KADA WA CCM MALISA AJILIPUA "RAIS AJIUZURU" AMVAA RAIS SAMIA NA KIKWETE / AKOSOA VIKALI...
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- KADA WA CCM MALISA AJILIPUA "RAIS AJIUZURU" AMVAA RAIS SAMIA NA KIKWETE HADHARANI
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Big up Malisa kwa kupasua jipu, wajumbe wengi wanaumia kimyakimya wanaogopa.
Boss anuniwi Sasa wanachama wengi ni fata upepo. Unakuta mtu anashangilia lakini Hajui anashangilia Nini ndiyo vinabaraka wengi wa CCM wako hivyo Bungeni mbunge kazi kupiga meza tu Hajui hata hoja inasema nini
Nashukuru umenisaidia kutoa dukuduku langu,barikiwa sana
@OlivreKimario 😂😂😂😂😂😂😂
Waliosikia saut imefanana na Waziri mkuu majaliwa Gonga Likee nyingi sana. ❤
😂😂😂😂
Allah akulinde maana sijui, ccm haina rafiki wa kudumu wala adui wa wakudumu, kwa huu ukweli uliousema Allah akulinde
Huyu mzee yuko vizuri sana ni mzalendo
wazee kama hawa wakowapi Mzee mungu akutunze
Wakat yuko huko na yy alikua lifisadi hili sasahiv kachoka zake anataka kututoa kwenye reli
Mzee umeongea 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Wasimteke tu huyo mzee, maana huwa hawataki kukosolewa na kuambiwa kweli
Kweli awataki kuambiwa ukweli baada ya kuambiwa ukweli lifutalo linasikitisha
Mzee ajitafakari kwa kauli yake ya kusema ukweli,,,,,,kwasasa ccm haifuati katiba utasikia tunafuta utamaduni wa chama,
Unategemea kikwete atasema nini kwa samia?,kikwete na samia lao mmoja ndy wafaidika wakuu wa mali za nchi hii, ulisikia mwenye kwamba wachawi walikufa ,wachaw ni nani kwa hararaka,?,kwa uelewa wangu ni magufuli na mkapa ndy walikuwa vizuizi
Ea
Wale tunaopenda Hawa Kijani waendelee kutifuana tujuane😂
Mungu Alinde Uhai wako Malisa
Katika CCM kumbe kuna watu makin na wenye akili saf mheshimiwa
Wapo wengi wanaogopoana wana ndimi mbili
Akili ipi kala pesa za serikali katika kwenye mfumo anaqnza kulia njaa
Wambie baba. Wakina. Wasira wanalilia madaraka. Wakat wameezeeka
Tumbuwa majibu Mzee wetu.
Msema ukweli mapenzi wa mungu,
Kwa ufupi huyo mama atoke hata km ccm itatawala lakini awe mwanaume hatutaki rais mwansmke
Rasi mwanamke ni matakwa ya wazungu, sio desturi zetu waafrika na hata wazungu kwa asili yao hawakuwa na wanawake vichwa ila wamekengeuka tu na ndipo wanaueneza ukengeufu wao kwa waafrika. Lakini zaidi sana Mungu mwenyewe aliyeumba wanaume na wanawake ameagiza kwamba mwanamume awe ndiye kichwa na mwanamke asitawale mwanamume. Kinyume cha hapo ni ukristo feki uliopo sasa duniani.
💯
kwanza ata dini zimekataza utala wa wanawake,afu unasikia majitu yanajisifu eti dini ya haki ni lslam swali samia si muislamu?mbona ni raisi na bado yy ni mwanamke hatari sana!
Dini ipi hizi za wakoloni@@JeanMuzaliwa-bs6qh
Ndie tuliewaletea huyo wazanzibar acheni mtawaliwe. Si mliwahi kusema Tanganyika hatawali mzanzibar sasa katawala tena mwanamke sasa 😂.
