Mm namuelewa sana uyu dudu baya...kusema za ukwel mnaona ni kama anasema vibaya lakn ni kweli baba ata akutelekeze akukane sie sisi watt hatuna haki ya kumlipa ubaya sisi tutende wema kwa wazazi wetu wawiili haijalishi nini wametufanyia tuwaachie MUNGU watapata hukumu yao wanaostahili
Mbona na wewe unamtaja mama Ulivyo umwa ulienda kwa mama mbona humtaji baba? Mara mama yangu mzazi alisema mbona Kutwaa mama humtaji babaa Litoto la mama lina wasema wenzake fyuuu
Ukisema hivyo unakosea sana,kwasababu kuna watoto mayatima baba zao walifariki na hawakupenda kutokuwa na malezi ya baba zao, lakini yote hayo ni mipango ya Mungu, Na mbona kuna watoto waliolelewa na baba zao na wameharibika?
Mayatima ni tofauti na watoto waliolelewa na mama ambae ndie mwenye sauti juu ya mme wake ata kama wapo kwenye ndoa bado lakini mama akishamzidi baba kauri hao watoto watakuwa jipu tayal fuatilia ata mtaani kwenu utaona
Unakosea ww dudu kwakusema watoto waliolelewa na mama ni matahahiri..tumia hekima unapoongea...wababa wengi wamekuwa wanakimbia hme kwa kukwepa majumu..acha kuwatukana wa mama..bila mama wewe huwezo wakuja duniani
Ww Dudubaya tutake radhi weng hatujalelewa na baba sio kwa kupenda inatokea tuu mis understand,,je ww umemlea mtt wako na je Diamond na ww n nan taira Maana ww ulichezea wakat wako na ss wakat wako umeisha je ww ulichezea wakat wako na yy mwenye mafanikio n nan taira,,emb tutake radhi kwanz
Msengewee huna akili maisha yamekupiga umebaki nawivu tu njaa inakusumbua na mawazo yako yakimaskini wewe ulie lelewa na baba unanini au pombe na bangi ndio malezi ya baba yako mbwawe
Siyo kweli ukweli haumi ata kidog uhongo ndiy unaumwa mim kama mimi ukweli hauniumi ata kidg ila uhongo mim naumia sana mtu kunisingizia uhongo bora ukweli najua nitakataa ila moyon nasem kweli nishafany atasiumii simafany kweli mim jaman hii methali hii naikataa ukweli unaum siyo kweli😂😂
Uko sawa kabisa Dudu baya wanawake wengi wanacomment matusi juu yako lakini kiukweli uko sahihi kabisa na Mimi nakuelewa saana
Aliemzaa Dudubaya (mamba) mungu anamuona kwakweli 🤣🤣
Dudu Allah akuongoze Muslim madam unaamin Muhammad na issa bin Maryam yaani yesu umebakisha shahada tu ndugu yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊
Huyu atakufa kwa pombe apunguze😢
Yan shida ya wabongo ukwel hawautaki wanataka uongooo
Wewe dudu kuwa na adabu ya mdomo sisi wenyewe tumelea vijana we2 bila babazao ni marehem na leo hii vijanawe2 wamesimama xhindwa wewe pepo
Naona na wewe unataka kupididiwa kama mond
Huyu haongelei wajane anaongelea single mothers
Baba wengi wanakwepa majukum usituchanganye
Mm namuelewa sana uyu dudu baya...kusema za ukwel mnaona ni kama anasema vibaya lakn ni kweli baba ata akutelekeze akukane sie sisi watt hatuna haki ya kumlipa ubaya sisi tutende wema kwa wazazi wetu wawiili haijalishi nini wametufanyia tuwaachie MUNGU watapata hukumu yao wanaostahili
Malaya inawauma lakini ndio ukweli. Baba ni kiungo muhimu sana.
