Mh spika nilikuwa nakupenda Sana ila kwahili umeliamua tofauti namatarajio ya wananchi walio wengi hatamm badala yakushuhuka na mtuhumiwa unamshuhulikia mtuhumu kweli mwogope mungu.
Mbunge mpina ni mbunge safi na anafaa sana. Ni mbunge wa watu na anajitambua. Spika ni chawa wa mfumo wa wizidemokrasia (kleptocrasy) ambao ndo mfumo wa chama tawala ambao hauwajali wananchi bali matumbo yao. Hongera sana mbunge Mpina. Usiogope uko na mungu maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu !
Mbunge Mpina ni mmoja wa mashujaa nchini Tanzania. Na wapo wengine wengi wenye damu ya( MWENDAZAKE ) JPM{MZALENDO NAMBA MOJA} Unaweza ukachafuka happy(KUSADIKIKA). Ila bado unahitajika na kizazi hiki. Una nafasi yakuwakilisha wananchi nje ya KUSADIKIKA. Na Mungu akulinde.
MH. SPIKA TULIA AMEKOSA HEKIMA NA BUSARA KATIKA KUSHUGHULIKIA SUALA NYETI LA SUKARI KITAIFA....MH. SPIKA TUNAKWAMBIA...WATANZANIA SIO WAJINGA....MH. SPIKA UMETUMIKA NA GENGE LA MAFISADI NDANI YA SERIKALI NA CCM....HUFAI KUWA SPIKA!
Umesema kweli ndugu yangu: Huyo mama anatumika vibaya kuzima hoja za msingi kwa kutumia cheo alichonacho, vikao vya bunge viko live.. tunaona/tunasikia alichokisema kingetakiwa kitolewe majibu tusikie na tuone! Sasa mhe Mpina anatuhumiwa kwa lipi ambalo lilipelekea kutolewa bungeni wakati hata sisi tulikuwa tukisubiri kusikia utetezi wa waziri husika... Mmh! TULIA kumbuka cheo ni dhamana leo upo kesho nawe utakuwa uraiani utauona moto tunao upitia! Ni sawa... una pensheni nzuri, lakini ni vyema ukaila kwa baraka kuliko kuila kwa laana mama!
1.Waziri Bashe ajibu hoja 2.Spika aonyesha udhaifu kwa kutumia Nafasi yake 3. Kama Tulia anamlinda Bashe na wengine, Niwaombe Wananchi wapaze sauti kuwalinda Wakina Mpina.
Nimependa alivyokuja kwa wananchi kueleza alichowasilisha kwa spika… maana angeliwasilisha na kukaa kimya spika Kama si kuikalia report angelichakachua Mpina ame out smart ‘Bunge la Mafisadi’
Tatizo kubwa la viongozi wetu hasa wabunge ni waongo na kutaka kulindana! Hasa ukiwa CCM hawataki useme ukweli na ndio yanayosababisha maisha kuwa magumu kwa wananchi na isitoshe kuendeleza Wizi wa fedha za umma! Hivi Kuna SIRI gani inafichwa hapo wakati tatizo la Sukari linaeleweka!!
WANANCHI WA KISESA WAMENYIMWA HAKI YAO WAMEFUNGIWA NJE YA BUNGE KWA MWAKILISHI WAO KUFUNGIWA VIKAO 15 ! Kwani mbunge si wa wananchi kwa nini asiongee na press ili wanachi tusijue tuhuma za waziri?
Wabunge walioko Bungeni hatukuwachagua ndiyo sababu wako kwa maslahi yao inapotokea Mbunge wa aina ya Mpina kusimama upande wa Wana wa Nchi waliowachagua inakuwa mbaya tuwe nyuma ya Mpina kuwa kuwa mkweli ni dhambi kwa Bunge hili hatufiki mbali
Dada yangu spika wa bunge na bunge hapo mmeteleza kumfungia mbunge mpina. Mnge Anza kwanza kumshughulikia waziri wa kilimo. Bunge ni la Wananchi Kwa hiyo msijisahau mkadhani bunge ni la wabunge. ..
