Maalim Seif kafanya kazi kubwa Allah atamlipa pepo ya firdaus. na alietuaminisha na tukampokea Mwinyi kwa mikono miwili leo anataka kuyarejesha yalee Maalim alioyakataa na walichokubaliana mpk leo hajakitimiza
MASHALAH HUYU NIMWAMBA WA HISTORIA KUANZIA ZANZIBAR HADI MRIMA HAKIKA ANAFAA KUPEWA KUANDIKA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MRIMA( MZIZIMA) HISTORIA HIZO ZISOMESHWE MASKULI AHSANTE MZEE WETU TUNAKUPENDA SANA WAZANZIBARI NA WANAKUPENDA SANA WATANGANYIKA KWA KUWASIMULIA UKWELI WA TANGANYIKA YAO KARIBU SANA ZANZIBAR KARIBU SANA NIMEFURAHI KUTUUSIA WAZANZIBARI KUDUMISHA AMANI KATIKA NCHI YETU NAFIKIRI VIONGOZI WAMEKUSIKIA KILA MMOJA ATATEKELEZA WAJIBU WAKE ILI AMANI YA ZANZIBAR IDUMU AMIN
Maneno mazima sheikhe mohd lakini ccm ifikapo uchaguzi huvaa ngozi za wanyama ...kuwapiga na kuwaonea raia wenzao na kuwazalilisha hili haliondoki ktk nafsi zao milele ...kila uchaguzi lazima damu na maonevu yafanyike Allah awape hisia zakibinaadamu
Mtanganyika ni mtanganyika tu huyu bwana ni mtanganyika mlitegemea huyu atajibu masuali anavoulizwa yaguju, si mnaona kazi yake ni kumsifu mwinyi tu mpaka kajengewa msikiti anasema kwa wema wake. Ende kwao huko tulimuona wa maana kumbe....
Hajui anaporoja tu mpaka huyu mtangazaji anamshangaa, na historia ya Zanzibar anaijua vizuri sana lakini naona kama kuna namna pana chezea ccm weee. Na ndio maana anakwepa masuali anajibu analolitaka yeye mwenyewe.
Sheikh Muhamed umepewa hadhi Kubwa na Al fatah na Sheikh Rashid kiukweli mpaka kuchukuliwa ulipokwenda lkn Kusema Ukweli Umewakosea Sana Wazanzibar ya Kuonesha km hawawezi kujitawala wenyewao na yakua utawala walionao Mzuri sana umeusifia kua umejaa maendeleo Maduka yamejaa Watu wananunua Mahitajio yao hawana Wc wc, Ivyo ndio Ukweli???
Sheikh Muhamed kajibu km hali imetulia Kila kitu kipo Sawa sasa Watu wanataka nini???😢😢😢 Kiukweli yy hajui Wazanzibar wanataka nini?? Ilo mie km mie sikulipenda tunamueshimu na kapewa heshima ya hali ya juu lkn kakosea kusema km Watu wawe Watulivu tena na Wanataka nini tena!
Kwakweli na jina Kubwa na kuoneshwa thamani ya Wazanzibar lkn hamna Kitu uyo analipwa na CCM sio km katawaliwa tu malipo yake yanatokana na CCM na anaipigania CCM tu!
Kiukweli utawajua wanaompigia debe Mwinyi km anajua kuishi na Watu angelifuata maagiziano na Maalim Seif Sharif Hamad mbona hajafanya ata moja??? Vipi anajua kuishi na upinzani toa mfano ulioyaona wewe tupe facts zako?
Maalim Seif kafanya kazi kubwa Allah atamlipa pepo ya firdaus. na alietuaminisha na tukampokea Mwinyi kwa mikono miwili leo anataka kuyarejesha yalee Maalim alioyakataa na walichokubaliana mpk leo hajakitimiza
Makubaliano sio ya mtu na mtu, ni ya Kikatiba.
