HEEE! MWIJAKU AMLIPA ALI KIBA, ASOMA QUR-AN YEYE NA MWANAWE.
Вставка
- Опубліковано 25 кві 2022
- Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia...
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
Usisahau ku SUBSCRIBE | LIKE | KU COMMENTS , ili upate taarifa zote zinazohusiana na Tasnia ya QASDA | MAWAIDHA | NASHEED | TENZI | MATUKIO MBALI MBALI YA KIJAMII , kupitia hapa channel yako pendwa ya IBRAHIM ZANCOM.
Mashallah hizo juhudi na baada ya Ramadhani twazihitaji Insh'Allah 🙏
Safi kabisa.
Mashaallah hayo ndio mashindano yanayotakiwa na sio ya kuimba
hakuna mashallah hapo karuka aya
@@gracymkumba700 kapuyanga vibaya sana.. Nadhani hata alikuwa haisomi kwa kuangalia kwenye Mas-hafu na badala yake alikuwa akiisoma kwa mazoea tu. Lakini pia napata mashaka na elimu yake maana kuna kukosea na kuna kutokujua!
Usimkatie mtutamaa ingalibado Allah anampapumzi ,Allah akuendeleze mwijaku wewena familia yakokwaujumla naiwefamilia bora fidunia wal akhera inshaallah Allah atuongozee wasaniiwetu wote diniyao isiweya mwezi mmojatu iweya miezi yote
Hongera hatutaki ria Alazina yuuminuna bilkhaibi wayuukimuna swalat rekebisha usikurupuke shehe hayo sio maneno ya kina Masha Love tulia shehe
Kwakweli imenibidi nianze kurudia kusoma tena kumbe Ameruka Ayaa.Duh hugo ka concentrate na camera ndomana
kukosea ni kawaida inaonekana hiyo sehemu ameihifadhi hivyo anaenda haraka wanakosea kina sheikh waliid itakuwa yeye cha msingi ni kuombeana dua Allah atuongoze na atatutoe kwenye upotofu
Mashallah
Mashaallaah jazakumullah kheir amiin ya rabillaamiin
Masha Allah 🤲mungu amlipe Ingawa ameluka au amekosea kusoma Aya ya 3
Maa shaa Allah , Allah akupe nia na ikhlaas akupe ucha Mungu hadi mwisho wa maisha yako
Mashaallah Tabarakallah hizo ndio ziwe nyimbo za kuwa fundisha watoto wetu
Allah Awajaalie Mwisho Mwema Kwa wote ya Rabb
MashaAllah..mashindano haya,nayakubali sana tena sana..Alhamdulillah.
Mashaallahu... Mashindano matamu Allah awaongoze watoto.... Next DIAMOND na TIFFAH
Pumzi bana zinatuharibu na kututia kibri wallahi mwijaku anajua kua yeye hajui kusoma lkn anajaribu kurekod na kurusha mtandaoni hali yakua yeye ni muislamu anajua kitabu Cha Allah watu hufundishwa hawakurupuki tu yeye yupo kwenye mzaha na kuwafurahisha watu wamitandao lkn kwa ALLAH ni hatari sana mwijaku usichezee kitabu Cha Allah nenda kajifunze namna ya kuisoma QUR ANI.
Maashaa Allah maashaa Allah Allah akuingoze. Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli
Allah akuongoze
Mashallah Tabarakallah kumbe dini mwaijua Quran pia Allah atuongoze sote jamii muslimina walmuslimat
Mashallah
Maashaallah
Hawa ni watu wa Ria hakuna chochote kwa ALLAH
Good example mashallah
Asalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh.Mwijaku Uko farceur sana ! Vizuri sana mwanao akikua n'a maadili ya kislam
Allah atuongoze inshaallah
Mwijaku kasoma shule ya kiislam mashaa allah
Mashaa Allah
Manshallah 🥰 ila suratul bakar kaisoma kimakos kaifadh tena🙏
kweli......
Subiri imalize ramadhan wote kenge hugeuka hao😭
😂😂😂😂
Manshallah ❤️
Mashaallh
Mtume alisema katika kitu ambacho nakihofia kwa umma wangu Ni shirki ndogo . maswahaba wakamuuliza Ni ipi hiyo shirki ndogo?mtume akasema arriya nikufanya ria wengi watakua wakifanya ibada kwa kutaka wasifike waonekane ndivo tunavoona Sasa
Kuna vitu vingine kwa dunis tulipofika now siwa n kuwa anahamasisha
N kusoma qur-an sio riya
Qur-an unaweza kusoma popoti tu ispokua chooni
@@abdul-rahmanal-sis7097 ria Ni ibada yoyote ile ambayo utaifanya kwa kutaka sifa
@@abdul-rahmanal-sis7097 inamana wewe huwezi kusoma mpk akuhamasishe mwijaku Tena mtu ambaye maisha yake Ni ya upuuzi tu
Masha Allah jmn isiwe ramadhani tu cku zote mungu yupo
Mashaallah
Hawa mabwana siwapendi kwa Ajir ya Allah
Masha Allah good saaana mambo yaendeleee
Mwikaju mwijaku mwijaku nipe mkono
Karuka aya moja
Umemuona pia daa mwijaku mwellevu sana
Hata mm pia nnasema huyu Asharuka Ayaa moja🤔 afanya mchezo na Quran"
Alladhina yuumina bil ghaib wayuqimuuna swalata
Mwinjaku umeruka, aladhiyyna yuuminuuna bilighayb wayukimuuna swalata wamin'marazaknahum yunn'fikuun
Ni kweli ameruka ila kk unapo soma Qur an tukufu unatakiwa utulie moyo umkabidhi Allah SW ili qiraa kikae uzur
... Amesoma vizuri ... Itakuwa hizi aya za mwanzo katika surat bagharah ameikakilili ndio maana amesahau kusoma BIL GHAYIB ... Inamaanisha hakuwa anaangaria maneno ya Allah yalivyoandikwa.