Mungu ni mwema jamani penye mbaya wako hapakosi mwema wako. Mpinda yupo sahihi machawa mumetapikwa sasa subirini 2025 muwe OUT OUT OUT maharage ni mboga. Mtakuja taratibu tu
Wananchi wa jimbo husika mliompa kura Mpina msikae kimya,mteteeni mbunge wenu aondolewe kitanzi na huyu Spika mbunge wa kupewa tu huko Mbeya pazeni sauti mpaka mikoani tusikie na sisi tushambulie hili bunge la Tulia na ccm....
Mimi namshangaa spika Tuliaa.yaani hajui msukuma na mnyakyusa.ni ndugu..eti ananbeba msomali,,how comes,,. Au Tulia Ana pasent kwenye biashara ya sukari. ?yutaendelea k kupigwa Hadi lini jamani?
NINAVYOWQJUA CCM HII ISHU. YA NDUGAI INAMFUKUZISHA CCM CCM HAWATAKAGI WATU WANAOWATETEA WANANCHI WAO WANAJIONA WAMESHATUWINI WANATUTESA TUPO KIKIMYA SASA WAKITOKEA WATU KAMA KINA MPINA WANAOSEMA UKWELI WANAWATOA FASTA MPINA HABAKI CCM
Upo sawa nabii wa MUNGU. Spika amedhihirisha kwamba Bashe ni waziri mwizi.yaonyesha spika kachoka kichwani,Sheria zenyewe wamezisoma namna Gani ,eti ni dokta wa Sheria,anashindwa kuamua kesi iliyo wazi kabisa ya kuamriwa na darasa la Saba.spika hujadharauriwa hata kidogo,bali anakusaidia vema kabisa kama wewe ni Dada mzalendo kweli kweli na kiongozi wa Bunge.upo karibu na MUNGU ,ogopa..kwani hujui saa Wala siku.
Mpina yuko sawa mawaziri wanaodanganya bunge ni wengi hata kwenye Afya wanadanganya wanasema bungeni watoto chini ya miaka mitano awastaili kulipa garama za matibabu mbona tunatozwa malaki kama vile atuna wabunge.
Kila chombo kina kanuni na sheria zake kwanza hilo lieleweke.Lakini namuunga mkono kubwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake na maono pamoja na ukweli, kwa njia isiyovunja sheria hivi mbunge huyu walitegemea aseme wapi, na kama ni tuhuma walitaka anyamaze.ikumbukwe bunge lenyewe lina mambo mengi yanaibuliwa hakuna lolote linalofanyika zaidi kuwa ni kama wananchi nchi hii inavyofanyiwa maovu na watendaji wanaolindwa na mifumo ya mamlaka
Husikii taarifa kwa wanaosifia serikali lakini anayewakosoa na kutetea wananchi taarifa zinakuwa nyingi ili kumalizia mda wake na asisikike kabisa mwishowe mda wake huisha Hakika Hii CCM tumewachoka jamani sijui tutapata lini katiba mpya tunashukuru mungu awalinde maaskofu mliosimama kuitetea ukweli na haki Duniani
Spika wabunge iposiku utakufa nautaacha kila ulichonacho naukumbuke kunamwananchi hata Kula Yake yasiku Hana ilanyinyi wabunge mmejipangia mishahara mkubwa wala haikatwi Kodi nabado mwananchi huyohuyo mnamkandamiza Kodi,tozo zakila Aina mnazidi kufanya CCM watu waichukie.
Bunge la sasa lipo kwa maslahi binafsi na serikali si kwa niaba ya wananchi, ndio maana bunge linapo ilekeza serikali ili ichukue hatua hakuna utekulezaji, mfano: waliotajwa na cag wachukuliwe hatua hakuna hata mmoja walie wajibishwa lea MwakaP wa 3hakuna waliowajibishwa, mmna yake muhimili ni mmojatu wala sio 3 kama wanavotudanganya
Mimi naona spika amefanya jambo zuri. Kamati ya maadili ndio utaangalia kama Mpina amekosea au hajakosea na kuchukua hatua. Wabunge walioko kwenye kamati ni wasomi wanaozijua sheria vizuri. Spika wa bunge ni msomi wa sheria aliyebobea, anajua kama sheria zinavunjwa ama la. Kama tuhuma anazotoa ni za kweli na ushahidi umethitishwa hawezi kuchukuliwa hatua zozote. Kama anatoa tuhuma kwa nia ya kuwapaka matope wengine ni halali kabisa aadhibiwe.
