Chagamba nisipo msikilizaga mzee said huwa naona bundle langu sija litendea haki kutwa nzima leo nlikua natafuta clipu zake za leo mpaka sasa ndo namwona
Mavunde itabidi akutane na Mzee Side ampe milioni moja kumpoza 😂😂😂😂😂 mzee Said bhana anakwambia Hersi kachinja kisogoni. hawaonei huruma anapiga pale pale Kahangaika na chama baada ya miaka saba
@@moherai9120Kwa sababu za kiusalama na faragha ya mtu hawezi tu kutoa namba kirahisi hivyo...kama unamtaka Mzee Said kuna namba ya chagamba kwenye video zilizopita upande wa kulia chini,ukimpata chagamba utaongea nae kuhusu shida yako na Mzee Said na atakusaidia
Hakika Mzee Said unatupatia burdan kweli kweli,cku za awali ilikuwa cjakuelewa lkn sasa kila nikiwa mchovu kwa tafakuri,nackiza pwaguzi zako,hongera sana mdau wa mpira miguu Tz.
Huyu Mzee anamachungu na chama kama mm yaan chama ameniuma Sana jaman sema basi.Ubahili wa viongoz wa Simba mmmh umepitiliza ndo maana nilishaur wasiogope kupitisha bakuli Ili kuchangisha pesa za usajil huenda tungembakisha hata chama
mzee saidi umeongea kweli hakuna siku yngu ilikua mbaya kama leo nilijuta kuingia mtandaoni asubuhi najikaza kufuta jina la chama lkn ngumu sijui kwann
Unamtukana mzee umri wa bb au babu yako,sio vizuri,uwe na subira,mungu hapendi,wazee kama hawa ni lulu kuwa nao ktk michezo inayopendwa na wengi duniani
Anaehitaji namba ya Mzee Said anitafute kupitia 0782100162 nimpatie namba yake
Sawa gamba
Ila we chagamba unajuakuoji watu mungu akufikishe mbali🎉🎉🎉🎉🎉 mzee saidi wa atali
Jamaniii jamaniii jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi jamaniii 😂😂 CHAGAMBA ANAINJOI NA MZEE SAIDI LIKE 10 😂😂😂
Umeonaeeee yaani mie mwenyewe nilikuwa namngojea mzee said tu
Nimemtafuta mnooo nimefurahi namsikia😂😂
@@reinfridlipili5666 mie tangu asubuhi kila saa nachungulia lakini ola
Veep
@@SadatiRajabu 🤣🤣🤣tunainjoi na mzee saidi
Tulokua tunamsubiri Mzee Saidi tujuane😂
😂😂😂😂😂
Tupo wengi yani uyu mzee
@@ChartyCharz pamoja😂💪
Roho yangu imesuzika kumsikia mzee said toka Asubuh
Nilipooona tu post ya CHAMA nikakumbuka duuh Mzee Said .
Mzee anajua sana, mshabiki Bora wa mwaka huyuu🎉
we ndo unajua mpira sio wakina masatu kisugu ni kumtukana ety kawaujumu Asante Mzee said jmn acha tungoje Miraji kesho inshallah
Mzee said weee umepigaje hapoooo😂😂😂❤
Usiongee sana mzee Said utawaamusha viongozi wa Simba acha walale
😂😂😂
Chagamba nisipo msikilizaga mzee said huwa naona bundle langu sija litendea haki kutwa nzima leo nlikua natafuta clipu zake za leo mpaka sasa ndo namwona
Jaman mzeee said nakukubali sana
Ila huyu Mzee ana point sana mungu amuweke inshaallllah Mzee wetu Mzee saidi
Yaani nimeweka bando kwa ajili ya mzee said
Mzee Saidi Mimi Hua nakuelewa Sana uposawa Sana we Mzee wetu ni mshabiki WA ukweli
Mzee saidi mim huwa nakuelewa sana mzee wangu
😂😂😂😂😂 tunamuona mzee saidi kipenz chetu
Mpe heshima yake mzee Saidi kwa mujibu wa kiafrika
Mavala tusaidie mzee Said akutane na mhe. Mavunde kwa uvumba na ubani. Naona kabisa jinsi watavyokuwa na furaha kukutana.
