FUMANIZI M/NYAMALA Prt 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 633

  • @Boaz22
    @Boaz22 2 місяці тому +28

    Huyu dada mtangazaji anaboa,anaongea sanaa,mpaka anaboa😅😂😂

  • @MirajiKimwaga
    @MirajiKimwaga 2 місяці тому +12

    Yaan huyu dada mwenzake n mr uk ana mapepee mengi

  • @RisasiRisasi-uj8fk
    @RisasiRisasi-uj8fk 2 місяці тому +13

    Wewe dada mwanahabari ni mcharuko,hii kazi huiwezi au jirekebishe

  • @petrosimon6868
    @petrosimon6868 2 місяці тому +25

    HUYO DADA ANAHARIBU UNTOE TUUU .. SIFA NA KIHERE HERE JUU ..

  • @joyceMwaikusa
    @joyceMwaikusa 2 місяці тому +6

    Uyo dada unaefanya nae kaz anakuharibia kaz sana ana kiherehere sana anaboa

  • @AbigaelyYona
    @AbigaelyYona 2 місяці тому +41

    Japo watu wanasema adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie ila nisamehe ...MR UK..huyo dada atakupotezea soko lako loteeeee..Baki kama mwanzooo

    • @NageMsuya
      @NageMsuya 2 місяці тому +6

      Huyo dada anaongea sna ana kifronti cha atar uk bak tu mwenyew kbsa

    • @YohanaRobart
      @YohanaRobart 2 місяці тому +5

      Kweli kumbe na nyie mnaboeka kama mimi

    • @witneyjerry2587
      @witneyjerry2587 2 місяці тому +2

      Anadakia mnoo

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 2 місяці тому +1

      Achana nae kbs atakuharibia

    • @StellaZakeo-jl4rc
      @StellaZakeo-jl4rc 2 місяці тому +1

      Kwel man mteme uyo dada anaongea sana 😊😊

  • @omegadamian529
    @omegadamian529 3 дні тому

    Mbona princess mbaya

  • @kerenlumbya4575
    @kerenlumbya4575 2 місяці тому +18

    Ana sema sana huyu Dada ndo mana kapasuliwa

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 2 місяці тому +45

    Malaika mkuu Gabrieli ndiye aliyetumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti kwa Bikira Maria

  • @eliamancharles-k3g
    @eliamancharles-k3g 2 місяці тому +4

    Jmn uyo dada mnamsema sana but ndo kazi ake anatakiwa achangamkeee aongeee❤

  • @PeninaRoger-me4vo
    @PeninaRoger-me4vo 2 місяці тому +11

    Mr Uky hongera Sana naomba nifundishe kutrack simu

  • @joycekato6784
    @joycekato6784 Місяць тому

    Mtangazaj wa kike ana maneno mengi anapitiliza ya kukera,.... Mkaka Yuko vizuri anajiamin sana haongei kishabik

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 2 місяці тому +5

    Mr uky uyu dada anakufaa na kinajua kuchagiza nmekpenda kina jua vitu ,,sema tu nabii hakubalik nyumban

  • @ScolaNalle
    @ScolaNalle 2 місяці тому +3

    Mr uky..huyu dada Ana maneno sana khaa anaboa mno jamani 😆

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu 2 місяці тому +3

    Huyu msaidizi wako anaongea sana bhn mbea mbea😂😂

  • @JohaynaKhamis-sv3yg
    @JohaynaKhamis-sv3yg 2 місяці тому +10

    Mmmh mr uky uyoo mdad atokeeeeee ana mdomo san ana haribu kam chaumbeya ungeenda shilawadu

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 2 місяці тому +2

    Mjihadhari sana na mapenzi ya watu m taambulia kupigwa na kuzalilika

  • @iddimwinyimvua9728
    @iddimwinyimvua9728 2 місяці тому +4

    Mr Uky ww jifunze kwanza kutrack mtu nikosa usiliongee sikunyingine ilo pili mtu kakutafuta akiwa na hasira achana nae hata kama kakulipa mtakuja mlipe mamilioni ya pesa katika biashara za watu utakuja uichukie kazi

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 12 днів тому

    Mr Uk Uyo Dada unae Fanya nae Kazi Hatumtaki

  • @KhalidNa-bn4gp
    @KhalidNa-bn4gp 2 місяці тому +2

    Ilawanamme mnaniniilakin😂😂😂 ilahuyo mchepuko kakomaaa😂😂 anamkemzuri maasha allah ilaaa khaaa😂

  • @MussaJuma-zd5tn
    @MussaJuma-zd5tn 2 місяці тому +2

    Huo ujinga mnaufanya ipo siku mtakuja jilaumu sana...

