Muda mwingine mtu anachukua maamuzi magumu sio kwa kupenda bali ni kutokana na magumu anayopitia katika maisha na hii yote ni kutokana na mapenzi "KIFO NI HAKI YANGU"
Daah.. Brother kaz nzur yan siy pow Respect My Brother Allah akubless uzidi kufikish ujumbe zaid nazaid katik jamii ze2 maan daah.. Hiz tabia zimekithir za kusalitian yani.. Respect 👊👊
😭😭😭😭😭😭😭😭niliyapitia haya mwaka 2018 😭😭😭😭😭 so painful.... Ila Alhamdhullilah Nashukuru Mungu ...baada ya miaka mitatu..nina furaha ya moyo Wangu na mke wa maisha ... Ahsante kwa mafunzo yako kaka...hakika nimejifunza sana.
Dah! Bro unatufundisha sana, - nachukia mahusiano, na sitosahau kumthamini na kumpa kila kitu na kujitaidi kumsaidia kumshauri kwa yale aliyokuwa akipitia kwenye familia yake but at the end Alinikana na kunitukana zaidi Nilitukanwa na mtu nisiyemjua akijitapa kuwa yuko nae.. Nimetokea kuwachukia hawa wadada....
Unalilia nini mnafiki wewe tapeli WA mapenzi mpaka pesa za watu Una maana kabisa na mama ako nae sio mama Sahihi anakuongoza ujinga kabisaa duuh mungu simama nasi ishaallah
Duh! Ibrah huu wimbo "maisha na mahusiano jamani utajifunza mengi duniani kutoka kwake Ibrah Thedon... " Unapatikana pekee bila kuambatana na video? Naomba unijibu Ibrah
Daaaaaah kak uko vzr xn pongezi kwako nakukubali xn ni moja ya mdau wako salute kwako na nitabaki kukubali
Duh imenitoa machozi 😭😭wallah nimejifunza kitu keept up brother
Yaumiza ..usiombe yakukute..thanks Thedon
Daah.. Brother kaz nzur yan siy pow Respect My Brother Allah akubless uzidi kufikish ujumbe zaid nazaid katik jamii ze2 maan daah.. Hiz tabia zimekithir za kusalitian yani.. Respect 👊👊
Duuuh inaumizaa saana big up broo😭😭😭 jamaanii nani kaimba hiyo nyimboo please😭
Dah nikegundua ki2 kaka asnt san makukubali sana tean san
😭😭😭😭😭😭😭😭niliyapitia haya mwaka 2018 😭😭😭😭😭 so painful.... Ila Alhamdhullilah Nashukuru Mungu ...baada ya miaka mitatu..nina furaha ya moyo Wangu na mke wa maisha ... Ahsante kwa mafunzo yako kaka...hakika nimejifunza sana.
Poleee
pole sanaa
Bro kiukweli umeniliza kipaji unacho mungu awe nawe ziku zote za maisha yko ili ukaelimishe jamii
Duuuuuuh wanaume wanapitia magumu Sana mung waongoze vema ktk kuchagua mke mwema
Ibra the don ubarikiwe🙏
Ahsanteee sanaaa kwa mafundisho
Kikwer imenitoaa machoz hay yanayokea asant San kak👏👏
God bless 🙏 you brother good job 👍👌
Woo nakukubali sana pale unapo tetea haki ya wanawake 🥰🥰🥰
pole sanaa
pole sana kawainda ya wanawake ibra
Dah noma kweli hata mm nilipitia mwaka 2020 iliniuma sana ila nilijifunza mengi sana kwa ss moyo wangu unasukuma damu si nyengine
Daah wqnqwake sie wauwaji Sana nimeumia
Upo vizuri broooo
DA nkaisi amejitundika kweli,kumbe anafikisha ujumbe😀😀😀
😢😢😢😢😢Daaaah imeniuma sana ongereni sana wapezi kwama fuzzo yenu mzuri sana
Braza endelea kufanya vizuli nas tupo nyumaako
Poleni sana
Bro hii mpenzi waja 2 😘😘😘🙆🙆🙆🙆
Wah mm kashtukaa Kaka bt..
