Kifupi Shafii tatizo maana swali la Tambwe ulilo muuliza Shafii swali zuri sana umekaa na msemo mda wote huo miezi 6 mtu anachukua kitu kdg anakifanyia kazi kinampatia kipato kifupi Shafii shida
kiki za kiduanzi😊...afu skilizeni wamama wa kiswahili ndo kunatoka maneno hayo..na so kwamba wanatunga inatokea tu kwenye kuzungumza..mkitumia kwenye content zenu ikienda gafla mnageuka waanzilishi tena😊
Mbona me huu msemo nimeusikia Kwa mwakatobe anautumia umalaya tu kuaoga aah hizi kenge Nazo bwana 😂😂 halafu hiki kijamaa nacho bwana kinatafuta umaarufu tu kupitia Steve
Sasa wewe shafii unaubunifu gani zaid ya Ku copy 😂 na huna content yako ambayo umefanya umeenda sna zaid ya Ku copy sema mwana umezingua Steve Ili u trend huna jipya Steve ni content creator mzur sna na amekuzid mbali sana acha kumzingua Steve bhana, kwana maelezo yako inaonekana kabisa msemo sio wako kuiba misemo tu kubuni aaah😂
Steve ni mtu clean heart.hawa madogo wamekuja juzi tumewapa attention wameanza kujisahau.Msemo ni kitu cha kurushiana ngumi? #learnfromEliudSamuelnaTxDullah,they're cool guys
Huna lolote unajiaribia wee huogopi,haya namie nikapambane na suzi bale mbn maneno tunaiga mengi,umekuja juz tu shafii unajiona bichwa kubwa tive ameanza kitambo lkn hakuwa na makuu mpk leo
Shafi acha kujichafua mwanangu huo msemo sio wako pia wewe hata ungefanya usingefika popote sema hata ukitaka na nyimbo zake tukuachie Aaaaaah Aaaaaah 😂😂😂
U a not seriously bro u can change another thing apart from aaaaah , okay wat thing for the fast song Steve nyeuc aaahaaaaaa aaaaah it was some thing special keep up u mind bro u can change some idea
Acha wiv kwaiyo umeshindwa kumtafuta sehem nyingine mpaka hadhara ya watu halafu unamsitukiza mwenzio inamaana we umejiandaa kwenda kipigana acha ushamba we unamsemo misemo yote ni ya zamani
Shafii anaonekana mshari afu anashikilia vitu vidogo rohon kama wa kike bhna mbona kitu kidg sana,,afu sasa leonrdo kafanyiwa interview akasema msemo kwa mara ya kwanza alisikia kwa stive, ndaro huyo huyo unayesema ulimwambie leo amekwambia acha wizi, kwahyo huoni kama mnaleteana mabifu yasiyokuwa ya maana jamn
Anatakiwa achukuliwe sheria huyo dogo kw kujichukukia sheria mikononi steva kesha fany kazi nyingi kali mpaka china marekn wanamjuwa huyu mim natk ashtkiwe sio mtu mzyr
Japo umejieleza lkn umeonekana shafii we Ni mkorofi saaana mwenzio ameenda kicomedy zaid lkn wewe umeenda kiuseriou zaid sasa kitu chenyewe kimekuwa kama cha kawaida sasa Ile ladha imeisha
Kama unamkubali Steve gonga like za kutosha
Steve na mtu na nusu
Mtu nanusu nimwanamke@@GibsonNtamamilo
Hawamuwez Stive hawa wangese, gasho. Stive kitambo sana kwenye tasnia hii
❤❤
Shafii msenge tuu mwongo hana confidence ya kujitetea
Ukwwli nikwamba Steve yupo level nyingine tofaut sana na shafiii
Weee shizi to shafii
Namkubali steve
Mm huyu Binti Nampendaga sanaaaa aisee
Huo msemo ni wangu .shafii kautoa kwangu sema nimekosa platform
Kifupi Shafii tatizo maana swali la Tambwe ulilo muuliza Shafii swali zuri sana umekaa na msemo mda wote huo miezi 6 mtu anachukua kitu kdg anakifanyia kazi kinampatia kipato kifupi Shafii shida
Ushamba tu,msemo msemo kwamba wewe ndio wa kwanza kutunga misemo ? Mijitu mingine chefuuu
Kwanza sio wake shafii kaiba
😂😂😂
Shafii hajielewii huyoo kichaaa tuuu😢😢😢
kiki za kiduanzi😊...afu skilizeni wamama wa kiswahili ndo kunatoka maneno hayo..na so kwamba wanatunga inatokea tu kwenye kuzungumza..mkitumia kwenye content zenu ikienda gafla mnageuka waanzilishi tena😊
Kweli maneno yako ❤
Jomba anaonekana kabisa nimuongo wa hatar ww hujui hujui tuu😂
😂😂shafii unachuki naunakik t ndouzotk wew acheni kumuonea wivu Steve
Utoto mwingi tu, hamna la maana
Shafi mavi tu huyu
Achana na simba kilaka kenge wewe,!