Dudu Baya huo ni ukweli kabisaa mimi nko Kenya na habari hizo ni za ukweli
Jibu kama mtoto ulielelewa na bimkubwa 🤣🤣
True dudubaya we love u +254
Dudu baya anasema kweli
Dudubaya oil chafu😂
Huyu hajuiagi kunyamaza yaani na mpenda kwa ukweli wake wallahi yeye na ney wa mitego more fire 😂😂😂😂😂😂
Ungeandamana na Ricado Momo nawe Dudu baya 😂😂😂
Mwenyezi mungu akujaalie uslimu
Mjinga aslimu aje kw mapepo
Mpepo yako kanisani na yanaamoni Yesu ni mtoto wa Mungu.@@DaudiMakaza MARKO 3:11
Kaka unau baguzi umemtaja yesu ume mtaja mtume hongela mungu akuta ngulie
Usihukumu usije ukahukumiwa Mungu TU anajua!
Jaman! Sielewi mala Yesu mala Mohamed mhuu!
Aise we jamaa uko sawa kabisa
Sasa mbona haukimbilia kwa baba yako ulipo ugua, ukakimbilia kwa mama yako Kisesa.
😂😂😂
Watu bhana wanamponda wakati anasema kweli? Mashoga ni wengi wcb
SIYO WOTE BWANAA. KUNA WATOTO WAMELELEWA NA MAMA ZAO NA WAMEFANYA VIZURI KULIKO HAO WENYE MABABA. LABDA WALE WENYE MAMA WA HOVYO.
wewe ndio konki master
Hivi wile ulimlea vizuri na Mpaka sasa ana elimu kiasi gani na Anamiliki nini hapa Mjini. Au bange na uchokolaa
Wewe ni Nouma xn wile namjua vzr xn kiukweri hakupata malezi yyte ya baba yake alikuwa anakaa bunju a shule
Niko Kenya na hayo mambo Ni ukweli kabisa
Kuwa kenya c sababu uliona?
Baba c Mwenyezi Mungu umekosea
Dudu baya ujengewe sanam
Kila binaadam tujue na mitihani yake duniani na huwezi binaadam kumuhukumu binaadam mwenziwe hicho kitu tumuachie mwenyewe Allah.
Nina mashaka na wew
Kwahio hakuna haja ya kua na mahakama? Na hukuna umuhimu Wa kumtenga mtu kanisani
?
Ukiwa shoga una ukumiwa at ww kama una tamaa mabasha wapoo
Wewe ni mpumbavu.
Naona Mamba kashachachuka kichwani tayari K-Vant imeshahusika.
Upo vzr mkuu mkwel sana🙌🙌
Ila kweli watoto weng ambao wamelelewa na mama hawana maadili mazur....nimeshihudia wengi...
Nyie hata mtukane dudu baya nd kashapigilia msumali😅
Ndiii haogopi wala nini yuko more fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 yaani huyu na magufuli wako njia moja
Mbona na wewe unamtaja mama Ulivyo umwa ulienda kwa mama mbona humtaji baba? Mara mama yangu mzazi alisema mbona Kutwaa mama humtaji babaa Litoto la mama lina wasema wenzake fyuuu
Dudu upo vixuri wasiotaka kukuelewa ni wale ambao unawagusa
Dudu baya....Siri za ndaniii......roho mbaya
Uko shaidi mwongo mama anaingiyaje?ukomwongo unanja ivi wewatotowako niwatakatifu😝😝towa sauti zacura nadevukama kambare imekosatope
Yesu je kalelewa na baba
Ndio ....yosefu
Every fact
Konki dudu baya umenyooka kaka wapeukweli watagongwa mpaka wakimbie
Mbona hata yesu unae muamin kama Mungu wako piah nayeye amelelewa na mama yake kwahy nayeye nitahila
Hata Didi yasemekana kashawahi kufanya mapenzi na Mamake
Wew matako kweli kwaiyo Kam bab zao wamekufa walelewe na matako Yako wew mwenyew umelelewa na baba Yako taila namb Moja likone msura wake kama sokwe
Dudu mbona hukusema kipindi hiko unayasema leo
Huo uongo kwa hiyo wote ambao hawajalielewa na baba ni Taila tena koma maana nyie ndo mnaotelekeza watoto ushindwe
Ukisema hivyo unakosea sana,kwasababu kuna watoto mayatima baba zao walifariki na hawakupenda kutokuwa na malezi ya baba zao, lakini yote hayo ni mipango ya Mungu, Na mbona kuna watoto waliolelewa na baba zao na wameharibika?
