Waandishi wa BBC waingia Goma: Dira ya Dunia TV Jumatatu 03/02/2025

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
    #bbcswahili #bbcswahilileo #drc #goma #kinshasa #tshisekedi #kagame

КОМЕНТАРІ • 52

  • @MseyaMayuki
    @MseyaMayuki 4 дні тому +2

    BBC mnatuhabarisha vyema❤❤❤❤❤

  • @CedrickMulamba-lb6sl
    @CedrickMulamba-lb6sl 4 дні тому +2

    Namshukuru sana mwenyezi mungu maana ndoto yangu imeanza kutimia kidogo kidogo ya kuona africa ikiamka nasimamia rasili mali yake kunu faisha bara la africa

  • @cyubahiroclement191
    @cyubahiroclement191 4 дні тому +5

    Saa chache kivipi nyie BBC hmpendi amani mnajulikana sasa M23 imesharudisha amani na mnaleta uongo wenu na kukatisha maneno ! Social media zote zinaonyesha laia wameshukuru mungu kukombolewa nyie mnaleta propaganda tu

  • @ndikubwimanafaustin5549
    @ndikubwimanafaustin5549 4 дні тому +3

    Ukweli ni kuwa Rwanda haihusiki na vita hivo. Wanyarwanda tunataka amani kwa kila taifa duniani.

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому

    Alhamdulillah... tuko salama

  • @ElizabethLinus-d3j
    @ElizabethLinus-d3j 4 дні тому +1

    Good mchambuzi umewambia waafrika kitu cha maana kama wanabadilika na wabadilike sasa kujipa ga ni muhimu nakujua kujitegemea pia

  • @EliudiJastini
    @EliudiJastini 4 дні тому

    From Tanzania 🇹🇿

  • @AlfredMataro-w3q
    @AlfredMataro-w3q 4 дні тому

    Ooh my God protect goma 🇨🇩

  • @FrancisSamweli-nh3uz
    @FrancisSamweli-nh3uz 4 дні тому

    Waafrika tupendane mungu atusamehe

  • @carolinetanui2382
    @carolinetanui2382 3 дні тому +1

    Tunawaombea Amani Congo🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому

    Assslaaam alaykuum my brother..odit

  • @HappynessBahemu
    @HappynessBahemu 3 дні тому

    InshaAllah mazungumzo yawe yenye kheri na Masikilizano mazuri

  • @Bounddeadlasse
    @Bounddeadlasse 4 дні тому

    ❤❤❤❤

  • @CharlesSteven-z8v
    @CharlesSteven-z8v 3 дні тому

    Hao wachangaji wa habari tu😮😮

  • @NyabyendaEthien
    @NyabyendaEthien 4 дні тому

    😮❤❤🎉🎉

  • @abdulngenda6475
    @abdulngenda6475 3 дні тому

    Masikitiko leo kusikia Rwanda a adhibu Tanzaniya huko kwenye mapambano kongo

  • @BenjaNetanyahu
    @BenjaNetanyahu 4 дні тому +1

    Africa watakufa kama kunguni, viongozi wa africa wana nuka ufisadi

  • @ThabiyaNgumbu
    @ThabiyaNgumbu 3 дні тому +1

    BBC ni wanafikisana wapotoshaji wa habali ndiyo manaa wamefukuzwa bukrinafaso

  • @KashumbaMshanzi
    @KashumbaMshanzi 3 дні тому

    Mtaharam umejibu vizuri tusche kutorosha pesa

  • @LucySimba
    @LucySimba 3 дні тому

    Criff 👍

  • @HabimanaJeanpour
    @HabimanaJeanpour 3 дні тому

    Abasirikali ba congo nakasamutwe

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 4 дні тому +1

    Hizo sirahaa zinazouwa ndugu zetu zinapitia bandari za tanzania na kenya, kwa nini wasizuie zisifike rwanda kwa watusi wa kipumbavu waliolaniwa

  • @SalumuSalumu-h8r
    @SalumuSalumu-h8r 4 дні тому +1

    Mpaka tutalipiza kisasi kwa Rwanda,wanyarwanda wawe tiyari ikiambacho wametutendea kitawarudia mara tanu

    • @cyubahiroclement191
      @cyubahiroclement191 3 дні тому

      Acha ujinga wewe kwani m23 ikipigania haki yamnyonge Rwanda wapi nawapi ? Mungu haskirizagi maombi yawaovu wewe 😢 hhh

  • @ALHAMDUAMISSI
    @ALHAMDUAMISSI 3 дні тому

    Africa tunamali tunachakula tunamaji mazuri tuna samaki tamu nuta kila kitu ambavyo ulaya hawana ila sasa je tunakunga za marazi wanayotumia kuuwa wa africa ????

  • @HabimanaJeanpour
    @HabimanaJeanpour 3 дні тому

    Nihatali😢

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому

    Congo tumepoteza mama zetu na ndugu zetu.. milioni 3.... yes

  • @PaulPhilimon-p8z
    @PaulPhilimon-p8z 4 дні тому

    Watanzania😢

  • @JacksonVian-n3l
    @JacksonVian-n3l 3 дні тому

    iv mbona tunasikia asikal wanao pambana na m23 ndo wanatangazwa kufalik ila atusikii waas hawaf?

  • @MarckMasaki
    @MarckMasaki 3 дні тому

    BBC mbona hamukuenda gaza na lebanoni achani unafiki

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому

    BBC..goma nzuri.. m23. Ni wa Congolese

  • @eliabeliud490
    @eliabeliud490 3 дні тому

    Huyu boya Bora afe tu

  • @LucySimba
    @LucySimba 3 дні тому

    Usiku Mwanana

  • @prudencekabemba7879
    @prudencekabemba7879 4 дні тому +1

    Mbpna tz kutumpa walie da ufanya. Ini was tz m bona makufri Mufa ya iyo mobutj alishndwa Leo Tanzania atawe,a? Tama yasiSa nimbay

  • @amirzamir483
    @amirzamir483 3 дні тому

    Kwani hawa M23 kitu gani wanacjokitaka ? naomba ufafanuzi kidogo

  • @unclebk5300
    @unclebk5300 День тому

    Nawish angekuepo Mwamba JPM niskie kauli zake juu ya jambo hili

  • @MarckMasaki
    @MarckMasaki 3 дні тому

    Ruwanda haiusiki chochote,raisi wa kongo hajitambui, afukuze hao wazungu wote aone kama vita haitaisha,atanishukuru sana,amuoni mwenzake taraoe . kamfukuza mashoga wote nchi sasa imetulia

  • @tecnix20169
    @tecnix20169 4 дні тому

    sasa ruto alikuwa anaambia rais wa france nini????? kabla waafrika hawajakutana?

  • @IsmailKashembo
    @IsmailKashembo 4 дні тому

    Je huyo mukutano wa idjuma na juma mosi utakuwa na faida kweli ????

  • @monerexshowz5200
    @monerexshowz5200 3 дні тому

    nawaambia ukweli israeli wamepumzika

  • @HabimanaJeanpour
    @HabimanaJeanpour 3 дні тому

    Kwiyambura imyenda kbs

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому

    BBC..goma nzuri.. m23. Ni wa Congolese point of correction....sio waasi...hao Ni m23 wakomboaji

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому

    Wewe BBC muongo

  • @EliudiJastini
    @EliudiJastini 4 дні тому

    From Tanzania 🇹🇿