Shafii acha ushambaa, broo unazingua hujui lolote tambii kichaniii kuoga aaaa
Mbona me huu msemo nimeusikia Kwa mwakatobe anautumia umalaya tu kuaoga aah hizi kenge Nazo bwana 😂😂 halafu hiki kijamaa nacho bwana kinatafuta umaarufu tu kupitia Steve
Kabisa tena kwenye movie ya snake boy😂
Steve sio level yako shafii acha ushamba
Sasa wewe shafii unaubunifu gani zaid ya Ku copy 😂 na huna content yako ambayo umefanya umeenda sna zaid ya Ku copy sema mwana umezingua Steve Ili u trend huna jipya Steve ni content creator mzur sna na amekuzid mbali sana acha kumzingua Steve bhana, kwana maelezo yako inaonekana kabisa msemo sio wako kuiba misemo tu kubuni aaah😂
Mtangaji uyo dogo umemuuliza swali zuri sana
Kama unamkubal Steve weka Like apa
Shafi Hana akil
Shafii Tafuta Slogan Yako Bro Wacha kuiba Misemo Ya Watu
Shafii msenge
Hahahaha eti msemo? Wahenga wame toa misemo mingapi mbona hawapigi watu
Wahenga wote washakufa.😂😂
Aliya ameulizaa swali nzuri sanaa
naipenda kiki
Sisi twajuwa Steve aaaah
Steve ni mtu clean heart.hawa madogo wamekuja juzi tumewapa attention wameanza kujisahau.Msemo ni kitu cha kurushiana ngumi?
#learnfromEliudSamuelnaTxDullah,they're cool guys
Shafii basi tukukipe utuachie huo msemo maana umeendana na sisi aki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huna lolote unajiaribia wee huogopi,haya namie nikapambane na suzi bale mbn maneno tunaiga mengi,umekuja juz tu shafii unajiona bichwa kubwa tive ameanza kitambo lkn hakuwa na makuu mpk leo
Huyo dogo mkorofi sana msemo ndio urushe ngumi mpumbavu Huyo dogo
Sasa matusi ya nini ndugu me mwenyew shabiki wa steve lakin kwenye ukweli ubaki ukweli steve pale ndio alioanza alitafuta kupigwa mwenyew
Au naongopa
Shafii muongo jmn mwizi sana huyo
Kwani uyo shafii pia msanii na km msanii wanini wakuogelea au wakula sana mimi sijawai kumueelewa uyo jamaa😂😂
Shafi kumawe
Huyo shafii mjinga sana,kwani we ndiyo wa kwanza kuanzisha misimo,pumbafu sana ww
Shaffi unadangaya bro ❤❤❤❤ sema ukweli
Wewe hauna ubunifu wa kumshinda STEVE muongo mkubwa weww
Uyo safii ikekua museum ni wake zi age-related mwapie ahaje ujinga sana kama umekauka nenda ukalale 2
Uwo msemo niwa Steven mweusi
Shafii unajiharibiya
Msemo wa Steve jaman shafiii mbna ivo kaka
Shafii ni mpumbavuu 😄😄wizi tuu kuoga aaah
Why haukuwa wa kwanza kutumia acha kujichetua una vitu vingi wap????
Mna hoji upande mmoja ...achen izo bhn muhojin na Steve ...ila Steve ndo kila kit....dog anaonekana mkorof sana
Huo ni utoto mnao fanya fanyeni kazi mtufuraishe bhan
Shafi acha kujichafua mwanangu huo msemo sio wako pia wewe hata ungefanya usingefika popote sema hata ukitaka na nyimbo zake tukuachie Aaaaaah Aaaaaah 😂😂😂
C ndo hapo pengne Sasa angefnya na usingeenda mjini
Wew NI mwiz shafii hatakama ujiteteeje Mim binafsi swez kukuelew
😂Niko na stive namkubali sanaaa
Shafii acha kujibebisha
Tutakukataa wote kwa uongo wako
Msemo ni wastev
Shafii unazingua sana bana
U a not seriously bro u can change another thing apart from aaaaah , okay wat thing for the fast song Steve nyeuc aaahaaaaaa aaaaah it was some thing special keep up u mind bro u can change some idea
Acha wiv kwaiyo umeshindwa kumtafuta sehem nyingine mpaka hadhara ya watu halafu unamsitukiza mwenzio inamaana we umejiandaa kwenda kipigana acha ushamba we unamsemo misemo yote ni ya zamani
Shafii anaonekana mshari afu anashikilia vitu vidogo rohon kama wa kike bhna mbona kitu kidg sana,,afu sasa leonrdo kafanyiwa interview akasema msemo kwa mara ya kwanza alisikia kwa stive, ndaro huyo huyo unayesema ulimwambie leo amekwambia acha wizi, kwahyo huoni kama mnaleteana mabifu yasiyokuwa ya maana jamn
