Dah mimi nashabiki wayanga naipenda yanga Ila kuusu fei nataman ata leo arud yanga nimchezaj mzuli sana ila aimbwi kwakuw nimzawa angekuwa mgen tungemuimba sanaaaa
Usimfananishe fei toto na pacome .pacome ni mtu mwengine kaka. Pacomeeeee classic player kaka. Usifananishe gari na baskeli kaka. Pacomeeeee yupo juu kaka wacha kuchambua majani ya mbuzi
Azam wakitaka watawale tanzania hii waondoe uongoz wote hao walete watu wa nje wapige kazi watafanikiwa. Hao mashabiki wa simba na yanga hao ndo wanaiangusha timu
Jamaa kigeugeu
Dah mimi nashabiki wayanga naipenda yanga Ila kuusu fei nataman ata leo arud yanga nimchezaj mzuli sana ila aimbwi kwakuw nimzawa angekuwa mgen tungemuimba sanaaaa
Uko vizuri ambokileee
Asante sana kaka 🎉🎉🎉
Yupo sahihi kabisa
Yanga bingwa 💚🙏💚🙏💚🙏
Hahahah uko vzr sana chuma cha mjeruman
Pacome is world classic player miwani kama kobe
Br 😂😂nmecheka kwanguvu vbya mno
Mpelee mic huyo kuma mwenzio akaangalie matokeo ya leo k y mm yk
😢 sometimes kichwa cha hawa jamaa kinakata Moto😂😂😂😂
Ni kweli kabisaa mpaka hii ligi inaisha koro atakuwa keshahama uwanja 😂😂😂
Una Hali gani adi sasa
Sijawahii kukupinga hata siku moja ikiwezekana nataka namba ako salumu apa Kutoka KVZ zanzibar
Ambokile magoli yatakuwa matano 5g 💚💚💚💚💚
Magoli yamefungwa mangapi?
kwa Feisali umepatia kaka
Usimfananishe fei toto na pacome .pacome ni mtu mwengine kaka. Pacomeeeee classic player kaka. Usifananishe gari na baskeli kaka. Pacomeeeee yupo juu kaka wacha kuchambua majani ya mbuzi
Fei toto yupo juu sana huwezi kumfananisha pacome mzee huyo 😂
Huo mdomo usisahu kuzungumza kila siku 🫵🏽🫵🏽
Msema ukweli hapendwi jaman ila huyu 🎉
Vpi Leo ameshinda ngap nakwel kaumbuka
Eti machale yashancheza😂😂
Yangu tupe furaha wanaichi
hahahahahahaha unaongea mambo mengi lakn una kweli wako gereman mashine
Hikichumacha mjerumani kishapiga kutu. Kinachomsumbua huyujamaa ninjaatu. Nijuzitu katokakusema yangahakunakitu leo anawapaamba. Hujielewe ww ni bendera fataupepotu. Wamekupavihela uwaseme ww hakunakitubwana. Wenzio wachambuzi ww mchang'ombe
Azam wakitaka watawale tanzania hii waondoe uongoz wote hao walete watu wa nje wapige kazi watafanikiwa. Hao mashabiki wa simba na yanga hao ndo wanaiangusha timu
Naww unaporojo2 nimekusoma kumbe ww mfata upepo2 mshambaww
Ambokile nakukubali
Kikowapi muwe mnaweka akiba ya mamneno nyie wachambuzi😂😂😂😂😂😂
Wataroga tutawagonga 4 hakuna uchawi jemedar na magugu
Umeshinda goli ngapi
Na hatupiti mlangon
Mwongo
CHUMA CHA MJELUMANI 😁😁😁
Narudi hapa ulipo tabiri,Hao unao wapamba walizifunga timu zao,matawi yao,leo kasimamoshwa na utabiri wako wa kishabiki
Fei amuweke nje pacome zouzua hapo umeboronga kaka. Kote nimekukubali ila mwisho umeharibu
unaongea ujinga tu
🤣🤣🤣🤣🤣
Ambukile bwana unachekesha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnafiki ww
Mjinga kweli kikowapi? Nenda shetan wa mbweni
Tatzo wewe unashdaa wewe
Jamaa kigeugeu