HIZI HAPA SABABU ZA WAAMUZI KUJIPANGIA MECHI ZA KUCHEZESHA/ HATA VAR IKIJA WATAKOSEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

КОМЕНТАРІ • 43

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy День тому +1

    Yani mpo sahihi sana inaumizasana nakuzichosha timu zingine kiukweli inaumiza sana nakuzichosha timu zingine

  • @johnmakonge
    @johnmakonge День тому +1

    Simba inakutana na intensity kubwa sana

  • @farajaeliah-nt1ng
    @farajaeliah-nt1ng 5 днів тому +1

    Mmeshapewa achen ushabiki

  • @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT
    @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT 4 дні тому +2

    UNAWEZA KUCHEZESHA CHUKUA MECHI MOJAA TUU ..SIO KUROPOKAAAAAAAA STUDIO😂😂

  • @MujtabahSchool
    @MujtabahSchool День тому +1

    Mechi ya Azam na yanga refa arajiga yanga kafungwa mechi ya tabora na yanga refa nassor mwinyichui yanga kafungwa

  • @KimweliMohamedi
    @KimweliMohamedi 2 дні тому +1

    uyo mtoto yanga ata uchambuzi wake ovyo

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 День тому +1

    Kule EPL kuna marefa wa kuikomoa Arsenal tu, Michael Olivar

  • @kaderbakshamin2345
    @kaderbakshamin2345 4 дні тому +3

    Ni aibu kubwa kwa soka la tz kwa mtindo huu, ikiwa hizi timu zinawanunuwa wachezaji kwa hela nyingi inakuwaje tena na waamuzi watumike tena kupendelea timu fulani no sense kabisa bc hakuna maana ya kununuwa wachezaji kwa hela nyingi na bado usaidiwe na marefa hatuta fika huko tunakotaka kwenda never

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 4 дні тому

    Ni kweli waamuzi wananunuliwa hilo ni asilinia 100

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 15 годин тому

    IRA simba inaumiza sana marefa watende haki upanga mbona inacheza kuvuja damu na jasho jamani simba wanazunguka zunguka tuu uwajani kama wajawazito 😂😂kwa

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 2 дні тому +1

    Kiukweli nawapongeza kuyasemea haya mambo yashatuchosha sana wanawake wa Simba ndio wanaochezesha tu huko kwanini arajiga hachezeshi mechi za Simba?

  • @nuruabdallahmed9495
    @nuruabdallahmed9495 5 днів тому +1

    Hata wachambuzi wapo wa Yanga na wapo wa Simba. Mfano Hans hadi unakuwa kama mwehu kwa mahaba ulio nayo kwa Yanga. Kwahiyo funga domo lako.

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga День тому

    Mtoto kolo uchambuzi wake mzuri?.

  • @HamdaniMohamed-w8g
    @HamdaniMohamed-w8g 2 дні тому

    Side aliwambia aka one akaonekana Mbaya

  • @nuruabdallahmed9495
    @nuruabdallahmed9495 5 днів тому +2

    Nyinyi ni wapuuzi. Kama ni kijiwe cha Utopolo semeni tuelewe. Achana na utoto.

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 4 дні тому

      Wengi mtapinga ila ndio ukweli

    • @DENISMAKALA
      @DENISMAKALA 2 дні тому

      Sio kweli makolo mna KERA kiukweli tynatafuta kila namna tufute makosa yenu lkn ni mengi

  • @HamdaniMohamed-w8g
    @HamdaniMohamed-w8g 2 дні тому

    Tangu nizaliwe ni Tanzania bara pekee Refa anatoa kadi 2 kwa pamoja. Chani na Afcon zitachezwa Tanzania lakini Sioni refa wa kutoka Tanzania

    • @mosessimon4570
      @mosessimon4570 2 дні тому

      Fuatilia mpira, kweli hujui na hujawahi ona, epl au england premier leage wapo waamuzi wametoa kadi na kunyoosha kadi mbili kwa pamoja. Fuatilia mpira.