Tukishindwa kuonesha haki ya mpina, anaeonekana kufinywa kiaina,basi hata katiba haina maana kudaiwa; tuanze sasa maana tunaitaka katiba mpya ili iondoe ujanja janja waliouzoea!
Spika Tulia na genge lake wanaihujumu nchi. Mtu anafanya ufisadi halafu anaadhibiwa aliyefichua ufisadi? Waziri bashe ajiudhuru na hayo marelebisho ya sheria kuwapa loop hole ya wizi mafisadi isitishwe
Watanzania wengi ni nyumbu. Hata mimi mkinichagua kwenda bungeni nitakuwa napiga meza kwa nguvu sana mradi zipate posho yangu. Awamu inayofuata mtanichagua tena mradi niwe fisiemu.
Kwa hili ambalo liko wazi na linaloumiza watu kila Leo, Tuko na MPINA 💯 Waliomwita kamati kwa jambo hili naona wazi wanawaona Watanzania wote wajinga na hawana haki yeyote katika Taifa Lao. Huu ni wakati wa Mungu na yote yaliyo sirini yataibuka kwa kasi na Yao yanakuja ndiyo maana wanajihami kwa lililoanza. Wamechelewa 😁😁😁😁😁
Hivi watanzania mbona siwaelewi mpina anayetetea watu wanapandisha bei sukari kila mwaka kuweni historia maana viwanda vyetu kila kipindi wanaficha sukari hata kile kundi cha makufuli misingi mkono hivi viwanda vyetu wahizi siyo bashe mpina kaongwa awatetee
Tulishasahau mambo haya sasa yameanza na yataendelea tu. Mambo yahusuyo fedha huimarisha upinzani sana. 2010 na 2015 mambo ya fedha yalitutikisa sana. ila Mungu ni mwems sana atakuja mwingine tutalimia MENO
Mzee.umeongea vzr lkn umekosea kumjulisha luhaga mpina na hao wabunge wawili sio wazalendo kabisaaa kama mpina. Labda umewaongelea kwa maslahi yao au wamekutuma au labda.hufanyi utafiti.msukuma ni kigeu geu.mfano mmja.kama unakumbuka ndugai alisema wazi kua raisi anauza nchi kwa mikopo.lkn msukuma alimshambulia sana ndugai na alimtisha kua ajiuzuru haraka kabla hawajamwajibisha bungeni.lkn pia alizunguka baadhi ya mikoa kupiga kampeni kuuzwa bandari.hiyo ni mifano midogo tu.mbuge wa kweli ni mpina.japo unamtaja msukuma kwa kurudia rudia badala ya shujaa mpina.hapo umepoteza pointi
Gwajima na Msukuma nao wamo ??, Hapo umeongea kwa maslahi yako na wao. kukutuhumu kuwa umehongwa fedha za wavuja jasho kutoka kwa watu hao wawili sijakosea. Nchi inaliwa bila kunawa na walio madarakani. serikali imefika mahala inakiri kuwa Watanzania hatuwezi, tukakodi wanaoweza nje ya nchi. Nyerere, karume na wananchi waliopigania tujitawale, walifanya makosa makubwa? Ni unafiki kusherekea uhuru wa Tanganyika na mapinduzi ya zanzibar
Tokeni zenu hapa kwani hana Chama?? Mhe Ana Chama na wana utaratibu wao, kila siku kuleta taharuki kwenye jamii, Janja yenu mbona inajulikana, acheni haya maujinga , eti wananchi ? wa wapi? Mbeya au Shinyanga?
@@maliakishaushi9089kwa nini TBC waluondoa matangzo wakati wa kujmalizia mjadala kumsimamisha Mpina? TBC ni kwa maslahi ta wananchi wa kawaida au watawala? TBC itaacha lini kuwa chimbo cha Propaganda za watawala? Aibu!
Ndugai aliondolewa kibabe ili spika awekwe mwanamke,magufuli pia kaondolewa kwa lazima ila mwanamke aturawale. Hawa wanawake wanapata wapi jeuri hizi?!
Mh spika nilikuwa nakupenda Sana ila kwahili umeliamua tofauti namatarajio ya wananchi walio wengi hatamm badala yakushuhuka na mtuhumiwa unamshuhulikia mtuhumu kweli mwogope mungu.
