Ukweli wa maisha ya Australia, kazi zinazoingiza pesa nyingi, vigezo vya kuishi na Afsa Issa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii - / simulizinasauti

КОМЕНТАРІ • 83

  • @MasaboSaada
    @MasaboSaada 6 днів тому

    Binti nampongeza sana na safari yako ya maisha.kwa umri wewe ntakuita mwanangu.mungu akubariki mwanangu.

  • @josain8
    @josain8 3 дні тому +2

    Jaman tuko Australia pia Fellow Tanzania lets comment here

    • @PegiNkhobaosholi
      @PegiNkhobaosholi День тому

      wow, naweza pata mawasiliano, i wish one day to be there

    • @pendoasifiwe8641
      @pendoasifiwe8641 11 годин тому

      Jina lako halisi ni nani? Unakujaga kwenye community? Mimi pia nipo Melbourne 😊

  • @jameslyatuu95
    @jameslyatuu95 7 днів тому +3

    Maisha ya ulaya yana kuzwa sana ila ukwel ni kwamba ni maisha ya kawaida sana tumekaa huko No where like home

    • @PatsonPius
      @PatsonPius 6 днів тому

      Umekaa ulaya ya wap uncle??

    • @jameslyatuu95
      @jameslyatuu95 6 днів тому

      @@PatsonPiusulaya ni ulaya whats your point?

    • @PatsonPius
      @PatsonPius 6 днів тому

      @@jameslyatuu95 standard ya maisha nch za ulaya ipo tofauti, ukimsikila vzr hyo dada amejarb kuonyesha n kias gan maisha yapo kwa nch aliyopo mfano kazungzia haki za watu zinavyolindwa na serikal inavyojarbi kuboresha ustawi wa watu wao nk

    • @PatsonPius
      @PatsonPius 6 днів тому

      We unapoona ana exaggerate n wap??

  • @KhamisiJosephPeru
    @KhamisiJosephPeru 6 днів тому

    Dada ana moyo mzuri sana mungu azidi kumuongoza

  • @AhmedAhmed-z6m7t
    @AhmedAhmed-z6m7t 7 днів тому +2

    Huyu dada ni Mrembo sana

    • @Clex-f5s
      @Clex-f5s 3 дні тому

      Mrembo kwako😊

  • @ferdinandlameck2287
    @ferdinandlameck2287 7 днів тому

    Nice and lovely

  • @delphinbyaombe3399
    @delphinbyaombe3399 7 днів тому +1

    King chales alikuja hapa Sydney Australia mwaka jana November

  • @Ochoabuilderslimited
    @Ochoabuilderslimited 5 днів тому

    Vizuri sana

  • @mussamossimomo5638
    @mussamossimomo5638 6 днів тому

    Chris Falvour na Hafsa Mossi mmeuwa sana🎉🎉🎉🎉 anaitwa Hafsa Mossi na mim naitwa Mussa Mossi tuishi humo😅😅😅😅

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 7 днів тому +3

    Ohooo 😢😢😢 haoo watu wa Australia, Melbourne, London, UK pamoja USA Washington DC,ni family 🐈 cat msianzee,kuwasifia,asa hivi trump ameanza kutufukuza,itaenda kwa baba yao London kisha hicho kijukuu chao Melbourne tusipendee kuwasifia nchi za wenzetuu ni htr tutakuja pata hasara 😢😢😢

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 4 дні тому +1

    Ukiwa hauna hela hata hapa bongo unabaguliwa

  • @Ellen_Titus
    @Ellen_Titus 5 днів тому

    💯 . You absolutely need to be home if you want to invest in anything otherwise you’ll cry a small
    Cat cry.

  • @GideonLenard
    @GideonLenard 3 дні тому

    Hamna nchi ambayo haina maskini huyu Dada anazingua hamwezi kufanana wote kipato anasifia mpaka anaongea uwongo

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 7 днів тому

    🤔Mahitaji ya jamii nchi za Ulaya na Australia huwezi kufananisha na Afrika. Hakuna shida ya maji au umeme na kila wiki au wiki mbili taka zote zinakusanywa na Serikali za mitaa. Ubaguzi upo nchi zote duniani lakini tunatafautiana. Asanteni jamani kwa mchango wenu wa mawazo na kwa kuturushia hii habari.