  • @demask3423
    @demask3423 4 дні тому

    Sioni ata hoja apa

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 2 дні тому

    Twenden tu na ukweli, Yanga mpira anauocheza utasemaje anabebwa. Mpira una mahesabu, na wanadeserve kushinda zaid ya magoli 7. Ila waamuzi bado sio proffessional ofcause, haswa kwa mechi za Simba.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 День тому

    Jamani mnyonge, mnyongeni haki yake mpeni YANDA wààcheza mpira bwana ukinambia SIMBA INABEBWA TENA SAAAANA

  • @tumaini37
    @tumaini37 5 днів тому

    Shida ni Nyuki tu kukumbatiwa usiku mzima????🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HappySumia
    @HappySumia 15 годин тому

    Hata nyie wenyewe mbona mnaonyesha interest ya timu gani mnapenda ,je taaluma yenu inaruhusu??

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 5 днів тому

    Wachambuzi Vilaza

  • @RenatusFumbuka-gw4jo
    @RenatusFumbuka-gw4jo 4 дні тому

    Yote hii ni Simba kumfunga tabora

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 4 дні тому

    RUSHWA IPO KAMATI YA WAAMUZI

  • @RenatusFumbuka-gw4jo
    @RenatusFumbuka-gw4jo 4 дні тому

    Nanyie crown mnaichambua sana simba kwa mabaya kuliko yanga..na nyie mjitafakari

  • @AthumaniBindo-tl1wo
    @AthumaniBindo-tl1wo 4 дні тому

    Simba haina cha kujivunia mpaka ifike fainali ya shirikisho na awebingwanyumbani hanasifa kwa kufikirika hiya nisifayamaoenzi achenihizo

  • @hamisikapute598
    @hamisikapute598 День тому +1

    Mie nadhani mnachofikiria nyie Wachambuzi, wapangaji wa waamuzi huwa halipo kichwani kwao kabisa. Malalamiko ya waamuzi yapo Dunia yote rejea mjadala wa maamuzi Michael wa uingereza dhidi ya mechi za Arsenal

  • @FuadAlnabhany
    @FuadAlnabhany 4 дні тому

    Kama mlivyokuwa nyinyi wachambuzi. Kuchambua tu mna upendeleo itakuwa uchezeshaji. Mkipewa nyinyi kuchezesha ndio ingelikuwa balaa.

  • @petermchami1164
    @petermchami1164 5 днів тому

    Huyo jofu msenge tuu anamahabaa na cmba si mchambuzi Kuma tuu

  • @derickmabeyo951
    @derickmabeyo951 2 дні тому

    Hans leo hii ukikamatwa na chama cha waamuzi uthibitishe hilo utaweza ? Maana sio unaongea tyu

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 2 дні тому

      Hawawezi kumkamata maana atawashika pabaya

  • @gsplundi1327
    @gsplundi1327 5 днів тому

    Mwenye makosa ni raisi wa TFF mm naona Bora angeachia tuu means hii inamuhusu moja kwa moja na yung ndio anaetowa maelekezo.

  • @farajaeliah-nt1ng
    @farajaeliah-nt1ng 5 днів тому

    Hans ulimsifia kocha et ameshajipata so unakua kinyonga

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 5 днів тому

    Simba ndo wanatuharibia ligi yetu waamuzi wanaochezesha mechi za simba ni marefa wachanga hawana uzoefu

    • @RenatusFumbuka-gw4jo
      @RenatusFumbuka-gw4jo 4 дні тому

      Kumbuka Gori la baka la mkono

    • @RichardSeleman
      @RichardSeleman 4 дні тому

      Hakuna refa mchanga,,,,,hapo marefa wenye uzoefu si ndiyo wanafanya makosa Kila siku,,,,

  • @mjanthony4864
    @mjanthony4864 5 днів тому

    Usidhani wana discuss waamuzi waliochezesha match za Simba tuu ni bahati mbaya.
    -
    Niwaakikishie msimu huu ni Ubaya Ubwela.