EXCLUSIVE: SHAFII AFUNGUKA (A - Z) SABABU ZA KUPIGANA NA STEVE MWEUSI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лип 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 198

  • @user-uv7op5yp6n
    @user-uv7op5yp6n 13 днів тому +148

    Kama unamkubali Steve gonga like za kutosha

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 13 днів тому +6

      Steve na mtu na nusu

    • @AdamAmos-rr6fg
      @AdamAmos-rr6fg 13 днів тому

      Mtu nanusu nimwanamke​@@GibsonNtamamilo

    • @ramamakelo3780
      @ramamakelo3780 12 днів тому +5

      Hawamuwez Stive hawa wangese, gasho. Stive kitambo sana kwenye tasnia hii

  • @amaizingvideo8858
    @amaizingvideo8858 13 днів тому +12

    Shafii msenge tuu mwongo hana confidence ya kujitetea

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 13 днів тому +26

    Ushamba tu,msemo msemo kwamba wewe ndio wa kwanza kutunga misemo ? Mijitu mingine chefuuu

  • @ayub6465
    @ayub6465 12 днів тому +4

    Ukwwli nikwamba Steve yupo level nyingine tofaut sana na shafiii

  • @MishekiLukali
    @MishekiLukali 13 днів тому +15

    Weee shizi to shafii

  • @honestangalapa4178
    @honestangalapa4178 13 днів тому +16

    Utoto mwingi tu, hamna la maana

  • @ALBATWA5-zh4zk
    @ALBATWA5-zh4zk 13 днів тому +12

    Shafi mavi tu huyu
    Achana na simba kilaka kenge wewe,!

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 12 днів тому +5

    Kifupi Shafii tatizo maana swali la Tambwe ulilo muuliza Shafii swali zuri sana umekaa na msemo mda wote huo miezi 6 mtu anachukua kitu kdg anakifanyia kazi kinampatia kipato kifupi Shafii shida

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 13 днів тому +7

    kiki za kiduanzi😊...afu skilizeni wamama wa kiswahili ndo kunatoka maneno hayo..na so kwamba wanatunga inatokea tu kwenye kuzungumza..mkitumia kwenye content zenu ikienda gafla mnageuka waanzilishi tena😊

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 13 днів тому +9

    Jomba anaonekana kabisa nimuongo wa hatar ww hujui hujui tuu😂

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 13 днів тому +6

    Mm huyu Binti Nampendaga sanaaaa aisee

  • @piusdriver7842
    @piusdriver7842 12 днів тому +2

    Huo msemo ni wangu .shafii kautoa kwangu sema nimekosa platform

  • @bishopalfreddywilliamu2382
    @bishopalfreddywilliamu2382 13 днів тому +8

    Hahahaha eti msemo? Wahenga wame toa misemo mingapi mbona hawapigi watu

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 13 днів тому +9

    Mbona me huu msemo nimeusikia Kwa mwakatobe anautumia umalaya tu kuaoga aah hizi kenge Nazo bwana 😂😂 halafu hiki kijamaa nacho bwana kinatafuta umaarufu tu kupitia Steve

    • @romzy_tz7305
      @romzy_tz7305 12 днів тому

      Kabisa tena kwenye movie ya snake boy😂

  • @Hope_Plus
    @Hope_Plus 13 днів тому +6

    Sasa wewe shafii unaubunifu gani zaid ya Ku copy 😂 na huna content yako ambayo umefanya umeenda sna zaid ya Ku copy sema mwana umezingua Steve Ili u trend huna jipya Steve ni content creator mzur sna na amekuzid mbali sana acha kumzingua Steve bhana, kwana maelezo yako inaonekana kabisa msemo sio wako kuiba misemo tu kubuni aaah😂