Mbunge mpina ni mbunge safi na anafaa sana. Ni mbunge wa watu na anajitambua.
Spika ni chawa wa mfumo wa wizidemokrasia (kleptocrasy) ambao ndo mfumo wa chama tawala ambao hauwajali wananchi bali matumbo yao.
Hongera sana mbunge Mpina. Usiogope uko na mungu maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu !
Mbunge Mpina ni mmoja wa mashujaa nchini Tanzania. Na wapo wengine wengi wenye damu ya( MWENDAZAKE ) JPM{MZALENDO NAMBA MOJA} Unaweza ukachafuka happy(KUSADIKIKA). Ila bado unahitajika na kizazi hiki. Una nafasi yakuwakilisha wananchi nje ya KUSADIKIKA. Na Mungu akulinde.
BUNGE DHAIFU CHINI YA SPIKA DHAIFU....NA LINAONGOZA SERIKALI DHAIFU.
Msomali Bashe ni mwizi analindwa na spiker
Mpina ndio mbunge pekee anatetea wananchi viongozi wetu wana harufu ya rushwa tuou
MH. SPIKA TULIA AMEKOSA HEKIMA NA BUSARA KATIKA KUSHUGHULIKIA SUALA NYETI LA SUKARI KITAIFA....MH. SPIKA TUNAKWAMBIA...WATANZANIA SIO WAJINGA....MH. SPIKA UMETUMIKA NA GENGE LA MAFISADI NDANI YA SERIKALI NA CCM....HUFAI KUWA SPIKA!
Ni bunge la kidicteta. Uko maisho wenu
Tulia kumbuka kunamaisha baadaya hapo inaonyesha kabisa kuwa umetumika
watanzania sisi tu ashida sitaki kusema ss niwajinga lkn check Kenya hapo
Umesema kweli ndugu yangu: Huyo mama anatumika vibaya kuzima hoja za msingi kwa kutumia cheo alichonacho, vikao vya bunge viko live.. tunaona/tunasikia alichokisema kingetakiwa kitolewe majibu tusikie na tuone! Sasa mhe Mpina anatuhumiwa kwa lipi ambalo lilipelekea kutolewa bungeni wakati hata sisi tulikuwa tukisubiri kusikia utetezi wa waziri husika... Mmh! TULIA kumbuka cheo ni dhamana leo upo kesho nawe utakuwa uraiani utauona moto tunao upitia! Ni sawa... una pensheni nzuri, lakini ni vyema ukaila kwa baraka kuliko kuila kwa laana mama!
@@bakarimmbaga2344 ✔️
Mpina yupo sahihi.... Kwahiyo muda utasema tu
1.Waziri Bashe ajibu hoja
2.Spika aonyesha udhaifu kwa kutumia Nafasi yake
3. Kama Tulia anamlinda Bashe na wengine, Niwaombe Wananchi wapaze sauti kuwalinda Wakina Mpina.
Yani baba nakupata sana!
Kamua vidonge vya kutosha, wakimeza,wakitema shauri yao!
Tulia, hatakama ni mshilika wetu rudisha hofuya Mungu Mpina amesaidia Inchi najua Mungu atamttea, hatamkimhukum
Wananchi tusiongee tu kwenye mitandao,tuungane na mpina.akiondolewa tuandamane tuitoe fisiem madarakani.kwa uchaguzi hawa ni wezi wote wanasaidiana
Nimekuelewa!
Kilichowauma ni kwa nini kawashtua wananchi makosa ya viongozi wa CCM
Nimependa alivyokuja kwa wananchi kueleza alichowasilisha kwa spika… maana angeliwasilisha na kukaa kimya spika Kama si kuikalia report angelichakachua
Mpina ame out smart ‘Bunge la Mafisadi’
Sijakuelewa
Nigugubali verve umanyie gimba 🎉🎉❤❤
Uko sawa mtumishi
Mpina ni mbunge WA kuchaguliwa jeee wananchi wake wanawakilishwa na naniii Kwa huo muda atakaokuwa nje ya bungee
Lissu Asichelewe Aende Jimboni Kwa Mpina Akawape Wananchi Helimu Ccm Inaenda Kufa wakati Wao Umeshakalibia
Mpina yuko sawa sana. Mzee umepiga kwenye mshono. Mbunge si wawanyama huyu ni mbunge wa watu. So kazi yake nikuongea na watu.