Mzee Mohammed ametuangusha sana wazanzibari ukweli hujauzungumza
Ni kweli kabisa 💯
Hajauzungumza ki vpi mjulisheni myb atayaeleza
MASHALAH
HUYU NIMWAMBA WA HISTORIA KUANZIA ZANZIBAR HADI MRIMA
HAKIKA ANAFAA KUPEWA KUANDIKA HISTORIA YA ZANZIBAR NA MRIMA( MZIZIMA) HISTORIA HIZO ZISOMESHWE MASKULI
AHSANTE MZEE WETU TUNAKUPENDA SANA WAZANZIBARI NA WANAKUPENDA SANA WATANGANYIKA KWA KUWASIMULIA UKWELI WA TANGANYIKA YAO
KARIBU SANA ZANZIBAR
KARIBU SANA
NIMEFURAHI KUTUUSIA WAZANZIBARI KUDUMISHA AMANI KATIKA NCHI YETU
NAFIKIRI VIONGOZI WAMEKUSIKIA KILA MMOJA ATATEKELEZA WAJIBU WAKE ILI AMANI YA ZANZIBAR IDUMU AMIN
Mashallallah
Maneno mazima sheikhe mohd lakini ccm ifikapo uchaguzi huvaa ngozi za wanyama ...kuwapiga na kuwaonea raia wenzao na kuwazalilisha hili haliondoki ktk nafsi zao milele ...kila uchaguzi lazima damu na maonevu yafanyike Allah awape hisia zakibinaadamu
Maashallah
Ww mwenwe hujui wananchi wa Zanzibar wanataka nn
Sikuelewi wazanzibari wanataka mamlaka kamili sio majumba na barabara
Mtanganyika ni mtanganyika tu huyu bwana ni mtanganyika mlitegemea huyu atajibu masuali anavoulizwa yaguju, si mnaona kazi yake ni kumsifu mwinyi tu mpaka kajengewa msikiti anasema kwa wema wake. Ende kwao huko tulimuona wa maana kumbe....
toa ww bac ukweli ndugu nyie munapenda vurugu tu dah
@@chihoma-m4f
Ndio nyie wenye Shida iyo ni dhulma Kubwa Sana na Unafiki tu!
Ukoloni wa Tanzania bara bado upo pale pale tu! Hata aje Nani na heshima ya Wazanzibar itakua tofauti Sana na Watu wa Bara kiuhalisia ni ivyo tu!
Unaubana ukweli
Sio Mtu mzuri kiukweli ana lake Moyoni na Kumkandamiza Mzanzibar walichokitaka kimekua na ndio maana akaongea hayo km mnataka nini tena!
Wee mzee huijui.znz. Mwinyi kaapa na kashika msafahafu kaingia ikulu kwa kumwaga damu. Jee unalijua hiloo
Hajui anaporoja tu mpaka huyu mtangazaji anamshangaa, na historia ya Zanzibar anaijua vizuri sana lakini naona kama kuna namna pana chezea ccm weee. Na ndio maana anakwepa masuali anajibu analolitaka yeye mwenyewe.
Sheikh Muhamed umepewa hadhi Kubwa na Al fatah na Sheikh Rashid kiukweli mpaka kuchukuliwa ulipokwenda lkn Kusema Ukweli Umewakosea Sana Wazanzibar ya Kuonesha km hawawezi kujitawala wenyewao na yakua utawala walionao Mzuri sana umeusifia kua umejaa maendeleo Maduka yamejaa Watu wananunua Mahitajio yao hawana Wc wc,
Ivyo ndio Ukweli???
Mohamed Said hakuna,asichokijuwa ilaa zipo sehemu zakuzungumza,kwasababu ni mtu anayesikilzwa na jamii kubwa ya watu,hawezi kuweka kilakitu hadharani
Sheikh Muhamed kajibu km hali imetulia Kila kitu kipo Sawa sasa Watu wanataka nini???😢😢😢
Kiukweli yy hajui Wazanzibar wanataka nini??
Ilo mie km mie sikulipenda tunamueshimu na kapewa heshima ya hali ya juu lkn kakosea kusema km Watu wawe Watulivu tena na Wanataka nini tena!
Shaikh mohammed amesema kuhusu propaganda tumemuelewa lkn hakutaka kumaliza ila tushamuelewa wala asilaumiwe OSAMA BEN BAAZ WA ZANZIBAR WAPO 😅😅
Kumbe wewe mzee huna maana umetawaliwa na uccm.
Kwakweli na jina Kubwa na kuoneshwa thamani ya Wazanzibar lkn hamna Kitu uyo analipwa na CCM sio km katawaliwa tu malipo yake yanatokana na CCM na anaipigania CCM tu!
Allah akulipe kheri mzee wetu kwa kuzungumza ukweli na kuitakia kheri nchi yetu Zanzibar, amani, amani, amani ya rabbi amani
Dr Mwinyi anaijua siasa hafanyi siasa za chuki ,uadui,fitna na ubabe anajua kuishi na wapinzani wake wa kisiasa vizuri bila shida
Wee khanithi sana.
Kiukweli utawajua wanaompigia debe Mwinyi km anajua kuishi na Watu angelifuata maagiziano na Maalim Seif Sharif Hamad mbona hajafanya ata moja??? Vipi anajua kuishi na upinzani toa mfano ulioyaona wewe tupe facts zako?
Ktk mtu mwenye siasa chafu ni huyu mwinyi