  • @KassimMakame-dq6nq
    @KassimMakame-dq6nq 13 днів тому +6

    😂😂shafii unachuki naunakik t ndouzotk wew acheni kumuonea wivu Steve

  • @MosesDarius-p7f
    @MosesDarius-p7f 12 днів тому +2

    Shaffi unadangaya bro ❤❤❤❤ sema ukweli

  • @ernestnzoyikorera4629
    @ernestnzoyikorera4629 13 днів тому +15

    Shafi acha kujichafua mwanangu huo msemo sio wako pia wewe hata ungefanya usingefika popote sema hata ukitaka na nyimbo zake tukuachie Aaaaaah Aaaaaah 😂😂😂

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 13 днів тому +5

    Shafii basi tukukipe utuachie huo msemo maana umeendana na sisi aki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 13 днів тому +4

    Huna lolote unajiaribia wee huogopi,haya namie nikapambane na suzi bale mbn maneno tunaiga mengi,umekuja juz tu shafii unajiona bichwa kubwa tive ameanza kitambo lkn hakuwa na makuu mpk leo

  • @dumabagame3901
    @dumabagame3901 13 днів тому +17

    Sasa hajawahi kuwa mshkaji wako unamtaniaje

  • @Gabriel-f7x
    @Gabriel-f7x День тому

    Shafii acha ushambaa, broo unazingua hujui lolote tambii kichaniii kuoga aaaa

  • @user-uv7op5yp6n
    @user-uv7op5yp6n 13 днів тому +3

    Huo ni utoto mnao fanya fanyeni kazi mtufuraishe bhan

  • @KurubhoneJonas-hq4dv
    @KurubhoneJonas-hq4dv 7 днів тому

    Mtangaji uyo dogo umemuuliza swali zuri sana

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 13 днів тому +3

    Mna hoji upande mmoja ...achen izo bhn muhojin na Steve ...ila Steve ndo kila kit....dog anaonekana mkorof sana

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 13 днів тому +12

    Huyo dogo mkorofi sana msemo ndio urushe ngumi mpumbavu Huyo dogo

    • @volkenge
      @volkenge 13 днів тому

      Sasa matusi ya nini ndugu me mwenyew shabiki wa steve lakin kwenye ukweli ubaki ukweli steve pale ndio alioanza alitafuta kupigwa mwenyew

    • @volkenge
      @volkenge 13 днів тому

      Au naongopa

    • @SemeniOjoni
      @SemeniOjoni 13 днів тому +1

      Ngumi zakimama

  • @AfidhiRajabu-q2f
    @AfidhiRajabu-q2f 9 днів тому +1

    Why haukuwa wa kwanza kutumia acha kujichetua una vitu vingi wap????

  • @MamlakaAdalbert
    @MamlakaAdalbert 13 днів тому +3

    Huyo jamaa mkorofi maanaa anachoongea akina matiki

  • @PaulinaOctavian
    @PaulinaOctavian 11 днів тому

    Steve sio level yako shafii acha ushamba

  • @MasokaSakina
    @MasokaSakina 12 днів тому +1

    Uwo msemo niwa Steven mweusi

  • @madahaisack1268
    @madahaisack1268 12 днів тому

    Aliya ameulizaa swali nzuri sanaa

  • @AthumaniSelemani-o1l
    @AthumaniSelemani-o1l 8 днів тому

    Kwani uyo shafii pia msanii na km msanii wanini wakuogelea au wakula sana mimi sijawai kumueelewa uyo jamaa😂😂

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt 13 днів тому +1

    Nyie ni kioo cha jamii yaani mnajiaibisha. Alafu kama ungeweza kumuachia kwa nini hukumuachia ili msijiaibishe

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 13 днів тому +2

    Acheni utoto harafu ata hamjatrendi acheni ushamba nyau nyie 😅😅😅😅

  • @OmarMwer
    @OmarMwer 8 днів тому

    Sisi twajuwa Steve aaaah

  • @user-pi2ih6qr3n
    @user-pi2ih6qr3n 11 днів тому

    Steve ni mtu clean heart.hawa madogo wamekuja juzi tumewapa attention wameanza kujisahau.Msemo ni kitu cha kurushiana ngumi?
    #learnfromEliudSamuelnaTxDullah,they're cool guys