Huyu ni Chagamba sio Mavala
Mavala ndio nani?
Dah! We mzee anajua kuongea ukweli. Hongera Sana. Chama karibu Sana yanga.
Mzee SAIDI lete raha weeer
Watu wana rooho mbaya kwa kweli mzee Saidi ALLAH azidi kukupa afya.
Apa umepigaje nilikuwa nimemumiss sana mzee said namupenda sana naitwa jackson
huyu mzee nomaa😂
Ila mzee said bhana pole Sana side timu lenu porojo Sana
Nimesubiri sana hatimae😂😂😂 nakupenda sana we babu
Hiri zee rinahatari kwenye kuongea big up mzee said
mzee side ❤❤
Mzee Said kaumia sana
Pole sana Mzee wangu
Pole Sana mzee
Mzee Anajuw Xana Kweli Yan Chagamba Kila Bahad Ya Tukiyo Wahi Kwa Mzee Saidii❤🎉🔥🔥🔥
Chagambaa tumemsubiri sana Mzee wetuu
Karibu sana Mzee Said Yanga,leo umenifurahisha na Nembo ya Yanga.Karibu sana kwenye tomu ya wananchi upate Raha na Burudani tu.
Huyu mzee huwa ananifurahisha sana nikimaikia
mzee uyu yupo Humble sana kiufupi ni mwana Soccer
Mavunde itabidi akutane na Mzee Side ampe milioni moja kumpoza
😂😂😂😂😂 mzee Said bhana anakwambia Hersi kachinja kisogoni.
hawaonei huruma anapiga pale pale
Kahangaika na chama baada ya miaka saba
Hahahah, Mama wewe Yumo mule mule 😅😅😅😅
Mzee anaongea kwa hisia sana daaaah hii mipira itakuja kuua watu na presha
Pamoja sn
Mpira rahaa sana kama unashabiki wapenda furahaa. Nice shabik wa mwaka
uyuuu mzee I q mingi sana
Mze said wewe noma sana mungu azidi kuuwek utupe raha
Anajua sana mzee wangu Appreciate you ankor
Toka asubuhi nachungulia huku mpaka saiv nimefanikiwa kukuona kipenz changu mzee said
Chagamba naomba namba yamzee said nimtumie vocha
Tulishaomba hiyo namba ya mzee mpaka tumechoka
@@moherai9120Kwa sababu za kiusalama na faragha ya mtu hawezi tu kutoa namba kirahisi hivyo...kama unamtaka Mzee Said kuna namba ya chagamba kwenye video zilizopita upande wa kulia chini,ukimpata chagamba utaongea nae kuhusu shida yako na Mzee Said na atakusaidia
Mpigieni chagamba atawapa no, no ya chagamba iko kwenye video za miraji upande wa kulia chini
Mbona hata hapa juu comment Yake ya juu ameipin kaweka no Yake kasema mwenye shida na mzee amcheki yeye ili apewe namba@@wisdomcharis7227
@@moherai9120katoa namba awatumie
Dah yanga hawana huruma et
Mzee said 🎉🎉🎉🎉❤❤
Mzee said big up sana unapoint sana
Sema mzee said anampenda aziz ki
anampenda mno
Sio mzee saidi Tanzania nzima km unajua mpira lazima utampenda
😂😂😂😂 chagamba wallah mwambie mzee said ninakupenda sana jamani 😂😂ninampa maua yake 🎉
Uko sawa mzee
Changamba big up Asante kwa mzee wetu said
Jamani habari ya mjini Chama tunaye na tunatamba naye🎉🎉🎉
Hawataki wajinyonge
Kidonda kimetiwa pilipili uko watu hawaelewi Si tuko tunatamba nae
😂😂😂 shikamoo mzee said
Mzee saidi mungu akupe maisha marefu mzee wangu mi yanga ila nakuku bari sana mzee
Mwanzo mwisho mzeee Ni mashine😊😊😊
Mzee said Mungu akupe miaka 💯 tuendelee kupata burudan❤❤❤
Mzee saidi ana sema kweli😂😂😂😂😂😂
Wallah huyu mzee ninapenda saana mwenyez mungu aendelee kumpa afya iliyo njema ❤
Mzee wetu mzee said😂😂😂nimechekaaaaa😂😂😂😂.
