Waandishi wa BBC waingia Goma: Dira ya Dunia TV Jumatatu 03/02/2025
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2025
- Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
#bbcswahili #bbcswahilileo #drc #goma #kinshasa #tshisekedi #kagame
BBC mnatuhabarisha vyema❤❤❤❤❤
Namshukuru sana mwenyezi mungu maana ndoto yangu imeanza kutimia kidogo kidogo ya kuona africa ikiamka nasimamia rasili mali yake kunu faisha bara la africa
Saa chache kivipi nyie BBC hmpendi amani mnajulikana sasa M23 imesharudisha amani na mnaleta uongo wenu na kukatisha maneno ! Social media zote zinaonyesha laia wameshukuru mungu kukombolewa nyie mnaleta propaganda tu
Acha ukuma wewe
Ukweli ni kuwa Rwanda haihusiki na vita hivo. Wanyarwanda tunataka amani kwa kila taifa duniani.
Mnahusika sana tu
Alhamdulillah... tuko salama
Good mchambuzi umewambia waafrika kitu cha maana kama wanabadilika na wabadilike sasa kujipa ga ni muhimu nakujua kujitegemea pia
From Tanzania 🇹🇿
Ooh my God protect goma 🇨🇩
Imesha waprotect nakuwapa M23 we kafutilie vizuli
Waafrika tupendane mungu atusamehe
Tunawaombea Amani Congo🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aminn
Assslaaam alaykuum my brother..odit
InshaAllah mazungumzo yawe yenye kheri na Masikilizano mazuri
❤❤❤❤
Hao wachangaji wa habari tu😮😮
😮❤❤🎉🎉
Masikitiko leo kusikia Rwanda a adhibu Tanzaniya huko kwenye mapambano kongo
Africa watakufa kama kunguni, viongozi wa africa wana nuka ufisadi
BBC ni wanafikisana wapotoshaji wa habali ndiyo manaa wamefukuzwa bukrinafaso
Mtaharam umejibu vizuri tusche kutorosha pesa
Criff 👍
Abasirikali ba congo nakasamutwe
Hizo sirahaa zinazouwa ndugu zetu zinapitia bandari za tanzania na kenya, kwa nini wasizuie zisifike rwanda kwa watusi wa kipumbavu waliolaniwa
Serekal zote lazima ziwe n silaha
Mpaka tutalipiza kisasi kwa Rwanda,wanyarwanda wawe tiyari ikiambacho wametutendea kitawarudia mara tanu
Acha ujinga wewe kwani m23 ikipigania haki yamnyonge Rwanda wapi nawapi ? Mungu haskirizagi maombi yawaovu wewe 😢 hhh
Africa tunamali tunachakula tunamaji mazuri tuna samaki tamu nuta kila kitu ambavyo ulaya hawana ila sasa je tunakunga za marazi wanayotumia kuuwa wa africa ????
Nihatali😢
Congo tumepoteza mama zetu na ndugu zetu.. milioni 3.... yes
Poleni sana tunawaombea from kenya
Watanzania😢
Usiku usiokuwa na usumbufu wa mbu
iv mbona tunasikia asikal wanao pambana na m23 ndo wanatangazwa kufalik ila atusikii waas hawaf?
BBC mbona hamukuenda gaza na lebanoni achani unafiki
BBC..goma nzuri.. m23. Ni wa Congolese
Huyu boya Bora afe tu
Usiku Mwanana
Mbpna tz kutumpa walie da ufanya. Ini was tz m bona makufri Mufa ya iyo mobutj alishndwa Leo Tanzania atawe,a? Tama yasiSa nimbay
Kwani hawa M23 kitu gani wanacjokitaka ? naomba ufafanuzi kidogo
Nawish angekuepo Mwamba JPM niskie kauli zake juu ya jambo hili
Ruwanda haiusiki chochote,raisi wa kongo hajitambui, afukuze hao wazungu wote aone kama vita haitaisha,atanishukuru sana,amuoni mwenzake taraoe . kamfukuza mashoga wote nchi sasa imetulia
sasa ruto alikuwa anaambia rais wa france nini????? kabla waafrika hawajakutana?
Je huyo mukutano wa idjuma na juma mosi utakuwa na faida kweli ????
nawaambia ukweli israeli wamepumzika
Kwiyambura imyenda kbs
BBC..goma nzuri.. m23. Ni wa Congolese point of correction....sio waasi...hao Ni m23 wakomboaji
Wewe BBC muongo
From Tanzania 🇹🇿