  • @shammysleyman7112
    @shammysleyman7112 Місяць тому

    Dada unaongeaaa sanaa mpk unaboaaa aiseeeee khaaaa

  • @awesoapollo8608
    @awesoapollo8608 Місяць тому

    Change huyo dem anakuaribia anaongea sana uyo bro Mpk anaboa

  • @MagrethSamwel-s5z
    @MagrethSamwel-s5z 2 місяці тому +1

    Kazi ngumu hii😂 polen sana

  • @nassorseif
    @nassorseif 2 місяці тому +9

    Ety oooh wadada wa tanga wanaibiwa na wadada wa dar .wadada wa dar mko vizur..wakat hajui mwenzie hapo ana hasira kaibiwa mumewe ka msenge🤨

  • @latifaally720
    @latifaally720 Місяць тому

    mtoe hyo dada bnaa anakera sana khaaaa hta sitamani kuangalia video kwa ajili ya makelele yake

  • @Meck-Nyoni
    @Meck-Nyoni Місяць тому

    Mr UK plziiiiii... Huyo dada anakuharibia kazi.. anakera Sana.

  • @DianaRichard-bu9tz
    @DianaRichard-bu9tz 2 місяці тому +1

    Huyu mdada mbona anasifa sana 😂😂 cheeeeefu mi linanikera bora mr uk angebaki mwenyewe aseeeee sijui lipoje lina haribu

  • @andrewgodfreymalulu6417
    @andrewgodfreymalulu6417 2 місяці тому +6

    Kwa mujib wa sheria ya mtandao kum track mtu ni kosa mtakuja kushtakiwa mlipe ma billion.

  • @MariamMbalabara
    @MariamMbalabara 2 місяці тому +8

    Njomana namunpeda kirediyo yeye handi party 2 analenta 💜🦋😏😏😏😏😌

  • @PhorahMahaza
    @PhorahMahaza Місяць тому

    Mr uky huyo Dada hajakubalika kabisa achana nae kabisa 😂😂

  • @Thereallucasmachius
    @Thereallucasmachius 2 місяці тому +1

    Mtoto kautakaa mtoto kautakaaa❤❤😊

  • @SarahJackson-l7w
    @SarahJackson-l7w 2 місяці тому +27

    Uyu dada mwambie hatujazoea makelele c apunguze ujuaji kwa kazi za watu🔥🔥

  • @jamesjohnas568
    @jamesjohnas568 2 місяці тому +1

    Hizi kazi zinafanywa na watu wambea

  • @Celmafilimone
    @Celmafilimone 2 місяці тому +3

    Mr uky nakupenda sana Kaká wangu 🇲🇿🇲🇿♥️♥️

  • @zabronerastus2359
    @zabronerastus2359 2 місяці тому +1

    Huyo Dem anacheka nn ssa....et mabint wa dar mko vzur😅

  • @RebeccaLongo-oi3po
    @RebeccaLongo-oi3po Місяць тому

    We mdada mzr Ila huendanii hta n hyo kaz😮

  • @SakinaSalum
    @SakinaSalum 2 місяці тому

    Nimekupnd dd uchangamfu pambeeeeee🎉🎉🎉

  • @MagdalenaHussein-f8c
    @MagdalenaHussein-f8c 2 місяці тому

    Mr uky uyo dem mbona anakiherehere apunguze mdomo

  • @enockelias-zq8fo
    @enockelias-zq8fo 2 місяці тому

    Huyo dada kilaza sana anakuharibia kazi zako, tafuta mwenye akili achana na huyo la sivyo Kuna siku atakuletea majanga

