Amefikisha ujumbe kwa tanzania kwa njia hii mm hii nimeipenda sna namkumbuka mh aggrey mwanry !! Wasomi wameelewa .hongera mama yangu na clip hii itaangakiwa na wengi na ujumbe utawafikia wengi
Ila Nakupenda Kwa Hilo mana mm binapsi naumiya wtt wadogo wanavyo bakwa na mfatilie na mtoe hukumu Kwa wale wanao wabaka wtt wadogo inauma nimeshuhudia wtt km watatu tn ukipeleka kesi police hawachukui hatua unashangaa yule alo mbaka mtt anaachiwa huru ndomana ushoga unazidi wtt wanabakwa cn na mtt akisha fanyiwa hvyo ndo kashaharibiwa ht atibiwe ni mtihani mm naomba wanao baka pia wtt wafungwe kifungo Cha maisha hao mana ni wauwaji ikitokea hukumu hiyo wataogopa kidogo
Mimi ni shahidi kwa huyu mama Nimekuwa namtumia matukio ya kikatili ana act immediately tens basda ya kunijibu. Na nimeona clip nyingi akifuatilia mwenyewe matukio mengi san.
Waziri wakuigwa mfano, anaomba pesa za uma kwa adabu, kwetu waziri ni mkubwa, anapo pata mamlaka ndipo adabu zatupwa kupitia dirisha, na anacho kisema ni amri.
Hawa wanamjua anaetamka na kuhalalisha lakini kila mtu hataki kumtaja wanakaa kuhisiana tu sisi wanainch tutamuamini nani kizazi kijacho kitaagamia tunaona hivi.
Sikilizn jaman hawa watu kampen zinakaribia kwaiyo hapa kila mtu atajitia kulia ili aonekane ana uchungu na watazani wakisha maliza ucjaguz na wao bas watakuja na sera za kipuuzi wanatafuta kura kwa namna hiii mie nisjashtuka zaman cha msingi haya majanga tumlikie mola wetu mlez tuu bas 😂😂😂😂
Mimi narudi bongo very soon nimeshakuwa nabii nakuja nabii kabwela nakuja kubariki ugali maharage utakaoponya magonjwa tanzagiza yote hata ugonjwa wa upumbavu !
Amefikisha ujumbe kwa tanzania kwa njia hii mm hii nimeipenda sna namkumbuka mh aggrey mwanry !! Wasomi wameelewa .hongera mama yangu na clip hii itaangakiwa na wengi na ujumbe utawafikia wengi
Mungu tusaidie kizazi chetu kinaangamia
Sema mama raisamia yukowapi jmn hojamuhim san
Ila Nakupenda Kwa Hilo mana mm binapsi naumiya wtt wadogo wanavyo bakwa na mfatilie na mtoe hukumu Kwa wale wanao wabaka wtt wadogo inauma nimeshuhudia wtt km watatu tn ukipeleka kesi police hawachukui hatua unashangaa yule alo mbaka mtt anaachiwa huru ndomana ushoga unazidi wtt wanabakwa cn na mtt akisha fanyiwa hvyo ndo kashaharibiwa ht atibiwe ni mtihani mm naomba wanao baka pia wtt wafungwe kifungo Cha maisha hao mana ni wauwaji ikitokea hukumu hiyo wataogopa kidogo
Mimi ni shahidi kwa huyu mama
Nimekuwa namtumia matukio ya kikatili ana act immediately tens basda ya kunijibu. Na nimeona clip nyingi akifuatilia mwenyewe matukio mengi san.
Mama tulikutuma bungen ukawe comedia 😅😅 niitien mchungaji amchukue shemeji yake
😂😂😂😂 acha kumsumbua baba yangu bi shop Gwajima 😂😂😂
😆😆😆
😂😂😂😂😂
Mzaha mzaha tu na comedy
🤣🤣🤣🤣wachane na babayeti
Tunatak sheria ipitee na hatua zichukuliwe sio kuzungumza tyuu
Naibu waziri wa afya alizungumzie hili swala kwa uzito jamani😢😢😢
Tanzagiza ya Bibi tozo hiyo inapepea kama panyuwahi 😅😅😅Bunge komedi show 🎭 😅 wajameni Daktari Gwajima ni mbunifu sana
Inahitajika Nguvu ya pamoja, kuchukua hatua, sio project tutor majumbani
Ulifanya kwa binti alierawitiwa na waliotumwa polisi?!!
Mama Gwajima nakupenda nitakuwa shahidi UNAPAMBANA sana na hilo swala SIMAMA haijalishi wanakusema wanakataa USHINDI tuu
Amefikisha ujumbe mama
Acha usanii, sema sitaki ushoga unalia Nini wakati mashule ndo yanaongoza kufanya ujinga huu
Mnafiki huyu mama hata peponi hafiki
Dhalau boss wangu
Kigagura anafanya makusudi ili kumkwaza mrembo wetu🤣🤣🤣
Ht na mm nakupongeza inauma tunaogopa ht wtt wetu wa kiume
Ulifanya nn kwa binti
Mi nimechoka na hii🇹🇿 mtu analia sasa kilio kinasaidia nini kwanza naona vituko tu
Ni kweli, taja mikakati kuondosha na Wala usiwe kuwauwa bali mkakati uwaondowe huko wahanga walikozama
Inaumiza sana kwa kweliii
Badilisheni sheria huo ukomedia hausaidii
Anafanya Mzaha kwenye mambo serious! Hizi wizara inataka mtu seriaz kidogo!
kama senge
Hafanyi mzaha. Huyu Waziri anapambana sana masuala ya ukatili wa kijinsia.
