mze yupo sawa Ila kuhusu kiswahili na lafudhi tunatofautiana Hanmna sehemu ambayo haikosei na Tanga pie wanakikosea kiswahili na ukiulizia Tanzania nzima sehemu inayongelewa kiswahili safi ni Zanzibar big up mze majuto we kwetu Tanga
, NA PIA KUHUSU RAY NANI SIUI MIMI SIKUBALIANE NA RAIS KUMSAIDIA STAR KWANI KUNA WATU NA WATOTO WA MTAANI WENGI WANAITAJI MSAHADA SIO MTU ANAFANYA STAREHE MPAKA ANAJISAHAU NA KUWA MTEJA HUYU ALIKUWA NALAKE LINGINE NATAKA NIMUONE USO KWA USO INSHALLAH
jamani huyu dem aitwa nani naweza wasiliana nae vipi, huyu dem anaeongea na mzee majuto, pease help. nataka tu kua rafiki nae don't mis understand me. many thanks. I like her confidence etc
Mr Barwani. Nadhani wakati Mr Majuto amezungumzia baina mtu na ntu, mchuzi na nchuzi, hajakusudia Unguja, Pemba au Mombasa inawezekana kua ni mtani wa mtu anaezungumza hivo, lakini wako wanao tamka hivo katika moja ya sehemu nilizo tamka hapo juu. Na usimsigizie kwamba kasema uongo.
hapo na mtowa makosa majuto mimi mzanzibari tunatamka mtu sio ntu namchuzi sio ntuzi kwa hivyo usitowe khabari za uwongo. kswahili safi tunazungumza zanzibar soma history ya zanzibar kwanza
Kama Bado unamfatilia huyu Mzee Hadi Leo gonga LIKE HAPA
Legendary Majuto hakuna comedian kama KING MAJUTO no One TANZANIA
7/8/22 RIP Mzee wetu. With love from Kenya.
Namupenda Mze Majuto, he's down to earth and original!! Shukurani saana!!!!!!!!!
mungu akuzidishie umri baba majuto kwa kaziyako nzuri
Kazi nzuri sana Salama. Ninapenda sana kipindi hiki cha Mkasi. leo nimetazama mazungumzo yako na Mzee majuto. Nimefurahi sana. Big up!
Amen Mzee majuto , maombi ndio silaha yetu
Allahuma ghfir'lahu warrahamahu waskun fill jannah..tunamuomba mwenyezi mungu amrehem mzee majuto
Wat can i say..ooooooh....juto i reall lov u...ur amazing person....may God be with u
Nguli wetu mzee Majuto wa ukweli ulikuwa mchapa kazi kwa ukweli Pumzika kwa amani baba.
mze yupo sawa Ila kuhusu kiswahili na lafudhi tunatofautiana Hanmna sehemu ambayo haikosei na Tanga pie wanakikosea kiswahili na ukiulizia Tanzania nzima sehemu inayongelewa kiswahili safi ni Zanzibar big up mze majuto we kwetu Tanga
Alitakiwa aitwe king of comedy tz! cjaonaga kama yeye.
Rip majuto
Mtukufu Rais Mnunulie huyu mzee Trekta. Mchango wake ni mkubwa sana katika kuitangaza nchi na kuwezesha ajira kwa vijana. Tafadhari sana!
Azam 2
Siyo tafadhari brother, kiswahili kibovu,sema tafadhali
@@credolassana287 9ppoooooooo9o9o9oo9ooooooop
I'm
My
salama uhodar wako wote na umwamba umekaa mbele ya mzee majuto huoni ndani
RIP KING MAJUTO. MARADH NDIYO KIKOMO KWA UMRI ULIKUWA BADO NA UELEWA HEKIMA NA BUSARA KUBWA NI PENGO USANII WA TANZANIA
babu majuto big family mashallah hahaha luv from kenya
Mzee Majuto umeuwa salama na cheko
daah ilipendeza mno duuu ulale pema mzee
Tutakukumbuka Sana mzee majuto
Majuto na kukubali sana baba yangu, hakuna kama wewe, hongera sana.
VIP WW
hahahahaha we noma majuto nakukubali xan yaan hapa natoka machoz
Ijuilikane kuwa uko znz kuna unguja na pemba, sawa
hongera kwa kuomba trekta mzee wa watu una busara sana
Uko pouw sana king, respect kwako mzee
Poa sana sisi tulio inje ya inchi tunawafuata sana kupitia mkasi iyo bomba kwakutupa raha.
Wema
Tunawapenda sana pia nyinyi watu wetu wa DRC
salama we kauzu lkn kwa Majuto umekoma
Good job mzee majuto we love you
He make my night kwakumbiza menge!
