S.L.B ni Sanduku la Barua... Nafikiri anamaanisha magari yale ya zamani ya kudeliver barua. Gari inatoka Posta na barua,then inarudi tupu. Nafikiri nimemwelewa hivyo.
Ila mzee hapa kwa yanga kugoma kuingia vyumbani umenifanya nicheke nimeparudia mara 5 kusikiliza et sisi tukaingia tulipitoka haya twendeni tukamalizane ooh chali jamanii😂😂😂😂😂😂
Ila mzee said mlishapigwaga nje ndani misim 5 na nusu kiufup mlishafungwaga mechi 11 mfululizo na yanga mwaka 1968 mpka 1974 ila msim huu magoli yamekuwa mengi mno
@@jwisetv4833 maana unadhani nilichokiandika nimekurupuka?? Nenda ukafatilie vizuri hiyo miaka ya 1968 mpaka 1974 kwenye round ya kwanza alf hesabu katika msimu 5 simba na yanga zilikutana mara ngapi na uangalie ni tim gani ilikuwa inashinda na ujumlishe na mech 1 ya msim wa 6 round ya kwanza alf utapata majibu nadhani umenielewa au kwakua mim syo simba huwezi kuniamini basi mtafte mwenyekit wako mstaaf kaduguda atakujulisha vizur zaid
@@sakinasakina1286 mbuzi wewe na mangungu na wale mbuzi 4 mlochinja hamkujua pale hotelini mlipofikia na wale wahudumu waliokuwa wakiwa huduma ni mashabiki wa nani mmeula wchuya wale wahudumu waliokuwa awakisafisha vyumba nakuwa pokea na kuku saidie i kuleta ubani wote walikuwa ni mashabiki wa yanga kwahiyo wlaichokuw awakikifanya kila HATUA wao wanafikisha habari mahalı saşa hii na wao walitulia hawa kutaka kuwa stua kwahiyo nendeni mkaroge tena. ....... Zanzibar niya makamu wa raisi wa ya.nga na sio ya SİMBA 😂😂mlijua wale waliokuwa pale mkawa mnashirikiana ni SİMBA wenzenu apiii
Mimi yanga ninaishi sauth Africa ,ila ninampenda sana SAIDANAONGEA UKWELI na ukomedi kidogo chagamba mda wote mtafute huyo na masatu wazuri sana kwenye program zako.
Mzee said simba watachukua kombe la muungano alf usilalamike sana bhana kwani azam alipoifunga yanga si mlifurahi wenyew kuporomoka kwenda nafasi ya tatu haya sasa 3 imewang'ang'ania kwakuwa mlihifrahia hamtok hapo endeleeni kuishangilia azam kama mlivyowashangilia kuifunga yanga sawa
The bad management is very disappointing to us Simba fans internationally while abroad "please please all the leaders should be held accountable and the team should be re-engineered
Chasaambi Iko IV iyo chanenll tunaomba wahoji ni mirraj Mzee said na yule masatu ndo tunaowajitaj ao wengne uwe unamalizana nao huko sana tunamtaka s@id mzeee 😂😂😂😂
Mzee masatu,mzee saidi na miraji nyieee Mungu awape maisha marefu na wew chagamba na familia yotee ya finest online ❤❤❤❤🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🦁🦁🦁🦁
Finest online mnatisha sana mzee said na miraji wako moto
Daaaah kutoka South Africa 🇿🇦 na enjoy San na mzee Saidy 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mweeeeeeeee
Kila jagamba unatakiwa uende kwa Mzee said shabiki zako tunaenjoy sana sitori zake saidi
Kianzia leo isipite wiki bila kumuhoji mzee Said 😂😂
😂😅😂😅😅Mzee Saidi Utaniua Mbavu Zangu Nimecheka Sana Maneno Yako Balaa"
Hahahhahahaha nilikua namsubir mzeee said kwaa ham Sana hahahhaa dah. Hapa sikudai chagamba
Leo bwana chagamba kula MB zangu Mzee namuelewa sana
Mzee saidi nakukubali xana unasemaga ukweli
Tunakupenda mzee Saidy
😅😅😅😅😅😅😅😅😅yani chagamba na mzee said mnanipaga raha
Leo mzee said kapatikan😂😂😂 nimemsak sana chagamba xhukuran kwako🎉🎉🎉🎉 msalimie sana
Mzee Saidi Akizomewa Anagugumia kwa ndani tu!!😂😂😂😂😂😂😂
Mzee said nimecheka mno,Gamondi amesemaje?😂😂😂😂😂😂
Mzee Said unanipa rahaaa wee😂😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏
😅😅😅😅😅😅nimekuwa naisubir iyi ya mzee saiid😊
Ktk bango la 7_2 ilibidi iwe na picha ya mzee said😂😂😂😂
weka picha yako huna sura mpaka ya mzee said
Ukiwa na stress msikilize Mzee Saidi strees zote zitaondoka 😂😂😂😂😂😂😂Mzee Saidi nakukubali sana
Nakupata vizuri mzee said nikiwa Dubai unaongea ukweli viongozi hawafai
S.L.B ni Sanduku la Barua...