Mungu ni Mwema. Tunamuomba Yeye Aonaye Ya Sirini Aoneshe Haki Yake Takatifu
Nasemaje, mpina apewe ulinzi bungeni nchini duniani mpaka mbinguni mtu wa maana kabisa huyu🤜
Mm pia nakukubali kwa kutuelimisha. Napia tunataka katiba mpya
Tatizo kubwa la viongozi wetu hasa wabunge ni waongo na kutaka kulindana! Hasa ukiwa CCM hawataki useme ukweli na ndio yanayosababisha maisha kuwa magumu kwa wananchi na isitoshe kuendeleza Wizi wa fedha za umma!
Hivi Kuna SIRI gani inafichwa hapo wakati tatizo la Sukari linaeleweka!!
Umeonesha uzalendo wa kinabii😢
WANANCHI WA KISESA WAMENYIMWA HAKI YAO WAMEFUNGIWA NJE YA BUNGE KWA MWAKILISHI WAO KUFUNGIWA VIKAO 15 ! Kwani mbunge si wa wananchi kwa nini asiongee na press ili wanachi tusijue tuhuma za waziri?
Baba pokea100%
Spika anaanza kupolomoka thamani
Mimi nsmuunga mkono mpina kwa nguvu zote mpona kaonewa kabisa spika atukuelewi kabisa. Ulijuwe hilo
Bunge la kenya likija kuchagua wakuingia kule kutoka Tz ataenda mpina pekee yake wengne usiniulze angalia makofi wanavyopiga!! M sitaki ubishi
Kweli ni waoga, makofi kwa sana
Wabunge walioko Bungeni hatukuwachagua ndiyo sababu wako kwa maslahi yao inapotokea Mbunge wa aina ya Mpina kusimama upande wa Wana wa Nchi waliowachagua inakuwa mbaya tuwe nyuma ya Mpina kuwa kuwa mkweli ni dhambi kwa Bunge hili hatufiki mbali
Dada yangu spika wa bunge na bunge hapo mmeteleza kumfungia mbunge mpina. Mnge Anza kwanza kumshughulikia waziri wa kilimo. Bunge ni la Wananchi Kwa hiyo msijisahau mkadhani bunge ni la wabunge.
..
Tatizo la bunge letu wanatuziana Siri ufisadi umezidi mbunge kiongozi ukweli apelekwa kwenye madali na ni katabua nchi yetu
HILO BUNGE LINGEKUWA KENYA NA HUYO SPIKA NDO WANGEONYESHWA JOTO YA JIWE. WAKENYA SIYO WAOGA KAMA SISI.😊
Mungu ni mwema jamani penye mbaya wako hapakosi mwema wako. Mpinda yupo sahihi machawa mumetapikwa sasa subirini 2025 muwe OUT OUT OUT maharage ni mboga. Mtakuja taratibu tu
Wananchi wa jimbo husika mliompa kura Mpina msikae kimya,mteteeni mbunge wenu aondolewe kitanzi na huyu Spika mbunge wa kupewa tu huko Mbeya pazeni sauti mpaka mikoani tusikie na sisi tushambulie hili bunge la Tulia na ccm....
Mimi namshangaa spika Tuliaa.yaani hajui msukuma na mnyakyusa.ni ndugu..eti ananbeba msomali,,how comes,,. Au Tulia Ana pasent kwenye biashara ya sukari. ?yutaendelea k kupigwa Hadi lini jamani?
NINAVYOWQJUA CCM HII ISHU. YA NDUGAI INAMFUKUZISHA CCM CCM HAWATAKAGI WATU WANAOWATETEA WANANCHI WAO WANAJIONA WAMESHATUWINI WANATUTESA TUPO KIKIMYA SASA WAKITOKEA WATU KAMA KINA MPINA WANAOSEMA UKWELI WANAWATOA FASTA MPINA HABAKI CCM
Tutampa ubunge mpiba popote atakapokuwa
@@januarysungura8119Siyo kumpa Mpina tu peke yake, ni vyema tukawatafuta watu wengi wa aina ya Mpina watuwakilishe Bunge lijalo!