  • @user-dq4ur9kk6h
    @user-dq4ur9kk6h 13 днів тому +1

    Ila watu bana Yaani mwenye msemo ni Mimi nyie mnautafutia ugali 😂😂ngoja nimcheck mwanasheria wangu 😏

  • @dianerditto
    @dianerditto 13 днів тому +2

    Em tutokee huko bwana useme wewe kitu nani akishobokee umebeba mashavu na ulimbukeni tu kwendwaa

  • @Stevemweusioggy
    @Stevemweusioggy 11 днів тому +1

    SHAFF KIUKWELI KAFELI TU ATAFUTE MENGINE IRA KWA HUU MSEMO STEVE MWEUSI NDO KAUWEKA MJINI NA SISINTUMEJUA KUPTIA STEVE PIA UMETAMBA KUPTIA STEVE 😂😂😂😂

  • @JoyceMartin-ex6zw
    @JoyceMartin-ex6zw 11 днів тому

    Wew NI mwiz shafii hatakama ujiteteeje Mim binafsi swez kukuelew

  • @LuciaMsabila
    @LuciaMsabila 12 днів тому

    Shafii muongo jmn mwizi sana huyo

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 12 днів тому

    Huyo shafii mjinga sana,kwani we ndiyo wa kwanza kuanzisha misimo,pumbafu sana ww

  • @mwanaidimatanoabdarahman9135
    @mwanaidimatanoabdarahman9135 12 днів тому

    Uyo safii ikekua museum ni wake zi age-related mwapie ahaje ujinga sana kama umekauka nenda ukalale 2

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 13 днів тому +2

    We ule msemo sio wako Sema umekaa kikikee

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 11 днів тому

    Shafii anaonekana mshari afu anashikilia vitu vidogo rohon kama wa kike bhna mbona kitu kidg sana,,afu sasa leonrdo kafanyiwa interview akasema msemo kwa mara ya kwanza alisikia kwa stive, ndaro huyo huyo unayesema ulimwambie leo amekwambia acha wizi, kwahyo huoni kama mnaleteana mabifu yasiyokuwa ya maana jamn

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani 13 днів тому +1

    Msemo wa wadada wakuvaa visocks na vibagi vya micky mouse ndo mnapigana wacheni ujinga

  • @AthumaniSelemani-o1l
    @AthumaniSelemani-o1l 8 днів тому

    Stive atqbaki kua stive tafuta msemo mwengine sisi twajua uwo ni wastive kwende media2 umbea aaa shafii acha longo longo umbea2 kuimba aaaa😂😂

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 13 днів тому +2

    We dogo huna akili unatafuta kiki

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba6056 13 днів тому +2

    Afu uyo dogo ata huwa simuelewi et

  • @AmergoBenit
    @AmergoBenit 10 днів тому +1

    Muongo ata auja fika makama ulisha shindwa

  • @Cutterose
    @Cutterose 11 днів тому

    Wewe hauna haukuufikisha huo msemo kama Steve kulalamika tu kujituma aaaah

  • @AshaRajabu-h7h
    @AshaRajabu-h7h 8 днів тому

    U a not seriously bro u can change another thing apart from aaaaah , okay wat thing for the fast song Steve nyeuc aaahaaaaaa aaaaah it was some thing special keep up u mind bro u can change some idea

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 13 днів тому +1

    Msemo lazina urasimishwe... Acheni ushamba fanyeni kazi mazeee watu wapate burudani

  • @user-zk1sc8fi5p
    @user-zk1sc8fi5p 13 днів тому +1

    Wewe shafi huna chochote kojoa ulale😂😂😂😂ujinga 2 muone bithwaaaaaaa kuliosha aaaaaaaah😂😂😂