Nafikiri anamaanisha magari yale ya zamani ya kudeliver barua.
Gari inatoka Posta na barua,then inarudi tupu.
Nafikiri nimemwelewa hivyo.
😂😂😂😂yani huyu mzee said kipind chake huwa nakisubili san ili nifrahi kwakweli😂😂😂😂😂😂
Hata Mimi nimemaliza sana bando nikimtafuta nimeamua kukopa😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakukubali mzee said
Uwa na furahi sana nikimuona Mzee saidi 😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mzee Sideeeeeeeeeeee, wajinaaaaaaaa
Kaka usimuache huyo mzee 😂😂
Mzee wangu pendwa na mwanangu changamba big up nawafatilia nikia USA 🇺🇸
We Mzee Said weeeee🤣🔥Nakupenda sana mtani😂❤️
Hyuu mzeee namkbali can
Finally Mzee Saidi ameongea😂😂😂 nikiwa Kenya nakupata Mzee wng 😂😂
Mm shabiki wa yanga ila mzee said namkubali sana🎉🎉
Leo wa kwanza kwa chagamba naombe like
Hautaenda kwenye frijii babuu safi sanaaa Allah atakulindaa Simba nguvu moja
mzee said nimekupenda bure umeichukua hiyo 7/2😂😂😂
Mzee unanipa raha🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
Nilijua mzee said lazima abatize jina😂😂😂😂
ninapendaga sana mahojiano na huyo mzee
Ila mzee hapa kwa yanga kugoma kuingia vyumbani umenifanya nicheke nimeparudia mara 5 kusikiliza et sisi tukaingia tulipitoka haya twendeni tukamalizane ooh chali jamanii😂😂😂😂😂😂
Atali sana😂😂😂😂
Badoo hajasema, mpaka msemee
Mamagwee mamagwee always for me , mzee saidi 😂😂😂😂
😂😂😂😂tumepata jina lingine la mtani uyugu uyugu fc by Mzee said kubabake wekawekawekaweka umtuu umtuuu
😂😂😂Uyugu fc
@ratybkheir8674😂😂😂😂😂😂 watakufa na majina mwaka huu jaman
Pamoja sana mzee Wangu
Tuzid kupambana wana Simba
Naomba mnisaidie namba ya uyo mzee jaman❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂 nagugumia mimi ila mzee said anafrahisha San 😂😂😂😂😂
Nlikua na hamu Sana nione interview
😂😂😂😂Mzee saidi jamaniii 😂😂
Mzeee said chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako baba nakukubalii mzee
😂😂 mzee said kweli kabisa tunaumia ila hakuna namna tusubir mwakani
Unanitoshaka stress mnzee😂😂😂😂😂 😂😂😂😂 😂😂😂
Nakupata vizuri nikiwa Kigali Rwanda
Hahahahaha mama gweee mamagwee fc
Ila mzee said mlishapigwaga nje ndani misim 5 na nusu kiufup mlishafungwaga mechi 11 mfululizo na yanga mwaka 1968 mpka 1974 ila msim huu magoli yamekuwa mengi mno
Acha uongo na ushabiki weka apa source of information
We mpira umeanz kufwatilia lin mzee
@@jwisetv4833 maana unadhani nilichokiandika nimekurupuka?? Nenda ukafatilie vizuri hiyo miaka ya 1968 mpaka 1974 kwenye round ya kwanza alf hesabu katika msimu 5 simba na yanga zilikutana mara ngapi na uangalie ni tim gani ilikuwa inashinda na ujumlishe na mech 1 ya msim wa 6 round ya kwanza alf utapata majibu nadhani umenielewa au kwakua mim syo simba huwezi kuniamini basi mtafte mwenyekit wako mstaaf kaduguda atakujulisha vizur zaid
@@jwisetv4833😂😂😂 nenda msimbazi pale Kuna chumba Cha kumbukumbu
@@jwisetv4833 mfate mwenyekit wako mstaaf kaduguda ukaamuulze labda akikwambia yeye utaamini ila tambua namba hazidanganyi
Changamba mzee said anatia uruma😂😂😂😂😂
Nakubali sanaaa uyo mzee 😂😂😂😂💪💪💪💪
Napenda sana kumskia mzee saidi
Hahahahaha Mzee said ban😅😅😅😅,Bado Mzee masatu
Changamba thank you bwana unanifurahisha ukimhoji huo mzee kabisa
Kuanzia leo uyuguuyugu fc