Eti nabii wa Mungu awe wewe. 😊😅😅😅
wa kenya hongeleeni kwa kujitambua maana mmeshika tochi na kumulika Tz cjui kama ipo ck watanzani tutapata kuwa na afya ya akili.
Afya ya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wabunge wa CCM wako kulinda masilahi ya waarabu na mwenyekiti wao wa CCM tu, RIP JPM
Upo sawa nabii wa MUNGU.
Spika amedhihirisha kwamba Bashe ni waziri mwizi.yaonyesha spika kachoka kichwani,Sheria zenyewe wamezisoma namna Gani ,eti ni dokta wa Sheria,anashindwa kuamua kesi iliyo wazi kabisa ya kuamriwa na darasa la Saba.spika hujadharauriwa hata kidogo,bali anakusaidia vema kabisa kama wewe ni Dada mzalendo kweli kweli na kiongozi wa Bunge.upo karibu na MUNGU ,ogopa..kwani hujui saa Wala siku.
Mbona atukuelewi nyoosha maelezo sema kuwa mpina kaonewa basi maneno mengi yanini
Upo sahihi kabisa nabii hii ccm imejaa wapigaji hatarii wakiongozwa na chura kiziwi 🙈
CHADEMA mko wapi si mumchukue Mpina jembe? Dhahabu inaharibikia shimoni mkiona? Hawa ndiyo kina Mdee 9 mliowapoteza tuna angamia huku jamani
Mpina yuko sawa mawaziri wanaodanganya bunge ni wengi hata kwenye Afya wanadanganya wanasema bungeni watoto chini ya miaka mitano awastaili kulipa garama za matibabu mbona tunatozwa malaki kama vile atuna wabunge.
Wewe Siò Nabii Taperii Huna hoja Udini Unakusumbua
bashe yupo committed sana
TULIA ANALINDA MAFISADI, KANUNULIWA NA HAWA MAGENGE YA WAHUNI WANAOHUJUMU NCHI YETU
Kila chombo kina kanuni na sheria zake kwanza hilo lieleweke.Lakini namuunga mkono kubwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake na maono pamoja na ukweli, kwa njia isiyovunja sheria hivi mbunge huyu walitegemea aseme wapi, na kama ni tuhuma walitaka anyamaze.ikumbukwe bunge lenyewe lina mambo mengi yanaibuliwa hakuna lolote linalofanyika zaidi kuwa ni kama wananchi nchi hii inavyofanyiwa maovu na watendaji wanaolindwa na mifumo ya mamlaka
Husikii taarifa kwa wanaosifia serikali lakini anayewakosoa na kutetea wananchi taarifa zinakuwa nyingi ili kumalizia mda wake na asisikike kabisa mwishowe mda wake huisha Hakika Hii CCM tumewachoka jamani sijui tutapata lini katiba mpya tunashukuru mungu awalinde maaskofu mliosimama kuitetea ukweli na haki Duniani
Juu kubovu.chini kunaoza
Nabii wa uongo sasa utawezaje kusimamia ukweli wakati unaishi Kwa uongo??
😮toka tupate huuru inchi hii ijawai kuo ngozwa bivaya kama sasa wizi ndiokipauumbele chao
Unatumalizia mb kwa kuzungumzia bunge linaonyeshwa live, hii umerudia mara nyingi, ila endelea na mada kaka
Spika wabunge iposiku utakufa nautaacha kila ulichonacho naukumbuke kunamwananchi hata Kula Yake yasiku Hana ilanyinyi wabunge mmejipangia mishahara mkubwa wala haikatwi Kodi nabado mwananchi huyohuyo mnamkandamiza Kodi,tozo zakila Aina mnazidi kufanya CCM watu waichukie.
