AMBOKILEE: AWAPA MBINU ZA KIVIPA JKT KUWAFUNGA YANGA, / "MBWENI MVUA ISIPONYESHA YANGA ATAACHA MSIBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • . 🛑SUBSCRIBE
    #simbasc #yangasc #mayele

КОМЕНТАРІ • 44

  • @SylvesterMsolaMathias
    @SylvesterMsolaMathias 5 годин тому +2

    Jamaa kigeugeu

  • @wizzohshantah
    @wizzohshantah 10 годин тому +3

    Dah mimi nashabiki wayanga naipenda yanga Ila kuusu fei nataman ata leo arud yanga nimchezaj mzuli sana ila aimbwi kwakuw nimzawa angekuwa mgen tungemuimba sanaaaa

  • @AbdallahAthanas-i8u
    @AbdallahAthanas-i8u День тому +4

    Uko vizuri ambokileee

  • @JeniphaSamwel-r9j
    @JeniphaSamwel-r9j 14 годин тому +3

    Asante sana kaka 🎉🎉🎉

  • @AyubuKamendu-r7l
    @AyubuKamendu-r7l День тому +4

    Yupo sahihi kabisa

  • @MichaelNgoilenya
    @MichaelNgoilenya День тому +4

    Yanga bingwa 💚🙏💚🙏💚🙏

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 23 години тому +2

    Hahahah uko vzr sana chuma cha mjeruman

  • @rashidsaid7106
    @rashidsaid7106 22 години тому +4

    Pacome is world classic player miwani kama kobe

    • @MabruckLingondo
      @MabruckLingondo 22 години тому +2

      Br 😂😂nmecheka kwanguvu vbya mno

  • @dutchkijiko5296
    @dutchkijiko5296 3 години тому +1

    Mpelee mic huyo kuma mwenzio akaangalie matokeo ya leo k y mm yk

  • @Emmanueltunzo
    @Emmanueltunzo День тому +2

    😢 sometimes kichwa cha hawa jamaa kinakata Moto😂😂😂😂

  • @LilianBitwale
    @LilianBitwale 9 годин тому +1

    Ni kweli kabisaa mpaka hii ligi inaisha koro atakuwa keshahama uwanja 😂😂😂

  • @PeterSalumu-y8w
    @PeterSalumu-y8w 10 годин тому +1

    Sijawahii kukupinga hata siku moja ikiwezekana nataka namba ako salumu apa Kutoka KVZ zanzibar

  • @MichaelNgoilenya
    @MichaelNgoilenya День тому +4

    Ambokile magoli yatakuwa matano 5g 💚💚💚💚💚

  • @linuslusian-d5w
    @linuslusian-d5w 14 годин тому +1

    kwa Feisali umepatia kaka

  • @tawakalimankasim82
    @tawakalimankasim82 23 години тому +3

    Usimfananishe fei toto na pacome .pacome ni mtu mwengine kaka. Pacomeeeee classic player kaka. Usifananishe gari na baskeli kaka. Pacomeeeee yupo juu kaka wacha kuchambua majani ya mbuzi

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 11 годин тому +1

      Fei toto yupo juu sana huwezi kumfananisha pacome mzee huyo 😂

  • @mosesfutila4524
    @mosesfutila4524 5 годин тому +1

    Huo mdomo usisahu kuzungumza kila siku 🫵🏽🫵🏽

  • @titojohn9766
    @titojohn9766 11 годин тому +1

    Msema ukweli hapendwi jaman ila huyu 🎉

    • @hamadhamad8893
      @hamadhamad8893 2 години тому

      Vpi Leo ameshinda ngap nakwel kaumbuka

  • @lilamaganga2690
    @lilamaganga2690 14 годин тому +1

    Eti machale yashancheza😂😂

  • @MakobaMorandi-y6u
    @MakobaMorandi-y6u День тому +2

    Yangu tupe furaha wanaichi

  • @KapeLoBoY
    @KapeLoBoY 20 годин тому +2

    hahahahahahaha unaongea mambo mengi lakn una kweli wako gereman mashine

  • @EmanuelMwarabu-v1d
    @EmanuelMwarabu-v1d 11 годин тому +2

    Hikichumacha mjerumani kishapiga kutu. Kinachomsumbua huyujamaa ninjaatu. Nijuzitu katokakusema yangahakunakitu leo anawapaamba. Hujielewe ww ni bendera fataupepotu. Wamekupavihela uwaseme ww hakunakitubwana. Wenzio wachambuzi ww mchang'ombe

  • @prince783
    @prince783 23 години тому +5

    Azam wakitaka watawale tanzania hii waondoe uongoz wote hao walete watu wa nje wapige kazi watafanikiwa. Hao mashabiki wa simba na yanga hao ndo wanaiangusha timu

  • @ErickJuma-z9m
    @ErickJuma-z9m День тому +1

    Ambokile nakukubali

  • @Tina-xr9lr
    @Tina-xr9lr 3 години тому +1

    Kikowapi muwe mnaweka akiba ya mamneno nyie wachambuzi😂😂😂😂😂😂

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 23 години тому +3

    Wataroga tutawagonga 4 hakuna uchawi jemedar na magugu

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 23 години тому +2

    Na hatupiti mlangon

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 12 годин тому +1

    Mwongo

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 13 годин тому +1

    CHUMA CHA MJELUMANI 😁😁😁

  • @abdallahshariff6555
    @abdallahshariff6555 53 хвилини тому

    Narudi hapa ulipo tabiri,Hao unao wapamba walizifunga timu zao,matawi yao,leo kasimamoshwa na utabiri wako wa kishabiki

  • @tawakalimankasim82
    @tawakalimankasim82 23 години тому +2

    Fei amuweke nje pacome zouzua hapo umeboronga kaka. Kote nimekukubali ila mwisho umeharibu

  • @ThePlants-zc3rp
    @ThePlants-zc3rp 13 годин тому +1

    unaongea ujinga tu

  • @JeniphaSamwel-r9j
    @JeniphaSamwel-r9j 14 годин тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 22 години тому +2

    Ambukile bwana unachekesha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @LuvandaEmanuel
    @LuvandaEmanuel 16 годин тому +1

    Mnafiki ww

  • @gudilamallya8998
    @gudilamallya8998 3 години тому +1

    Mjinga kweli kikowapi? Nenda shetan wa mbweni

  • @DanielKasomambuto
    @DanielKasomambuto 21 годину тому +1

    Tatzo wewe unashdaa wewe

  • @SylvesterMsolaMathias
    @SylvesterMsolaMathias 5 годин тому +1

    Jamaa kigeugeu