Safi sana Trump🎉🎉🎉 Misaada ya nn? Nchi Ina kila kitu bado watu wanatembeza bakuli huku pesa zinaliwa tu , sa tuone ! Nchi za wenzetu wana uzalendo wanajenga nchi kwanza ila sisi wabinafsi . Misaada ndo inafanya wacontrol kila kitu! Rip Magu Hao mashoga ni washenzi waliobadirisha jinsia watajijua wakae ss humo na wanaume
Mtegemea cha mwenzie hufa masikini. Mabakuli ya kuombaomba yaishe na ndio maana wanatuwekea mitego ya vikwazo. Safi na aendelee hivyo hivyo azidi kuwaamsha walio lala!
Mwanadamu aliumbwa kumtegemea Mungu sio mwanadamu mwenzie, Africa na misaada utadhani mmechanjiwa, majitu yanagawa rasilimali kwa wageni kisa tu kuomba, ujinga tu
Umechanganya doctrine , usitafasili maandiko Kwa akili zako na usichukue wazo lako ukalichomeke kwenye maandiko , biblia inakanuni zake za kutafasili zinaitwa Amunetix,
Mm nimfuatiliaji mkubwa sana wa gps ya sns mnapotoa mifano ya nchi za kiafrika ambazo viongoz wake wanaendesha nchi kwa misaada tu mbona hamuitaji Tanzania au viongozi wao hawakosei mana sikuzote mifano yenu kwa Africa ni nchi za wenzenu tu mara Rwanda sijui Uganda mara Uganda hem kuweni wawazi na km hamuwez kutolea mfano Tanzania katika ujinga naudhaifu waviongozi basi acheni na kutolea mifano nchi za wenzenu
Kwenye misaada hapo na jinsi yuko 🆗.....raisi wa 🇧🇫Burkinafaso alisema Africa 2nauwezo wa kuisaidia ulaya huko na mabaramengine..... Akate kila kitu kila mtu afe nachake huko
Ndo tutajua atujui tulichekelea ile khasara ya moto sasa wanatukomeshea kwenye misaada aya kila mtu akalime kwa mashamba ya babu zake tukiumwa tutumie miti shamba heee kimeturamba😂😂😂
mmmh! huo mdomo wako huo! alokwambia HIV inapatika kwa uasherati na zinaa tu ninani?? ukumbuke kuna wanaokipata wanao tangu kuzaliwa, wapo wanao bakwa, ajali na kuambukizwa kwa makusudi so unavyosema hivyo hao nao watasaidiwa je. acha kuongea maneno ambayo kimsingi yanaukakasi kuyasikia kutoka kwa mtu kama ww! ARVs zimesaidia sana kufubaza virus hivyo kupelekea magonjwa nyemelezi kupungua kwa mwathirika, kiasi huwezi leo kumtambua kwa haraka, so kama hivyo ndivyo unaweza Kuta hata famili ama ukoo wako watu muhim wamekwisha kwakua hizo ARV zimeficha Siri na kupunguza vifo. mmmh kazi ipo.
Mataifa makubwa ikiwemo Marekani hazijawahi kutoa misaada kwa nchi zilizoendelea bila ya masharti au kupata wanachokitaka in return. Hii misaada has always been transactional and with restrictions.
😢yani hakuna kupoa tuko na Trump bega kwa bega aendelea kufanya anavyo fanya kazi iendelee kama kawa kata na misaada isiyo na maana wala tija kwa wananchi
Nawaombe kwa Mungu siku moja mpate fursa ya kuchambua hili shirika la WHO tu.ivi mnafikiri haya magonjwa ya ajabu huku africa kusengekuwepo hili shirika la WHO haya magonjwa yangekuwepo?
Kaka sma,nakupataje,?ninashida yamgongo sasa nimiezi sita sasa toka nianze kusumbuka,nilipima na uti wamgongo ukaonekana umenyooka,tafadhali shida yangu ni abc za namna yakufanya,zaidi yayote ninawapata sana
HAPA NAONA KABISA ARV NA DAWA ZA MALARIA ZITAANZA KUUZWA.NI VIZURI WAAFRICA TUJITEGEMEE KULIKO KUSUJUDIANA.KILE CHA SEREKALI KUSEMA INATOA DAWA BURU KWA WAGONJWA WA UKIMWI ACHA TUSUBIRI ITAKUWAJE.
Taifa la usa uchumi umeyumba nadhani wanabana matumizi kujijenga, pia kuhusu chanjo si kila chanja sio sawa kama chanjo itoke kwetu wenyewe sio kuletewa, ngombe kuachia hewa je kwao wanawachoma au kenya tu? Siamini kuhusu chanjo kwamba kila binadamu ana chanjo vipi wa hadzabe? Vipi wale kisiwa cha india ambapo hakuna anaruhusiwa kufika au Amazon forest huko America ya juu ??