Mpina yupo sahihi, muda ukifika utaongea wenyewe,❤❤❤❤
Bunge la sasa lipo kwa maslahi binafsi na serikali si kwa niaba ya wananchi, ndio maana bunge linapo ilekeza serikali ili ichukue hatua hakuna utekulezaji, mfano: waliotajwa na cag wachukuliwe hatua hakuna hata mmoja walie wajibishwa lea MwakaP wa 3hakuna waliowajibishwa, mmna yake muhimili ni mmojatu wala sio 3 kama wanavotudanganya
Huyosio spika wa bunge nispika wagenge la wapigadili,spikahanamungu hastahili kuitwa mheshimiwa
Mimi naona spika amefanya jambo zuri. Kamati ya maadili ndio utaangalia kama Mpina amekosea au hajakosea na kuchukua hatua. Wabunge walioko kwenye kamati ni wasomi wanaozijua sheria vizuri. Spika wa bunge ni msomi wa sheria aliyebobea, anajua kama sheria zinavunjwa ama la. Kama tuhuma anazotoa ni za kweli na ushahidi umethitishwa hawezi kuchukuliwa hatua zozote. Kama anatoa tuhuma kwa nia ya kuwapaka matope wengine ni halali kabisa aadhibiwe.
Sipika WA binge hafai ni fisadi kama engine hajui kazi yake Mpina yuko sahihi kabisa jamani ache I dhuluma dhuluma ni hatari kwa nchi i
Tukishindwa kuonesha haki ya mpina, anaeonekana kufinywa kiaina,basi hata katiba haina maana kudaiwa; tuanze sasa maana tunaitaka katiba mpya ili iondoe ujanja janja waliouzoea!
Spika Tulia na genge lake wanaihujumu nchi. Mtu anafanya ufisadi halafu anaadhibiwa aliyefichua ufisadi? Waziri bashe ajiudhuru na hayo marelebisho ya sheria kuwapa loop hole ya wizi mafisadi isitishwe
SIFA MOJA TU YAKUWA CCM LAZIMA UWE MUONGO NA KUSIFIA MAOVU HAPO WATAKUONA WA MAANA
Amen
Huyo spika anawalinda mafisadi ina maana na yeye ni fisadi_ni mwizi anashirikiana na mawaziri kupora uchumi WA nchi.
Mifumo ndo unawatengenezea uoga wote wa ccm wakubali kubadilika na mabadiliko ili wawe huru kuwakilisha wananchi waliowapeleka huko bungeni
Wanapenda kuwalinda kwa kuwa ni ndege wafananao.
Watanzania wengi ni nyumbu. Hata mimi mkinichagua kwenda bungeni nitakuwa napiga meza kwa nguvu sana mradi zipate posho yangu. Awamu inayofuata mtanichagua tena mradi niwe fisiemu.
Sukari kwa nini ilipanda bei waziri ni kwari mwizi siku moja nilisema huyu bashe akiendele kumsikiliza mwiguru nchemba atakuponza yako wapi sasa ?
Hii nchi daha hatari we msikie spika anaonyesha kuikingia wizara usika nini hii
Pina
Inatakiwa wananchi woote tungeandanana ndiyo wangejua nini nguvu ya umma
Mh.mpina yupo vizuri, lakini tumeona pale bungeni kuna wabunge wa kupiga makofi tu hata kama tunaibiwa wao hawajali.
Hivi kile kimama pale ndio kinacheo gani sikioni kama kinakazi kinachoweza
Tulia ni ana dhambi kubwa
Kwa hili ambalo liko wazi na linaloumiza watu kila Leo, Tuko na MPINA 💯
Waliomwita kamati kwa jambo hili naona wazi wanawaona Watanzania wote wajinga na hawana haki yeyote katika Taifa Lao.
Huu ni wakati wa Mungu na yote yaliyo sirini yataibuka kwa kasi na Yao yanakuja ndiyo maana wanajihami kwa lililoanza.
Wamechelewa 😁😁😁😁😁
Tulia ndiyo maana ni namba tasa ili asiendeleze mbegu mbaya.
Kuna wabunge, Kuna mbwa tu ktk bunge, mpina Yuko sahihi
Yaan watanzania hii nass kuna kitu tumejifunza.
Hivi watanzania mbona siwaelewi mpina anayetetea watu wanapandisha bei sukari kila mwaka kuweni historia maana viwanda vyetu kila kipindi wanaficha sukari hata kile kundi cha makufuli misingi mkono hivi viwanda vyetu wahizi siyo bashe mpina kaongwa awatetee
UNAONGEA PUMBA NABIII FRANSISI HAUELEWEKI AU UMESHA KUNYWA MVINYO?...