  • @fildausumulisapazi3988
    @fildausumulisapazi3988 2 місяці тому

    Eti tu request, kumbe dar muna request Hadi Bajaji jmn! Hongereni

  • @AbdallahAthman-qg7ct
    @AbdallahAthman-qg7ct 19 днів тому

    Dumezima kaziyako kuaribu ndoa zawatu

  • @lee..8888
    @lee..8888 2 місяці тому +1

    Lakn kiki ulisema nyie ni professional na mnafanya hayo mambo kwa akili😂😂😂😂

  • @SAKINAAhmadi-bs4ic
    @SAKINAAhmadi-bs4ic 2 місяці тому +139

    Ktk kitu siwezi kukifanya nikwenda kumfumania mwanamke mwenzangu eti anatembea na mume wangu mm namsubili uyo mualifu mwenzangu aludi yumbani ili tufanya ualifu vizur ssa ukisha enda kumfumania unapata faida gani wakati yye ametongozwa km ulivyo togozwa ww yani nikujizalilisha tu mm mtu akija kunifumania natoka na nyondo nakutia la kichwa ukome kihelehele 😂😂😂😂

    • @VERONICA-o7n
      @VERONICA-o7n 2 місяці тому +3

      😂😂

    • @ShingwaIshad
      @ShingwaIshad 2 місяці тому +2

      Kabisa

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 2 місяці тому +1

      Huyo dada anaonekana kabisa toka mwanzo anafanya vuruguu

    • @saumu7760
      @saumu7760 2 місяці тому +4

      Apo umeongea point badala yakudili namwanmke wako unafata mmkemwenzako nonsense

    • @saudajuma898
      @saudajuma898 2 місяці тому +2

      Kweli kabisa

  • @Aluminiumdoctor255
    @Aluminiumdoctor255 Місяць тому

    mr. Uk huyo dada anakuharibia anaongea sanaaa

  • @GodlistenStanley
    @GodlistenStanley 2 місяці тому

    Dada mpuuz sana anaujuajisana kwanza uyundoanatakiwa mtuaanzishe ugomvi alafu apigwe

  • @alphoncelaurent9454
    @alphoncelaurent9454 2 місяці тому

    Hii fumanizi imetishaa sana kwani alimfungia nepi yey mwenye kosa ni mme wake sio yeye si alitiwa voko akajaa😂😂😢😢😂😂😂😂

  • @ArafaHassan-b7z
    @ArafaHassan-b7z 2 місяці тому +4

    😂😂😂😂😂😂alikuwa avumilie amalize nje jmn kufany kelel saloon kwa wat jaman au mume nd anauma😂😂

  • @SamweliGeorge-b8z
    @SamweliGeorge-b8z Місяць тому

    Mr uk huyo dada anakiherehere sana hafai hiy kz

  • @pendohumphrey6501
    @pendohumphrey6501 2 місяці тому +2

    Mbona mke ni mzuri sana kuliko mchepuko ...men mnakwama wapi

  • @AthumaniSeleimani
    @AthumaniSeleimani 2 місяці тому +1

    Alafu nyie wakina Mr UK hamjitambui kabisa huyo Dada kaonekana kqbisa ni mkorofi palapale njee mgemkata kabisa

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 2 місяці тому +9

    Dada wa Mr Uk umekosa kibali. Da!

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga 2 місяці тому +4

    Hata mm hiki kidada sikipenda sana kazid kujishauwa fyuuuu......
    ...

