Namna ya kutengeneza afya ya udongo oungeze uzalishaji na mazao ya viwango. @sua
Вставка
- Опубліковано 11 кві 2024
- kuna vitengo vingi vinavyofanyika kwenye uandaaji wa shamba, kupalilia na kuua wadudu ambavyo hupelekea kudhoofisha afya ya udongo, na udongo ndipo mazao yanalindwa , kwahiyo ukijua udongo kutopata mazao, tunza udongo ukutunze. karibu, # Tanzania agronomy society # sua # madhara ya mbolea ,na viwatilifu.
Kijana unaharibu uwasilishi wa mada nzuri. Kingereza cha kuchomekachomeka kinaboa sana. Ongea tu kiswahili tutaelewa tu
Tumelichukua hili boss!