  • @kodackdeblack7982
    @kodackdeblack7982 7 днів тому +2

    Iv ni website gani ambazo ziko surely overseas Yan nkipata naweza kuomba nakupata make link zngn jau kwer

  • @Amede-o5d
    @Amede-o5d 7 днів тому +1

    Mtuuliziye USA kunakuwaga Green Card hivi Australian hakuna bahati nasibu mi natokeya Burundi🇧🇮🇧🇮

  • @kazigembeleke5958
    @kazigembeleke5958 4 дні тому

    Sio kutumia "small" kila sehemu unaeza tumia "a little"

  • @b.chantal5831
    @b.chantal5831 7 днів тому +1

    King alikuja Australia October last year

  • @gracenizigama695
    @gracenizigama695 7 днів тому

    ❤❤❤

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 7 днів тому +2

    Dada naomba connection kama mtanzania mwenzio nije nipambane bado sijakata tamaa

  • @KiT.KaT.Cute.
    @KiT.KaT.Cute. 7 днів тому

    Mimi nawachapa wakikosea

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 4 дні тому

    Vp ufugaji wa kondoo maana primary tulifundishwa australia ndo inaongoza kwa ufugaji wa kondoo

  • @jamesbwigane5858
    @jamesbwigane5858 7 днів тому

    Mm naomba nipate rafiki nje ya nchi hata 1 ili kushea ideas tu

    • @Zuu673
      @Zuu673 6 днів тому

      Muombe Tramp 😂😂😂

    • @jamesbwigane5858
      @jamesbwigane5858 5 днів тому +2

      @@Zuu673 Asante kwa mawazo yako pia ni mazur (tenda unalopenda kutendewa usilopenda usitende kwa mwingine maana Huwa linarudi kama lilivyo)

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 днів тому

    Ni tapeli tu huyu mtu anayesaidia watu uwa hajitangazi ukimsikiliza kama una akili timamu unaona yeye mwenyewe bado anajitafuta, angekuwa amejipata asingeongelea kufungua mgahawa Tanzania 🇹🇿 she is just a small timer, maisha ya ughaibuni umekaa miaka 15 Na una watoto watatu na yalivyo kuwa very expensive utakuwa Na hela ipi ya kujitangaza unasaidia watu hawa Ndio watu wakisaidia watu kadhaa basi dunia nzima inajua ! Watanzania muwe makini na hawa matapeli sio kila mtu anayeishi ughaibuni ni mwema kuna matapeli sana siku hizi muwe makini sana Na wako waongo wengi sana ukute wengine wanaishi kwa social benefits za serikali ila wakiwa mitandaoni wanaongelea mambo makubwa sana waongo waongo

    • @TheStreams-i4s
      @TheStreams-i4s 6 днів тому +2

      Hacha chuki ndio maana kweli kabwera ww. Nini shida zako .

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 6 днів тому

      @ usifikirie watu wote ni wapumbavu kama wewe mpumbavu huyo tapeli eti tajiri anataka kusaidia watanzania si akasaidie ndugu zake masikini wa Burundi 🇧🇮! Watu wenye uwezo wa kusaidia watu uwa hawajitangazi mitandaoni utapeli mtupu ! Watanzania ni watu waelewa Na wajanja Na wengi wetu tumetembea Na wengine wako ughaibuni tunamchora tu anavyodanganya watu Na viikingereza vyake vingi 🤣🤣🤣🤣

    • @AdamSaffi211
      @AdamSaffi211 6 днів тому

      @ Kabwela you are 200 percent. I lived there for 30+ years, the cost of living at the moment is just too much. There are no freebies huko. Maisha ni magumu sana. Hiyo disability ni hao suppliers wa Government NIDS, Google it, the scheme has been reviewed 100 times. Most of the suppliers were rorting the system. Homelessness is a choice? My God wewe dada, go and ask them.

    • @MihayoYombo-d5g
      @MihayoYombo-d5g День тому

      Duuuuuuh Tena . mungu wangu

  • @joackymjackson9144
    @joackymjackson9144 6 днів тому

    How to move from Tz to Australia but i'm arleady educated with bacherol degree in electrical engineering.

    • @CarolyneCollent
      @CarolyneCollent 5 днів тому

      @@joackymjackson9144 Australia hawajali elimu uliyotoka nayo kwenu,kama unataka Kazi ya office ni lazima usome tena, otherwise ufanye Kazi za kawaida wakati unajitafuta na upate working with children check and NDIS certificate ili ufanye baadhi ya Maeneo.I hope nimekusaidia

    • @CarolyneCollent
      @CarolyneCollent 5 днів тому

      @@joackymjackson9144 about moving ni kwamba Australia ni nchi ngumu kupokea wageni but ukiingia kama mwanafunzi ni rahisi Zaidi though utalipa Ada kubwa kuliko wenyeji,hapo ni ujipange au ujaribu karata yako kuapply Visa ya kawaida utafute sababu nzito

    • @witnessIzack
      @witnessIzack 4 дні тому

      Ukifika lazima usome Tena fatilia wengi wakifka wanasoma

  • @CarolyneCollent
    @CarolyneCollent 6 днів тому

    Hello,naishi Australia, Victoria,naomba uniunge na huyo dada tafadhali

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 6 днів тому

      Him yakweli hayo!

