"NA WEWE BOSI WAO -HAIWEZEKANI -UTAKOMESHWA na MUNGU SIKU UKIFA" -

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024
  • "NA WEWE BOSI WAO -HAIWEZEKANI -UTAKOMESHWA na MUNGU SIKU UKIFA" - #TBT MAGUFULI GEREZA la UKONGA..
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 79

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 місяців тому +4

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi1671 5 місяців тому +11

    Raisi mzalendo wa kweli kweli,MWENYE Enzi Mungu akupe pepo mwanana utuombee huko mbinguni ulipo.Pumzika kwa Amani Papa

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd 5 місяців тому +24

    One of our finest president, we miss you papa,

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 5 місяців тому +7

    No body will forget the strength of yours, rest in peace magu

  • @anawa4326
    @anawa4326 5 місяців тому +9

    Man of Truth hatakagi ujinga RIP Mr President

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 5 місяців тому +10

    Daah ni kama ya leo hii hotuba bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana liimidiwe amina

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 5 місяців тому +6

    This man he touch my life, he make me be like never be4, RIP papa,

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 5 місяців тому +4

    True leader, True Tanzanian.

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 5 місяців тому +12

    Tunakukumbuka kaka, sasa hivi upigaji unatisha, kila sekta ni hatari

  • @eddahkobong271
    @eddahkobong271 5 місяців тому +5

    Pumzika kwa Amani. Inaumiza sana kukukosa, Ila wote ndiyo njia yetu.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 місяців тому +12

    Huyu alikuwa na kipaji cha uongozi.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 3 місяці тому +3

    RIP JPM, he was strong leader of Africa,

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 5 місяців тому +6

    DAH HUYU MWAMBA ALIKUWA NI HATARI RIP MAGI

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 22 дні тому

    One of the best speech of JPM. The truth be told

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 5 місяців тому +8

    ❤❤❤.smart President you were

  • @edwinmmari634
    @edwinmmari634 4 місяці тому +1

    Mh.Makonda alikua yupo kwenye field study na hakua anajua kumbe Mungu alikua anamtumia Raisi Magufuli awe Mwalimu wa muda wa Makonda na sasa najua Mh.Raisi Magufuli huko alipo anafurahi kuona Mh.Makonda akifuata nyao zake na kuchapa kazi vyema...😊😊

  • @mamamfugaji9065
    @mamamfugaji9065 5 місяців тому +8

    Nyie global mfikishieni mama bado wananunua uniform hawa askari.

    • @prosperjohn2047
      @prosperjohn2047 5 місяців тому +4

      Amesafiri, Bado nchi kadhaa, amalizie safari

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 5 місяців тому

      sasa akiambiwa sasa maana ye ndio kayaruhusu haya and hamnaga akili sjui toka kaanza kuambiwa kero za watu lini uliona akiwawajibisha wanao kosea. ?????

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 5 місяців тому +5

    Duuuuh huyu mwamba alikuwa kiongozi bora Tanzania 🇹🇿 ivi ngozi nyeusi kama huwez uongozi si umwachie nafas mtu mwingine afanye hiyo kazi

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w 5 місяців тому +2

    Mwenyezi mungu Amrehemu uko Aliko Ayati baba etu mpendwa magufuli

  • @MikidadyMlawa
    @MikidadyMlawa Місяць тому

    Mungu ailaze pema roho yake hayati JP magufuli tutakumbuka daima

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 3 місяці тому

    Watanzania huwa tunashangilia kupewa vitu vilivyotengenezwa hatushangilii kupewa ufahamu wa kutengeneza vitu,, duuh! Nchi hii bwana! R I P Magufuli BABA wa maarifa, mlezi, mzalendo, mkweli ❤🎉🎉🎉

  • @makoyejohn3930
    @makoyejohn3930 5 місяців тому +6

    Hivi atakuja atokee mwamba kama huyu mwenye uzalendo na asiyejali tumbo lake mwenyewe? Mwamba aliyetoa maisha yake kwa watu wake. Atatokeaga kweli Rais kama huyu? Dah.
    Na hii njaa tuliyonayo itakuwa ngumu kupata Rais kama huyu.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 5 місяців тому +3

    Siyo wote walofungwa wana makosa,wengine walisingiziwa au kubambikiwa,pia hukumu zinatofautiana 😢

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t 5 місяців тому +3

    Magu tutakukumbuka daima baba

  • @johnkiganga6014
    @johnkiganga6014 5 місяців тому +1

    The best african president god bless your

  • @JosephMwangiluke
    @JosephMwangiluke 3 місяці тому

    My president of all the time JPM R.I.P

  • @lumulyimage4826
    @lumulyimage4826 5 місяців тому +1

    Nimeangalia bila kurusha. R.I.P President.

  • @gmaillameckmnyika
    @gmaillameckmnyika 5 місяців тому +3

    😢😢😢😢dah basi tu😢😢😢😢

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 Місяць тому

    Tutakumbuka sana jpm

  • @fideamtenga212
    @fideamtenga212 5 місяців тому +4

    Ameeee

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 5 місяців тому +2

    Tutampata wapi tena kama wewe baba yetu 😭😭😭

  • @gasparyephraimmwakatuma9542
    @gasparyephraimmwakatuma9542 5 місяців тому +1

    Ulifanyakazi yako kwa kadri ya karama Mungu aliyokujalia!