Mkome kuweka rais mwanamke ni rahisi kutongozwa
Huo ni wivu
Kikwete ni adui mkubwa hamujui Tu ashamaliza muda wake lakini yupo kama yeye ndio raisi anakuka pesa kweli kweli..
Ndani ya ccm watu aina hii ni afimu sana
Mungu akusimamie mzee Malisa kwakuwa upande wa MUNGU
Huyu mzee alindwe
Vizuri sana 🎉🎉, Ila chunga wasiyojulikana
Hongera kwa maneno yako mazuri. Hii nchi inawenyewe unalijua hilo
Asante mzee
Watanzania wengi tunaumia natuliona atujatendewa haki
Excellent
Hapo hakuna excellent Wala exactly huyu mchaga ni mwehu.
Hongera sana mzee kwa kujitenga na uongo
Umesema kweri Mzee
Upo sahihi kabisa
SOMA MAJINA YA WANAOKOMENTI UTAGUNDUA KITU 😅😅😅😅😅
Nimegundua wengi wakristo
Acheni udini kwene masuala ya msingi
ATUTAKI RAIS MWANAMKE NI MUOGA ATOKE
Afu unakuta mambwa yanabweka kila kona mamaa mitano nyokoo kisa vijisenti me waga nasikia hasira jamn hii nchk..😢
Kinoma bro inaumiza sana, hii Nchi ya mazwazwa sana
Pole sana hili linakera sana wasanii mbwa walijazana pale kusifia upumbavu.
aisee yani
😂😂😂😂😂😂😂 pole sana usije ukawa muasi 😂😂😂
Hzo asila ulizokuwa nazo ww ni kidgo sana mm nko na asila km faru daaah
Kujiuzuru kwa waafrika wakiwa madarakani, ni sawa na kumwambia ajiue. Ni tendo gumu sana kwa viongozi waafrika. Hata wapinzani wakiingia madarakani bado watakuwa waafrika wale wale, japokuwa kuna waafrika wachache sana ambao pengine wameweza kufanya hivyo na wanaweza kufanya hivyo ila katika mia utawapata 2 kama si mmoja.
Hii nchi bado sana raia wengi hawajuwi nguvu ya KATIBA ktk taifa au chama husika, wanabeza mzee huyu anayesema powerful point.(mama Tz utateseka sana nchi yangu)
Be blessed sir
Ccm hawafuati katiba siku zote ,wanafuata akili na mtamanio yao tu
Mgeiga mfano wa Nchimbi alionyesha jisia zake alipotangwazwa Magufuli kugombea urais.Mnamuonea mama Samia.
Baba hongera
Kongole mzee wngu.
Nikikutazama ivi sioni kama una nia ovu ktk kukemea kilichotekelezwa na CCM.
Safi sana na Mungu akulinde na kukubariki
Na Mungu atakutetea na huu ndiyo mwisho wa ccm kwani ccm walizoea mabavu na sasa ni wakati wa samia kuachia ngazi kwani samia ni mla rushwa mkubwa kabisa
Baba umesema ukweli ila huyu rais aliwaihi kusema katiba nikijitabu kwa kauli yake kwaiyo yeye anajua yuko juu ya katiba.
Big up sana tunawakaribisha CHADEMA
Ccm wanaogopa sana ukweli watakufungulia kesi ya uongo 😂😂 mungu akutangulie
Mzee ukosawa
Umenifurahisha tu kuwawajibisha viongozi wanaojiona wake juu ya sheria
Hilo mzee Kila mwana CCM kaona hi kitu ila wanaumia tumboni hawawwzi sema tu
Ikiwa Katiba ya Nchi ni “kitabu tu”, Je! Ya Chama si daftari tu?
