"NA WEWE BOSI WAO -HAIWEZEKANI -UTAKOMESHWA na MUNGU SIKU UKIFA" -
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- "NA WEWE BOSI WAO -HAIWEZEKANI -UTAKOMESHWA na MUNGU SIKU UKIFA" - #TBT MAGUFULI GEREZA la UKONGA..
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e
Raisi mzalendo wa kweli kweli,MWENYE Enzi Mungu akupe pepo mwanana utuombee huko mbinguni ulipo.Pumzika kwa Amani Papa
One of our finest president, we miss you papa,
We real miss you RIP dear
For real, one of the finest ever happened in Tanzania 🇹🇿
No body will forget the strength of yours, rest in peace magu
Man of Truth hatakagi ujinga RIP Mr President
Daah ni kama ya leo hii hotuba bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana liimidiwe amina
This man he touch my life, he make me be like never be4, RIP papa,
True leader, True Tanzanian.
Tunakukumbuka kaka, sasa hivi upigaji unatisha, kila sekta ni hatari
Pumzika kwa Amani. Inaumiza sana kukukosa, Ila wote ndiyo njia yetu.
Huyu alikuwa na kipaji cha uongozi.
RIP JPM, he was strong leader of Africa,
DAH HUYU MWAMBA ALIKUWA NI HATARI RIP MAGI
One of the best speech of JPM. The truth be told
❤❤❤.smart President you were
Mh.Makonda alikua yupo kwenye field study na hakua anajua kumbe Mungu alikua anamtumia Raisi Magufuli awe Mwalimu wa muda wa Makonda na sasa najua Mh.Raisi Magufuli huko alipo anafurahi kuona Mh.Makonda akifuata nyao zake na kuchapa kazi vyema...😊😊
Nyie global mfikishieni mama bado wananunua uniform hawa askari.
Amesafiri, Bado nchi kadhaa, amalizie safari
sasa akiambiwa sasa maana ye ndio kayaruhusu haya and hamnaga akili sjui toka kaanza kuambiwa kero za watu lini uliona akiwawajibisha wanao kosea. ?????
Duuuuh huyu mwamba alikuwa kiongozi bora Tanzania 🇹🇿 ivi ngozi nyeusi kama huwez uongozi si umwachie nafas mtu mwingine afanye hiyo kazi
Mwenyezi mungu Amrehemu uko Aliko Ayati baba etu mpendwa magufuli
Mungu ailaze pema roho yake hayati JP magufuli tutakumbuka daima
Watanzania huwa tunashangilia kupewa vitu vilivyotengenezwa hatushangilii kupewa ufahamu wa kutengeneza vitu,, duuh! Nchi hii bwana! R I P Magufuli BABA wa maarifa, mlezi, mzalendo, mkweli ❤🎉🎉🎉
Hivi atakuja atokee mwamba kama huyu mwenye uzalendo na asiyejali tumbo lake mwenyewe? Mwamba aliyetoa maisha yake kwa watu wake. Atatokeaga kweli Rais kama huyu? Dah.
Na hii njaa tuliyonayo itakuwa ngumu kupata Rais kama huyu.
Siyo wote walofungwa wana makosa,wengine walisingiziwa au kubambikiwa,pia hukumu zinatofautiana 😢
Magu tutakukumbuka daima baba
The best african president god bless your
My president of all the time JPM R.I.P
Nimeangalia bila kurusha. R.I.P President.
😢😢😢😢dah basi tu😢😢😢😢
Tutakumbuka sana jpm
Ameeee
Tutampata wapi tena kama wewe baba yetu 😭😭😭
Ulifanyakazi yako kwa kadri ya karama Mungu aliyokujalia!
Magufur kuondka kwako Dunian tumeumia sana wewe ulilijali taifa lako mungu akuweke mahr pema pepon
Zero corruption during JPM rule🙏🏽pumziko la milele
Kilikuwa kichwa hiki..... Fresh ideas za kufaa sana, huyu ni Rais mwenye akili timamu
Mulimponda sasa hivi munampongeza kweli Tanzania kichwa cha Mwendawazimu
Yahni
❤viongozi tujifunze hivyo vyote mtaviacha
Tutakukumbuka daima 💔 💔 shujaa wetu 😢hakika pengo halizibiki
HII JAMAA NATAMANI TUKUTANE MBINGUNI
Unaishi baba
Nani kamuona Comredy Makonda? Maisha yanaenda Kasi sana.
1
Aisée
Maono hayoo
Upumzike vyema jpm
Sijui tutapata mtukamahuyu Tena: sasahi kunausemi unajua minani
watakuwanatamani kufungwa kila siku😂😂
Hapa alimtaget manji 😂😂😂😂
Je, hizo nyumba za Magereza Ukonga zilijengwa?
Yaap zilijengwa, ila kwa mbinde sana. Alikuja kutembelea ujenzi akakuta unasuasua, akawanyang'anya TBA ambao ndo walikuwa wanajenga akawakabidhi JKT ambao walimaliza ujenzi kisha akambadilisha Kamishna wa Magereza akaweka mtu wa JWTZ
@@nitumesokoni3164 Apumizike kwa amani shujaa wa Taifa letu! Nakushukuru kwa kunitaarifu!
Zilijengwa na wanaishi saiv na ziliisha kabra ajafa alizifungua mwenyewe
@@masatumtani1588 Kumbe sasa askari wanaishi kwenye nyumba zenye hadhi,! Safi sana, alisimamia kikamilifu kile alichokiamini. Apumizike kwa amani!
@@sylvestercameo6263aisee hii inatia moyo sana.
Huyu ndio RAISI sio huyu bogasi kila siku kusafili
Umechoka kuishi uraiani
He was such a brainy person
NI MIAKA MITATU SASA TANGU ATUACHE LAKINI HACHOSHI KUMSIKILIZA....😂😂huyu ndo Rais wangu,huyo mwingine endeleeni naye nimewaachia mimi siyo mroho wa marais
Nani kaona tabasamu la general wa magereza
Hinatia haibu myumba kama hanarara kuku
Anarara ndio Nini analala du,!!!!!
Pumuzika kwa amani , MZALENDO wa kweli, hufananishwi na wapiga Dili.
Ni ukweli president magufuli alikufa ??? Mbona hizi video zake nikama ako live😢
Hakuna hotuba ya kuandikiwa hapo anahutubia kutokana na alichokiona na anachojua ili kutatua changamoto zilizopo.
Ila mbegu zako tupo mkuu tutakopi kwenye clip zako
Pumzka kwa amani baba
Pumzika kwa amani
Umeacha pengo mkuu
r.i.p JPM
sisitunakwenda kulala nyinyindo mmefungwa zaid endeleen nakaz 😂😂😂
In did this was atrue leader
Pumuzika kwa amani sauti ya simba simba wa nyika
Mwamba thabiti
P