@EmmyMo are you serious. Huyu mama ni very hardworking, halafu unaleta mzaha.
Wametuweka sisi wananchi ni midori au maroboti wanatuseti wanavyotaka hovyoooooo
Gwajima ❤
Huyu mama ni Muigizaji... kumbukeni kipindi ya korona akiwa na waziri wa afya
😂😂 hi inchi uhuru umezid😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nchi nzito hii kila mtu comedian😢
😂😂
😂😂😂😂
Waziri wakuigwa mfano, anaomba pesa za uma kwa adabu, kwetu waziri ni mkubwa, anapo pata mamlaka ndipo adabu zatupwa kupitia dirisha, na anacho kisema ni amri.
Amelia wapi hii 🇹🇿 noma san
Nakufahamu mother ulikuwa DMO wangu wasipoelewa watakubali show najua wewe nijembe ukianza kufuatilia
😭😭😭
Hawa wanamjua anaetamka na kuhalalisha lakini kila mtu hataki kumtaja wanakaa kuhisiana tu sisi wanainch tutamuamini nani kizazi kijacho kitaagamia tunaona hivi.
,😂
naomba nyota yangu ikang'ae nipendwe na kila mtu
Mi nimemwwlewa inamaana alihitaji wabunge waongee ndio apate nguvu😢 maana hili swala hata raisi ni kama hajalichukulia ki hivyo lbd alikua anaogopa
Mnaongeaga kwa maneno tu ila amtaki kuweka sheria kbc mnaogopa mtakoswa misaad
Hii nchi uhuru umezidi kupitiliza😅😅
Ama kweli mama Commedian sana huyu
Bunge komedi show 🎭 director ni Bibi tozo
Sheria kali zikiwekwe hizi kesi ushoga ulawiti ubakaji vitakwisha
😂Amechapa na kuandika
😅😅😅😅inchi siwezi kuama
Kuja uku Kenya 🇰🇪
Lakin kwanini wasingefanya kama Uganda kana kwamba tu ipitishwe Sheria au wanaogopa wazungu
huu ujinga mno maigizoooo
Sikilizn jaman hawa watu kampen zinakaribia kwaiyo hapa kila mtu atajitia kulia ili aonekane ana uchungu na watazani wakisha maliza ucjaguz na wao bas watakuja na sera za kipuuzi wanatafuta kura kwa namna hiii mie nisjashtuka zaman cha msingi haya majanga tumlikie mola wetu mlez tuu bas 😂😂😂😂
Kabisa
Tunawasubiri 2025
😅😂
Jamani. Futui. Ipo. Bungeni😂
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hatari sana wamechoka na kazi hao wamebaki kukalia viti tu na kupokea mishahara na posho dhulma
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hatari sana wamechoka na na kazi hao wamebaki tu kukalia viti na kupokea mishahara na posho za dhulma
Mimi narudi bongo very soon nimeshakuwa nabii nakuja nabii kabwela nakuja kubariki ugali maharage utakaoponya magonjwa tanzagiza yote hata ugonjwa wa upumbavu !
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 halafu wewe nini lakini unanivunja mbavu mimi
Angekuwa Magu kashatumbuliwa mtu apa😂
😂😂😂😂 niache
She is a very hardworking woman. Asingeweza kumtumbua.
@@BenedictaMagantg Tatizo ni huo usanii anaofanya hapo wa kuigiza kulia
Na mshahara analipwa tutafikaje
Huyu mama huwa simwelewagi
She is very hardworking. Mi huwa nampigia simu matukio ya ukatili wa jinsia anafuatilia immediately
Hahahahahhahahaa
Over my dead body!
Futui imegonga mjengoni nchi yangu hii sheria zipo toeni rais nae aseme
Fitui 😅😅
Si useme fistula 😢🙄🙄 bunge komedi show Bibi tozo anatafuta waigizaji 🙄🙄 🎭
Sema wazi. Kwa nini tutafute clip ya Shinyanga.
😂😂😂
Duh sasa nn hiki??🙄🙄🙄
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Bongo yani tuna usani kweli yani tunaongoQ
Bongo ni nnchi yenye vituko😂😂
😂😂😂😂
Hii ninchi ya maigizo
Muongo huyu anaiigiza tu
Hapan mama wa watu anajitahid kiukwwr angarau kidg
igiza na wew tuone mxciuu tunaona juhud zake sisi
Huyu mama anapiga kazi kwakwel kutukana watu wanaoonesha juhudi ni kuwavunja moyo 😢
Mh kilio cha kusaka pesa hicho ila waliokua akili za skuli ya mchana wataona halali kweli 😂😂
😂😂😂😂😂