  • @malimathegreattv9251
    @malimathegreattv9251 12 днів тому

    Shafii acha kujibebisha
    Tutakukataa wote kwa uongo wako
    Msemo ni wastev

  • @stamiliayubu2294
    @stamiliayubu2294 13 днів тому

    Shafii unazingua sana bana

  • @DjJackAfricanboy
    @DjJackAfricanboy 13 днів тому +1

    Kanasema uongo tyu unwell aaaahh

  • @chomwabonzo8811
    @chomwabonzo8811 12 днів тому

    Hawa ndio maana watu wanasema wanapumuliwa usogoni kwa vitu kama ivi vya kupuuzi aisee ndio nn sasa eti

  • @user-bu8nv5gf8d
    @user-bu8nv5gf8d 13 днів тому

    The last lady is smart.
    Anaitwa?

  • @oscargolden7932
    @oscargolden7932 11 днів тому

    We dogo unafeli tafuta kazi nyingne ya kufanya...we una jelous sn huwez toboa kwa staili hizo..steve kakuzidi mbali san

  • @AmergoBenit
    @AmergoBenit 10 днів тому +1

    Matako yako wa mushamba Mimi Niko Zambia niko ndugu na Steve

  • @Cutterose
    @Cutterose 11 днів тому

    Shafi Anazengua kwasababu huo msemo alimtania Steve ila yeye hakumuambia official kuwa ni msemo wake wa kazi
    Unazengua shafi kaonge ukoooo fala wewe

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 11 днів тому

    Dada acha choyo misemo ilianzishwa mingi tu na waswahili wala hawapigani acha utoto

  • @biggiee1
    @biggiee1 12 днів тому

    Sasa huyu nae sio mzima sasa atakama yeye ndo alimwambia mwenzake akaona unaweza tumika kama msemo na yeye hakutaka kuutumia sasa analalamika nini.

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 12 днів тому

    Hata hapo huna la kusema

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 12 днів тому

    Mm nyimbo ya Ray Van ya nitatokaje nilijua wa stan bakora mana alitowa adi vdeo😂

  • @Forester__
    @Forester__ 12 днів тому

    Bas na ule wimbo wa Steve uliotrend ni wako?

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 8 днів тому

    Wapi haooo wabongo wanazingua

  • @SabrinaSwalehy
    @SabrinaSwalehy 12 днів тому

    Acha wiv kwaiyo umeshindwa kumtafuta sehem nyingine mpaka hadhara ya watu halafu unamsitukiza mwenzio inamaana we umejiandaa kwenda kipigana acha ushamba we unamsemo misemo yote ni ya zamani

  • @fadhilimasud-mb9nk
    @fadhilimasud-mb9nk 13 днів тому

    jamani shafii anaakili

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 12 днів тому

    Kusema kweli tangu stive amzungumzie ndio nimelijua jina la shafii

  • @TarazaLove
    @TarazaLove 12 днів тому

    Huo shafi hana akili eti wanagombana kiss musemo

  • @user-samweli
    @user-samweli 12 днів тому

    Shafii ni msenge tu alafu hapo hawakupigana

  • @ommimg2467
    @ommimg2467 12 днів тому

    Kwanza nilikuwa simjui lakin nimemuona Hana akili halafu hichi kitoto cha elfumbili bado hakijakuwa kifundishwe maisha haka

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King 12 днів тому

    Huyu jamaa ni nani?
    Mi namjua steve mweusi

  • @blankoboy898
    @blankoboy898 11 днів тому

    Shafii unajiharibiya

  • @user-lo6gd4tg2n
    @user-lo6gd4tg2n 11 днів тому

    Mi naona mnajiaibisha tu, mtu sio mwanao then unasema ulimtania

  • @ramseychobaliko1002
    @ramseychobaliko1002 11 днів тому

    Uyu msenge mm huwa hata simjui ila Steve mweusi ni anamzidi kila kitu 😂😂😂 Steve na uyo bwege anasema Steve hana ubunifu wakati kaajili watu kibao😅

  • @gun60jgt40
    @gun60jgt40 12 днів тому

    Naomba atafutwe Steeve aulizwe huyu Shafii muongo tu

  • @calebmartinz8588
    @calebmartinz8588 12 днів тому

    Hilo kiki lao halina ubunifu wakatafute baba levo na mwijaku awafunze

  • @ItikaGwakisa
    @ItikaGwakisa 11 днів тому

    Swali ni kwamba unafaida Gani. Msemo huo?