Toka bwana we
Saruti kwa mzee wangu
Hii ya Chama inaniuma ila basi tu😢
Nilikuwa namsubili sana Mzee saidi😅😅
😂😂😂😂😂😂😂 Mzee side upewe maisha marefu 🙌🙌🙌🙌🙌
Mzee anaongeag point sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Saf sana tulikuw tunasubiria sana hii interview 🎉🎉🎉❤❤❤
Huyu mzeee nmemsubir sana😂😂😂
Hakika Mzee Said unatupatia burdan kweli kweli,cku za awali ilikuwa cjakuelewa lkn sasa kila nikiwa mchovu kwa tafakuri,nackiza pwaguzi zako,hongera sana mdau wa mpira miguu Tz.
😂😂😂😂😂 Mzee said 🙌🙌. Unajua mpira
Sema Huwa naenjoy sana,... Mzee said Mungu akujalie afya uzidi kuishi uone mengiiiii.....😅😅❤❤
Kila mtu alikuwa anasubilia Mzee Said
Mzee saidi side boy nakupenda san mungu akuzidishie umri
aendezake tu hana inshu ,SIMBA SIMBA NGUVU MOJA ❤❤🎉🎉🎉
Asante mzee Said, unatusahaulisha stress za maisha😂😂 mama gweee!!
Mzee saidi huwa nakukubari sana unajua mpira pia unajua wachezaji wazuri.hongera Mzee saidi .
Bro unaweza keep it up......
Mzee pole mshabiki anayeongelea mpila kama msomi ijapo yeye elimu yake mamagwe mamagwe🎉
😂😂😂😂😂 chagamba nacheka hata sijamusikiliza mzee said ila moto unawaka nimemusubiri San
Mwandishi apo umepatia mzee saidi safi
Uyu mzee mungu azidi kumtunza tuzidi kupata madini yake nampenda saaaaana ACHA ao wakina kisugu uyu mwamba nomaaaa
Mzee said 😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉 Moçambique
Chagambaa v mzee saidii watu wata dondoka uwanjan tiiii😂😂😂😂😂
Sawa Mzee nakuelewa sana
Nlikua namsubiri mzee said😂😂😂
tunakupenda mzee said mung akupe maisha marifu
Huyu Mzee anamachungu na chama kama mm yaan chama ameniuma Sana jaman sema basi.Ubahili wa viongoz wa Simba mmmh umepitiliza ndo maana nilishaur wasiogope kupitisha bakuli Ili kuchangisha pesa za usajil huenda tungembakisha hata chama
Weeee❤❤
Mzee said 🎉🎉🎉🎉 hakika unaongea na point ❤❤❤
mzee saidi umeongea kweli hakuna siku yngu ilikua mbaya kama leo nilijuta kuingia mtandaoni asubuhi najikaza kufuta jina la chama lkn ngumu sijui kwann
Sawa tumemsikia mzee wetu kaleta laha sana
💛💚💛💚💛
Hatimae ugonjw umepon 😂😂 ila mzee said
Chagamba umetuchelewesha😊😊
ILA MZEE SAID WEWE NDIYO SHABIKI WA KWEL WA SIMBA NAKUKUBALI SANAAAA....!
Mim ni mshabiki wa simba ila yanga wapewe makombe yao mapema🎉🎉🎉
Huyu ndo mtu wangu mimi #Mzee_Saidi From US #Monrovia_Indiana 🇺🇸
Tena tunataka kumuomba semaji jina la hiyomeche iitwe chama day❤❤❤
MWAMBA DAY
Mtu wa maana sana said
Unamtukana mzee umri wa bb au babu yako,sio vizuri,uwe na subira,mungu hapendi,wazee kama hawa ni lulu kuwa nao ktk michezo inayopendwa na wengi duniani
Umeongea point et utakuta comment Mtu amemtukna Mzee aisee watu wa ajbu sana
Hyu mzee Said anaongea vzr sana Yani huchoki kumsikiliza🤝🙌🙌🙌
Nakukubali xana Mzee saidi Huwa napenda unavoongea
Wakwanz😂😂😂leo