Wapi haooo wabongo wanazingua
Nyie ni kioo cha jamii yaani mnajiaibisha. Alafu kama ungeweza kumuachia kwa nini hukumuachia ili msijiaibishe
Kwanza nilikuwa simjui lakin nimemuona Hana akili halafu hichi kitoto cha elfumbili bado hakijakuwa kifundishwe maisha haka
Kanasema uongo tyu unwell aaaahh
Wewe hauna haukuufikisha huo msemo kama Steve kulalamika tu kujituma aaaah
Uyu msenge mm huwa hata simjui ila Steve mweusi ni anamzidi kila kitu 😂😂😂 Steve na uyo bwege anasema Steve hana ubunifu wakati kaajili watu kibao😅
Stive atqbaki kua stive tafuta msemo mwengine sisi twajua uwo ni wastive kwende media2 umbea aaa shafii acha longo longo umbea2 kuimba aaaa😂😂
Shafi Anazengua kwasababu huo msemo alimtania Steve ila yeye hakumuambia official kuwa ni msemo wake wa kazi
Unazengua shafi kaonge ukoooo fala wewe
Bora Aliya umerud mjengoni
Muongo ata auja fika makama ulisha shindwa
We dogo unafeli tafuta kazi nyingne ya kufanya...we una jelous sn huwez toboa kwa staili hizo..steve kakuzidi mbali san
Shafii ni msenge tu alafu hapo hawakupigana
Sasa hajawahi kuwa mshkaji wako unamtaniaje
Ajabu anajikanyaga kanyaga tu
Hawa ndio maana watu wanasema wanapumuliwa usogoni kwa vitu kama ivi vya kupuuzi aisee ndio nn sasa eti
Musemo Niwa Steve mweusi.
We chizi shafii huna msemo ww na huwo msemo hauachi Steve sjuwi utafanyaje tafuta hela shafii misemo ipo dogo acha ushamba
Matako yako wa mushamba Mimi Niko Zambia niko ndugu na Steve
Sasa huyu nae sio mzima sasa atakama yeye ndo alimwambia mwenzake akaona unaweza tumika kama msemo na yeye hakutaka kuutumia sasa analalamika nini.
Hata hapo huna la kusema
Kusema kweli tangu stive amzungumzie ndio nimelijua jina la shafii
Me mwenyew
Shafii wewe ni brand kubwa acha ujinga maneno mmezaliwa mkayakuta
Ila watu bana Yaani mwenye msemo ni Mimi nyie mnautafutia ugali 😂😂ngoja nimcheck mwanasheria wangu 😏
The last lady is smart.
Anaitwa?
Mm nyimbo ya Ray Van ya nitatokaje nilijua wa stan bakora mana alitowa adi vdeo😂
Pesa umaarufu kitu kiby sana hivi kwel kwa umr huo ni wakugombania msemo afu amesem awana ushikaji iweje ampgie ten
jamani shafii anaakili
Aaaanh ni msemo wa stevee😅😅
Kwanza shafii ndo nan mshamba2 sema anataka kumuhalibia jina2
This people needs to be greated by gen Z
Steev yuko viwango vikubwa...Shafii acha kutuleta wewe
Huyu jamaa aliona wivu ndani yake but sioni sababu yamsingi anaizungumzia au kutetea hoja yake.
Hana HAKILI huyo msenge
Wasafi mnaanza kukosa watu wakuhoji..... mtu mzima kama shaffi anawezaje kugombania msemwa
By swems
Uwong tu kusema ukweli aaah
Dada acha choyo misemo ilianzishwa mingi tu na waswahili wala hawapigani acha utoto
Shaff acha usenge izo kiki
Msemo haufanani nao yule stev n mwamba buza buza Bambucha mishavu waumia kuwa Stv n mtu mhmu Kwa watu ww huna watu kwenda
Huo niushamba shafi
hata hueleweki mskn tafuta wakwko 2😂😂😅
Haya chukuwa ww huo msemo lkn haufanani nao mishavu kama mtoto wa pka KENYA SISI TWAMJUA TU STV NDARO ,VEVO NA RINGO NA WENGINE
Shafii kama sitiv somshikaji wako kwanini ulimtania kaka acha unafiki
Anatakiwa achukuliwe sheria huyo dogo kw kujichukukia sheria mikononi steva kesha fany kazi nyingi kali mpaka china marekn wanamjuwa huyu mim natk ashtkiwe sio mtu mzyr
Shaf mshamba anajikosha tu maana yeye ndie alikuwa anamfata mwenzie
Wewe shafi huna chochote kojoa ulale😂😂😂😂ujinga 2 muone bithwaaaaaaa kuliosha aaaaaaaah😂😂😂
Japo umejieleza lkn umeonekana shafii we Ni mkorofi saaana mwenzio ameenda kicomedy zaid lkn wewe umeenda kiuseriou zaid sasa kitu chenyewe kimekuwa kama cha kawaida sasa Ile ladha imeisha
Em tutokee huko bwana useme wewe kitu nani akishobokee umebeba mashavu na ulimbukeni tu kwendwaa