Ali kiba yupo juu kwa hapo halaf yy hakusoma kwa kulipiza kisas
jamani waislamu tusimkosoe kwakejeli huyonae binaadamu istoshe hajakamika kamausivyokamilika wewe tumkosowe kwautaratibu uliopo
pia namumba Allah ampemoyo wakuipenda qur -an tusemeni amiin inshallah
Mwijaku kashika msaafu halafu ameruka baadhi ya herufi yeye kasema hivi a, ladhiina yuuminuna wayukimuuna swalata,, Sasa karuka neno bil'ghaib Yani inasomeka hiv a, ladhiina yuuminuna bil'ghaib wayukimuuna swalata
Hujui kusoma
👩💻 الذين يؤمنون بالغيب ويقيمون الصلاة.......
Inapendeza mashallah
MashaAllah
Mwijaku we nimfano kwa wengine kiukweri nagukubari xaana
sura ya kinafik iyo baba
Safi kabisa mwijaku
DUNIA IMEJAA USANII HII KILA KONA DAH SIJUI TUNAELEKEA WAPI YARABBI
Ttz Ramadhani ikiisha mnarudi kule kule
Bado diamond na tiffa jmn
Aya ya 3 ameruka skilizen vizuri
alladhiyna yuuminuunabilghaybi wayuqiimuna swalata
Someni kiswahili ndio
Lugha yenu
Hayo mengine ni ukoloni tu
,,kila mtu amwabudu mungu kwa lugha yake
Sio lugha ya mtu mwingine huo ni ukoloni
Tatizo mnafanya kwa ria (kujionesha)
Tusifanye mchezo na qur-an jamani
Mchezo gani wakati wanasoma maneno ya allah
@@mariamhamisi598 hujui lolote kaa kimya bora
Ila hii dunia hii jamani
Allah Akbaru Allah akuangamize kenge wewe kitu kama hukijui nibora ukaenda kusoma unaona sifa uwafurahishe watu huku unamuudhi allah nani kakufundisha hio alladhina yuuminuuuuuuna wayukimuna sswalata unakosea aya za mwenyezi Mungu na huku umeshika kitabu kitakatifu Allah Akbaru
Ndomziki kwenye upo nimtihan kwakwel
Mashanllah ila umeluka kidogo
je ww unaona hujakosea pi naww kakufundishanani kumkosoa mtu kwanjia hiyo
Kasoma sivyo
1:18 kakosea aladhina yuaminuna bilghaib wayuqimuna swalat..
Heee Imekua dini Ya kuoneshana na kushinndana au
Kuwa makini
baada Ramadan mambo yaendelee
Umeikosea aya hiyo jifunze zaidi
Jifunze kusoma kwanza ndo utake sifa mana bado hujajua
Mwambe Usikufuru Umekosea aya ya 3 apo
Kwijaki anakufuru
Chunga sana asije siku moja akavaa uchi mbele ya umma kama Zuchu
Huyu mwanaume anasifa ajabu wallah
Sifa gani mwenzio asoma
Mwijaku kashika msaafu halafu ameruka baadhi ya herufi yeye kasema,, a,ladhiina yuuminuna wayukimuuna swalata,, Sasa karuka neno bil'ghaib Yani inasomeka hiv,, a, ladhiina yuuminuna bil'ghaib wayukimuuna swalata
alaf hapo yeye kaivuta yuuminuna. huivutii.......unasoma kawaida tu.......mpaka pale kwenye wamimmm..maarazaknahu
Unaisoma quran kimakosa kaka
Angalieni maonyesho yenu na qur a n vitu tofauti Allah hazihakiwi
Iyo surat bakla umeisoma vp hapo ndgu arazina yukimuna swalata ndo iko hivyo au sio vzr
wanatamka kibongo hadi qurani
salala waruka aya ndo nn wkt una msahafu hapo
assalam alaykum, nenda tena madrasa ukafundishwe kusoma quran, usisome Quran kwa show off, Allah hataki hivyo, umesoma halafu umekosea unaruka aya, alladhina yuuminuna bilghaib,
NENDA KASOME KAKA ACHA KUIMBA, HAPO WAMEANDIKA yu u minuna bil aybu wayukimuna swalata na sio WALAZINA WAKIMUNA SWALATA soma Quran sio ya mchezo.
Bc tuwe hiv miez yote sio tushndane sahz t
Uwe makini sana na aya za Quran maana umekoseya sana na ukarusha mitandawoni ziskilize aya vzr
Mwijak akitoka apo anaenda kucheza Xxx na menina. 😁
Acheni mikwara nyie wasanii qur aan nendeni mkakunje magoti mfute ujinga
Mashallah
Mnaleta usanii kwe dini nyie angaikeni tu