Wana yanga tuache kupenda sana hawa wachezaji DUBE NI LIGHT STRIKER SIO MPAMBANAJI KM MZIZE KUTOKANA NA MAJERAHA ALIYOPITIA NI MUOGA MNO HAWA POWER HATA YAKUONDOKA NA MABEKI WAWILI KM MZIZE SO KWA YANGA HATUFAI yaani huyu na YACOUBA SOGNE BORA YACOUBA
JUMA AYO mpeni Soda Anakabia Juu Sana 😂
Accsint katoa mbona
Wana yanga tuache kupenda sana hawa wachezaji DUBE NI LIGHT STRIKER SIO MPAMBANAJI KM MZIZE KUTOKANA NA MAJERAHA ALIYOPITIA NI MUOGA MNO HAWA POWER HATA YAKUONDOKA NA MABEKI WAWILI KM MZIZE SO KWA YANGA HATUFAI yaani huyu na YACOUBA SOGNE BORA YACOUBA
Yani Wachambuzi wa EFM mnatamani Sana kuona Yanga wakifungwa
Mnajisahalisha tu hata mayele alikuwa anakosa magoli Mengi
Kwani Dube anazidiwa sana magoli na ateba? Nyingi wachambuzi uchwara msiwachanganye wachezaji. Lig ilisimama, Sasa imerud wekeni akiba ya maneno.
Wachambuzi nyie wahuni akiaanza kufunga mtasikia huyu hua ana class yake ni form ilipotea tu😂
Kwani dube aliwahikufungasanawapi? Maana mimi sikumbuki kama aliwahi kua mfungajibora waligiyetu labda nikumbushwe