Masubi you spoke so eloquently my guy full facts .. I’m impressed my guy . Excellent show big up to you all 🇬🇧👊
I agree
Dj simaa unamadini sanaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🙏maneno ya magufuri yameanza kuonekana tusishi kwa kutegemea Tanzania sio masikini 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤1
Nafurahi sana kumsikiliza masubi , hakika
djsima ❤Mungu awatangulie kila hatuwa inshaallah
Safi sana Trump🎉🎉🎉
Misaada ya nn?
Nchi Ina kila kitu bado watu wanatembeza bakuli huku pesa zinaliwa tu , sa tuone !
Nchi za wenzetu wana uzalendo wanajenga nchi kwanza ila sisi wabinafsi .
Misaada ndo inafanya wacontrol kila kitu!
Rip Magu
Hao mashoga ni washenzi waliobadirisha jinsia watajijua wakae ss humo na wanaume
Masubi upo vizuri mkuu
Hata US wanachukua mikopo China na wanajitegemea kila kitu. Sema mikopo ingetumika vizuri tungefika mbali
@@BigZhumbeSS inaishia kwenye mifuko ya watu
Dj asmaa nakukubali
Sound perfect ❤DJ smaa
Nawakubalisana yani nyinyi mnaakilisana domoklsia niutumwa naniutapeli kabisa ❤❤
Dj smaa hua unaumwa sana pindi unapockia VIONGOZI wa HOVYO wa AFRICA
Mtegemea cha mwenzie hufa masikini. Mabakuli ya kuombaomba yaishe na ndio maana wanatuwekea mitego ya vikwazo. Safi na aendelee hivyo hivyo azidi kuwaamsha walio lala!
MAGUFULIFICATION OF AFRICA 🌍
Mwanadamu aliumbwa kumtegemea Mungu sio mwanadamu mwenzie, Africa na misaada utadhani mmechanjiwa, majitu yanagawa rasilimali kwa wageni kisa tu kuomba, ujinga tu
Umechanganya doctrine , usitafasili maandiko Kwa akili zako na usichukue wazo lako ukalichomeke kwenye maandiko , biblia inakanuni zake za kutafasili zinaitwa Amunetix,
Asiishie kwenye misaada tu afrika mpaka viongozi wa afrika wapigwe marufuku kwenda us
Kabisaaa😂😂🎉🎉
Umetishaaaa
😂😂😂😂😅😅😅 umetisha
naunga mkono hoja
Wallah nitafurai san
Mm nimfuatiliaji mkubwa sana wa gps ya sns mnapotoa mifano ya nchi za kiafrika ambazo viongoz wake wanaendesha nchi kwa misaada tu mbona hamuitaji Tanzania au viongozi wao hawakosei mana sikuzote mifano yenu kwa Africa ni nchi za wenzenu tu mara Rwanda sijui Uganda mara Uganda hem kuweni wawazi na km hamuwez kutolea mfano Tanzania katika ujinga naudhaifu waviongozi basi acheni na kutolea mifano nchi za wenzenu
Wanafikii hawa😂😂😂
Siwanaogopa kutekwa
Utaenda kuwawekea mzamana unazan wahataki wanataka ila nchi zetu ukiwasema kesho utapotea
Hapo Sawa arahan James bright Evelyn 🇧🇮🇿🇲🇿🇦🇹🇿🇹🇿
MNAJUA SANA #GPS
Apa nyumbani USA 🇺🇸 kweli kuna vurugo nyingi sana mzee,
Sema ALLAH tu njo atasaidiya kweli 🙏
Watu wengi walikua wakimchukia magafuli asaivi wanamuelewa halafu ndio hayupo tena baba endelea kupumzika kwa Amani 😢😢
Magufuli alikuwa raisi wa kuigwa
Kabisa
Nawakubali sana wana GPS 🫡
sky we ndio mwenyekit wa uwo mjadala hapo muongoza mjadala wape nafasi mmoja baada ya mwengine ili to avoid confusion wakat tunawasikiliza
Thanks guys......🙌🙌🙌
Dah! Magufuli angekuwepo tunge enjoy. Kama haikuwa mpango wa MUNGU 🙏 bhasi bhana😭
Mmetisha san wa gps
Nimeisubiri kwa muda mrefu sana
Wa kwanza leo,big time sns
Tunashangilia msitu kuungua wakati tumo ndani jamani magonjwa
Self raliance kwa kila nchi ndo suluhusho .. mtegemea cha ndugue hufa maskini
mtegemee ghalama ya maisha kupanda tanzania na bei ya vitu kupanda sababu viongozi watasema marekani imezuia misaada tanzania
Kwani sasaivi sukari shingap kwani marecani walikua awatoi msahada misihada ainafaida yoyote.