Kasome mithali utajua kamaanisha nn
Tatizo hamujamfahamu dudu baya yy kakusudia watoto wanao wakataa baba zao na kuwapa mama kipaumbele ndio kitu alichokusudia
Mayatima ni tofauti na watoto waliolelewa na mama ambae ndie mwenye sauti juu ya mme wake ata kama wapo kwenye ndoa bado lakini mama akishamzidi baba kauri hao watoto watakuwa jipu tayal fuatilia ata mtaani kwenu utaona
Wewe MWENYEWE ulivo na Tabia za ajabu unaonekana tu ni mzigo kwa mamaako
Watanzania Hamna KAZI ukiishiwa inaanza kulalama
Mkikosa content mnatafuta weu awa acheni izoo
Dudu mcktn ni uwongo labda ututajie mcktn 1 tu ili nithbtishie?km ni knisn mwfnya huo uchf sw,
DUDU W UMENYOOKA XN BRO
KIUKWER WANAUME W KWER KABISA AWADUM URAFIKI N DAIMOND UKWER N HUO
Unakosea ww dudu kwakusema watoto waliolelewa na mama ni matahahiri..tumia hekima unapoongea...wababa wengi wamekuwa wanakimbia hme kwa kukwepa majumu..acha kuwatukana wa mama..bila mama wewe huwezo wakuja duniani
😂😂😂ukweli unauma
Kweli ukweli unauma
Yupo true uyu jamaa..
Yeyemwenye atumuherew USO wake you unakujib asijifanye mwema uhokov leo
Ndudu mbaya hauezi mix Muhammad na yesu Christu,,tangaza msimamo
Kuna kitu kimoja hamjakielewa khusu dudubaya,,This man is suffering from mental illness and depression. MKIGUNDUA HILO WALA HAMUWEZI MCHUKIA DUDUBAYA.
Hili pumbavu sana. Mdomo mchafu kama mavi
Ww Dudubaya tutake radhi weng hatujalelewa na baba sio kwa kupenda inatokea tuu mis understand,,je ww umemlea mtt wako na je Diamond na ww n nan taira Maana ww ulichezea wakat wako na ss wakat wako umeisha je ww ulichezea wakat wako na yy mwenye mafanikio n nan taira,,emb tutake radhi kwanz
Dudubaya.umesimama.kwenye.ukweli.lizikizazawatotozipo.kwa.baba
Dudubayanimekujatena.nakukubali
Hivi dudu umepiga gongo au kick tu?
Juma lokole ni
Ka left GROUP ..hilo mulize Dotto magari
Mrongo dudu baya wivu
Dudu baya sio mtu wa kumuambia siri zako hana kifua
😂😂😂😂
, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu rafiki anakunywa gongo ?
ZlLE CHAIN NYINGI NYINGI NI ZA MAAGANO
Msengewee huna akili maisha yamekupiga umebaki nawivu tu njaa inakusumbua na mawazo yako yakimaskini wewe ulie lelewa na baba unanini au pombe na bangi ndio malezi ya baba yako mbwawe
Diamond alidungwa mkoko
Wew dawa yako ni chidbenz
Mpe vidonge
amini mwamba tupi pamoja
Mbafu hilo limefeli
Umasikini mbaya sana kwakwel
Kwan anakula kwako
😂😂msukuma usiekua ata nang'ombe ata2 unashida naulivyo choka mond akupeata ela ukanyoe saloon
😂😂😂😂😂😂
P DIDDY kamzamishia kichwa Simba 😂😂
Kwer vjn weng wanaosemaga mama zao ndiokilakitu weng n machoko nakazalika
Diamond,ni mtu mzima aliyefunzwa kwa maadili ya kitanzania, hakuna kitu kama hicho , Tunamwamini Diamond
Maadili ya kitanzania ni ipi wakati ulimwengu umechafuka ukitafuta umaarufu lazima upakwe mafuta😂😂😂
Wivu
Hahaaaaa
Siyo kweli ukweli haumi ata kidog uhongo ndiy unaumwa mim kama mimi ukweli hauniumi ata kidg ila uhongo mim naumia sana mtu kunisingizia uhongo bora ukweli najua nitakataa ila moyon nasem kweli nishafany atasiumii simafany kweli mim jaman hii methali hii naikataa ukweli unaum siyo kweli😂😂