiri kwenye mashehe

  • @giztony2009
    @giztony2009 14 днів тому +1

    Nilichojifunza leo watu maarufuu cyo wa kufanya nao siri coz wanatoa siri kirahisi sana eti kumtoa mtu kwenye siti

  • @HabibHassan-g2z
    @HabibHassan-g2z 12 днів тому

    Na mashekhe wamekaakimyaaa mke wa haji hajajistir

  • @RmoShamte-h9f
    @RmoShamte-h9f 14 днів тому

    mke wake yupo uchi mbaya sana nywele na kifua na shingo mbele ya adhara tena maurid Dah msiba mkubwa

  • @HabibHassan-g2z
    @HabibHassan-g2z 12 днів тому

    Shughuli kubwa kama hii wewe mke wa haji mwenyewe unashindwa kujistir kweli minywele nje jaman

  • @Naju645
    @Naju645 14 днів тому

    Sasa huyo mkewe alishindwa kujistiri vizuri loh au hakuna wakubwa wakumwambia

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 13 днів тому +1

      Kujifanya watakatifu kipenz ishi wwe

    • @Naju645
      @Naju645 13 днів тому

      @salimalaquimane3077 sio utakatifu bibie kwenye jambo lakujistiri nikujistir sio usupar staa poyeee napia ukumbusho unawafaa wenye kuamini kwaheri

    • @uwasesifa7563
      @uwasesifa7563 12 днів тому

      Ukijistiriwewe inatosha😅😅😅

    • @Naju645
      @Naju645 12 днів тому +1

      @uwasesifa7563 shankupe naomba nikuambie ukumbusho unawafaa wenye kuamini sio wewe

    • @uwasesifa7563
      @uwasesifa7563 12 днів тому

      @@Naju645 ukiamini mwenyewe inatosha malkia

  • @FaniaHassani
    @FaniaHassani 14 днів тому

    Maashallah