Smaa punguza kingereza, hakuna mzungu anakuskia kisa unachanganya na kinge
Akili utakavyoiweka na ndio itakavyokua tu!
Safi Trump
Kwanini Tanzania dj sma asiwe mshauri wa raising?? Jamaa ni jiniaz
Tuko pamoja
Atukome sisi canada hatutaki atwingilie miaka yake 4 tuu aondoke
Kiufipi Dogo kipara smah ni mganga wa kienyeji 😂😂
Hii Ya Ngombe kali saasa😢😢😢😅😅😅😅😅
Maneno kibao simlisemaga marekani hana lolote nyie haya sasa urusi atoe hizo hela pyeeeeee 😩
😂😂😂😂😂😂😂
@ yani kuna watu kuongea tu hakuna wanachokijua kuhusu nchi za Magharibi wamekalia tu kuhate haya sasa urusi atasaidia kila kitu wasiwe nashida
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nilikua na tafuta hii comment
@@Uesilamsiodiniyakweli minakasirika sana, wanaazaje kumuudhi baba wa dunia 😩😥wakati hatujajipata bado
Akili ndogo sana umetumia, how comes uanze kuzungumzia urus aanze kutoa misaada, kwan huwez kuishi bila misaada?
👏👏👏
Pombe maghufuli alikuwa bora Africa
Misaada ikatishwe hapo naunga,kwanza hazitumiki vizuri most of it inaenda mifukoni mwa viongozi,and Africa needs to start putting our houses in order!
Mitano tena ngoja tuangalie maneno ya wanafki
Mmechelewa sana GPS
Sasa we ka ulishawahi kuskia si utulie waachie wenzio ambao wao wanaona imewahi
Alisema Afrika wenyewao wanataka bado watawaliwe tu bado kujiongoza alisema ivyo!
Akili kubwa mno uchambuzi wa leo
Hapo kwenye ngombe sasa😂😂
CANADA KUWA JIMBO LA USA, RAHAAAAA SAAAANA KWANGUUUUU😂😂😂😂
Kwenye misaada hapo na jinsi yuko 🆗.....raisi wa 🇧🇫Burkinafaso alisema Africa 2nauwezo wa kuisaidia ulaya huko na mabaramengine..... Akate kila kitu kila mtu afe nachake huko
Dokt smaa naomba unielekeze dawa ya cholesterol
Ndo tutajua atujui tulichekelea ile khasara ya moto sasa wanatukomeshea kwenye misaada aya kila mtu akalime kwa mashamba ya babu zake tukiumwa tutumie miti shamba heee kimeturamba😂😂😂
DRC
Ardhi yenye rutba tunayo, watu wa kutumika wapo. Viongozi wengi wa Afrika hawana dhamila ya dhati ya kutafuta mabadiliko.
Hapo kwenye jinsia kupo poa hapo
Canada ni tajiri kuliko marekeni Canada tunamafuta na tunawapa umeme marekani
Sky Kongo vp gps
Watanzania na kuita watu haramu 😢
Arv zikiadimika vifo vitaongezeka,maambukiz yataongezeka apo mungu ajalie viongoz wazalendo Africa
Ndo watu tiache zinaa na uashetati
Laa sivyo ni kufaa tu
mmmh! huo mdomo wako huo! alokwambia HIV inapatika kwa uasherati na zinaa tu ninani?? ukumbuke kuna wanaokipata wanao tangu kuzaliwa, wapo wanao bakwa, ajali na kuambukizwa kwa makusudi so unavyosema hivyo hao nao watasaidiwa je. acha kuongea maneno ambayo kimsingi yanaukakasi kuyasikia kutoka kwa mtu kama ww! ARVs zimesaidia sana kufubaza virus hivyo kupelekea magonjwa nyemelezi kupungua kwa mwathirika, kiasi huwezi leo kumtambua kwa haraka, so kama hivyo ndivyo unaweza Kuta hata famili ama ukoo wako watu muhim wamekwisha kwakua hizo ARV zimeficha Siri na kupunguza vifo. mmmh kazi ipo.
Aliesema HATUWEZI BILA KUKOPA SAS JIBU LIMEKUJA KWA VITENDO KUWA ALIKUWA ANATOA KAULI YA KIJINGAAA ,
Uyo anatumia dawa za wagsnga wa kienYeji
Nan tena
Jmn
Iyo kiukweli kuomba omba ni upotofu wa Akili tu!
Mataifa makubwa ikiwemo Marekani hazijawahi kutoa misaada kwa nchi zilizoendelea bila ya masharti au kupata wanachokitaka in return. Hii misaada has always been transactional and with restrictions.