😂
😂😂😂😂😂😂 Draft la box la la madaftari ya Msomi 🤣🤣
Karatasi kabisa😅
🙆🙆🙆🙆
Mzee wa maans kabisa❤
Mungu akulinde mzee kwakusema kweli wana ccm wengi wana umia ndani kwandani
Chama kinaelekea kwenye uchaguzi , ni nani huyu ??😂😂😂😂
Nikweli kabisa Samia anaivuruga sana nchi yetu Tanzania, na anavuja katiba ya nchi 😠😠😠
Uko sawa mzee
Ila kuongozwa na Rais mwanamke mimi naanza kujisikia kichefu chefu,
Kwa kuwa lazim CCM washinde.. mimi macho yangu yanatazama 2030 pengine watatuletea mwingine mwenye Uzalendo kama wa mzee huyu.... Ningetaman awe kama maguful.. lakin awe anasikiliza na hoja za wapinzani.. sio kupigana risas
Si comment 😁😁
Huyu mzee ni kiongoz bora ,badae utaskia ametekwa.
Hawa wanaosema mama mitano ndyo hao mafisadi.
Saaaaana mzee ukweri ndouo
Mzee hongera sana wewe unajitambua sana
Tunaongozwa kama mazuzu wananchi wanateseka na raslimali kibao
God bless you! Malisa.
Asante Mungu akutunze daima
Nchi hii watu wenye akili ndani ya ccm bado wapo shida ni uoga(Kudos mzee)
Membe alidokolewa uhai wake,Nape na Makamba,walipoenguliwa kinana akatangaza kujiuzulu,hii iko hivi,mchakato wa kumpata mgombea ungeachwa ufate utaratibu mtifuano au mchuano ungekuwa mkali na Samia asingechaguliwa kulitambua hilo ikabidi ufanyike uharamia huo,Angalia walivyomkwepa majaliwa baada ya Mh mpango kuombwa awapishe,Majaliwa angerejesha Magufuli staili hivyo kawekwa kabatini na hivi karibuni atatangaza kujiuzulu na Biteko Doto kuchukua nafasi yake! Ni hivi as long nchi iko salama yatakwisha tuvumiliane,funika kombe Mwanaharam apite" Namuomba Mama samia Akemee Rushwa adharani na kuwaajibisha bila upendeleo wezi wa mali Uma"Ili Tanzania ya wajukuu na vilembwe wetu pakawe salama kuishi "
Very good comment
HYU RAIS WAAJABU SANA WATANZANIA ATUKUTAKII BADO UNAQ'AQ'ANIA MAMA SAMIA JIUZURU ATUKUTAKIII
👍
Huna lolote, siyo mara ya kwa kwanza CCM kufanya hivyo. Sasa leo ndiyo unasema hivyo?
Safi sana Mzee unajimbua upo vizuli sana
Asante mzee umeongea kwa hekima sana oni lako limekubalika kwa weng sana
Atoke tu hana maana huyo Mama
Wewe siyo mwana ccm hebu jikague vzr wanaokwambia ni walewale
Watu wema hawana nafasi😢
❤❤❤❤❤❤❤❤
Yani ss tunamtaka aje nani aseme kweli maana alisema sugu au lissu tunasema wanachochea wakitoka wa ccm bado manakataa sasa aje nani aseme
Machomidia wagombea kwani hawapo humo ndani ya Ccm akiwepo na yeye mwenyewe
Malizia umri wako vizuri Mzee acha kugusa mfumo utafumuliwa.
Hapo Samia atakujibu kwa michambo na vijembe vya taarab😂😂
ukweli usio pingika mzee upo vizuri.kwann anaogopa uchaguz usifanyike.anahofia nn .nawakat yeye ndio mwekit wa chama.
Huenda ni mpango wa Mungu
🎉
❤❤❤
WANATAFUTA CONGO NYINGINE!!
ACHA WAENDELEE KUJIFANYA MIUNGU WATU
HAWAJUI KUNA VIJANA WANAOUMIZWA NA WALIYOFANYIWA WAZAZI WAO NA WANAKUA NA VISASI MIOYONI MWAO!!