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb Місяць тому

    Huyu Dada anaongea sana bichwa baya

  • @ChekaKivia
    @ChekaKivia 2 місяці тому +2

    Kweli mungu hakupi vyote mdada mzr lkn kaibiwa mume 😂 jmn ngoja niskitike kdg wanaume hawa wanatafuta nn jmn kwani

  • @MwanamkasigwaPiason
    @MwanamkasigwaPiason Місяць тому

    Chamsingi usalama wawatu na malizao mengine yote sawa

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 2 місяці тому

    Huyu dada hapendez anaharib kipindiiii

  • @NatashaKidamangu
    @NatashaKidamangu Місяць тому

    Mm sijapenda utaharibu mpaka lin wanaume hawaridhik kabisa

  • @OmbeniMwalupindi
    @OmbeniMwalupindi Місяць тому

    Huyo mdada mlomwingiza hum mr uk.anaongea mno mpak anaboa.wewe tu na kamer man.wadada viherehere

  • @JerindaEzekiel-qq4bu
    @JerindaEzekiel-qq4bu 2 місяці тому +1

    Dada umeungana n mr Uky kwel😢, utatolewa miguu asee mwenzako kazoea uyo 😂😂😂

  • @NajmaSeif-d4q
    @NajmaSeif-d4q Місяць тому

    Nikweli kabisa saiv awa wanaume sio.wa kupigana na mwanamke mwnzio kisa mwanaume kiupande wangu siwezi

  • @sophiaazizingaiwa3857
    @sophiaazizingaiwa3857 2 місяці тому +1

    Muendelezo jaman.....mana mchepuko unajiamini hatar😂😂😂

  • @mwanaidimunga9099
    @mwanaidimunga9099 2 місяці тому

    Ila wanaume jaman hicho kidada chenyewe kibayaaa

  • @PendoLeonardi
    @PendoLeonardi Місяць тому

    Ila hii mbaya sana kuharibu mahusiano ya watu jamni😢

  • @JohaynaKhamis-sv3yg
    @JohaynaKhamis-sv3yg 2 місяці тому

    Hahaha wew mdad hujamkuta mtu weny hasira ungepigwa kipigo

  • @YuyuMp-d8y
    @YuyuMp-d8y 2 місяці тому

    Uyo dada awe mwandishi wa habaria maana ana mdomo sana

  • @FunnyBubbles-jb1mk
    @FunnyBubbles-jb1mk 2 місяці тому

    Tena anaongea kinafikiii nafikiiiii tyu afuuu anaongea sn anaharib

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 2 місяці тому

    Huyo dada anaharibu kipindi hapan aiseee mtoeee

  • @RachelRacheltemba
    @RachelRacheltemba 2 місяці тому +3

    Kiherehere ndiyo maana ukapasuliwa komwe 😂😂😂😂😂

    • @denishaule6314
      @denishaule6314 2 місяці тому

      Not good atakuja jua tu mbeleni…

  • @MurtadhaJawahir
    @MurtadhaJawahir 2 місяці тому

    we utakuja kupigwa wew ....chokoza watanga tu

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 2 місяці тому

    Wachonganishiiiii nyieeeee😊😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @kuruthumukamando829
    @kuruthumukamando829 2 місяці тому

    Na maangamizi yakafanyika

  • @dianamahuvi
    @dianamahuvi Місяць тому

    mtoe huyo dada ana mapepe sana hatujazoea makelele

  • @paulkelvin362
    @paulkelvin362 2 місяці тому +6

    Jitahid dada.. punguza maneno yasiyo ya ziadaa yakizidi yanaharibu next tym utazid kuimarika zaid na zaid

