Ndoto Ya Kuwa Mwanajeshi Mpaka Kuwa Designer Mkubwa Tanzania | SALAMA NA MARTIN KADINDA PT 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 33

  • @mariastella1878
    @mariastella1878 Рік тому +2

    Pole saana Martin, kifo cha mama yako kinafanana na cha my mom,hatukuwahi kuona anaumwa sana maisha yake yote,alikua wa kwanza kufariki kwenye family yetu,tunamshukuru Mungu kwa maisha ya mama zetu Glory to God🙏🙏

  • @moudmgomo5742
    @moudmgomo5742 Рік тому +3

    salama unajua sister. I wish one
    day ufanye Interview na shabiki sio nastar. nikaribishe dadaang 🥰🥰🥰🤦‍♂️

  • @josephinenamigadde5518
    @josephinenamigadde5518 Рік тому +3

    Martin is so bright upstairs

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Рік тому +1

    My beloved dada passed on the valentines day...may his soul rest in peace 🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +2

    Hujambo 🙌napenda anavy sem!!! Hujambo mimi ni Salama

  • @elizabethhonere2931
    @elizabethhonere2931 Рік тому +6

    Story ya kifo cha mama yako inafanana kabisa na ya mama yngu..😭😭😭😭😭Mungu awalaze mahali pema peponi mama zetu

  • @fathumramadhan7567
    @fathumramadhan7567 Рік тому +4

    hello madam salama napenda sana unachokifanya na watching nikiwa Doha Qatar one love 🇰🇪

    • @mohayislam
      @mohayislam Рік тому

      Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Рік тому +1

    Habari ya mother ndio ina niita moyo , Mungu wa wazazi wetu walio tangulia mbele za haki wateteye😂duniani hapa pagumu 🥰🙏🏿😭

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 Рік тому +1

    Angekuwa soldier, angependeza sanaaa

  • @lynusjacob6727
    @lynusjacob6727 Рік тому +1

    Me ckuamn Hadi wakati naweka udongo nilisikia maumivu ajabu namwon Martin maumivu aliyopitia co rahisi wanasema Bora wanaolia sanaaa

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 Рік тому

    She was a best mum and best wife MUNGU amrehemu

  • @itNeza
    @itNeza Рік тому +1

    Nipo Tayari Hapa Wakwanza Kabisa 😋💯❤️

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 Рік тому

    Pole sana brother Martin

  • @heightsmays5963
    @heightsmays5963 Рік тому +1

    Tunaomba mtuletee Mtanzania Moto Mabanga.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Рік тому

    Pole Sana Martin,, Mungu amrehemu mama aendelee kupumzika kwaamani AMINA

  • @Zainabuabdalah-vw1xw
    @Zainabuabdalah-vw1xw 5 місяців тому

    🎉

  • @nicoscarolyne872
    @nicoscarolyne872 Рік тому +1

    nipo tayari hapa wa pili kabisa

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Рік тому

    Kwani Martin anaumri gani maana anasema alimuona mwinyi model those days

  • @elizabethsakina2306
    @elizabethsakina2306 Рік тому

    Chidbenz next please 🤝

  • @judithjulius5993
    @judithjulius5993 Рік тому

    Rip mama

  • @twahasuleiman6135
    @twahasuleiman6135 Рік тому

    Salama Leo umefunikwa... Na Martin. Hhhhhhhh

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Рік тому

    My question who wears zile nguo za ajabu kwenye run way

  • @emmanuelgeorge2581
    @emmanuelgeorge2581 Рік тому

    So sad

  • @jumasaria2517
    @jumasaria2517 Рік тому

    Salama mpenzi wako nnani lakini?waniumiza sana

  • @ashurashabani7249
    @ashurashabani7249 Рік тому

    Tunaomba umlete chidi benzi

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 Рік тому

    Salama tuletee saigon au chid beenz

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 Рік тому

    uyu naee ni Nan anae hojiwaa

  • @donnietommie8444
    @donnietommie8444 Рік тому

    @YahStoneTown #SalamaNaDrLeaky