  • @user-fs4uh3id3c
    @user-fs4uh3id3c 4 місяці тому

    Magufur kuondka kwako Dunian tumeumia sana wewe ulilijali taifa lako mungu akuweke mahr pema pepon

  • @TuryamurebanicholasNicho-hn8oj
    @TuryamurebanicholasNicho-hn8oj 4 місяці тому

    Zero corruption during JPM rule🙏🏽pumziko la milele

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 5 місяців тому +3

    Kilikuwa kichwa hiki..... Fresh ideas za kufaa sana, huyu ni Rais mwenye akili timamu

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 5 місяців тому +2

    Mulimponda sasa hivi munampongeza kweli Tanzania kichwa cha Mwendawazimu

  • @AyoubMatabala-zf6oi
    @AyoubMatabala-zf6oi 5 місяців тому +1

    ❤viongozi tujifunze hivyo vyote mtaviacha

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 5 місяців тому +1

    Tutakukumbuka daima 💔 💔 shujaa wetu 😢hakika pengo halizibiki

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 5 місяців тому +4

    HII JAMAA NATAMANI TUKUTANE MBINGUNI

  • @margaretmahege7948
    @margaretmahege7948 5 місяців тому +3

    Unaishi baba

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 5 місяців тому +1

    Nani kamuona Comredy Makonda? Maisha yanaenda Kasi sana.

  • @LazaroMasegese
    @LazaroMasegese 4 дні тому

    1

  • @user-sy2mp7mm8u
    @user-sy2mp7mm8u 5 місяців тому +1

    Aisée

  • @user-kg3cr9gg1h
    @user-kg3cr9gg1h 3 місяці тому

    Maono hayoo

  • @edmundphilemon3054
    @edmundphilemon3054 5 місяців тому +6

    Upumzike vyema jpm

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074 3 місяці тому

    Sijui tutapata mtukamahuyu Tena: sasahi kunausemi unajua minani

  • @obadiamtawa1279
    @obadiamtawa1279 4 місяці тому

    watakuwanatamani kufungwa kila siku😂😂

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 3 місяці тому

    Hapa alimtaget manji 😂😂😂😂

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 5 місяців тому +2

    Je, hizo nyumba za Magereza Ukonga zilijengwa?

    • @nitumesokoni3164
      @nitumesokoni3164 5 місяців тому +1

      Yaap zilijengwa, ila kwa mbinde sana. Alikuja kutembelea ujenzi akakuta unasuasua, akawanyang'anya TBA ambao ndo walikuwa wanajenga akawakabidhi JKT ambao walimaliza ujenzi kisha akambadilisha Kamishna wa Magereza akaweka mtu wa JWTZ

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 5 місяців тому

      @@nitumesokoni3164 Apumizike kwa amani shujaa wa Taifa letu! Nakushukuru kwa kunitaarifu!

    • @masatumtani1588
      @masatumtani1588 5 місяців тому +1

      Zilijengwa na wanaishi saiv na ziliisha kabra ajafa alizifungua mwenyewe

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 5 місяців тому +1

      @@masatumtani1588 Kumbe sasa askari wanaishi kwenye nyumba zenye hadhi,! Safi sana, alisimamia kikamilifu kile alichokiamini. Apumizike kwa amani!

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 5 місяців тому

      ​@@sylvestercameo6263aisee hii inatia moyo sana.

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 5 місяців тому

    Huyu ndio RAISI sio huyu bogasi kila siku kusafili

  • @glorykastai3996
    @glorykastai3996 5 місяців тому +2

    He was such a brainy person

  • @saidchonde9851
    @saidchonde9851 5 місяців тому

    NI MIAKA MITATU SASA TANGU ATUACHE LAKINI HACHOSHI KUMSIKILIZA....😂😂huyu ndo Rais wangu,huyo mwingine endeleeni naye nimewaachia mimi siyo mroho wa marais

  • @SafariMsafi-um1pz
    @SafariMsafi-um1pz 5 місяців тому +1

    Nani kaona tabasamu la general wa magereza

  • @thabitiseapower4499
    @thabitiseapower4499 5 місяців тому +3

    Hinatia haibu myumba kama hanarara kuku

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 місяців тому

      Anarara ndio Nini analala du,!!!!!

    • @kaisimwantindili397
      @kaisimwantindili397 5 місяців тому

      Pumuzika kwa amani , MZALENDO wa kweli, hufananishwi na wapiga Dili.

  • @alisaidi2620
    @alisaidi2620 4 місяці тому

    Ni ukweli president magufuli alikufa ??? Mbona hizi video zake nikama ako live😢

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 5 місяців тому

    Hakuna hotuba ya kuandikiwa hapo anahutubia kutokana na alichokiona na anachojua ili kutatua changamoto zilizopo.

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 3 місяці тому

    Ila mbegu zako tupo mkuu tutakopi kwenye clip zako

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k 4 місяці тому

    Pumzka kwa amani baba

  • @TalasilaAnatory
    @TalasilaAnatory 4 місяці тому

    Pumzika kwa amani

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 4 місяці тому

    Umeacha pengo mkuu

  • @josephmysononline5919
    @josephmysononline5919 5 місяців тому

    r.i.p JPM

  • @DeusRobart
    @DeusRobart 4 місяці тому

    sisitunakwenda kulala nyinyindo mmefungwa zaid endeleen nakaz 😂😂😂

  • @hillarymusalia8066
    @hillarymusalia8066 5 місяців тому

    In did this was atrue leader

  • @user-vw4te9qr3i
    @user-vw4te9qr3i 5 місяців тому

    Pumuzika kwa amani sauti ya simba simba wa nyika

  • @RobertMgore
    @RobertMgore 5 місяців тому +1

    Mwamba thabiti

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t 5 місяців тому

    P