  • @mossesramadhani501
    @mossesramadhani501 2 місяці тому

    Huyo mtangazaji mpya ni radio inayo tembea

  • @Diyankurze
    @Diyankurze 2 місяці тому +1

    iyo mikofi mizito hvyo😂😂😂 nywele zote part 2 ameng'olewa

  • @NiwemugiziBatalingaya
    @NiwemugiziBatalingaya 2 місяці тому +28

    Nimesoma comments itoshe kusema mdada hajakubalika😂

    • @sadickabassi2176
      @sadickabassi2176 2 місяці тому +3

      Duuuuh kwel aise

    • @albamwanja4304
      @albamwanja4304 2 місяці тому

      Hatari kabisaa😂😂😂😂😂

    • @marcelline9393
      @marcelline9393 2 місяці тому +1

      Hata mi nimejikuta napata ukakasi wa kumalizia video sasa😂

    • @irenemakoba528
      @irenemakoba528 2 місяці тому

      To much tok tatizoo😂😂 hata ni mwandishi anatakiwa abalance kuongea

    • @NiwemugiziBatalingaya
      @NiwemugiziBatalingaya 2 місяці тому +1

      @@marcelline9393 na hapo ni mgeni wa kipindi sasa😂

  • @rosemaryignatius6182
    @rosemaryignatius6182 2 місяці тому

    Basi aongee ata point hana anaongea anapitiliza kila kitu anajua yeye 😮😂

  • @MataifaJuma
    @MataifaJuma 2 місяці тому

    Ila kiukwer .umakin unatakiw maan .wat wanawez uana aisee

  • @queenmichael5319
    @queenmichael5319 2 місяці тому +1

    Baadaye mume atarudi na mizawadi kumuomba msamaha baby side.😂😂😂😂 Wanaume

  • @zaiogy5787
    @zaiogy5787 2 місяці тому

    Kitakachowakuta na nizaidi yaa

  • @ZaynabYussuf
    @ZaynabYussuf 2 місяці тому

    Kanazarau kijanajik enyew kabaysaa😅

  • @AnnababeMathius
    @AnnababeMathius 2 місяці тому

    Huyo dada anaharibu kaz tushakuzoea mr uky ukiwa na kiredio tuu😂

  • @VictoriaValence-t6p
    @VictoriaValence-t6p Місяць тому

    Uyo dada anaboa anaongea sana

  • @She-m3p
    @She-m3p 2 місяці тому

    Hiki kidada na kidomo chake cha juu cheusi tii, kihere here,..mr uky toa mbwa hii

  • @PaulinePaul-t4l
    @PaulinePaul-t4l 2 місяці тому

    Ila uyu dada anaongea sana mpka mb zinaisha haraka😂😂😂 kanakera

  • @rockmillprinco6205
    @rockmillprinco6205 2 місяці тому

    MR UK content zako zinaharibiwa na huyu Manzi, mteme tu akaendele kuuza majeans 🙌🙌

  • @GwantwaSamson
    @GwantwaSamson 2 місяці тому

    huyu dem anaongea sana

  • @ZulekhaMohamed-st2vu
    @ZulekhaMohamed-st2vu 2 місяці тому +1

    Daaah huyo dada anaharibu kabisa jaman duuh mbea mpka anaboa

  • @DoreenOmmy-gw3op
    @DoreenOmmy-gw3op 2 місяці тому

    😀😀😀 iv nanyie wadada WA elf 2000 tunajikutaga nani mbona mwenzennu naogopa

  • @DicksonNicholaus-k4c
    @DicksonNicholaus-k4c 2 місяці тому

    Aseee anakera huyu dada sasa anajitekenya nn asee

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 2 місяці тому +1

    Huyo anaesokwa mbna anauso mbaya hvo😂😂

  • @arafajuma4128
    @arafajuma4128 2 місяці тому

    Uyu mtangazaji mwanamke anakiherehere uyu

  • @EsterMsangi-vn7es
    @EsterMsangi-vn7es 2 місяці тому

    Kweli hili lidada linakera sio poah

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 2 місяці тому

    Prices mwenyewe anavyojib sura yake yenyewe imekomaa cjui ni mpare uyo

  • @ModestusMsolid
    @ModestusMsolid 2 місяці тому

    Dada anajitahid kwa kiwango chake

  • @BeatriceKweka-r4o
    @BeatriceKweka-r4o 2 місяці тому +1

    Fanya kipindi mwenyewe huyu dada anaharibuu anaboaa ,,😢😢

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 2 місяці тому

    Kiherehere kikizid kinaboa we dada punguza kiherehere 😂😂

  • @QueenAssenga
    @QueenAssenga 2 місяці тому

    Kaka uky kuwa unatembea mwenyewe

  • @MarthaDanieljohn
    @MarthaDanieljohn Місяць тому

    Huyu dada anajifanya ndo anamuelekeza sana mr uky yan kaharibu sana hii challenge ndo maana imeboma😢😢 Mr uky huyu dada ndo ameleta gundu hadi mmekula kibondo😅😅😅