R i p Mr Majuto
mungu kakupenda zaidi
Rahimahu llah
, NA PIA KUHUSU RAY NANI SIUI MIMI SIKUBALIANE NA RAIS KUMSAIDIA STAR KWANI KUNA WATU NA WATOTO WA MTAANI WENGI WANAITAJI MSAHADA SIO MTU ANAFANYA STAREHE MPAKA ANAJISAHAU NA KUWA MTEJA HUYU ALIKUWA NALAKE LINGINE NATAKA NIMUONE USO KWA USO INSHALLAH
haha that was grr8t with majuto apande mpoki for sme new stories itakua poa sana
God bless his soul
Maskin enzi zake za uhai innalillah wainnallilahi rajun 😭 our lovely papa
Tanga kumbe mashuhuri kwa uchawi, subhanallah, mtu hakosi kuulizia naskia Tanga kuna wachawi ? !!!
2024
Gather all here
kweli huyu mzee anafaa tumkaribishe Ras alkhema atuchezee sumsumiya, mali kwa mali hayadeni
The best majuto 👍🏾
R.I.p. KING we will remember and praying for u ..father comedian
Mzee namiss sana
da mzee Unaweza tathinia ya filamu bongo
mganga mkubwa ni Mungu
jamani huyu dem aitwa nani naweza wasiliana nae vipi, huyu dem anaeongea na mzee majuto, pease help. nataka tu kua rafiki nae don't mis understand me. many thanks. I like her confidence etc
Abjay Athman
anaitwa Salama Jabir
babu majuto you're the moon among the star
I
Lafuzi ya kitanga na kizanzibar ni sasa na kama ulivosema tutaongea MTU kua Ntu ni lafuzi ya kipemba
Miss your talent Majuto
King unapoteza muda sio maswali hayo kwnini unakubali maswali yao
I miss the show sana jamani salama
majuto anajuwa hakuna king mwingine
Kutamka NTU badala ya MTU ni lafidhi ya Kipemba na si kiswahili fasaha.Pemba sio Zanzibar,lakini Zanzibar inaweza kuwa Pemba imo ndani yake.
jamaa anajua
this very good programmes which are encourage society.
ila majuto una mizenguo we we I like u
Innaalillah wainna illah rajiuun
RIP mzee majuto
daaah nampenda sana majuto muigizaji bora
.
James Kamande
Ndio kashatuwachaa Mungu ampe Hatma njemaa alipo
majuto nomaaa!!
na salama vp!? mbn kakonda xnnn....
Kweli mnamuonea
I say Majuto...mie leo kapata nafasi kutazama mkasi. Nafurahi tu I say.
RIP Majuto mtanga mwenzetu
nice to see mr majuto
Naiangalia tena Leo huku nikiwakumbuka
Hahaha yani Nimecheka jamani. Mkimbiza mwenge.
lizybongofashion Beibe tarab
Majuto mkalii wetu . vunja mbavu
King majuto mmnmnsakama not fair
Salama wewe mwenyewe unamaisha
welldone erything only God
cool majuto
RIP KING MAJUTO
shekh majuto nasalama hamuwachi yakhe mmekuwa nyinyi ndio mnajuwa kiswahili kuliko znz msitake malumbano mzungumze mengine siyo mambp ya kiswahili ulizeni uzuri mzizi wa kisawhili umetokea wapi ?????????????????????
PAANDU MAZILA
R.I.p Mzee wetu majuto
R.I.P King Majuto
u do agreat job big up
love u moreeeeeeee
Mr Barwani. Nadhani wakati Mr Majuto amezungumzia baina mtu na ntu, mchuzi na nchuzi, hajakusudia Unguja, Pemba au Mombasa inawezekana kua ni mtani wa mtu anaezungumza hivo, lakini wako wanao tamka hivo katika moja ya sehemu nilizo tamka hapo juu. Na usimsigizie kwamba kasema uongo.
E xtra musi a
E xtra musi a
1
Rip king
Salama umetsha
R.I.P King Majuto 21/8/2023
Saa juki alobeba dawa
hapo na mtowa makosa majuto mimi mzanzibari tunatamka mtu sio ntu namchuzi sio ntuzi kwa hivyo usitowe khabari za uwongo. kswahili safi tunazungumza zanzibar soma history ya zanzibar kwanza
Issam Albarwani wapemba wanazungumza hivyo NTU ,,ntoto. nyie ndo waongo mnajitia kiswahili fasaha wapi ,,au wapemba wanatokea WAP?
😢😢Majut😢
aaaah waZanziberry wamepanic
Majuto kwa ukweli ni nguli.
majuto noma
RIP king majuto
Nakumbuka
teh teh majuto
Mzee majuto taakupenda.from Kenya.
only king majuto
Iko poa baba
kingwendu
Ni hatareeeeeeeeee!!
HOSPITAL WAPO WATU WANATAKA MISAADA LAKINI HAWAPEWI KWANI YY PEKEYAKE ALONEKA KAMA ANAUMWA ? WANOUMWA HAWAPEWI MISAADA KAMA HIYO
kinyambe
Majuto noma lkn mbona familia kubwa kama daaaa
Hi guys what's going on in zanzibar politics?
😭😭😭
RIP KING
2025
R.l.P majuto
R.I.p
R.I.P king
king majuto..
Titus Fihavango