VIONGOZI WA AFRICA WAENDE WAKAMUULIZE IBRAHIMU TRAORE
YEYE AMEWEZAJE KUIJENGA BUKINAFASO BILA YA MISAADA WALA MIKOPO YA WAZUNGU
Trump kazini...huu upuuzi wa omba omba ya viongozi wa Africa uishe... halafu huu upuuzi wa LGBTQ umalizwe kabisa
Hakuna kitu hapo kama huna uwezo huna tu wezetu wanaamuka asbh wanawaza nini wafanye Ila RUSHWA adui wa haki
❤
✌️
Ngoja niwasanue, usitishaji wa hiyo misada in next 1 year itasabisha vifo vingi sana, hadi watoto wenu hapo
Kwanini watoto wafe kunanini??
Na mjinga wako Ruto mwenye ulisema ni mzuri anatulazimisha hiyo chanjo ya ngombe
Sky kongo hali ni mbaya yani wengine nì viĵana wadogo kuna video hapa nimekuta sehemu
Haki ya kuzaliwa isipopitishwa marekani... Trump ajiandae kuliingiza taifa kwenye vita ya wao kwa wao
😅😅😅😅😅 sio kweli wewe
Ile sio Africa wewe 😂😂😂😂😊
Si mlikuwa mnasema hamtaki misaada kutoka Marekani. MaRange yatapungua sana mitaani😆
😢yani hakuna kupoa tuko na Trump bega kwa bega aendelea kufanya anavyo fanya kazi iendelee kama kawa kata na misaada isiyo na maana wala tija kwa wananchi
Dj Asma ni mkono birika, skiza maelezo yake kuhusu dawa ya anazozitumia.
Mtachagua wenyewe kuendelea kununua V8 au kujenga nchi
Najiuliza kuhusu jinsia atakomea marekani tu? Mana pale kwenye ki nchi Chao ndio kumeoza
GPS kama kawa kama kawaidazziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nawaombe kwa Mungu siku moja mpate fursa ya kuchambua hili shirika la WHO tu.ivi mnafikiri haya magonjwa ya ajabu huku africa kusengekuwepo hili shirika la WHO haya magonjwa yangekuwepo?
Dunia tunaelèkea wapi
Hii mijitu kwani walio badilisha jinsia nani waache wakae kama Mungu alivyo waumba
Canada waanze kufanya biashara na urus na china
Trump ni mwamba hakuna ushoga hakuna Who
America wameona wanaanguka kiuchumi ni swala la mda tu
Mbona hajajikita Gaza kuhus kuwachiwa mateka
Sikiliza Gps iliyotangulia vipande vipo vingi usianze kulaumu
Canada ni nchi ya wageni, yan ni watu mataifa mbali mbali ndo waalilijenga iloo taifaa
Kaka sma,nakupataje,?ninashida yamgongo sasa nimiezi sita sasa toka nianze kusumbuka,nilipima na uti wamgongo ukaonekana umenyooka,tafadhali shida yangu ni abc za namna yakufanya,zaidi yayote ninawapata sana
TUPO PAMOJA GPS
Magufuli alishatuwasa kuusu misada nikundeleza umasikini
HAPA NAONA KABISA ARV NA DAWA ZA MALARIA ZITAANZA KUUZWA.NI VIZURI WAAFRICA TUJITEGEMEE KULIKO KUSUJUDIANA.KILE CHA SEREKALI KUSEMA INATOA DAWA BURU KWA WAGONJWA WA UKIMWI ACHA TUSUBIRI ITAKUWAJE.
Wacheni wahangaike hao ni washenzi tu
uongo uo..jinsia ni 2??
Djsma mtuwazandan kabisa
TRUMP SIMPENDI NATAMANI ATA AFE LEO
Shida ya nchi za kiafrica kuwa ombaomba sio wazungu ninufisadi wao uchu wa madaraka na rushwa
Tuliompenda trump Sasa risasi zinaturudiaaa ilaa viva trump ingawa tunaumia
Simaa namba nabayako
DJ sma natamani kujua sababu za wewe kuvaa cheni yenye ramani ya ISRAEL/PALESTINE.
Trampu ni mchawi kama wachawi wengne wa apabongo
Taifa la usa uchumi umeyumba nadhani wanabana matumizi kujijenga, pia kuhusu chanjo si kila chanja sio sawa kama chanjo itoke kwetu wenyewe sio kuletewa, ngombe kuachia hewa je kwao wanawachoma au kenya tu? Siamini kuhusu chanjo kwamba kila binadamu ana chanjo vipi wa hadzabe? Vipi wale kisiwa cha india ambapo hakuna anaruhusiwa kufika au Amazon forest huko America ya juu ??
Trump kasema hawatambui mashoga mbona hamuongei