  • @user-tw1oi4ec3n
    @user-tw1oi4ec3n 12 днів тому

    Nilianza kukufuatilia lakini nafuta hata video zako huna akili kumbe

  • @hollyboyMW254
    @hollyboyMW254 12 днів тому

    Shafii ni mpumbavuu 😄😄wizi tuu kuoga aaah

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 12 днів тому

    Haya chukuwa ww huo msemo lkn haufanani nao mishavu kama mtoto wa pka KENYA SISI TWAMJUA TU STV NDARO ,VEVO NA RINGO NA WENGINE

  • @user-sx3ys1gs9p
    @user-sx3ys1gs9p 13 днів тому +1

    Huyu yeye akachanechane madftari tu

  • @AbelNguluchaMasuke-oj7zy
    @AbelNguluchaMasuke-oj7zy 12 днів тому

    Shafii wewe ni brand kubwa acha ujinga maneno mmezaliwa mkayakuta

  • @DeborahBrown-ts2hb
    @DeborahBrown-ts2hb 12 днів тому

    Uwong tu kusema ukweli aaah

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 12 днів тому

    Msemo haufanani nao yule stev n mwamba buza buza Bambucha mishavu waumia kuwa Stv n mtu mhmu Kwa watu ww huna watu kwenda

  • @NepporSabith
    @NepporSabith 12 днів тому

    Huyu jamaa aliona wivu ndani yake but sioni sababu yamsingi anaizungumzia au kutetea hoja yake.

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 12 днів тому

    Bora Aliya umerud mjengoni

  • @RibinByamungu
    @RibinByamungu 12 днів тому

    Musemo Niwa Steve mweusi.

  • @user-gx1mn7ub5y
    @user-gx1mn7ub5y 13 днів тому

    Hana HAKILI huyo msenge

  • @user-lp6pc9dk9o
    @user-lp6pc9dk9o 12 днів тому

    Mahojiano yanaonyesha wazi jamaa kavamia mwenzie kuhusu msimo. Mara nilipo mwambia tu ghafla nikakuta kesho karuka nao, tena sikuwai kuona kama karuka Noa maana mimi si mtu wa UA-cam. Mara mimi naye si wana lakini Nika mtania tu. nilitaka nione nguvu yamsemo. Binafsi anavyo jibu maswali sipati majibu.
    Ndugu huyo ajitathmini kwanza

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich8958 12 днів тому

    This people needs to be greated by gen Z

  • @stevenmathias1739
    @stevenmathias1739 10 днів тому

    Dgo shafii we ni mwehu tu utaka ukuze jina lako kupitia kwa stev au👉

  • @samirsaidi8386
    @samirsaidi8386 12 днів тому

    Shaf mshamba anajikosha tu maana yeye ndie alikuwa anamfata mwenzie

  • @SWEMS2
    @SWEMS2 12 днів тому

    Wasafi media chunguzeni zaidi utakuja kuona shaffi yuko na akili ya kitoto.....
    By swems

  • @tchidebennyz4038
    @tchidebennyz4038 12 днів тому

    Huyu Shafii kiki tu kuoga haaaa

  • @joebinarysignals
    @joebinarysignals 11 днів тому

    Mbona mwakatobe ndo alianza kusema umalaya tu kuoga ha ha, na kitambo tu afu mtu anakuja kusema kaanzisha mxemo

  • @nasramohd9924
    @nasramohd9924 12 днів тому

    Anatakiwa achukuliwe sheria huyo dogo kw kujichukukia sheria mikononi steva kesha fany kazi nyingi kali mpaka china marekn wanamjuwa huyu mim natk ashtkiwe sio mtu mzyr