TENDENI HAKI
"HAKI HUINUA TAIFA"
Mzee unawalinzi binafci je unamwanashelia hayo uliyoongea ni ukweli lkn kuwa makini sana
Ukweli ni lazima usemwe uko sawa mzee nchi imekaa vibaya
Mama chapa kazi upo vizur mitano tena halaf suala la wizara ya elimu inadorora kwasababu walimu hawana wito kama wa zamani wapo walimi walioondolewa na vueti feki lakin ni wazuri sana ingewezekana wale walimu wazuri warudishwe kazini adante
Acha kuwapoteza baadhi ya watanzania wasiojua huyu Raisi hakuwekwa wala kuchaguliwa bali kwa mujibu wa katiba ndio imemuweka,hivo kwa mujibu wa katiba hiyo hiyo tutamchagua uchaguzi wa mwaka huu Mungu akitupa uzima
Chomoka ujeee
Wazee kama wew ndio tunao waitaji Tanzania
Sheria zimewekwa ili zivunjwe! Na hiyo ndo uhai wa Sheria! Sheria haiwi Sheria Hadi imvunjwa.
@@RashidMsuya-t2o hah hah hah hah! Ok
Hayo ni mawazo ya kihuni, Sheria haijawekwa ili ivunjwe
Eti eeh..ndo maana baada ya kifo cha rais wa awamu ya tano ilivunjwa akawekwa makamu wake siyo!! Vp kama angewekwa waziri mkuu hapo katiba ingekuwa imefanyweje!!🎉🎉 Ccm bwana kwenye kujipa vyeo wanajikutaga wanaiheshimu katiba!!..ila wakishavipata sasa..kila mtu na lake eti ni kwa matakwa ya rais siyo katiba tena.
Ah sisi wazanzibr twakuombea kila la kheri mama wacha tuwanyooshe tena kwa mitano watatia akili kengeao washa tuburuza sana naikifika bado miaka miwili nchi yote iuze ujeupunzike kwa amani 🎉🎉🎉🎉🎉 Samia oyeeeeeeee🎉
@MahmoudAli-rs5mi hahaaa hii ndo inaitwa yaliyomo yamo, au lisemwalo lipo.
Huyu anatokea wapiii Mlevi.
We msenge umetokea wap
Mlevi mamaako Mzee katoa madiniyake
We ujitambui hau ndio wale wale jitambue 😂😂😂
Uko vzr, lkn mbona kama ni Kuzingatia katiba raslimali za nchi zinakabidhiwa kwa wageni na hukuwahi kusema, mbona ya chama chenu tu ndiyo unajitokeza kusema?
Hapo ndipo penye hakili zenye hekima
CCM KATIBA YENU WENYEWE MNAIKANYAGA JE KATIBA YA NCHI MTAHEMU?
Hongera kwa ujasilia kibaya uwoga umetawala Mungu akutunze
Hapa ngazi za juu wamejua kuwa wangefanya/kufuata utaratibu wengine wasingetoboa
Hiii imeeeendaaaaaaa aishieee pale tulipowachagua na magufuli aaaaache tamaaaaaa
Mtu akimwona mtu yupo ktk wadhifa fulani, basi tena atamwona hafai.
Mwl Nyerere walijaribu sana Serikali kuiondoa madarakani, ndo watu kama hawa
Ww ndo wale mitano tena kwahiyo tulia dawa ikuingie mwanaume haupaswi kuwa chawa utaolewa
😊tayari pasi ya kisigino
😂bao la nkono lajaa
🎉🎉🎉🎉
Aina hii ya wazee wanamchango mkubwa sana kwa chama na taifa
Kada gani Huyu Wa CCM na fyatu, Wa chadema tu
HUYO SIOKANDA WA CCM KATUMWA KWA AJILI YA NJAA KAMA NYIYI MWANAHALISI TV MNAVYO TUMWA NA CHADEMA YOTE YANAJULIKANA KWAMBA HATA YIYI MNATUMIKA NA CHADEMA KUJA KUITUKANA CCM
Kama wanavunja Katiba yao je wataheshimu Katiba ya nchi ??