Jiwe walilokataa waashi ni (jiwe imara) limekuwa jiwe kuu la pembeni (la pembeni), limekuwa jiwe kuu la pembeni x2 Bwana Mungu ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu. Hii ndiyo siku aliyofanya Bwana Mungu, basi tushangilie kwa furaha. Utuokoe sisi sote ewe Bwana Mungu, tunakusihi utupe furaha. Abarikiwe ajae kwa jina la Bwana, alete Baraka toka mbinguni. Wewe ndiwe Mungu wangu nami nakushukuru, ninakutuza Ee Mungu wangu. Mshukuruni mwenyezi Mungu kwa kuwa ni mwema, na fadhili zake ni za milele.
Nimefurahi kusikia umerekodi wimbo huu, sifa Kwa mungu na mungu awabariki Sana.
Jiwe walilokataa waashi ni (jiwe imara) limekuwa jiwe kuu la pembeni (la pembeni), limekuwa jiwe kuu la pembeni x2
Bwana Mungu ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu.
Hii ndiyo siku aliyofanya Bwana Mungu, basi tushangilie kwa furaha.
Utuokoe sisi sote ewe Bwana Mungu, tunakusihi utupe furaha.
Abarikiwe ajae kwa jina la Bwana, alete Baraka toka mbinguni.
Wewe ndiwe Mungu wangu nami nakushukuru, ninakutuza Ee Mungu wangu.
Mshukuruni mwenyezi Mungu kwa kuwa ni mwema, na fadhili zake ni za milele.
Amina❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naupenda sana wimbo huu ! unavutia ,unanifundisha na kunikumbusha mbali sana !!
Kwa moyo mmoja nawashukuru mtunzi na waimbaji wa wimbo huu. Mungu awabariki. Endeleeni kutuhubiria
Asante Angelo
Asante sana kwa kuuleta hapa wimbo huu. Unanibariki sanaa
🙏
Wimbo huu sichoki kuusikiliza
Hallelujah hallelujah hallelujah Amen 💃💃💃💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺
Amen
Wimbo mzuri sana mwalimu
Wimbo unanibariki sanaaa
Wimbo unabariki sana
🙏
Asantee...
Wimbo unabariki na kunikumbusha mbali sana,
Thanks much good song
Amina🥰🥰🥰🥰
Beautiful song..🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ooo