It absolutely 💯👍
♥️♥️♥️ Allah awazidishiye umuli mirefu awape mwisho mwema
Daah inaniuma sana,From DRC🇨🇩🇨🇩
Kwri moyo unaumiasan ukiw umemupend mwanamuke sisi wanaume mungu atusaidiye san unakufa iviv kisa mwanamuke ,,😭🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Nyie jee. Mnavyotesa. Wanawake
Daaa inauma sana aki imenitoa machozi,,, usiwahi kuketi chini ya mti ukiwa na stress🙏🙏
Dahh inauma sn hii 🙏🙏🙏
Mapenz shinda sana anauma
Bac usilie baba 😢 good job
Mungu azidi kukubariki kaka wewe kwa mafunzo yako
Pole sana
Allah akupe maisha marefu yeny kheri na barka ndani yake
Kazi poa haki naomba huo wimbo kakangu
Daah big up bro
dar bro uko vzur 😭😭😭😭😭
Darsa mzuri
Da niatar walhah ila Dunia unapo mfanyiya mwenzako ubaya ipo siku naww utafanyiwa walhah
Inauma saan😢
Imeniguza sana
Big up Sana kabisa wewe is like panado of Uwumivu tu kabisa.
Umenitoa machozi kaka . Daah watu wanalizwa sanaa
Tuna pewa somo gani ndani ya iyi
Kwakweri changamoto kubwa dunian ni Ndoa aiseee mapenzi changamoto kubwaa aisee
Nakukubali sn
Daaa inahumiza kabisa 🤦♂️🤦♂️🤦♂️
Uko noma Kk
Daah 🥺 mapenzi yanauma si mchezo, ila yote ni kukubali tu matokeo na kusonga mbele.
Kabisa ukiwe nauweze achana nayo alio pita nikushukuru mungu
Ahsante kwaujumbe
Duuuuu, inauma jaman
Kaz nzur
😅😅😅😅 kwakweli inauma
Mh inauma sana aise nawafatilia nikiwa 🇦🇪
Naumia sana kbx. 😭😭😭
Weeeh🤔🤔 aya magumu kweli mahusiano yatatumaliza."kifo n haki yangu"
Inauma Sana🇨🇩🇨🇩
Duh inauma sana na pia aya bado yapo mpaka leo
Dah! Bro unatufundisha sana, - nachukia mahusiano, na sitosahau kumthamini na kumpa kila kitu na kujitaidi kumsaidia kumshauri kwa yale aliyokuwa akipitia kwenye familia yake but at the end
Alinikana na kunitukana zaidi Nilitukanwa na mtu nisiyemjua akijitapa kuwa yuko nae..
Nimetokea kuwachukia hawa wadada....
Dah kwa kweli hii imenitoa machoz duh
Tuned.
It's very true brother love is something very funny 😭😭😭😭
mm sijalia ila nimepata hisia kwa maneno yake
Oooh my God ibrah Pole sana 😭😭😭😭😭
Kaka jitahidi uko vyema
Ibrah umeniliza Sana😭😭😭
Hakika nikwel unayo yasema👍👍
Congratulation 😍😍😍
Jaman hii video naipataj
🥺🥺🥺
Daa!!
Unalilia nini mnafiki wewe tapeli WA mapenzi mpaka pesa za watu Una maana kabisa na mama ako nae sio mama Sahihi anakuongoza ujinga kabisaa duuh mungu simama nasi ishaallah
Jaman huu wimbo kaimba nani
😢😢😢
Mtihani kwa kweli wengi wanapitia haya
It's so pain😔😭
Mwamba pamoja🙏🙏🙏
Pongela kaka tunakupendasan
Loooh zedonnnnnnnnn😭😭
Jaman 😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭nimeumia sanaa
Kiwango
Inauma sana aki....😭😭😭😭😭
It's really hurting but hivyo ndio walivyo binadamu wa sasa
dah so sad
Jamani wanawake tujifunze
𝕀𝕓𝕣𝕒 𝕨𝕖 𝕟𝕚 𝕜𝕚𝕥𝕒𝕤𝕒 𝕓𝕒𝕓𝕒
😭😭😭😭inauma Sana
Hii inauma bro
Duuuh so pain
Nikweli Kaka
👏👏👏
Inauma Sana tue tunajikaza
🤦♀️😑😭😭😭
Duh!
Ibrah huu wimbo "maisha na mahusiano jamani utajifunza mengi duniani kutoka kwake Ibrah Thedon... " Unapatikana pekee bila kuambatana na video? Naomba unijibu Ibrah
Unapatikana
Naomba uniambie namna ya kuupata
@@ibrahthedon mm pia naomba uniambie jina la huo wimbo
Kk ibra aya yapo xn
Daahh 😪
Inauma sana 😢
Inauma 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Acha kulia utapata mwingine
sorry brother very bad