    • @CarolyneCollent
      @CarolyneCollent 5 днів тому

      @Mumewangu yes naishi Melbourne,state ni Victoria yeye akiambiwa atapajua ni wapi,namuhitaji kwasababu nataka tuongee kuhusu NDIS (watu wenye uhitaji maalum)

    • @josain8
      @josain8 3 дні тому

      I am in Melbourne too na ni Mtanzania

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 6 днів тому

    Kwani huyo ni mtz. Au. Mnyarwanda watanzania tuwe makini

    • @PatsonPius
      @PatsonPius 6 днів тому

      Akiwa mtz au wa rwanda, anakuathiri nn ww. Na huo umakini unasema tuwe nao katika angle ip??

    • @GanjaAttitude
      @GanjaAttitude 5 днів тому

      acha ujinga.

    • @kazigembeleke5958
      @kazigembeleke5958 4 дні тому

      Umakini wa kivipi​@@GanjaAttitude

  • @ferdinandodanielo1
    @ferdinandodanielo1 5 днів тому

    Racism sio eti inafanyiwa Africans peke yake.kaba zote wanafanyiwa racism.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 днів тому

    Kwani hauwezi kuongea kiswahili str8?

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 7 днів тому

      Str8 ndiyo nini,mimi ni mzee.

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 7 днів тому

    Australia 🇦🇺 hiyo nchi haina hata mpango ni wabaguzi sana ukiwa uko utabaguliwa Hadi ukome , New Zealand 🇳🇿 sio wabaguzi kama Australia 🇦🇺

    • @PatsonPius
      @PatsonPius 6 днів тому

      Nch gan haina ubaguzi??

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 6 днів тому

      @ unaijua Australia 🇦🇺 historia yake na ilivyo sasa usiropoke tu hiyo nchi haina hata maana kwa ubaguzi

    • @PatsonPius
      @PatsonPius 6 днів тому

      @ hata hyo dada hajakanusha kwamba ubaguz haupo. Unachotakiwa kujua hakuna nchi haina ubaguzi, hata hapo tz ubaguz upo sawa kaka.

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 6 днів тому

      @ sasa nimekuuliza unaijua Australia 🇦🇺 unaijua historia yao hujibu unaanza kubwabwaja, Australia ni wabaguzi kupita maelezo kama ulikuwa hujui Na wala huwezi kulinganisha ubaguzi wa nchi zingine !

    • @AdamSaffi211
      @AdamSaffi211 6 днів тому

      I agree with Kabwela. Eti homelessness is a choice? Huyu dada anaishi Australia hipi? It is very sad, she is not telling you the real situation. Is she dreaming! Anawadanganya big time.

  • @ClaraLyimo-g8s
    @ClaraLyimo-g8s 7 днів тому

    Nipe number ya sister huyo kama ana hari yaku push watu kufika kujirafutia huko

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 6 днів тому

      @@ClaraLyimo-g8s tapeli tu mtu anayesaidia watu uwa hajitangazi ukimsikiliza kama una akili timamu unaona yeye mwenyewe anajitafuta, maisha ya ughaibuni umekaa miaka 15 Na una watoto watatu na yalivyo kuwa very expensive utakuwa Na hela ipi ya kujitangaza unasaidia watu hawa Ndio watu wakisaidia watu kadhaa basi dunia nzima inajua !

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 7 днів тому

    huyu si mtoto wa afsa mossi mbunge wa Burundi kubitia chama cha cndd fdd huyu mrundi mamayake aliuwawa

    • @mhogomchungu7882
      @mhogomchungu7882 7 днів тому

      Acha uongo 😂😂

    • @bizomenyimanaelias5455
      @bizomenyimanaelias5455 7 днів тому

      @mhogomchungu7882 wew usibishe huyo mamake anaitwa afsa mossi alikua mbunge wa afrika mashariki katika chama cha cndd fdd tafuta jina afsa mossi youtube ama google utamuona usibishe wanafanana sana

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 7 днів тому

      Hafsa Mossi alishafariki? Alishawahi kuwa BBC swahili reporter pia.