Nampenda sana mzee ananifurahisha 😂😂
Mzee said tunampenda sana😂😂😂😂
mzee saidi popote ulipo shikamoo nakukubali sana wambie hao wasio jierewa wapuusi kabisa 😂😂😂😂
Simlienda zenji kuroga nyie😅😅
nawe kafie mbali ulisikia zanzibar ndyo kwenye waganga mbuzi kweli
@@sakinasakina1286 mbuzi wewe na mangungu na wale mbuzi 4 mlochinja hamkujua pale hotelini mlipofikia na wale wahudumu waliokuwa wakiwa huduma ni mashabiki wa nani mmeula wchuya wale wahudumu waliokuwa awakisafisha vyumba nakuwa pokea na kuku saidie i kuleta ubani wote walikuwa ni mashabiki wa yanga kwahiyo wlaichokuw awakikifanya kila HATUA wao wanafikisha habari mahalı saşa hii na wao walitulia hawa kutaka kuwa stua kwahiyo nendeni mkaroge tena. ....... Zanzibar niya makamu wa raisi wa ya.nga na sio ya SİMBA 😂😂mlijua wale waliokuwa pale mkawa mnashirikiana ni SİMBA wenzenu apiii
@@sakinasakina1286 zanzibar niya arafati. Sio ya SİMBA
Benchka ana benchika kwenye benchi😂😂😂🤣🤣
Nataman uyo mzee awe anaongea Kila siku namkubali sanaaaa mungu ampe maisha marefu naomba mnisaidie namba yake 🌹 🌹🌹🌹🌹🌹
Ukiipata no na me nitumie mwananchi 🙏🏼
Mlituonea Sana Sasa Mnalia Mtateseka Mno.🤣🤣🤣🤣🤣😊
Nimefurai tena kukuhona mara tena ❤❤❤
Jamani nimecheka eti lefa nasema pyeeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mimi yanga ninaishi sauth Africa ,ila ninampenda sana SAIDANAONGEA UKWELI na ukomedi kidogo chagamba mda wote mtafute huyo na masatu wazuri sana kwenye program zako.
Well said mzee wangu
😂😂😂😂😂😂waooooooooo mzeeeee
Etii bluuu straiker😂😂😂😂
Namkubari Sana mzee said ananichekesha sana
😂😂😂timu inaenda vipande vipande😂😂
Chagamba hapo anaenjoy kinoma😅😅😅 cheka baba huyo mzee n 🔥
HUYO MZEE anafurahisha sanaaa😂😂😂😂
Mzee balaa sana huyu 😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kkkkkkkk mzee Saïd
ila huyu mzee😂😂😂😂😂
Simba yetu imerojeka sana. Viongoz wengi masela
Chagamba tunakuombea maisha marefu unatupa burudani
UYUGU UYUGU JINA ZURI SANA ..TIMU YA MANGUNGU KISHA UYUGU UYUGU JINA HILO LIMEOWANA NA MANGUNGU ..UKIBISHA TRY AGAIN ..
Huyu mzee nampenda sana kwenye uchambuzi😂😂😂
...nadoooo hajasema😂
Yan huyu faster😂😂❤
😂😂😂😂😂huyu mzee
Mzee said simba watachukua kombe la muungano alf usilalamike sana bhana kwani azam alipoifunga yanga si mlifurahi wenyew kuporomoka kwenda nafasi ya tatu haya sasa 3 imewang'ang'ania kwakuwa mlihifrahia hamtok hapo endeleeni kuishangilia azam kama mlivyowashangilia kuifunga yanga sawa
Azam hawapo uko?😊
😂😂😂😂😂 ETY SIJUI LINI
Mzee saidi 😂😂😂😂😂
benchika anakaa anabenchika kwenye benchii😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Nimepiga cm Sana hupokei cha gamba😂😂
Friji 😂😂😂 daaah
The bad management is very disappointing to us Simba fans internationally while abroad "please please all the leaders should be held accountable and the team should be re-engineered
😂😂😂😂😂😂😂et refa anashangilia penati
Woyoooooooo😂😂😂😂😂
😅😅 Mzee Side
UYUGU UYUGU FC
Ila huyo mzee jaman😂😂😂😂😂😂
Pah Omary Jobe
Chagamba nitafutahi Sana kukuo the crown media. Kwa uwezo wako pale ndio kwenyewe
Mzee said utaniua kwa kucheka 😂😂😂
Chasaambi Iko IV iyo chanenll tunaomba wahoji ni mirraj Mzee said na yule masatu ndo tunaowajitaj ao wengne uwe unamalizana nao huko sana tunamtaka s@id mzeee 😂😂😂😂
😅😅😅😅Mudathiruu😂😂😂😂