Tulishasahau mambo haya sasa yameanza na yataendelea tu. Mambo yahusuyo fedha huimarisha upinzani sana. 2010 na 2015 mambo ya fedha yalitutikisa sana. ila Mungu ni mwems sana atakuja mwingine tutalimia MENO
Kwanini mnaendeleakulindana kunawapigaji wengi ndani ya serikali spika usilete siasa kwenyemaisha ya wa tz
Mzee.umeongea vzr lkn umekosea kumjulisha luhaga mpina na hao wabunge wawili sio wazalendo kabisaaa kama mpina. Labda umewaongelea kwa maslahi yao au wamekutuma au labda.hufanyi utafiti.msukuma ni kigeu geu.mfano mmja.kama unakumbuka ndugai alisema wazi kua raisi anauza nchi kwa mikopo.lkn msukuma alimshambulia sana ndugai na alimtisha kua ajiuzuru haraka kabla hawajamwajibisha bungeni.lkn pia alizunguka baadhi ya mikoa kupiga kampeni kuuzwa bandari.hiyo ni mifano midogo tu.mbuge wa kweli ni mpina.japo unamtaja msukuma kwa kurudia rudia badala ya shujaa mpina.hapo umepoteza pointi
Gwajima na Msukuma nao wamo ??, Hapo umeongea kwa maslahi yako na wao. kukutuhumu kuwa umehongwa fedha za wavuja jasho kutoka kwa watu hao wawili sijakosea. Nchi inaliwa bila kunawa na walio madarakani. serikali imefika mahala inakiri kuwa Watanzania hatuwezi, tukakodi wanaoweza nje ya nchi. Nyerere, karume na wananchi waliopigania tujitawale, walifanya makosa makubwa? Ni unafiki kusherekea uhuru wa Tanganyika na mapinduzi ya zanzibar
Kanda ya ziwa ni mnyooko tu hakuna chenga
Tokeni zenu hapa kwani hana Chama?? Mhe Ana Chama na wana utaratibu wao, kila siku kuleta taharuki kwenye jamii, Janja yenu mbona inajulikana, acheni haya maujinga , eti wananchi ? wa wapi? Mbeya au Shinyanga?
Jina ndo bunge ila vikao vya ccm
Umepiga kwenye mshono nabii , ndo serikali ya CCM ilivyo haipo kwa wananchi , wao ndo walivyo hawajawahi kuwa side ya wananchi.
Mzee nashukuru kwakutema cheche wasikie mafisadi hao
Joseph Kasheku Msukuma
INAMAANA GWAJIMA KAZUNGUKWA NA AKINA ESCARIOT WENGI BUNGENI, UKIWA MUWAZI NDANI YA BUNGE CHAMA HAKITAKUPITISHA KUGOMBEA TENA NA MPINA YUMO
WEWE NABII ACHA UONGO WAKO HUYO MPINA ANATUMIKISWA NA MATAPELI NIMUONGO WEWE KAMA UNALENGO LAKO LINGINE ACHA KUPITIA KIVILI CHA WANANCHI
Ndio akili yako imeishia hapo
Repel ni wewe usiyejitambua
Haiwezekani kwa mtu mwenye akili timamu kushangilia maovu badala ya kukosoa viongozi wajisahihishe
bashe namkubali
@@maliakishaushi9089kwa nini TBC waluondoa matangzo wakati wa kujmalizia mjadala kumsimamisha Mpina? TBC ni kwa maslahi ta wananchi wa kawaida au watawala? TBC itaacha lini kuwa chimbo cha Propaganda za watawala? Aibu!
Wabunge wetu wengi sio watenda haki
Mpina ndie mbunge pekee mkweli wengine ni ndio mzee
Huyu kiranja wao spika kubwa ukiangalia hata sura yake tuu unajua naye ni mchumia tumbo tuu, alaaniwe
Ndugai aliondolewa kibabe ili spika awekwe mwanamke,magufuli pia kaondolewa kwa lazima ila mwanamke aturawale. Hawa wanawake wanapata wapi jeuri hizi?!
Ccm vibaka tu ipo siku yao
Umesahau kumtaja Mbunge mwanamke wa Chadema, naye mzalendo.
Mungu tusaidie kwahili huyu spika umuadabishe maana anatumia madaraka vbaya
Umesahau ungemtaja Taore, Malema na Gadaf